WAMASAI wa NGORONGORO WATINGA OFISINI kwa MAKONDA, WAMTWISHA MZIGO wa KERO za MAPORI TENGEFU,.🙌🙌

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 9

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 3 месяца назад +2

    Mw/ mkuu wa mkoa tumeona jitihada zako hongera sana Makonda Mungu aktangulie sana katika hii safari maana niwachache sana wenye moyo kama wako hongera sana . Ushauri wangu kamwe usivunjike moyo kwa majaribu utakayokutana nayo maana nia yako ni njema sana umetuonyesha nia yako baada tyu yakuteuliwa kuwa mwenezi taifa

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 3 месяца назад +1

    Wallah wananchi wana kilio kikubwa kwa Tz. Makonda weee! Wananchi karibu wote wanakulilia

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 месяца назад

    Makonda Rais Wetu Mtarajiwa❤

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 месяца назад

    Hawa masai wanajua kbs ili swala sababu kuu ni Samia, waache kumchonganisha Rc

  • @Samuelkotema
    @Samuelkotema 3 месяца назад

    Huyo Hana uwezo wa kuwasaidia make wanaoratibu hayo mambo ni wakubwa wake.anaetakiwa kutoa tamko ni mkuu wa inchi ila ameendelea tu kunyamaza mungu atusaidie Wana ngorongoro?

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 3 месяца назад

    Najiuliza kama arusha kero ni nyingi namna hii! Je nchi nzima?nijibu.

  • @user-tm4vr7jr5u
    @user-tm4vr7jr5u 3 месяца назад

    Mnamwaamini makonda kama Nani

  • @elfriedemsechu5690
    @elfriedemsechu5690 3 месяца назад

    Matatizo ya watu ni mengi. Ataweza kuwasikiliza wote? Itachukua miaka mingapi?

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 3 месяца назад +1

    Jamani, Mkuu wa Mkoa aliyepita alikua anafanya nini? Mbona watu wanamatatizo ya muda mrefu bila kupata ufumbuzi!??