RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2024
  • RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 104

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 19 дней назад +14

    Watu wameitikia wito Mashallah 🎉🎉🎉🎉 upendo udumu daima❤❤

  • @TariqAziz-sc1lb
    @TariqAziz-sc1lb 19 дней назад +8

    An emotional song❤❤ well done rayvanny

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 19 дней назад +7

    Hawajawahi kukosea kwny uajiri wao hawa jamaaa wanaovaa suit wanajua kazi zao kwa kweli...The way wanavorganize kwny Ulinzi is fantstic and extremly Remarkable Security...Congratulation TISS.❤❤❤

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 18 дней назад +2

    Kumuamsha mama si kazi rahisi congratulations ray🎉🎉🎉🎉

  • @ixheryusuph1748
    @ixheryusuph1748 18 дней назад +1

    Nzur sana hii nyimbo..... Mashaallah

  • @KalambayKasongo
    @KalambayKasongo 4 дня назад

    Toujours super mon petit frère

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 19 дней назад +8

    Twakupenda sana mama mashallah ❤❤❤❤❤

  • @ODENILWILA
    @ODENILWILA 18 дней назад +3

    Rayvanny we we ni dangerous ❤❤❤❤❤

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 18 дней назад +2

    Beautiful poems ❤Ravannny umeipiga mwingi

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f 18 дней назад +4

    Rayvan upo vizuri

  • @khadijatajiri8097
    @khadijatajiri8097 18 дней назад +1

    Nakupenda rais wangu mzuri❤2025 twende pamoja na mama

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 18 дней назад

    Wimbo mzuri sana huu ray 😊amen 🙏 🙌

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 18 дней назад

    Courag Mutoto unajuwa💐💐💪🏽💪🏽

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 19 дней назад +2

    Ni nzr sawa, lkn ikute unafraha km huna fraha kalo za watoto zimekutinga na nyumba yangu milango na madirisha vimekua mlima mwaka wa nne nimeingia olaa. Hapo fraha naitoa wapi mwenzenu??

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 19 дней назад +3

    KUMEKUCHAAA!🤔Wabongo wameliamsha DUDE Ndani yakizimkazi😊Mama kizimkazi kapendezaa Tabasamu Nene Ndani yakunyumba Kizimkazi🥰Rais SAMIA MI5TENAAAA!!🎉🥳🥰💯✅

  • @alyakida5262
    @alyakida5262 19 дней назад +5

    Hongera sana mh Raisi wangu mpendwa mafanikio yanaonekana na kazi zinaendelea .

  • @user-sy3bd7nc2u
    @user-sy3bd7nc2u 7 дней назад

    Bonge la ngoma kinoma

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 18 дней назад

    Ngangari upo sawa umekaza kama umaga💞💞💞💋💋💋💋

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y 18 дней назад

    Safi sana mama etu kipenzi

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 18 дней назад

    Wooooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @mwadawaibrahimmohamed6089
    @mwadawaibrahimmohamed6089 18 дней назад +1

    umetisha❤❤❤❤❤❤

  • @catrhine93
    @catrhine93 18 дней назад +1

    Mum samia God bless you for ever.🎉

  • @KulwaMakiko-jw7xz
    @KulwaMakiko-jw7xz 13 дней назад

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 18 дней назад

    Asante. Sana. Mama. Yetu. Mpendwa. Samia. Suluhu. Hassan. Tunaunga. Mko. Juhudi. Zako. Hivi. Mama. Kuwakata. Kodi. Wastaafu. Hapo. Mama. Yetu. Hapana Hapana. Hapana. Hapanaaaa. Pension. Yenyewe. Ndogo. Na. Bado. Inakatwa. Kodi. Mama. Yetu. Hapanaaaa

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 18 дней назад +1

    Wimbo mtamu lakini si kwa ajili ya samia mimi ni mmasai

  • @user-ej5rp5ku7l
    @user-ej5rp5ku7l 18 дней назад +2

    Rayvany ka juwa litakalo mfurahisha Samia kwa kweli aaaaaaqqqq

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 18 дней назад

    Jmn me nna swal et lengo la kizimkaz n nini me cjui 😢 af nmependa walinzi wa rais samia walvo very sharp 🙌

  • @RaymondMtewele-j8vpamban
    @RaymondMtewele-j8vpamban 18 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JacksCarlos-zy2ci
    @JacksCarlos-zy2ci 18 дней назад

    I thought WA Zanzibar wote n weupe kumbe n Kisumu ndogo pia😂😂😂

  • @GladysHamisiRai
    @GladysHamisiRai 19 дней назад +1

    Inauma lkni hatuna budii kukubali mungu awatie nguvu mm yaani nafidwa kujiziia Marco amuka bas hata sekindee Moja 💔😭😭😭😭😭

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 18 дней назад

    Hongera Mwaisa dog Van kazi nzuri

  • @humphreynyuchi8548
    @humphreynyuchi8548 19 дней назад +1

    Yes there you are! Chui umeua sana

  • @rajah9328
    @rajah9328 18 дней назад +1

    Ii Ngoma kali salute Chui...ila Majirani wetu upendo na amani ni nguvu muhimu sana nchini. Wanzania endeleeni na uzalendo wenu na upendo nyote ndugu uwe CCM au Chadema Amani vurugu zinatoa uhai, kupoteza famalia ndgu ata na jirani Mwema

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 19 дней назад +3

    Ray mwanangu umeuaaaaa

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 19 дней назад

    ❤❤❤

  • @thechallangeboystheawadh5195
    @thechallangeboystheawadh5195 18 дней назад

    Kweli Mama Samia kapasi mie mmoja sikudhania kama atafikia hapa Hongera Mama Samia!!❤

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 18 дней назад

    Wakenya mtamuimbia lini RAIS wenu kenge nyie KAZI kusematu ANGUKA NAYO ONE LEGEEE😂😂😂😂

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c 19 дней назад +1

    ❤❤❤❤ jamani na penda uyu mama jamani mungu akupe umri mrefu

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 18 дней назад

    Huu wimbo wa reyvann ni wa 🔥🔥🔥

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v 17 дней назад

    Mbona ni wenyew Kwa wenyew

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 18 дней назад

    Furaha huzaa afya njema, 🎉🎉

  • @Karungi4B
    @Karungi4B 18 дней назад

    Noma sana

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 18 дней назад

    Nice song

  • @omokemorara8656
    @omokemorara8656 17 дней назад

    Poor audio

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 19 дней назад

    🙏👍

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 18 дней назад

    Wimbo unalipa 🎉🎉🎉

  • @elishagwivaha
    @elishagwivaha 14 дней назад

    Tu-vikaragosi flan tunacheza

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 19 дней назад

    Ila vannyboy 🔥🔥

  • @GabbyRomnize
    @GabbyRomnize 18 дней назад

    Reyvanny bana anaandika kwl

  • @nicken3250
    @nicken3250 19 дней назад

    Sawa❤❤❤

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 18 дней назад

    Nice

  • @EsterKimambo
    @EsterKimambo 19 дней назад

    Love you mama

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 18 дней назад

    Vanny boy 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @heartz._2
    @heartz._2 18 дней назад +1

    L love you

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z 18 дней назад

    Vanny boy❤❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 19 дней назад +1

    Mama Samia kabla ya kuketi tuu akaskia sauti yake akastuka kidogo; 'nani huyu mie naongelea wapi tena?' Samiaaaaa!!!

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 18 дней назад

    Mama. Wastaafu. Tunakufa. Njaa. Badala. Ya. Kutuongezea. Hiki. Kidogo. Tulicho Nacho. Hicho. Hicho. Bado. Mnapunguza. Tukuombe. Sana. Mama. Yetu. Tunakupenda. Sana. Lakini. Kwa. Hili. Mama. Yetu. Hapanaaaa. Mama. Hapanaaaa. Kuwa. Na. Huruma. Kwa. Wagonjwa. Wako. Maana. Sisi. Wastaafu. Ni. Wagonjwa. Na. Toko. ICU

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 17 дней назад

    Yn ss. Ivi silipendi iki

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 18 дней назад

    Jifunze kuimba ukiwa jukwaani acha makelele

  • @user-gl5mn2qs1r
    @user-gl5mn2qs1r 19 дней назад +2

    Ila watanzania ni wanaaaa mmmmh me sisemi chochote nisijepotea mazingira ya kutatanisha

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 19 дней назад

    Reyvan umeua

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 19 дней назад

    rayvanny kauwa sana umu!🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟✍️.

  • @Thomaschipembe
    @Thomaschipembe 14 дней назад

    Thomas chipembe

  • @JohnMagwila-j5d
    @JohnMagwila-j5d 19 дней назад

    Ninafuraha kubwa saana Mwenyezi Mungu kumpa siha na afya njema mama yetu mama Samia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mama wewe ni kipenzi chetu sisi Watanzania hakika kucheza kwako kunaakisi maendeleo makubwa uliyoyafanya kwa muda mfupi kwa sisi Watanzania. Kweli wewe ni mlezi na unauchungu na sisi wanao na kwa amani iliyopo uliyoidumisha na kuitunza sisi hatuna budi kukuenzi. Watanzania ninao tuitunze tunu hii yaani mama SAMIA. Mitano tena tuone maendeleo makubwa na Tanzania itapaa kwa kila jambo na mataifa yote ulimwenguni waamini kuwa wanawake wanaweza uongozi na wewe mama umedhihirisha hilo. Nakuombea kwa Mungu mabaya na husuda zipishilie mbali na sisi wenye kuona matendo yako makuu na maono uliyopewa na mwenyezi tuzidi kukufurahia. Nakupenda mama yangu.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, UDUMU MAMA YETU SAMIA.

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 18 дней назад

    Tanzania bado giza totoro mnoo! Kwa huo uchawa wenu! Mtasota saana

  • @blessed2610
    @blessed2610 19 дней назад

    🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 18 дней назад

    Chuiìii umetisha

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 19 дней назад +2

    Yani kinacho endelea hapo ni ujinga na upumbavu mnasifiana kimavi mavi yani kazi kuarib maisha ya watanzania cheefu

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 18 дней назад +1

    Nchi ina machawa wengi

  • @salimahmedabdou5908
    @salimahmedabdou5908 18 дней назад

    Vanny vivani boy

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 18 дней назад

    Wewe mama wa kislamu hujiheshimu ndio maana watu wanakutukana

  • @bandeoudjumashandrack1909
    @bandeoudjumashandrack1909 18 дней назад

    Rayvanny unatisha

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho 19 дней назад

    M

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 18 дней назад +1

    saidia wanyonge ww hawana kitu ww

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 18 дней назад

    Najiwazia tu hawa watu wote wameenda huko kwa mapenzi yao kwa raisi?

  • @YasiniHusseni
    @YasiniHusseni 19 дней назад

    Nataman namimi siku moja nikutane na mama walau nimwambie kuwa nampendaga tu. Hakuna kingine ila basi tu

  • @PiliQueen-sm1nm
    @PiliQueen-sm1nm 18 дней назад

    Bodigad yuko makini na maokoto ya boss😂😂😂

  • @SalimAbdallah-tk9hs
    @SalimAbdallah-tk9hs 18 дней назад

    Kwa mbali alikamwe

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv 18 дней назад

    Mama nimamatuuu

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 18 дней назад

    Rey van unetuliaa

  • @user-fp9xl4xy3t
    @user-fp9xl4xy3t 18 дней назад

    Wanacheza rakin wamejaa unafiki tu hata hawampendi kuwa makini nao mama

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale 19 дней назад

    Unajua ngwa kukaja

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz 19 дней назад

    Chui kauwa so powa

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 19 дней назад

    Kogamano la waislam na wakiristo palikua patupu ila upuuzi kumejaa

    • @staanstaan8722
      @staanstaan8722 19 дней назад

      We inakuusu nn

    • @AGM19697
      @AGM19697 18 дней назад

      Sasa wewe ulitakaje? Au ulidhani mm kwakuwa ni wa dini yako basi ni raisi wa dini yako?
      Bado una utoto wa kidini, inabidi uanze kukua sasa

    • @AGM19697
      @AGM19697 18 дней назад

      Mijitu ya hivi ndio ile inayojiripuaga kuuwa watu wasio na hatia ikidhani ndio itaenda mbinguni kuoa wanawake mabikira.
      Duuuh kaazi kweli kweli

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 19 дней назад

    Nailazimisha fraha ingawa moyoni nina majonzi nani wakunifuta machozi😢😅?

  • @adamswafi5149
    @adamswafi5149 18 дней назад

    Naona maokoto sio mchezo

  • @MrNitsonTz-v5y
    @MrNitsonTz-v5y 19 дней назад

    Weeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 18 дней назад

    Mama anawakata jicho yuko na ndugu yake hapo pembeni wanaambiana hawa mang'ombe acha yahangaike apo uzuri wa tanzania kwa katiba hii hata mm nikiwa rais mtanisifia woteeeee hahhaha ndo katiba hawataki kubalisha ng'oòooòoo labda kwa mabom na kwa bandeji

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 19 дней назад

    Chui

  • @SaidiPala
    @SaidiPala 18 дней назад

    Mfariji ya mwisho mwisho.😡😡😡

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 18 дней назад

    Pata cheo tuione tabia yako

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe 18 дней назад

    Prestage one!!😂 less meaning and decision

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 18 дней назад

    Nchi ina machawa wengi