RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...
HTML-код
- Опубликовано: 12 сен 2024
- RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Watu wameitikia wito Mashallah 🎉🎉🎉🎉 upendo udumu daima❤❤
An emotional song❤❤ well done rayvanny
Hawajawahi kukosea kwny uajiri wao hawa jamaaa wanaovaa suit wanajua kazi zao kwa kweli...The way wanavorganize kwny Ulinzi is fantstic and extremly Remarkable Security...Congratulation TISS.❤❤❤
uniform✍️
Kumuamsha mama si kazi rahisi congratulations ray🎉🎉🎉🎉
Nzur sana hii nyimbo..... Mashaallah
Toujours super mon petit frère
Twakupenda sana mama mashallah ❤❤❤❤❤
Kibaka tu
Rayvanny we we ni dangerous ❤❤❤❤❤
Beautiful poems ❤Ravannny umeipiga mwingi
Rayvan upo vizuri
Nakupenda rais wangu mzuri❤2025 twende pamoja na mama
Wimbo mzuri sana huu ray 😊amen 🙏 🙌
Courag Mutoto unajuwa💐💐💪🏽💪🏽
Ni nzr sawa, lkn ikute unafraha km huna fraha kalo za watoto zimekutinga na nyumba yangu milango na madirisha vimekua mlima mwaka wa nne nimeingia olaa. Hapo fraha naitoa wapi mwenzenu??
KUMEKUCHAAA!🤔Wabongo wameliamsha DUDE Ndani yakizimkazi😊Mama kizimkazi kapendezaa Tabasamu Nene Ndani yakunyumba Kizimkazi🥰Rais SAMIA MI5TENAAAA!!🎉🥳🥰💯✅
Hongera sana mh Raisi wangu mpendwa mafanikio yanaonekana na kazi zinaendelea .
Bonge la ngoma kinoma
Ngangari upo sawa umekaza kama umaga💞💞💞💋💋💋💋
Safi sana mama etu kipenzi
Wooooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
umetisha❤❤❤❤❤❤
Mum samia God bless you for ever.🎉
❤
Asante. Sana. Mama. Yetu. Mpendwa. Samia. Suluhu. Hassan. Tunaunga. Mko. Juhudi. Zako. Hivi. Mama. Kuwakata. Kodi. Wastaafu. Hapo. Mama. Yetu. Hapana Hapana. Hapana. Hapanaaaa. Pension. Yenyewe. Ndogo. Na. Bado. Inakatwa. Kodi. Mama. Yetu. Hapanaaaa
Wimbo mtamu lakini si kwa ajili ya samia mimi ni mmasai
Rayvany ka juwa litakalo mfurahisha Samia kwa kweli aaaaaaqqqq
Ata zuhura
Jmn me nna swal et lengo la kizimkaz n nini me cjui 😢 af nmependa walinzi wa rais samia walvo very sharp 🙌
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I thought WA Zanzibar wote n weupe kumbe n Kisumu ndogo pia😂😂😂
Inauma lkni hatuna budii kukubali mungu awatie nguvu mm yaani nafidwa kujiziia Marco amuka bas hata sekindee Moja 💔😭😭😭😭😭
Hongera Mwaisa dog Van kazi nzuri
Dogo Van
Yes there you are! Chui umeua sana
Ii Ngoma kali salute Chui...ila Majirani wetu upendo na amani ni nguvu muhimu sana nchini. Wanzania endeleeni na uzalendo wenu na upendo nyote ndugu uwe CCM au Chadema Amani vurugu zinatoa uhai, kupoteza famalia ndgu ata na jirani Mwema
Ray mwanangu umeuaaaaa
❤❤❤
Kweli Mama Samia kapasi mie mmoja sikudhania kama atafikia hapa Hongera Mama Samia!!❤
Wakenya mtamuimbia lini RAIS wenu kenge nyie KAZI kusematu ANGUKA NAYO ONE LEGEEE😂😂😂😂
❤❤❤❤ jamani na penda uyu mama jamani mungu akupe umri mrefu
Huu wimbo wa reyvann ni wa 🔥🔥🔥
Mbona ni wenyew Kwa wenyew
Furaha huzaa afya njema, 🎉🎉
Noma sana
Nice song
Poor audio
🙏👍
Wimbo unalipa 🎉🎉🎉
Tu-vikaragosi flan tunacheza
Ila vannyboy 🔥🔥
Reyvanny bana anaandika kwl
Sawa❤❤❤
Nice
Love you mama
Vanny boy 🔥🔥🔥🔥🔥
L love you
Vanny boy❤❤❤
Mama Samia kabla ya kuketi tuu akaskia sauti yake akastuka kidogo; 'nani huyu mie naongelea wapi tena?' Samiaaaaa!!!
Mama. Wastaafu. Tunakufa. Njaa. Badala. Ya. Kutuongezea. Hiki. Kidogo. Tulicho Nacho. Hicho. Hicho. Bado. Mnapunguza. Tukuombe. Sana. Mama. Yetu. Tunakupenda. Sana. Lakini. Kwa. Hili. Mama. Yetu. Hapanaaaa. Mama. Hapanaaaa. Kuwa. Na. Huruma. Kwa. Wagonjwa. Wako. Maana. Sisi. Wastaafu. Ni. Wagonjwa. Na. Toko. ICU
Wamekutuma wewe
Yn ss. Ivi silipendi iki
Jifunze kuimba ukiwa jukwaani acha makelele
Ila watanzania ni wanaaaa mmmmh me sisemi chochote nisijepotea mazingira ya kutatanisha
Reyvan umeua
rayvanny kauwa sana umu!🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟✍️.
Thomas chipembe
Ninafuraha kubwa saana Mwenyezi Mungu kumpa siha na afya njema mama yetu mama Samia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mama wewe ni kipenzi chetu sisi Watanzania hakika kucheza kwako kunaakisi maendeleo makubwa uliyoyafanya kwa muda mfupi kwa sisi Watanzania. Kweli wewe ni mlezi na unauchungu na sisi wanao na kwa amani iliyopo uliyoidumisha na kuitunza sisi hatuna budi kukuenzi. Watanzania ninao tuitunze tunu hii yaani mama SAMIA. Mitano tena tuone maendeleo makubwa na Tanzania itapaa kwa kila jambo na mataifa yote ulimwenguni waamini kuwa wanawake wanaweza uongozi na wewe mama umedhihirisha hilo. Nakuombea kwa Mungu mabaya na husuda zipishilie mbali na sisi wenye kuona matendo yako makuu na maono uliyopewa na mwenyezi tuzidi kukufurahia. Nakupenda mama yangu.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, UDUMU MAMA YETU SAMIA.
Tanzania bado giza totoro mnoo! Kwa huo uchawa wenu! Mtasota saana
Tuache tusote mengine yatupite😂😂
🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆
Chuiìii umetisha
Yani kinacho endelea hapo ni ujinga na upumbavu mnasifiana kimavi mavi yani kazi kuarib maisha ya watanzania cheefu
Nchi ina machawa wengi
Vanny vivani boy
Wewe mama wa kislamu hujiheshimu ndio maana watu wanakutukana
Rayvanny unatisha
M
saidia wanyonge ww hawana kitu ww
Najiwazia tu hawa watu wote wameenda huko kwa mapenzi yao kwa raisi?
Nataman namimi siku moja nikutane na mama walau nimwambie kuwa nampendaga tu. Hakuna kingine ila basi tu
Bodigad yuko makini na maokoto ya boss😂😂😂
Kwa mbali alikamwe
Mama nimamatuuu
Rey van unetuliaa
Wanacheza rakin wamejaa unafiki tu hata hawampendi kuwa makini nao mama
Unajua ngwa kukaja
Chui kauwa so powa
Kogamano la waislam na wakiristo palikua patupu ila upuuzi kumejaa
We inakuusu nn
Sasa wewe ulitakaje? Au ulidhani mm kwakuwa ni wa dini yako basi ni raisi wa dini yako?
Bado una utoto wa kidini, inabidi uanze kukua sasa
Mijitu ya hivi ndio ile inayojiripuaga kuuwa watu wasio na hatia ikidhani ndio itaenda mbinguni kuoa wanawake mabikira.
Duuuh kaazi kweli kweli
Nailazimisha fraha ingawa moyoni nina majonzi nani wakunifuta machozi😢😅?
Naona maokoto sio mchezo
Weeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mama anawakata jicho yuko na ndugu yake hapo pembeni wanaambiana hawa mang'ombe acha yahangaike apo uzuri wa tanzania kwa katiba hii hata mm nikiwa rais mtanisifia woteeeee hahhaha ndo katiba hawataki kubalisha ng'oòooòoo labda kwa mabom na kwa bandeji
Chui
Mfariji ya mwisho mwisho.😡😡😡
Pata cheo tuione tabia yako
Prestage one!!😂 less meaning and decision
Nchi ina machawa wengi