YESU ATUMA UJUMBE HUU DUNIANI KILA MTU AUSIKIE/ASKOFU DR MOSES KULOLA HIZI NI NYAKATI ZA HATARI
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- #SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Mungu anijalie mwisho muzuri kuliko mwanzo
Ameneeeen Vunja kazi ya Umbaraga na Wu Tchawi na Ulevi na Wongo na Wu Charati na WiVU acsente ❤
Amina Baba tutazidi kukukumbuka milele daima.
I Missed So Much this Really healing gospel 🔥🔥
Neno Lisiloghoshiwa.!!
Mungu nisaidie nikujuwe zaidi
Nitakuwa kama moses kulola mungu pokea maombi yangu
Ah Musée Kulola we miss you so much mi na Juwa kama Uko Mu Mikono y’a Mungu Baba Wa Mbinguni Yesu Masiyah
Halleluya jina la Bwana lihimidiwe,Neno safiii
Neno zuri la Ufalme wa Mungu mkuu ❤❤🙏🙏🔥🔥🙌🙌🙌
Ee mungu anisaidie mim pekeangu siwez.Eeeee mungu niokowe. Okowa watu wako.
Mungu tusaidie,tusiwe wasindikizaji
Semakweli baba
amen baba pumzika kwa amani.
ATA Mie nimeshamuona
Mungu utusaidie usituache mungu WAngu
Mungu atusaidie sana
Mungu tusaidie tujuwe neno lako
Mungu nishike mkono nifike mbinguni
Amen Amen Amen
AMEN AMEN,AMEN...
Mungu wangu wa mbinguni nisaidie mwisho muzur
Mungu tusaidie tuishi kwa kukupendeza wewe
Amina
BWANA YESU KRISTO alikubatiki sana
Ameen baba mpinga yupo tunatembea nae
Amen Amen
Tutetee yesu bila wewe hatuwezi
Bwana ninakuomba niongoze kwa neema Yako,nitende utakavyo
Yaani huyu mzee jmn nampenda maisha yangu yote.
NI YESU KRISTO NDANI YAKE.
@@MabelKaaya-hl2je nampenda yeye
Mm ninashikilia mpaka mwisho,mtume mungu ailaze roho yake pema.
Mh usiingizie sara ya marehem utaanguka sik ile, huyo amemaliza kaz, jililie na jihurumie wew na watt wko na wat wa nymbn mwko, huyo Paulo wa nyakat zetu kamaliza vzr, kaz n kwa wew na mimi!
Alikuwa mtumishi wa kweli
Ee yesu wa Nazareth usiniache,
Ivi naombeni niulize injili kama hii kwnini imepotea makanisani ??
TANZANIA TUOMBE MUNGU ATULETEE MTUME KAMA HUYU SAIVI KELELE ZIMEKUA NYINGI MUNGU ANANGUVU
Ameni baba!!
Hakika Babu yetu nimekumiss kwa Malezi yako
Eeh MUNGU TUNAOMBA UTUSAIDIE KUTEMBEA KATIKA MAPENZI YAKO
Sijui tupate wapi watumishi Kama hawa
Kuishi ni kristo na kufa ni faida.
Nisaidie bwana nikupendeze wewe bwana
Hubiri hili ni zuri lkn linapendelea wanawake wenye midomo ya uchokozi;halimsaidii mwanaume ;jaribu la kutemewa mate dawa yake nikumuadibisha tu na ndiyo maana unasikia female wanashangilia akina baba hapo hawatetewi na mch.huyo.
Huyu baba mahubili yake bado yanaishi
Amen amen
Amen amen amen