Mtumishi Wa Mungu Hakika katika huu wimbo ulifunga na kuomba, nautumia sana kwenye mikutano ya Injili na watu wanapokea mnoo. Mungu azidi kukuinua mnoooo🙌🙌🙌🙌🙌
Yaani unavyo imba kwa pozi kama vile hutaki huna mambo mengi dada yangu nyimbo naipenda miaka mingi na haijawahi kufutika moyoni mwangu Mungu azidi kukutumia
Neema unanibariki uimbaji wako, uvaaji wako, uchezaji wako. Hlf mrembo mwenyewe. Hakika nakupenda mno melody zako . Nasikiliza nyimbo zako ywani nimekuwa teja wa nyimbo zako. Hasa huu TUMRUDIE, AMETENDA TENA NA MAPITO NA nyingine . Mungu akuinue kipenzi.
Mungu dada huyu anastahili mshahara wakazi yake nimerudiliya mwimbo huu zaidi ya maraine injaa utukufu wamungu Mungu aongeze upako mu karama yako dada tunakufata kutoka Kampala
Barikiwa sana dada neema Mungu akuinue utukufu kwenda utukufu❤ uzidi kumuimbia Mungu hongera kwa ujumbe mzuri Roho mtakatifu azidi kukutumia tena na tena na tena hadi ukamilifu wa dahari Mungu aibariki kazi yko🎶🎧
Wow dada unajua umetulia kweny video haki umeitendea haki nyimbo na video pia lakn pia wew ni mrembo ❤upako wa Mungu uzid kujaa zaidi na Zaid na akufunulie maono mapya kila iitwapo Leo👌🥰
Kweliiiiii kabisa mutumishi wangu nisikiya iyiiii manyimbo Yako yote kama nilikuwa na mastress zinaisha zotee mungu aendeleyeee kuku wezesha mukila kitu
Njooni tusemezane hakuna jambo Mungu asiloliweza. Ni muda wa kutubu na kumrudia Mungu. Nabarikiwa sana na nyimbo zako Neema toka miaka hiyooooo na nimefurahi sana kwa hii Remix . Nakupenda sana na endelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu🙏🙏
what a nice song, inanibarikigi sana hii nyimbo tangu nlipoisikiaga for the first time nayakubali sana maneno, hako kasebene sasa ,yaan nabarikiwa na lafudhi ya kiswahili ya kongo mupo vizuri sana barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai from Tanzania
Nabarikiwa sana na huu wimbo Mungu alikaa na wewe akakufunuriaa neema yakufikisha ujumbe kwa watoto wake, pia nikisikiliza huu wimbo naona wokovu umechukua mwili wangu mzima
Mtumishi Wa Mungu Hakika katika huu wimbo ulifunga na kuomba, nautumia sana kwenye mikutano ya Injili na watu wanapokea mnoo. Mungu azidi kukuinua mnoooo🙌🙌🙌🙌🙌
Amina Asante sana
Mungu akubariki kwa kufanya mikutano waombee na wenye maono kama hayo wafanikishe kama ulivyoweza
Amen Neema Mungu akubariki
Mungu Aku bariki
Yaani unavyo imba kwa pozi kama vile hutaki huna mambo mengi dada yangu nyimbo naipenda miaka mingi na haijawahi kufutika moyoni mwangu Mungu azidi kukutumia
Mungu ana kila kitu kizur tunachokuka jamani atusanehe YESU 😢
Bwana aongoza hatua za wenyehaki....wapedwa tumrudie mungu
Amen
Neema unanibariki uimbaji wako, uvaaji wako, uchezaji wako. Hlf mrembo mwenyewe. Hakika nakupenda mno melody zako . Nasikiliza nyimbo zako ywani nimekuwa teja wa nyimbo zako. Hasa huu TUMRUDIE, AMETENDA TENA NA MAPITO NA nyingine . Mungu akuinue kipenzi.
Nyimbo zako zina ni jengaka saaaaaana 🎉🎉
Amen Amen dada!!MUNGU akubariki sana
Amina
Mungu akubariki sana sana usimuache Mungu endelea kumtumikia Mungu dadangu hii nyimbo huwa inanibariki sana sana❤❤
Nabarikiwa na sana na nyimbo zako Mungu azidi kukupaka mafuta dada
Ameeeeen barikiwe mtumishi wa Mungu ni saaa ya kutubu na kuanguka kwa Bwana uovu ambao umekuwa mwingi katika dunia hii
Amen amen
Vous êtes béni maman cizungu ,je vous aimes enorment 🇨🇩
Huu wimbo dada ulitulia ukautoa na Mungu alikuwa pamoja nawewe unanibariki sana sana Mungu azidi kukupandisha viwango namna hii
Ubarikiwesana da neema kwauhuwimbo Mungu.ukuzidishie
Zidi kua chombo cha baraka mtumishi wa Mungu..i love you sister
Mungu dada huyu anastahili mshahara wakazi yake nimerudiliya mwimbo huu zaidi ya maraine injaa utukufu wamungu
Mungu aongeze upako mu karama yako dada tunakufata kutoka Kampala
Mungu aku bariki saaana mtoto wa MUNGU
barikiwa ndani ya yote na katika yote,Umeni bariki saana
Kwakweli mama angu mungu azidi kukuongoza ,wimbo uhu umenibariki sana
Aposawa mwenyemasikio nasikie nenoili Alo rohoo ayahambia makanisa
Wimbo mzuri jaman Mungu akuinui mtumishi ..# nmebarikiwa mnoo
Asantesaaana NJIA MBAYA, SAWA KABISAA,nipoDodomanaskiliza zaidiyammara6
Nyimbo hii naipenda nabarikiwa sana nikiisikiliza mungu akubarki
Nataman sana kuimba unanibariki mtumwa wa mwokozi
Ameeeeen mama ubarikiwe kwa nyimbo zako zina tugusa sanaaa
Zambi ndizo zinazo tutenga na Mungu ni samehe Mungu wangu
amina
Amen dada
Amen
Mwaka mpyaNi kutakasaMioyoo
Ubarikiwe zaidi maman, wimbo huu ina maneno ya uzima,
Wimbo unanibariki sana huu jaman ubarikiwe mno mamaa mungu azidi kukupandisha viwango vya juu tuendelee kubarikiwa zaidi na zaidi😍😍🙏🙏
Nabarikiwa sana na huu wimbo.. Bwana Yesu akubariki
Mungu nisaidiye nitakase mwenendo wangu baba🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen
Yaani mungubazidi kukutia nguvu nakupenda sana neema
Mungu ni mwema sana huu wimbo ni muzuri sana naomba kila mutu aufunguwe kabisa
Amina
Amina Amina Mungu atu saidiye tumu Rudi yeye njo Samani ya maisha yetu🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Amina
Huu wimbo ni mzuri sana kwa kwel💞💞👏👏
Atleast nimefika
Amen
Huu wimbo niliusikia tangu 2012 umekua wa baraka sana mpaka leo❤
hakika unasaut ya kubembeleza nainjoi sana kuziskia sichoki nabaki nalia tu
Mungu akubarikisana kwa enjili unahotupa
Yaani umeimba kwa ku relax hadi raha 💕💕
Amina, Asante
Really love you!
Unanipa Amani sana huu wimbo
Ubarikiwe Sana kabisa niwakati wakutubu tumukaribiye mung
amen
Amen mpendwa Mungu akubariki naazidi kukuinua zaidi ktk huduma.
Amen
Wimbo mzuri umenibariki sana mtumishi wa Mungu
amina, Asante
Na decouvrir sikoyo Soeur Neema i'm bless with your songs Glory to God
Mungu akubariki kwa huduma nzurii!!!
Mrudieni Mungu ……wooooow 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Amen
Hongera dada kwa nyimbo nzr
Ubarikiwe saana mutumishi kwa hii kazi nzuri 🌹🌹
Amen 🙏
Bwana akubariki kwakazi mzuri unayo ifanya
Nabarikiwa na nyimbo hiii 🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙌Jina Labwana lipewe sifa
Amen
Mungu akutunze sanaa . Nabarikiwa sanaa na msg zako kwa nyimbo
Ooooh waooo atimae nimeupata wimbo wangu❤❤❤
Mungu akuinue saana juuu utukufu juu ya utukufu upako juu ya upako
amen amen
Huwa nabarikiwa sana na wimbo huu
Mngu wambinguni akubariki sana nabarikiwa nanyimbo de 🙏🙏
Sifa za kazi hii zimurudilie mungu baba
Amen
Great Ameen
Nilkua naisubr sana
Ubarikiwe
Asante mungu agutangurie mbere tena
Wimbo nzuri sana
Mkiniludi nitawaludi chunguzeni njia zenu taifa langu,, this seasons song, ukahaba , mambo ya maushoga umaskini ndo ukaifata inchi.
Ubarikiwe Neema kazi yako ni njema🔥
Ameen kubwa Ubarikiwe sans
Amina
Barikiwa sana dada neema Mungu akuinue utukufu kwenda utukufu❤ uzidi kumuimbia Mungu hongera kwa ujumbe mzuri Roho mtakatifu azidi kukutumia tena na tena na tena hadi ukamilifu wa dahari Mungu aibariki kazi yko🎶🎧
Una sauti nzr sn dada Mungu akubariki kwa kazi nzr
Amina, Asante
best song, best video, wimbo.utaishi huu
From DRC Butembo ,Nakupenda Sana nyimbo Zako huwa zinatubariki sana katika familia Yangu.Mungu akuongezee Baraka zake.
God bless you
Muhindo Dieu est avec vous
Nabarikiwa sana na huu wimbo
Yaani wimbo nimeupenda narudia mara nyingi kuusikiliza mmmm
Mungu akubariki
Be blessed Dada nema karibu Tanzania
Hiilo biti na maneno yaliyojaa roho plus mapozi yako daaah
Asante
Neema prays for me please i am Haitien i think haitien from congo africa
Mungu azidi kukuinua Da Nelly
Amina Asante
Napenda huu wimbo Mitsubishi ameuimba ametuli mpaka raha ubarikiwe
Amina
Wow dada unajua umetulia kweny video haki umeitendea haki nyimbo na video pia lakn pia wew ni mrembo ❤upako wa Mungu uzid kujaa zaidi na Zaid na akufunulie maono mapya kila iitwapo Leo👌🥰
Nimependa sana wimbo
Ubarikiwe maman Neema, uishi melele
Mtumishi umenibariki powerful song
Saiti nzuri mamaangu❤️🥰
Amen amen yimbo zuri sana dada Mungu akusaidie sana
amina
Kweliiiiii kabisa mutumishi wangu nisikiya iyiiii manyimbo Yako yote kama nilikuwa na mastress zinaisha zotee mungu aendeleyeee kuku wezesha mukila kitu
Nakumbuka mengi kupitia wimbo huu
Amen
Amina na hongera kwa nyimbo nzuri
amina, Asante
Njooni tusemezane hakuna jambo Mungu asiloliweza. Ni muda wa kutubu na kumrudia Mungu. Nabarikiwa sana na nyimbo zako Neema toka miaka hiyooooo na nimefurahi sana kwa hii Remix . Nakupenda sana na endelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu🙏🙏
Amina, ubarikiwe
Safi sana dada
Asante kwa ujumbe nzury mtu wa Mungu
Amina, ubarikiwe
Kazi njema sana dada yetu wa Bukavu
amina
what a nice song, inanibarikigi sana hii nyimbo tangu nlipoisikiaga for the first time nayakubali sana maneno, hako kasebene sasa ,yaan nabarikiwa na lafudhi ya kiswahili ya kongo mupo vizuri sana barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai from Tanzania
Ubarikiwe sana mtumishi nyimbo hii inaachilia amani na furaha moyoni mwangu
Amen Amen dada
Amen
Mungu akubariki mama Neema
Amen dada mungu akubariki sana
Amen dada mungu akuongonze
Nabarikiwa sana na huu wimbo Mungu alikaa na wewe akakufunuriaa neema yakufikisha ujumbe kwa watoto wake, pia nikisikiliza huu wimbo naona wokovu umechukua mwili wangu mzima
Amen mutumichi
Mama nakupenda wewe wimbo u anifaliji saana huu
wimbo mzuri sana, hongera
Asante
The Lord God Almighty Lift and use to reach everyone.
Barikiwe chombo cha bwana
amina
Iyi nyimbo ina tumaka mina liya saaana
SAFI SAAANA , SAFI SANA Mtumishi wetu, Nasikiliza zaidi ya mara saba,7 wala sipungukiwi na Baraka za Wimbo huu. Safi sana Dada/ Mjomba. nipo Dodoma
Moja kati ya nyimbo zako zinazonibarikigi Mnoo
Amina
Wanaorudia rudia Mara nyingi kusikiliza Kama mimi gonga like
Barikiwa dada.
Sauti nzuri saana
From 🇨🇩 Kinshasa
Amina, Asante