TUMRUDIE MUNGU-NEEMA CIZUNGU SMS SKIZA 9868498 to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 402

  • @joashfrank1985
    @joashfrank1985 2 года назад +20

    Mtumishi Wa Mungu Hakika katika huu wimbo ulifunga na kuomba, nautumia sana kwenye mikutano ya Injili na watu wanapokea mnoo. Mungu azidi kukuinua mnoooo🙌🙌🙌🙌🙌

    • @ezraassumani6108
      @ezraassumani6108 2 года назад +1

      Amina Asante sana

    • @AnneHarold
      @AnneHarold Год назад +2

      Mungu akubariki kwa kufanya mikutano waombee na wenye maono kama hayo wafanikishe kama ulivyoweza

    • @musamwafongo3430
      @musamwafongo3430 Год назад

      Amen Neema Mungu akubariki

    • @NellyBintu
      @NellyBintu Месяц назад

      Mungu Aku bariki

  • @RafikiMpolee-n8i
    @RafikiMpolee-n8i Месяц назад +1

    Yaani unavyo imba kwa pozi kama vile hutaki huna mambo mengi dada yangu nyimbo naipenda miaka mingi na haijawahi kufutika moyoni mwangu Mungu azidi kukutumia

  • @ombenimmbando3205
    @ombenimmbando3205 9 часов назад

    Mungu ana kila kitu kizur tunachokuka jamani atusanehe YESU 😢

  • @joaniteblessings1265
    @joaniteblessings1265 2 года назад +3

    Bwana aongoza hatua za wenyehaki....wapedwa tumrudie mungu

  • @elnessyambakisyeft.essauel694
    @elnessyambakisyeft.essauel694 4 месяца назад

    Neema unanibariki uimbaji wako, uvaaji wako, uchezaji wako. Hlf mrembo mwenyewe. Hakika nakupenda mno melody zako . Nasikiliza nyimbo zako ywani nimekuwa teja wa nyimbo zako. Hasa huu TUMRUDIE, AMETENDA TENA NA MAPITO NA nyingine . Mungu akuinue kipenzi.

  • @NellyBintu
    @NellyBintu Месяц назад +1

    Nyimbo zako zina ni jengaka saaaaaana 🎉🎉

  • @davidshauritanga1204
    @davidshauritanga1204 2 года назад +5

    Amen Amen dada!!MUNGU akubariki sana

  • @EstherCharo-lc3md
    @EstherCharo-lc3md 20 дней назад

    Mungu akubariki sana sana usimuache Mungu endelea kumtumikia Mungu dadangu hii nyimbo huwa inanibariki sana sana❤❤

  • @RafikiMpolee-n8i
    @RafikiMpolee-n8i Месяц назад

    Nabarikiwa na sana na nyimbo zako Mungu azidi kukupaka mafuta dada

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine468 2 года назад +9

    Ameeeeen barikiwe mtumishi wa Mungu ni saaa ya kutubu na kuanguka kwa Bwana uovu ambao umekuwa mwingi katika dunia hii

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 6 месяцев назад +1

    Huu wimbo dada ulitulia ukautoa na Mungu alikuwa pamoja nawewe unanibariki sana sana Mungu azidi kukupandisha viwango namna hii

  • @machozishabani3777
    @machozishabani3777 2 года назад

    Ubarikiwesana da neema kwauhuwimbo Mungu.ukuzidishie

  • @scarsofvictory7906
    @scarsofvictory7906 Год назад

    Zidi kua chombo cha baraka mtumishi wa Mungu..i love you sister

  • @PapaoHabamungu
    @PapaoHabamungu Год назад +1

    Mungu dada huyu anastahili mshahara wakazi yake nimerudiliya mwimbo huu zaidi ya maraine injaa utukufu wamungu
    Mungu aongeze upako mu karama yako dada tunakufata kutoka Kampala

  • @elitekabarati6389
    @elitekabarati6389 2 года назад +1

    Mungu aku bariki saaana mtoto wa MUNGU
    barikiwa ndani ya yote na katika yote,Umeni bariki saana

  • @EverineSelemani
    @EverineSelemani 4 месяца назад

    Kwakweli mama angu mungu azidi kukuongoza ,wimbo uhu umenibariki sana

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Год назад

    Aposawa mwenyemasikio nasikie nenoili Alo rohoo ayahambia makanisa

  • @abdulllyhussein3224
    @abdulllyhussein3224 9 месяцев назад

    Wimbo mzuri jaman Mungu akuinui mtumishi ..# nmebarikiwa mnoo

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Год назад

    Asantesaaana NJIA MBAYA, SAWA KABISAA,nipoDodomanaskiliza zaidiyammara6

  • @RUBENMASUHUKO-ef7pw
    @RUBENMASUHUKO-ef7pw Год назад

    Nyimbo hii naipenda nabarikiwa sana nikiisikiliza mungu akubarki

  • @emanuelyPetro-yk5ic
    @emanuelyPetro-yk5ic 2 месяца назад

    Nataman sana kuimba unanibariki mtumwa wa mwokozi

  • @adophine1063
    @adophine1063 Год назад

    Ameeeeen mama ubarikiwe kwa nyimbo zako zina tugusa sanaaa

  • @monicesthela6316
    @monicesthela6316 2 года назад

    Zambi ndizo zinazo tutenga na Mungu ni samehe Mungu wangu

  • @mulindabukuru7336
    @mulindabukuru7336 2 года назад +4

    Amen dada

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Год назад +2

    Mwaka mpyaNi kutakasaMioyoo

  • @LoversOfworship
    @LoversOfworship Год назад

    Ubarikiwe zaidi maman, wimbo huu ina maneno ya uzima,

  • @stellahanyo3137
    @stellahanyo3137 2 года назад +2

    Wimbo unanibariki sana huu jaman ubarikiwe mno mamaa mungu azidi kukupandisha viwango vya juu tuendelee kubarikiwa zaidi na zaidi😍😍🙏🙏

  • @verroallex9144
    @verroallex9144 Год назад

    Nabarikiwa sana na huu wimbo.. Bwana Yesu akubariki

  • @louiseneemamparanyi6574
    @louiseneemamparanyi6574 2 года назад +1

    Mungu nisaidiye nitakase mwenendo wangu baba🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @Shakiraamri
    @Shakiraamri Год назад

    Yaani mungubazidi kukutia nguvu nakupenda sana neema

  • @glodiinternational3147
    @glodiinternational3147 2 года назад +1

    Mungu ni mwema sana huu wimbo ni muzuri sana naomba kila mutu aufunguwe kabisa

  • @nsimiresimba7941
    @nsimiresimba7941 2 года назад +1

    Amina Amina Mungu atu saidiye tumu Rudi yeye njo Samani ya maisha yetu🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏

  • @apallangyo
    @apallangyo Год назад +1

    Huu wimbo ni mzuri sana kwa kwel💞💞👏👏

  • @brigeitwambo6214
    @brigeitwambo6214 2 года назад +3

    Atleast nimefika

  • @scaniatanzanialtd5966
    @scaniatanzanialtd5966 7 месяцев назад

    Huu wimbo niliusikia tangu 2012 umekua wa baraka sana mpaka leo❤

  • @DanielMussa-u6w
    @DanielMussa-u6w Месяц назад

    hakika unasaut ya kubembeleza nainjoi sana kuziskia sichoki nabaki nalia tu

  • @DieumerciBononga
    @DieumerciBononga 2 месяца назад

    Mungu akubarikisana kwa enjili unahotupa

  • @ignasbukombe5903
    @ignasbukombe5903 2 года назад +1

    Yaani umeimba kwa ku relax hadi raha 💕💕

  • @AnastaziaVicentMatogoro
    @AnastaziaVicentMatogoro Год назад

    Unanipa Amani sana huu wimbo

  • @claudinehatunga7022
    @claudinehatunga7022 2 года назад

    Ubarikiwe Sana kabisa niwakati wakutubu tumukaribiye mung

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 2 года назад +2

    Amen mpendwa Mungu akubariki naazidi kukuinua zaidi ktk huduma.

  • @beatricetumaini6364
    @beatricetumaini6364 2 года назад

    Wimbo mzuri umenibariki sana mtumishi wa Mungu

  • @JeanMarieMoyo
    @JeanMarieMoyo 20 дней назад

    Na decouvrir sikoyo Soeur Neema i'm bless with your songs Glory to God

  • @naomipeter8093
    @naomipeter8093 Год назад

    Mungu akubariki kwa huduma nzurii!!!

  • @apocarevelado3931
    @apocarevelado3931 2 года назад +1

    Mrudieni Mungu ……wooooow 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @mgetajohnsimon4442
    @mgetajohnsimon4442 Месяц назад

    Hongera dada kwa nyimbo nzr

  • @samuelmaneno2681
    @samuelmaneno2681 Год назад

    Ubarikiwe saana mutumishi kwa hii kazi nzuri 🌹🌹

  • @anitanapewa2012
    @anitanapewa2012 2 года назад +2

    Amen 🙏
    Bwana akubariki kwakazi mzuri unayo ifanya
    Nabarikiwa na nyimbo hiii 🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙌Jina Labwana lipewe sifa

  • @FadhiliSanga-gq1yy
    @FadhiliSanga-gq1yy Месяц назад

    Mungu akutunze sanaa . Nabarikiwa sanaa na msg zako kwa nyimbo

  • @user-mp1ep1en5q
    @user-mp1ep1en5q 6 месяцев назад

    Ooooh waooo atimae nimeupata wimbo wangu❤❤❤

  • @bahatimuzerwa9357
    @bahatimuzerwa9357 2 года назад

    Mungu akuinue saana juuu utukufu juu ya utukufu upako juu ya upako

  • @richardstephano6441
    @richardstephano6441 Год назад

    Huwa nabarikiwa sana na wimbo huu

  • @claudinehatunga7022
    @claudinehatunga7022 2 года назад

    Mngu wambinguni akubariki sana nabarikiwa nanyimbo de 🙏🙏

  • @izackambale4234
    @izackambale4234 2 года назад +2

    Sifa za kazi hii zimurudilie mungu baba

  • @laurenciamwalongo3668
    @laurenciamwalongo3668 2 года назад +2

    Nilkua naisubr sana

  • @edmondMpawenimana-c1d
    @edmondMpawenimana-c1d 22 дня назад

    Asante mungu agutangurie mbere tena

  • @user-yu5nx4sn4f
    @user-yu5nx4sn4f Год назад

    Wimbo nzuri sana

  • @graceandrew6718
    @graceandrew6718 Год назад

    Mkiniludi nitawaludi chunguzeni njia zenu taifa langu,, this seasons song, ukahaba , mambo ya maushoga umaskini ndo ukaifata inchi.

  • @GraceMtiki
    @GraceMtiki 4 месяца назад

    Ubarikiwe Neema kazi yako ni njema🔥

  • @lydiapaul4459
    @lydiapaul4459 2 года назад +1

    Ameen kubwa Ubarikiwe sans

  • @rechosteven9244
    @rechosteven9244 2 года назад +1

    Barikiwa sana dada neema Mungu akuinue utukufu kwenda utukufu❤ uzidi kumuimbia Mungu hongera kwa ujumbe mzuri Roho mtakatifu azidi kukutumia tena na tena na tena hadi ukamilifu wa dahari Mungu aibariki kazi yko🎶🎧

  • @estermagige4161
    @estermagige4161 2 года назад

    Una sauti nzr sn dada Mungu akubariki kwa kazi nzr

  • @ericsamuel2217
    @ericsamuel2217 Год назад +2

    best song, best video, wimbo.utaishi huu

  • @bienvenumuhindovuruka1183
    @bienvenumuhindovuruka1183 2 года назад +2

    From DRC Butembo ,Nakupenda Sana nyimbo Zako huwa zinatubariki sana katika familia Yangu.Mungu akuongezee Baraka zake.

  • @methodjm
    @methodjm 5 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @benadetasarungi1840
    @benadetasarungi1840 2 года назад

    Yaani wimbo nimeupenda narudia mara nyingi kuusikiliza mmmm

  • @bukuruphilibert8658
    @bukuruphilibert8658 2 года назад

    Be blessed Dada nema karibu Tanzania

  • @sweetthomas3294
    @sweetthomas3294 2 года назад

    Hiilo biti na maneno yaliyojaa roho plus mapozi yako daaah

  • @georgesfortune7646
    @georgesfortune7646 2 месяца назад

    Neema prays for me please i am Haitien i think haitien from congo africa

  • @mashalaebogod8647
    @mashalaebogod8647 2 года назад +1

    Mungu azidi kukuinua Da Nelly

  • @benadetasarungi1840
    @benadetasarungi1840 2 года назад +1

    Napenda huu wimbo Mitsubishi ameuimba ametuli mpaka raha ubarikiwe

  • @mpelwamanyama3972
    @mpelwamanyama3972 9 месяцев назад

    Wow dada unajua umetulia kweny video haki umeitendea haki nyimbo na video pia lakn pia wew ni mrembo ❤upako wa Mungu uzid kujaa zaidi na Zaid na akufunulie maono mapya kila iitwapo Leo👌🥰

  • @alimajalasi6130
    @alimajalasi6130 Год назад

    Nimependa sana wimbo

  • @VictorieuseNgarangara
    @VictorieuseNgarangara 5 месяцев назад

    Ubarikiwe maman Neema, uishi melele

  • @josephinepaul6169
    @josephinepaul6169 Год назад

    Mtumishi umenibariki powerful song

  • @godisonline-m7j
    @godisonline-m7j Год назад

    Saiti nzuri mamaangu❤️🥰

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 года назад

    Amen amen yimbo zuri sana dada Mungu akusaidie sana

  • @GraceBinja-rm9mb
    @GraceBinja-rm9mb Год назад

    Kweliiiiii kabisa mutumishi wangu nisikiya iyiiii manyimbo Yako yote kama nilikuwa na mastress zinaisha zotee mungu aendeleyeee kuku wezesha mukila kitu

  • @Apostlejohnisaji
    @Apostlejohnisaji 2 года назад

    Nakumbuka mengi kupitia wimbo huu

  • @lucasguta1528
    @lucasguta1528 2 года назад

    Amina na hongera kwa nyimbo nzuri

  • @sylviaoum2943
    @sylviaoum2943 2 года назад +1

    Njooni tusemezane hakuna jambo Mungu asiloliweza. Ni muda wa kutubu na kumrudia Mungu. Nabarikiwa sana na nyimbo zako Neema toka miaka hiyooooo na nimefurahi sana kwa hii Remix . Nakupenda sana na endelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu🙏🙏

  • @meshackmahawa5919
    @meshackmahawa5919 11 месяцев назад

    Safi sana dada

  • @esthersifa7995
    @esthersifa7995 2 года назад

    Asante kwa ujumbe nzury mtu wa Mungu

  • @bayomboassani1356
    @bayomboassani1356 2 года назад

    Kazi njema sana dada yetu wa Bukavu

  • @nelsonmassawe6153
    @nelsonmassawe6153 2 года назад +2

    what a nice song, inanibarikigi sana hii nyimbo tangu nlipoisikiaga for the first time nayakubali sana maneno, hako kasebene sasa ,yaan nabarikiwa na lafudhi ya kiswahili ya kongo mupo vizuri sana barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai from Tanzania

    • @estantalimbo5117
      @estantalimbo5117 Год назад

      Ubarikiwe sana mtumishi nyimbo hii inaachilia amani na furaha moyoni mwangu

  • @geofreyngerenge367
    @geofreyngerenge367 2 года назад +1

    Amen Amen dada

  • @ntakwinjajuliette3126
    @ntakwinjajuliette3126 2 года назад

    Mungu akubariki mama Neema

  • @solangeriziki395
    @solangeriziki395 2 года назад

    Amen dada mungu akubariki sana

  • @fexonnmapori4711
    @fexonnmapori4711 2 года назад

    Amen dada mungu akuongonze

  • @StellaMasanyiwa
    @StellaMasanyiwa 10 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na huu wimbo Mungu alikaa na wewe akakufunuriaa neema yakufikisha ujumbe kwa watoto wake, pia nikisikiliza huu wimbo naona wokovu umechukua mwili wangu mzima

  • @rachelematamba7869
    @rachelematamba7869 Год назад

    Amen mutumichi

  • @lupungadispensary4354
    @lupungadispensary4354 Год назад +1

    Mama nakupenda wewe wimbo u anifaliji saana huu

  • @sekelasambo229
    @sekelasambo229 2 года назад

    wimbo mzuri sana, hongera

  • @nlsnachokanlsnachoka5054
    @nlsnachokanlsnachoka5054 28 дней назад

    The Lord God Almighty Lift and use to reach everyone.

  • @ujusimkadama3660
    @ujusimkadama3660 2 года назад

    Barikiwe chombo cha bwana

  • @NellyBagalwa
    @NellyBagalwa 8 месяцев назад

    Iyi nyimbo ina tumaka mina liya saaana

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Год назад

    SAFI SAAANA , SAFI SANA Mtumishi wetu, Nasikiliza zaidi ya mara saba,7 wala sipungukiwi na Baraka za Wimbo huu. Safi sana Dada/ Mjomba. nipo Dodoma

  • @ignasbukombe5903
    @ignasbukombe5903 2 года назад

    Moja kati ya nyimbo zako zinazonibarikigi Mnoo

  • @salvinaseif6151
    @salvinaseif6151 2 года назад

    Wanaorudia rudia Mara nyingi kusikiliza Kama mimi gonga like

  • @fideliemugombozi209
    @fideliemugombozi209 2 года назад +1

    Barikiwa dada.
    Sauti nzuri saana
    From 🇨🇩 Kinshasa