demu wangu alikuwa anataka kwenda police nilimuambia ninakukula Kwa mara ya mwisho unakoenda sitoweza kudate na jambazi nashukuru aligaili na sasa yupo sehemu nzuri sana
Shida ya Zitto anakuwaga Radical pale anapojeruhiwa. Mlikuwa mnpiga selfie na mama yenu mnamshngilia. Ehee imekuwaje?? Usisahau kaka mkubwa, mmehujumu Azimio la Tabora na sera za Ujamaa. Tunawadai. Sijui wewe na wapinzani wenzenu kama CDM, NCCR, CUF n.k mnasimamia nn hasa au ni Mafisiemu wote. Sera zenu ni zile ile (Uwekezaji, Utalii, Soko huria, diplomasia ya Uchumi, nk.) kwa nini msiungane tu?? Napenda sana siasa ila kila nikiwafikiria wapinzani na walioko madarakani natokwa na machozi. Kama nyinyi ACT niliwaamini sana kupitia Azimio la Tabora, kumbe Unafiki tu......😢
Hili jeshi linatakiwa livunjwe na kuundajeshi lingine maana hawa hawafai hawana hofu ya Mungu wameharibu nchi.wametia aibu inchi yetu kimataifa.Mungu atusaidie.
Inahuzunisha sana Eeee Mungu tusaidi hali imekuwa mbaya sana😢😢😢 Naiomba serikali ichue hatua kwa hawa wanaovunja sheria pia wanachafua jeshi la Polisi na kuliondolea sifa ya kulinda laia na na mali zake
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kuliko kujihusisha na siasa za Tanzania ni heri ukasome bible na Quran huenda utapata faida badae ila ukijihusisha na siasa za CCM unajichimbia na kujiwekea njia rahisi ya kwenda motoni
Kijana wa ACT mmoja anakamata kura bandia badala ya kupeleka polisi au tume ya uchaguzi ana mpelekea Zito kabwe mmiliki wa chama hicho na sasa amestaafu maajabu hayo acheni uhunu
Hivi kweli polisi wanapiga ndugu zao bila huruma, Kwa Nini wasifunguliwe mashtaka? Au Kwa sababu wanatumwa na wakubwa wao! Lakini ipo siku mambo yatageuka.
@@atupegemwakahesya ss hatujitambui tunavyopelekwa rais, waziri wa ulinzi na tamisemi wote zanzibar unategemea nini hapo uzalendo utatoka wapi tulivyo wajinga tunauana watanganyika wenyewe kwao ni furaha kwetu kilioo
@@OmariChanja kaka hakuna kitu kibaya kama rushwa, rushwa ni adui wa haki na maendeleo ndio maana mahakama haziwezi kutenda haki tukatae umasikini wa rushwa
Mheshimiwa Zito, Ninyi ndio tunategemea kubadilisha siasa za nchi hii, tumechoka na chama fulani kutawala kwanguvu , sisi sio watumwa, Hawana tofauti na wakoloni , nahisi Tanzania hatujapata uhuru bado
Zito ulibadilika Sana kijana zidi ya miaka 4 hujawahi kuongea kwa uchungu kama hv ukimya wako WA kumsifia mama Kila wakati umetufikisha hapa ss nakuombea rudi kama zamani kukemea
Zitto watukane sana hao takataka maana.hawajielewi na kwa akili zao wanafikiri hicho cheo walicho nacho watadumu nacho milele. Huu uchaguzi umechafuliwa na polisi watu ambao wanatumika ovyo. Hivi kwa akili zao wanafikiriakitawala MPINZANI watanyang'anywa vyeo vyao? Huko ni kukosa akili ndio maana CCM wanawatumia hovyo. UCHAGUZI HUU NI BAINA YA POLISI NA VYAMA VYA UPINZANI.
Ukweli serikali imelidhalilisha taifa letu. Kura bandia zilikuwa kila mtaa nchi nzima.AIBU KWA CCM. Waziri wa Tamisemi amemdjalilisha Mwenyekiti wa CCM taifa.
R.I.P uchaguzi huru😢😢😢kupiga kura ndo basi tena wacha waendelee kupeana madaraka kwa mfumo wao wa kifalme sitapoteza muda wangu kupiga kura mimi na familia yangu yote
@salhaomar5382 tume huru ya uchaguzi inabid iwe huru isihusiane na chama kilichopo madarakan mana tume hii ya sasa ipo chin ya tamisem Yan ipo chin ya serikal ya ccm kwaiyo haki haiwez patikana ya uchaguzi kua huru ikiwa chama kilichopo madarakan ndo wanasimamia iyo tume ya uchaguzi Yan ni sawa na yanga na Simba kucheza mpira wakati refa wa pambano ni kocha wa Simba inamana lazima apendelee tim yake
Hongera Sana Mhe Zitto Kabwe kwa Maneno Mazuri.
Watapigwa na Mungu Mwenyewe.tusubiri
Poleni Sana Wapizani mm Nilishaapa sitajisubua tena kwenda kupiga kura hadi nitakapoona mabadiliko ya katba na tume huru ya uchaguzi .
Hiyo katiba mpya ataleta nani kama Sio ww kwanza kushinikiza
Huna akili
Very powerful speech Mh
Katika kazi sihitaji maishani ni ya upolisi sio kazi hio Bora niuze matunda
Zito kaongea kwauchungu sana daah mungu atusaidie sana
Hawa POLISI na Usalama wa Taifa ,wanapenda siasa Waunde CHAMA nawao Waingie kwenye mchakato.
Umemaliza ❤❤❤❤❤
Usisahau na greenguard wajiunge na hicho chama.
Zito Mungu Akubariki Sana Kweli kabisa jamani MUNGU Akubariki Sana Sana ndugu yangu
Eeee Zitto sasa umeanza kujitambuwa Hawa wanaumiza sana hakika inauma sana
🎉kumeanza kuchangamka
demu wangu alikuwa anataka kwenda police nilimuambia ninakukula Kwa mara ya mwisho unakoenda sitoweza kudate na jambazi nashukuru aligaili na sasa yupo sehemu nzuri sana
😁😁😁😁😁😁😁 mpka nimemeza taksima
Heeeee😂😂😂😂😂
Zitto barikiwa police wemejaa laana
Very strong and powerful speech
Zitto sikutegemea ayaseme haya. Ulisema Mama Samia ataonesha Uongozi mzuri kuliko wa Magufuli leo unalalamika tena?
Alitegemea sio kwamba alikuwa na aslimia 100
Ushasema alitegemea
Shida ya Zitto anakuwaga Radical pale anapojeruhiwa. Mlikuwa mnpiga selfie na mama yenu mnamshngilia. Ehee imekuwaje?? Usisahau kaka mkubwa, mmehujumu Azimio la Tabora na sera za Ujamaa. Tunawadai.
Sijui wewe na wapinzani wenzenu kama CDM, NCCR, CUF n.k mnasimamia nn hasa au ni Mafisiemu wote.
Sera zenu ni zile ile (Uwekezaji, Utalii, Soko huria, diplomasia ya Uchumi, nk.) kwa nini msiungane tu??
Napenda sana siasa ila kila nikiwafikiria wapinzani na walioko madarakani natokwa na machozi. Kama nyinyi ACT niliwaamini sana kupitia Azimio la Tabora, kumbe Unafiki tu......😢
😂😂😂😂😂
Lazma alalamike km kuna tofaut
Album kubwa. Mwogopeni Mungu ninyi wote wenye majukum. Baba mtakatifu tusaidie.
Wakulaumiwa hapa sio police ni Amiri jeshi mkuu, kwasababu kiburi na ujasiri wote huu wanapewa na amiri jeshi mkuu, period
Umesema vizuri sana
Uko sawa
Hata wao wanaakili. Acha kuwatetea aisee. Kama kuna adhabu wote wanastahili
Na polisi kwani na wao hawana akili washenzi wakubwa
Wakulaumiwa na Amiri jeshi mkuu na waziri Mchengelwa Mbona unamung’unya maneno??polisi wanapewa maelekezo tu acha kujizima data kiongozi
Strong speech...
Polisi pigeni kazi kazi yenu nzuri sana Mungu awabariki sana
Hili jeshi linatakiwa livunjwe na kuundajeshi lingine maana hawa hawafai hawana hofu ya Mungu wameharibu nchi.wametia aibu inchi yetu kimataifa.Mungu atusaidie.
Police hawana kosa waijua oda?(oda ni nzito kuliko sheriya).
Wateuliwa makada wa ccm kuwa polisi..hakuna haja ya kusomea,wafunge vyuo vya polisi@@MahamuduAbasi-o1n
Wametumwa n'a Serikali ya CCM
Polisi siyo jeshi wewe
Zito.ulijipendeza.sana.kwa.ccm.na.samia.umeona.ushenzi.wao.njoo.tuunganishe.nguvu.tudai.katiba.mpya
Umeona
Wewe hasira sn mungu akubariki sn
Safi sana mheshimiwa
Pole sana kijana kwa yaliyo kukuta mungu atalipa kwa hili ndo maana mimi sitakitena kupiga kura maana ukiongea ukweli unafungwa au kutekwa kura
Yani ukipewa silaha unaingia front bila kuwaza mambo yanaumizaa haya kabisaa hii nchi imekuwajeeeeeee,,,😢😢😢
Mugopeni mungu kila mtu ni mgeni duniani
IGP acha kazi. Ninaona serikali na polisi wote mnatembea bila nguo. Ni aibu sana.
Hongera sana mheshimiwa
😂😂 tulia dawa ikuingie vzuri si ulisema tukazikwe naye majibu ni hapahapa
Mm nachoamini Mungu yupo na ataipga ccm kpgo ambacho hawataamin,mwaka ujao hautaisha mtaamin maneno yangu,nagonga muhiri haya maneno kwa damu ya yesu
Kaka Fanya mambo vigogo wa ccm wafe wote niko pale nitakupongeza sana
Damu ya yesu ni ya wote...ccm wana iyoiyo damu ya yesu
A TANZANIAN GIRL WHO WAS MARIED IN NIGERIA, EXPLANED HOW SHE BARIED HER LATE HUSSBAND IN THE LUXURIO
ruclips.net/video/Ha_yNED5gLI/видео.html
Sasa damu ya yesu siunywe wewe tutolee ukafiri wako hapa
@@stevenkichereocholla2572towa ukafiri wako hapa ukafiri niujinga
Hao ndo watumishi wa nchi hii
Inahuzunisha sana Eeee Mungu tusaidi hali imekuwa mbaya sana😢😢😢
Naiomba serikali ichue hatua kwa hawa wanaovunja sheria pia wanachafua jeshi la Polisi na kuliondolea sifa ya kulinda laia na na mali zake
Alaf hapo Bado kunamijitu mipumbavu inashabikia ccm.
Bado nchi yetu ipo nyuma sana. Ki elimu tunashabikia ujinga kisa ccm
Zitto mnafiki juzi tu alikuw anamfagilia SSH mnatuchosha
Wapo tu Hao watu
Wenzetu wameshafika na maisha yao wameshawekeza duniani ndo maana hawana habar na viumbe wengine ambao Ni wapita njia hapa duniani😢😢😢😢😢😢
Umeongea vizur sanaaa
Akili inakukaa sawa MH umeongea vzr
Aisee
Mwenye masikio asikie
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Wao
Zito mambo ya polisi huyajui.
Acheni uhuni ACT na CHADEMA mnawaua watoto wetu kipumbavu
Mnaingia katika uchaguzi ambayo sio halali
Mnaingia uchaguzi unaongozwa na Tamisemi Ovyo😅
Imekula kwenu mtasema sana lakini ukweli ni wa mungu
Demokrasia zero
aaah hatari😮😮😂😂
Aibu
Mungu awabanike
Thanks God lao ni ACT maana sisi tumechoka. Ngoja tuone mwisho wa hili saga honestly
Very sad
Daaah ni 😭😭😭
Daaaah
Daaah hii nchi
Mmh.Dunia simama,nishuke.
😂😂😂 Huyu siyo zito ninae mjua!! Vip tena nini kimemkuta
Kuliko kujihusisha na siasa za Tanzania ni heri ukasome bible na Quran huenda utapata faida badae ila ukijihusisha na siasa za CCM unajichimbia na kujiwekea njia rahisi ya kwenda motoni
UKISOMA QURAN FAIDA YAKE NI KUBWA SANA KULIKO KUSHABIKIA CHAMA
Mara zote Mungu huaga hana haraka ya kumuangamiza kila dhalim katika hii dunia
MWENZANGUUU!!¡😮😮😮😮
Au bax nisije nikatekwa nyara bure😮😮😮
Duuuu jamani Mungu atusaidie
Kweli umeongea mkuu
Tena huyo zito alifurahishwa na kifo cha jpmn magufuri saiz anajifanya ana machungu na haki 😅
Mbona malalamiko kama lemaaaa 😅😅😅😅
Polisi walinzi wa raia na mali zao wanashiriki uwizi inspector ni aibu sana
Daaaaahiiii hakuna marefu sio na ncha mwisho wa mambo yote mabaya mwisho umefika kile apandacho mtu Leo atakivuna
Ise
Daaaa mwenyezi wetu sote hakuna kitu kisichokuwa na mwisho!!
AIBUUU!!!😂😂😂😂😂😂
Tanzania akuna ukweli ata ao wanagombea niwale wale siasa bongo upuuzi tu. Kama vipi nchi ipewe jeshi mambo yaende sawa
Mungu akutie nguvu.
Police tumewachokaa
katika siasa nawakubali watu wawili tu,zito na tundu lisu basi
“ Aibu kwa nchi yetu, Mungu atatuacha! Tumrudie Mungu.
Kweli
Kujigawa kwenu vyama vya siasa lazima msote hivi... Unganeni na muache kupokea wanafiki kutoka ccm
Natamani waungane wote halafu watie ngumu pasi tume huru uchanguzi usifanyike
Kijana wa ACT mmoja anakamata kura bandia badala ya kupeleka polisi au tume ya uchaguzi ana mpelekea Zito kabwe mmiliki wa chama hicho na sasa amestaafu maajabu hayo acheni uhunu
Awapelekee Polisi?Unajua unachoongelea.Kwani hizo kura bandia zimeandaliwa na nani.Wewe hujiulizi tu au akili imeganda?
Kinuke tu kama Sudan au Libya
Duh aisee haya
Zito tunaomba uite vyombo vya Habari vyote ueleze upuzi wa hawa Watu Tanzania nzima wajue walivyo Wapuuzi
Ninataka nihamie Marekani huko wananchi wanajielewa, wanajua wampe kura nani sio hapa Tanzania uchaguzi wa kukariri
Inspekta afu ana nyota tatu😁😁
Wape doz!
Mungu atusaidie 2025 kama uchaguzi mdogo hivi je huo mkubwa?
Chama kina mwenyekiti mmoja nchi nzima na huo mwaka 2020 mlisusa sa kura bandit zilikiwa za nn kama sio uongo
Polisi mungu anawaona
Eee mwenyezi mungu tuhurumie sana na uibariki nchi ya Tanzania Kwa mara nyingine tena kwani hatua iliopo Sasa sio rafiki wa nchi hii
❤❤❤
Hivi kweli polisi wanapiga ndugu zao bila huruma, Kwa Nini wasifunguliwe mashtaka? Au Kwa sababu wanatumwa na wakubwa wao! Lakini ipo siku mambo yatageuka.
@@atupegemwakahesya ss hatujitambui tunavyopelekwa rais, waziri wa ulinzi na tamisemi wote zanzibar unategemea nini hapo uzalendo utatoka wapi tulivyo wajinga tunauana watanganyika wenyewe kwao ni furaha kwetu kilioo
Mahakama hizi hizi za CCM au ?
Mahakama za maelekezo kutoka CCM ? Ni kupoteza muda tu!
@@OmariChanja kaka hakuna kitu kibaya kama rushwa, rushwa ni adui wa haki na maendeleo ndio maana mahakama haziwezi kutenda haki tukatae umasikini wa rushwa
Mheshimiwa Zito, Ninyi ndio tunategemea kubadilisha siasa za nchi hii, tumechoka na chama fulani kutawala kwanguvu , sisi sio watumwa, Hawana tofauti na wakoloni , nahisi Tanzania hatujapata uhuru bado
hi nchi bana😂😂😂😂😂😂😂😂 wananchi mataira viongozi mataira serikali mataira nasema wananchi mataira kwasababu hatuwaahughulikii ipasavyo waoga sna
Zito ulibadilika Sana kijana zidi ya miaka 4 hujawahi kuongea kwa uchungu kama hv ukimya wako WA kumsifia mama Kila wakati umetufikisha hapa ss nakuombea rudi kama zamani kukemea
For real Chama changu nipo tayari kuangamiza upumbavu wa CCM kwa Aina yoyote ile
Mm kupiga kura ningumu sana kw Tanzania hii
Zitto watukane sana hao takataka maana.hawajielewi na kwa akili zao wanafikiri hicho cheo walicho nacho watadumu nacho milele. Huu uchaguzi umechafuliwa na polisi watu ambao wanatumika ovyo. Hivi kwa akili zao wanafikiriakitawala MPINZANI watanyang'anywa vyeo vyao? Huko ni kukosa akili ndio maana CCM wanawatumia hovyo. UCHAGUZI HUU NI BAINA YA POLISI NA VYAMA VYA UPINZANI.
🙏🙏🙏🙏
Zito zamani alikua akiwatetea wananchi lakini suku hizi kama hayupo vile
Jaman hawa polisi hawajui ni kodi zetu hizo
Poris wanaishi kwa Kodi majambazi wao kwanini waspigwe
Vp Ile albadili iliyosomwa kabla ya uchaguzi😁😁😁kumbe ilikuwa feki!!!
Ukweli serikali imelidhalilisha taifa letu. Kura bandia zilikuwa kila mtaa nchi nzima.AIBU KWA CCM. Waziri wa Tamisemi amemdjalilisha Mwenyekiti wa CCM taifa.
Ccm wana laana sugu Mungu wa Mbinguni atawapeperusha Muda si Mrefu
Ccm sio watu
Ccm ni mfumo wa nchi wa kuleta maendeleo kwa watu
Hatuna jeshi la polizi bali tuna wahuni wachache waliovamia jesh hili wanalitia aibu kubwa Sana 😥😥😥
Wewe kwaniulikua hujui ulivyompiga kabourou kwakurabandia uliona vzr pole yako
Tunahitaji way out. Na mfahamu hamna people's powe Tanzania.
Usema kweli ni mpenzi wa mungu
R.I.P uchaguzi huru😢😢😢kupiga kura ndo basi tena wacha waendelee kupeana madaraka kwa mfumo wao wa kifalme sitapoteza muda wangu kupiga kura mimi na familia yangu yote
@@FrancisNgomaitara mimi mwenzenu sijaelewa tume huru ya uchaguzi inakuwaje nielewesheni jamani maana nipo nipo tu
@salhaomar5382 tume huru ya uchaguzi inabid iwe huru isihusiane na chama kilichopo madarakan mana tume hii ya sasa ipo chin ya tamisem Yan ipo chin ya serikal ya ccm kwaiyo haki haiwez patikana ya uchaguzi kua huru ikiwa chama kilichopo madarakan ndo wanasimamia iyo tume ya uchaguzi Yan ni sawa na yanga na Simba kucheza mpira wakati refa wa pambano ni kocha wa Simba inamana lazima apendelee tim yake
@@FrancisNgomaitara apo sasa nimeelewa