Zitto Awasha Moto, Awakaanga Polisi "WANASHIRIKI KIPUMBAVU KUNAJISI UCHAGUZI" Aibu Kubwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 569

  • @alfredmwaswenya
    @alfredmwaswenya 2 месяца назад +19

    Hongera Sana Mhe Zitto Kabwe kwa Maneno Mazuri.

  • @ZiggysebahZiggysebah
    @ZiggysebahZiggysebah 2 месяца назад +19

    Watapigwa na Mungu Mwenyewe.tusubiri

  • @DavidBisse
    @DavidBisse 2 месяца назад +32

    Poleni Sana Wapizani mm Nilishaapa sitajisubua tena kwenda kupiga kura hadi nitakapoona mabadiliko ya katba na tume huru ya uchaguzi .

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 месяца назад +17

    Very powerful speech Mh

  • @StevenMwigora-q1w
    @StevenMwigora-q1w 2 месяца назад +7

    Katika kazi sihitaji maishani ni ya upolisi sio kazi hio Bora niuze matunda

  • @KulwaaMarko
    @KulwaaMarko 2 месяца назад +19

    Zito kaongea kwauchungu sana daah mungu atusaidie sana

  • @bonifaceBuliba-c8r
    @bonifaceBuliba-c8r 2 месяца назад +41

    Hawa POLISI na Usalama wa Taifa ,wanapenda siasa Waunde CHAMA nawao Waingie kwenye mchakato.

    • @BreezyMnyama
      @BreezyMnyama 2 месяца назад +4

      Umemaliza ❤❤❤❤❤

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 2 месяца назад

      Usisahau na greenguard wajiunge na hicho chama.

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 месяца назад +21

    Zito Mungu Akubariki Sana Kweli kabisa jamani MUNGU Akubariki Sana Sana ndugu yangu

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 месяца назад +7

    Eeee Zitto sasa umeanza kujitambuwa Hawa wanaumiza sana hakika inauma sana

    • @BintSwai
      @BintSwai 2 месяца назад

      🎉kumeanza kuchangamka

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 2 месяца назад +22

    demu wangu alikuwa anataka kwenda police nilimuambia ninakukula Kwa mara ya mwisho unakoenda sitoweza kudate na jambazi nashukuru aligaili na sasa yupo sehemu nzuri sana

  • @AllyJanatu
    @AllyJanatu 2 месяца назад +17

    Very strong and powerful speech

  • @JAKODAMO
    @JAKODAMO 2 месяца назад +19

    Zitto sikutegemea ayaseme haya. Ulisema Mama Samia ataonesha Uongozi mzuri kuliko wa Magufuli leo unalalamika tena?

    • @ShadrackGoodluck-l9f
      @ShadrackGoodluck-l9f 2 месяца назад +5

      Alitegemea sio kwamba alikuwa na aslimia 100

    • @MAGOLILIGIKUU
      @MAGOLILIGIKUU 2 месяца назад +3

      Ushasema alitegemea

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 2 месяца назад

      Shida ya Zitto anakuwaga Radical pale anapojeruhiwa. Mlikuwa mnpiga selfie na mama yenu mnamshngilia. Ehee imekuwaje?? Usisahau kaka mkubwa, mmehujumu Azimio la Tabora na sera za Ujamaa. Tunawadai.
      Sijui wewe na wapinzani wenzenu kama CDM, NCCR, CUF n.k mnasimamia nn hasa au ni Mafisiemu wote.
      Sera zenu ni zile ile (Uwekezaji, Utalii, Soko huria, diplomasia ya Uchumi, nk.) kwa nini msiungane tu??
      Napenda sana siasa ila kila nikiwafikiria wapinzani na walioko madarakani natokwa na machozi. Kama nyinyi ACT niliwaamini sana kupitia Azimio la Tabora, kumbe Unafiki tu......😢

    • @graceShalaliy
      @graceShalaliy 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @BintSwai
      @BintSwai 2 месяца назад +1

      Lazma alalamike km kuna tofaut

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 2 месяца назад +5

    Album kubwa. Mwogopeni Mungu ninyi wote wenye majukum. Baba mtakatifu tusaidie.

  • @edwardshartiel1088
    @edwardshartiel1088 2 месяца назад +43

    Wakulaumiwa hapa sio police ni Amiri jeshi mkuu, kwasababu kiburi na ujasiri wote huu wanapewa na amiri jeshi mkuu, period

    • @JudeKinyai
      @JudeKinyai 2 месяца назад +4

      Umesema vizuri sana

    • @altonkanjolonga2380
      @altonkanjolonga2380 2 месяца назад +3

      Uko sawa

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 2 месяца назад +2

      Hata wao wanaakili. Acha kuwatetea aisee. Kama kuna adhabu wote wanastahili

    • @w4058
      @w4058 5 дней назад

      Na polisi kwani na wao hawana akili washenzi wakubwa

    • @kashindisimon5265
      @kashindisimon5265 21 час назад

      Wakulaumiwa na Amiri jeshi mkuu na waziri Mchengelwa Mbona unamung’unya maneno??polisi wanapewa maelekezo tu acha kujizima data kiongozi

  • @esterthomas1392
    @esterthomas1392 2 месяца назад +8

    Strong speech...

  • @Emanuellupoja44
    @Emanuellupoja44 Месяц назад

    Polisi pigeni kazi kazi yenu nzuri sana Mungu awabariki sana

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 месяца назад +42

    Hili jeshi linatakiwa livunjwe na kuundajeshi lingine maana hawa hawafai hawana hofu ya Mungu wameharibu nchi.wametia aibu inchi yetu kimataifa.Mungu atusaidie.

    • @MahamuduAbasi-o1n
      @MahamuduAbasi-o1n 2 месяца назад

      Police hawana kosa waijua oda?(oda ni nzito kuliko sheriya).

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 месяца назад

      Wateuliwa makada wa ccm kuwa polisi..hakuna haja ya kusomea,wafunge vyuo vya polisi​@@MahamuduAbasi-o1n

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 2 месяца назад

      Wametumwa n'a Serikali ya CCM

    • @Wardenburg-h5x
      @Wardenburg-h5x Месяц назад

      Polisi siyo jeshi wewe

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 2 месяца назад +22

    Zito.ulijipendeza.sana.kwa.ccm.na.samia.umeona.ushenzi.wao.njoo.tuunganishe.nguvu.tudai.katiba.mpya

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 27 дней назад

    Wewe hasira sn mungu akubariki sn

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw Месяц назад

    Safi sana mheshimiwa

  • @RebekaJaphetp
    @RebekaJaphetp Месяц назад

    Pole sana kijana kwa yaliyo kukuta mungu atalipa kwa hili ndo maana mimi sitakitena kupiga kura maana ukiongea ukweli unafungwa au kutekwa kura

  • @mwajabuHassan-z2r
    @mwajabuHassan-z2r 2 месяца назад +1

    Yani ukipewa silaha unaingia front bila kuwaza mambo yanaumizaa haya kabisaa hii nchi imekuwajeeeeeee,,,😢😢😢

  • @YakoboDeku
    @YakoboDeku 2 месяца назад +8

    Mugopeni mungu kila mtu ni mgeni duniani

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад +7

    IGP acha kazi. Ninaona serikali na polisi wote mnatembea bila nguo. Ni aibu sana.

  • @AyoubMshani
    @AyoubMshani Месяц назад

    Hongera sana mheshimiwa

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 2 месяца назад +3

    😂😂 tulia dawa ikuingie vzuri si ulisema tukazikwe naye majibu ni hapahapa

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 месяца назад +42

    Mm nachoamini Mungu yupo na ataipga ccm kpgo ambacho hawataamin,mwaka ujao hautaisha mtaamin maneno yangu,nagonga muhiri haya maneno kwa damu ya yesu

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 месяца назад +8

      Kaka Fanya mambo vigogo wa ccm wafe wote niko pale nitakupongeza sana

    • @stevenkichereocholla2572
      @stevenkichereocholla2572 2 месяца назад +3

      Damu ya yesu ni ya wote...ccm wana iyoiyo damu ya yesu

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz 2 месяца назад

      A TANZANIAN GIRL WHO WAS MARIED IN NIGERIA, EXPLANED HOW SHE BARIED HER LATE HUSSBAND IN THE LUXURIO
      ruclips.net/video/Ha_yNED5gLI/видео.html

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 2 месяца назад +1

      Sasa damu ya yesu siunywe wewe tutolee ukafiri wako hapa

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 2 месяца назад

      ​@@stevenkichereocholla2572towa ukafiri wako hapa ukafiri niujinga

  • @EmmaMwaituka
    @EmmaMwaituka Месяц назад

    Hao ndo watumishi wa nchi hii

  • @FrankMwakalinga-k9y
    @FrankMwakalinga-k9y 2 месяца назад +5

    Inahuzunisha sana Eeee Mungu tusaidi hali imekuwa mbaya sana😢😢😢
    Naiomba serikali ichue hatua kwa hawa wanaovunja sheria pia wanachafua jeshi la Polisi na kuliondolea sifa ya kulinda laia na na mali zake

  • @michaelmsambusi9287
    @michaelmsambusi9287 2 месяца назад +9

    Alaf hapo Bado kunamijitu mipumbavu inashabikia ccm.

    • @KulwaaMarko
      @KulwaaMarko 2 месяца назад

      Bado nchi yetu ipo nyuma sana. Ki elimu tunashabikia ujinga kisa ccm

    • @Joyce-k9c2m
      @Joyce-k9c2m Месяц назад

      Zitto mnafiki juzi tu alikuw anamfagilia SSH mnatuchosha

    • @nihifadhimpalala639
      @nihifadhimpalala639 Месяц назад

      Wapo tu Hao watu

  • @alfagindo7814
    @alfagindo7814 Месяц назад

    Wenzetu wameshafika na maisha yao wameshawekeza duniani ndo maana hawana habar na viumbe wengine ambao Ni wapita njia hapa duniani😢😢😢😢😢😢

  • @adammseven7085
    @adammseven7085 Месяц назад

    Umeongea vizur sanaaa

  • @RashidLupatu-bg8dr
    @RashidLupatu-bg8dr 2 месяца назад +5

    Akili inakukaa sawa MH umeongea vzr

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Месяц назад

    Aisee

  • @BarakaMwakatobe-m9j
    @BarakaMwakatobe-m9j 2 месяца назад +1

    Mwenye masikio asikie

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 месяца назад +1

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @LabiMponda
    @LabiMponda 2 месяца назад +1

    Wao

  • @lamecktanda8148
    @lamecktanda8148 Месяц назад

    Zito mambo ya polisi huyajui.

  • @Joyce-k9c2m
    @Joyce-k9c2m Месяц назад +1

    Acheni uhuni ACT na CHADEMA mnawaua watoto wetu kipumbavu
    Mnaingia katika uchaguzi ambayo sio halali
    Mnaingia uchaguzi unaongozwa na Tamisemi Ovyo😅

  • @NicksonSanga-eq3xg
    @NicksonSanga-eq3xg Месяц назад

    Imekula kwenu mtasema sana lakini ukweli ni wa mungu

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg 2 месяца назад +1

    Demokrasia zero

  • @PatriceMwita-h8e
    @PatriceMwita-h8e Месяц назад

    aaah hatari😮😮😂😂

  • @TeodoriLussona
    @TeodoriLussona 2 месяца назад

    Aibu

  • @KawaduAmada
    @KawaduAmada Месяц назад

    Mungu awabanike

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 2 месяца назад +1

    Thanks God lao ni ACT maana sisi tumechoka. Ngoja tuone mwisho wa hili saga honestly
    Very sad

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 2 месяца назад +1

    Daaah ni 😭😭😭

  • @GeboPeter-v6g
    @GeboPeter-v6g Месяц назад

    Daaaah

  • @KulwaaMarko
    @KulwaaMarko 2 месяца назад +1

    Daaah hii nchi

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад +5

    Mmh.Dunia simama,nishuke.

  • @fredgonga
    @fredgonga 2 месяца назад +1

    😂😂😂 Huyu siyo zito ninae mjua!! Vip tena nini kimemkuta

  • @Kisigino
    @Kisigino 2 месяца назад +2

    Kuliko kujihusisha na siasa za Tanzania ni heri ukasome bible na Quran huenda utapata faida badae ila ukijihusisha na siasa za CCM unajichimbia na kujiwekea njia rahisi ya kwenda motoni

    • @jumakingambe4323
      @jumakingambe4323 2 месяца назад

      UKISOMA QURAN FAIDA YAKE NI KUBWA SANA KULIKO KUSHABIKIA CHAMA

  • @RamadhanTonyanga
    @RamadhanTonyanga Месяц назад

    Mara zote Mungu huaga hana haraka ya kumuangamiza kila dhalim katika hii dunia

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад +1

    MWENZANGUUU!!¡😮😮😮😮

  • @HuseniSaidi-d5l
    @HuseniSaidi-d5l 2 месяца назад +1

    Au bax nisije nikatekwa nyara bure😮😮😮

  • @mosesnyoninyoro3493
    @mosesnyoninyoro3493 2 месяца назад

    Duuuu jamani Mungu atusaidie

  • @Dicksonnanyaro-id8qj
    @Dicksonnanyaro-id8qj 2 месяца назад +1

    Kweli umeongea mkuu

  • @Emanuellupoja44
    @Emanuellupoja44 Месяц назад

    Tena huyo zito alifurahishwa na kifo cha jpmn magufuri saiz anajifanya ana machungu na haki 😅

  • @InnocentBamboo-my7lr
    @InnocentBamboo-my7lr Месяц назад

    Mbona malalamiko kama lemaaaa 😅😅😅😅

  • @JuliusAchayo
    @JuliusAchayo 2 месяца назад +1

    Polisi walinzi wa raia na mali zao wanashiriki uwizi inspector ni aibu sana

  • @GodfreyMakala
    @GodfreyMakala Месяц назад

    Daaaaahiiii hakuna marefu sio na ncha mwisho wa mambo yote mabaya mwisho umefika kile apandacho mtu Leo atakivuna

  • @nihifadhimpalala639
    @nihifadhimpalala639 Месяц назад

    Ise

  • @frankmaige4378
    @frankmaige4378 2 месяца назад +9

    Daaaa mwenyezi wetu sote hakuna kitu kisichokuwa na mwisho!!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад +2

    AIBUUU!!!😂😂😂😂😂😂

  • @abubakariSeif-s5m
    @abubakariSeif-s5m Месяц назад

    Tanzania akuna ukweli ata ao wanagombea niwale wale siasa bongo upuuzi tu. Kama vipi nchi ipewe jeshi mambo yaende sawa

  • @ErickBandushiEtien
    @ErickBandushiEtien 2 месяца назад +1

    Mungu akutie nguvu.

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 2 месяца назад +1

    Police tumewachokaa

  • @noahbundalla5408
    @noahbundalla5408 Месяц назад

    katika siasa nawakubali watu wawili tu,zito na tundu lisu basi

  • @communitytv590
    @communitytv590 2 месяца назад +3

    “ Aibu kwa nchi yetu, Mungu atatuacha! Tumrudie Mungu.

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 2 месяца назад +5

    Kujigawa kwenu vyama vya siasa lazima msote hivi... Unganeni na muache kupokea wanafiki kutoka ccm

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 месяца назад

      Natamani waungane wote halafu watie ngumu pasi tume huru uchanguzi usifanyike

  • @lamecktanda8148
    @lamecktanda8148 Месяц назад

    Kijana wa ACT mmoja anakamata kura bandia badala ya kupeleka polisi au tume ya uchaguzi ana mpelekea Zito kabwe mmiliki wa chama hicho na sasa amestaafu maajabu hayo acheni uhunu

    • @samsonrusagira5168
      @samsonrusagira5168 6 дней назад

      Awapelekee Polisi?Unajua unachoongelea.Kwani hizo kura bandia zimeandaliwa na nani.Wewe hujiulizi tu au akili imeganda?

  • @SharifAthman
    @SharifAthman 2 месяца назад +1

    Kinuke tu kama Sudan au Libya

  • @ShaibuLibingai
    @ShaibuLibingai 2 месяца назад

    Duh aisee haya

  • @willekessy4658
    @willekessy4658 Месяц назад

    Zito tunaomba uite vyombo vya Habari vyote ueleze upuzi wa hawa Watu Tanzania nzima wajue walivyo Wapuuzi

  • @MathewKasubi
    @MathewKasubi Месяц назад

    Ninataka nihamie Marekani huko wananchi wanajielewa, wanajua wampe kura nani sio hapa Tanzania uchaguzi wa kukariri

  • @SaidMkome-p6s
    @SaidMkome-p6s 2 месяца назад +1

    Inspekta afu ana nyota tatu😁😁

  • @MaxMungure
    @MaxMungure Месяц назад

    Wape doz!

  • @pendobruno111
    @pendobruno111 2 месяца назад +1

    Mungu atusaidie 2025 kama uchaguzi mdogo hivi je huo mkubwa?

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 Месяц назад

    Chama kina mwenyekiti mmoja nchi nzima na huo mwaka 2020 mlisusa sa kura bandit zilikiwa za nn kama sio uongo

  • @MohamedKalatula
    @MohamedKalatula 2 месяца назад

    Polisi mungu anawaona

  • @TITOLAGER
    @TITOLAGER 2 месяца назад +1

    Eee mwenyezi mungu tuhurumie sana na uibariki nchi ya Tanzania Kwa mara nyingine tena kwani hatua iliopo Sasa sio rafiki wa nchi hii

  • @ReahKiyuzi
    @ReahKiyuzi 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 2 месяца назад +4

    Hivi kweli polisi wanapiga ndugu zao bila huruma, Kwa Nini wasifunguliwe mashtaka? Au Kwa sababu wanatumwa na wakubwa wao! Lakini ipo siku mambo yatageuka.

    • @JocelyneMary
      @JocelyneMary 2 месяца назад +1

      @@atupegemwakahesya ss hatujitambui tunavyopelekwa rais, waziri wa ulinzi na tamisemi wote zanzibar unategemea nini hapo uzalendo utatoka wapi tulivyo wajinga tunauana watanganyika wenyewe kwao ni furaha kwetu kilioo

    • @OmariChanja
      @OmariChanja 2 месяца назад +1

      Mahakama hizi hizi za CCM au ?
      Mahakama za maelekezo kutoka CCM ? Ni kupoteza muda tu!

    • @JocelyneMary
      @JocelyneMary 2 месяца назад

      @@OmariChanja kaka hakuna kitu kibaya kama rushwa, rushwa ni adui wa haki na maendeleo ndio maana mahakama haziwezi kutenda haki tukatae umasikini wa rushwa

  • @IvanKambindu
    @IvanKambindu 2 месяца назад

    Mheshimiwa Zito, Ninyi ndio tunategemea kubadilisha siasa za nchi hii, tumechoka na chama fulani kutawala kwanguvu , sisi sio watumwa, Hawana tofauti na wakoloni , nahisi Tanzania hatujapata uhuru bado

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze 2 месяца назад

    hi nchi bana😂😂😂😂😂😂😂😂 wananchi mataira viongozi mataira serikali mataira nasema wananchi mataira kwasababu hatuwaahughulikii ipasavyo waoga sna

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 2 месяца назад

    Zito ulibadilika Sana kijana zidi ya miaka 4 hujawahi kuongea kwa uchungu kama hv ukimya wako WA kumsifia mama Kila wakati umetufikisha hapa ss nakuombea rudi kama zamani kukemea

  • @JibranAljidah-d2q
    @JibranAljidah-d2q 2 месяца назад

    For real Chama changu nipo tayari kuangamiza upumbavu wa CCM kwa Aina yoyote ile

  • @Hubaidajr
    @Hubaidajr Месяц назад

    Mm kupiga kura ningumu sana kw Tanzania hii

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 2 месяца назад

    Zitto watukane sana hao takataka maana.hawajielewi na kwa akili zao wanafikiri hicho cheo walicho nacho watadumu nacho milele. Huu uchaguzi umechafuliwa na polisi watu ambao wanatumika ovyo. Hivi kwa akili zao wanafikiriakitawala MPINZANI watanyang'anywa vyeo vyao? Huko ni kukosa akili ndio maana CCM wanawatumia hovyo. UCHAGUZI HUU NI BAINA YA POLISI NA VYAMA VYA UPINZANI.

  • @MikaLaizri
    @MikaLaizri Месяц назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @masagajosiah
    @masagajosiah 2 месяца назад

    Zito zamani alikua akiwatetea wananchi lakini suku hizi kama hayupo vile

  • @ViolethMazengo-nd8cy
    @ViolethMazengo-nd8cy 2 месяца назад

    Jaman hawa polisi hawajui ni kodi zetu hizo

  • @kamugishamoricekamugishamorice
    @kamugishamoricekamugishamorice 22 дня назад

    Poris wanaishi kwa Kodi majambazi wao kwanini waspigwe

  • @MawazoStaford
    @MawazoStaford 24 дня назад

    Vp Ile albadili iliyosomwa kabla ya uchaguzi😁😁😁kumbe ilikuwa feki!!!

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 2 месяца назад

    Ukweli serikali imelidhalilisha taifa letu. Kura bandia zilikuwa kila mtaa nchi nzima.AIBU KWA CCM. Waziri wa Tamisemi amemdjalilisha Mwenyekiti wa CCM taifa.

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 2 месяца назад +4

    Ccm wana laana sugu Mungu wa Mbinguni atawapeperusha Muda si Mrefu

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 2 месяца назад

    Hatuna jeshi la polizi bali tuna wahuni wachache waliovamia jesh hili wanalitia aibu kubwa Sana 😥😥😥

  • @jaffarikakolwa4182
    @jaffarikakolwa4182 Месяц назад

    Wewe kwaniulikua hujui ulivyompiga kabourou kwakurabandia uliona vzr pole yako

  • @shosengowi5271
    @shosengowi5271 Месяц назад

    Tunahitaji way out. Na mfahamu hamna people's powe Tanzania.

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 2 месяца назад +1

    Usema kweli ni mpenzi wa mungu

  • @FrancisNgomaitara
    @FrancisNgomaitara 2 месяца назад +1

    R.I.P uchaguzi huru😢😢😢kupiga kura ndo basi tena wacha waendelee kupeana madaraka kwa mfumo wao wa kifalme sitapoteza muda wangu kupiga kura mimi na familia yangu yote

    • @salhaomar5382
      @salhaomar5382 2 месяца назад

      @@FrancisNgomaitara mimi mwenzenu sijaelewa tume huru ya uchaguzi inakuwaje nielewesheni jamani maana nipo nipo tu

    • @FrancisNgomaitara
      @FrancisNgomaitara 2 месяца назад

      @salhaomar5382 tume huru ya uchaguzi inabid iwe huru isihusiane na chama kilichopo madarakan mana tume hii ya sasa ipo chin ya tamisem Yan ipo chin ya serikal ya ccm kwaiyo haki haiwez patikana ya uchaguzi kua huru ikiwa chama kilichopo madarakan ndo wanasimamia iyo tume ya uchaguzi Yan ni sawa na yanga na Simba kucheza mpira wakati refa wa pambano ni kocha wa Simba inamana lazima apendelee tim yake

    • @salhaomar5382
      @salhaomar5382 Месяц назад

      @@FrancisNgomaitara apo sasa nimeelewa