WAMWIDUKA BAND - USIZIME MZIKI (LIVE SESSIONS)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 300

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 6 месяцев назад +75

    Kama unaangalia hi ngoma 2024 gonga like hapa

  • @fallyfashionshoppingitalia442
    @fallyfashionshoppingitalia442 Год назад +43

    If you have listened more than twice say I'm here 😅😅😅🎉

  • @braverboytz0
    @braverboytz0 6 месяцев назад +17

    Nawakubali sanaaaaaaaaaaa hawa jamaaaa kama na wewe unawakubali ngonga like hapa

  • @barakajoshy1
    @barakajoshy1 Год назад +40

    Nipeni kontakti za huyu dogo wa vibuyu nina ZAWADI yake kubwa sana 🎉🎉🎉

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Год назад +5

      Huyu dogo anaepiga vibuyu namkubali sana

    • @hassanmasoud8167
      @hassanmasoud8167 5 месяцев назад +2

      Dogo ni moto mwingine huyu

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 Месяц назад

      koma yako hapo hapo dogo.. hivyo sio vibuyu.. NI NYANGA! Punguza udwanzi! Hii ndio inatakiwa iwe bongo flavour sound!

  • @maobundala3376
    @maobundala3376 Год назад +16

    Huyo dogo mwenye hizo tunguli anajua kuzichekecha

  • @2116-n
    @2116-n Год назад +11

    Mnajua mnoooo🔥🔥, dogo wa vibuyu ni konkiii

  • @givenmsigwa9978
    @givenmsigwa9978 Год назад +5

    Hongereni sana kwa mziki mzuri, tangazeni mnakofanya shoo zetu mashabiki na wapenzi wa mziki wenu tuje kupata raha.

  • @JamesHerbertK
    @JamesHerbertK Год назад +29

    The little one with the calabash, he is talented for real, calabash flow is so perfect 🎉

    • @obedoluvinzo8007
      @obedoluvinzo8007 Год назад

      Been looking for you now I thank God I found your work. Good job bros

  • @Zanzibar_4u
    @Zanzibar_4u 11 месяцев назад +4

    Mwenye vibuyu kaupiga mwingj.fundiii😂❤

  • @SuddyJuma-vw7xe
    @SuddyJuma-vw7xe Год назад +2

    Sema uyu mwenye vbuyu ana shda za kutosha na balaa zto

  • @neynicenkembo9513
    @neynicenkembo9513 Год назад +3

    Jaman yule alokuwa anapiga hvo vibuyu mwanzo aliendag wap

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 Год назад +5

    Wako vizuri sana Wana vipaji na wanaendeleza Sanaa na utamaduni wetu uliongiliwa na kuchakazwa vibaya.
    Mpiga manyanga nadhani Peter Yuko vizuri sana na timu mzima ya Wana mwiduka big up sana.wizara ya utamaduni promote these young talented traditional artists, ndio urithi wetu,utamaduni wetu na Mila zetu.

  • @Theemperor7556
    @Theemperor7556 Год назад +10

    The young man with calabash nailed it

  • @Manofthetown
    @Manofthetown Год назад +6

    Wametisha sana big up kwao wanaiwakilisha vizuli mbeya

  • @patrickmwenda7613
    @patrickmwenda7613 Год назад +14

    The Young Man with the calabashes deserve a Grammy awards. Good job guys 👏

  • @ogaraogara8698
    @ogaraogara8698 Год назад +8

    the youngman to my left ahaaa very good

  • @antonymwaniki6248
    @antonymwaniki6248 Год назад +9

    The guy with the calabashes gives his all.I like it.

  • @ombaraopiyo8443
    @ombaraopiyo8443 Год назад +9

    The boy with calabash.. you killed it bro! God bless you 🙏🙏

  • @rolandabdoulkaderbassole7343
    @rolandabdoulkaderbassole7343 Год назад +4

    Un délice de mélodies avec un garçon qui ramène les épices pour harmoniser tout ça, c'est juste magnifique 🤩🤩❤❤🇧🇫🇧🇫🇧🇫

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 6 месяцев назад +4

    Tatizo la hawa vijana hawana watunz wa mashari na mtunzi wa mziki.kama watarekebisha hizo dosar watatisha sana.kwan mtindo wao mzur sana.

  • @M.u.t.a.n.u.99
    @M.u.t.a.n.u.99 Год назад +9

    The instruments Remind us of our rich African culture!❤❤❤much love from Kenya 🇰🇪

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 3 месяца назад

    Hakika mmenikumbusha Nyumban mbeya Jaman🎉🎉🎉🎉 Steve from Tanga 🇹🇿💪❤️❤️👍😂😂

  • @everlylinekuloba1356
    @everlylinekuloba1356 15 дней назад

    Nina swali after hii wimbo nemusii walizima mziki kweli😮😮juuh if they did kweli ni wanyama😢😢

  • @everlylinekuloba1356
    @everlylinekuloba1356 15 дней назад

    Niko hapa 18/1/2025 on Saturday nataka kujuwa kama kweli nemusii walizima muziki😮😮😮

  • @fredrique4311
    @fredrique4311 Год назад +3

    I don't understand the music but I have watched it several times the little boy is super talented

  • @altodeule
    @altodeule 20 дней назад

    Great representation of our motherland Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mugoyababi1425
    @mugoyababi1425 Год назад +11

    This is beautiful
    The young man with gourds is so skilled and makes it seem simple.
    What a sweet rhythm!!!

  • @ChanelDash699
    @ChanelDash699 Год назад +13

    Wow this reminds me of my mother tongue
    Much love from Cameroon 🇨🇲
    One Africa ❤️

  • @emmanuelsanya1574
    @emmanuelsanya1574 Год назад +4

    Yaani m nimetoka tick tock Kuja tu kusikiza hii song😊 you tube

  • @KalebyHennry-ux7fj
    @KalebyHennry-ux7fj Год назад +1

    Huyu dogo wa vibuyu kaniogopesha sanaaaaaaaa kipaji balaaa

  • @waulaya8507
    @waulaya8507 Год назад +1

    Mmetisha sana dogo vibuyu 🔥#kula wire

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138 3 месяца назад

    Hiv hii Ni zaman au Ni aje kwani ameshatoka hospital..Mungu amuwekee mkono wake ..

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 Год назад +4

    Napenda sana hii original...ni kali kuliko ile ya studio kwanza haizoeleki, kila kiitazama naiona mpyaaaaa. This is your official video, watching from Dar es salaam Tanzania.

  • @francissamweli7615
    @francissamweli7615 Год назад +5

    My trible still giant in mbeya love you safwa from my heart❤❤

  • @KDee54
    @KDee54 11 месяцев назад +1

    I’m here for the small guy with the guards. Niiiiice!!!!

  • @ligosihaule5862
    @ligosihaule5862 4 месяца назад

    The young boy with the calabash got the moves and vibes...

  • @mabwetebrown5432
    @mabwetebrown5432 Год назад +74

    Dogo wa vibuyu anatisha Sana 😁💯

  • @nashonSaimon-d2k
    @nashonSaimon-d2k Год назад +1

    Nawakubali kinoma awa jamaaa napenda sana nyimbo zenu

  • @krissk77
    @krissk77 Год назад +5

    Everyone is sharing this in Tiktok ❤

  • @sharonkerubo9030
    @sharonkerubo9030 Год назад

    From Kenya Kericho county, wow wow wow, naipenda, then kijana mdogo huyu, anamaliza Safi Sana.

  • @desirehabiyaremye3610
    @desirehabiyaremye3610 Год назад +2

    Vraiment la culture africaine est magnifique!!! Je suis tellement ému! La mélodie est excellente.

  • @steelwithowen
    @steelwithowen 4 месяца назад

    lots of love from zimbabwe ,mutare ,watsomba,zarika village ❤️

  • @christinezosi3317
    @christinezosi3317 Год назад +4

    Wow what a nice song..you guys are wonderful, well arranged..no sexaphones .no microphones..bt still sound's nice..bravo guys good job.. lots of love from Kenya East Africa,🇰🇪🇰🇪

  • @robertbaya8952
    @robertbaya8952 Месяц назад

    Mwaiduka band have my winning vote

  • @rajabumadu440
    @rajabumadu440 Год назад +5

    This is really African music 🎵🎶 Hope kali wazito....💯💥🙏🏾🙏🏾

  • @yusuphelphace4795
    @yusuphelphace4795 23 дня назад

    Huyo dogo alivyoanza kupiga hizo calabash ametisha sana..🔥

  • @corelsihuom8407
    @corelsihuom8407 Год назад +2

    This is real music.. pure sound of nature ❤❤❤ from Biafra

  • @LitsesoAbdallah-hh6si
    @LitsesoAbdallah-hh6si 9 месяцев назад +1

    huyu dogo wa vibuyu kichwa chake c kizima na hii yake sio zoezi pekee kuna kipaji ndani yake tamu sana mdogo wangu

  • @ThabitiKondo
    @ThabitiKondo 5 месяцев назад

    Nomaa yani ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 3 месяца назад

    Shosho twasafwa mbeya moja mungu awarinde

  • @cheezekiel8964
    @cheezekiel8964 Год назад +2

    Wamwiduka Band we approved you guys from Cameroon 🇨🇲💙🇳🇬..Viva Africa 🌍

  • @abdallahlyimomrwana9134
    @abdallahlyimomrwana9134 5 месяцев назад

    Kudooooos dogo wa vibuyu 🎉🎉🎉🎉

  • @SmS-pR
    @SmS-pR 4 месяца назад

    The guy shaking this 2 things made my day 😂😂😂😂😂😂. ❤❤❤❤

  • @kasumbapeter9796
    @kasumbapeter9796 Год назад +1

    Africa my land ❤❤❤, love you Tanzania.

  • @ndinginamata1083
    @ndinginamata1083 Год назад +6

    Love this from 🇨🇲.
    Didn't understand a single word tho.

    • @ngwalabenedictor8992
      @ngwalabenedictor8992 Год назад +1

      In the simplest terms, the guys are explaining the authorities should not bun/stop them from doing music because their lives depend on Music

    • @floranusgwau7122
      @floranusgwau7122 Год назад

      They send message to NEMC,an agency which deals with Environment conservation in Tanzania 🇹🇿,Last month NEMC amended an environmental law of not allowing night clubs to play music which cause noise to People's residents,so they try to beg NEMC not to burn their music because they depend night live band to the night clubs

  • @krissk77
    @krissk77 Год назад +3

    That boy is good with shakers.....❤

  • @elishasana1828
    @elishasana1828 Год назад +2

    I just fall in love with the instrument and that small boy with calabash is someone els

  • @arthurskings6447
    @arthurskings6447 Год назад +2

    Love from Nairobi , Kenya

  • @fortunemachinya8646
    @fortunemachinya8646 Год назад +15

    I don't understand a single word but the melody , instruments wow, you guys a re great. Much love from 🇿🇼 Zimbabwe

    • @mulovishiyuli
      @mulovishiyuli Год назад +1

      He try to say don't switch off the music.since it's the only form of job that bring bread on the table.

    • @thehararean
      @thehararean Год назад +1

      Mufana uyo ane hosho ❤

    • @weaverbirdanonymous
      @weaverbirdanonymous Год назад +2

      The song is in Swahili, the singer is addressing someone telling them not to switch off/ban music.
      He goes ahead and explains how music is his source of income and as a breadwinner everyone in the family depends on his income through music.
      Its a simple piece of poetry mixed with a sweet African melody that consists of three musical chords.
      The chord progression is also African, 1-4-5-1

    • @justicemunyoro5408
      @justicemunyoro5408 11 месяцев назад

      Vanogona ava . Wehosho uyo

    • @georgeowidi5449
      @georgeowidi5449 5 месяцев назад

      MC don't switch off the music you will kill me. Literally translated

  • @a4afrika
    @a4afrika 4 месяца назад

    Fahari ya Mama Tanzania, The home of Great Kilimanjaro and Serengeti.

  • @davidmndasha2800
    @davidmndasha2800 8 месяцев назад +1

    Namkubali sana dogo wa vibuyu ni noma sana Niko Arusha

  • @demalinhoflokerry5177
    @demalinhoflokerry5177 Год назад +3

    This just not only magnificent but truly brilliant,,,keep up the spirit.....Kazi safi sana☺💪🎉❤❤

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 Год назад +1

    wote mko vizuri sana...ila huyo dogo amenogaaaa....

  • @samasob8233
    @samasob8233 4 месяца назад

    safi sanaaaaaa!! Nyimbo fupi safi zinauza mziki! maximum 3 to dakika tatu na nusu si zaidi!! Hongereni sana

  • @halmejo5907
    @halmejo5907 Год назад +1

    Jamani mnajua mnajua mnajua na tena ❤❤❤dogo walai ananipunga mno🥰🥰🥰🥰

  • @boniphaceisohe-fm6di
    @boniphaceisohe-fm6di Год назад +3

    daaaah dogo wa vibuyu ni shida anamizuka yupo vizur 💯🌟🌟

  • @israeliyanya4072
    @israeliyanya4072 10 месяцев назад

    This melody sinks the spirit of our ancestors. My beautiful continent Africa is full with great talents. I love you from Nigeria.

  • @bonisachubwa1046
    @bonisachubwa1046 Месяц назад

    Huyo dogo ni noma na hiyo chiki chiki

  • @NdakiNdaki-h8i
    @NdakiNdaki-h8i Год назад +1

    Uyu dogo wa vibuyu ni balaaaà

  • @chriskimaro942
    @chriskimaro942 Год назад

    Huyu dogo wa vibuyu ni hatari🔥🔥🔥🔥

  • @smadon5638
    @smadon5638 3 месяца назад

    Ngoma ya asili kiboko👍🏽

  • @arthurskings6447
    @arthurskings6447 Год назад +1

    I'm African from Kenya and I love this. Mnakuja Kenya lini

  • @samuelmbiu5018
    @samuelmbiu5018 Год назад +1

    The young boy with the calabash he is so talented to a point of making look so easier.......magic calabash...the flow

  • @robinchristian3125
    @robinchristian3125 7 месяцев назад

    Balaaa kubwa saaana!! Hilo ndio beat dume asili la Tanzania. Shukran sana.

  • @josephmichael2225
    @josephmichael2225 4 месяца назад

    Huyu dogo kama hamkonae tena katika kikundi hiki mtakuwa mmekosea sana naomba kama kuna namna yeyote ile ifanyike juhudi mmuyaweke mambo sawa arudi hakika dogo anakitu kikubwa sana

  • @princebk_255
    @princebk_255 Год назад

    Hizi live session ya usizime mziki mmetisha kinoma noma #Wamwidukaband sound imetulia saaaana kila ala ya muziki mliyotumia imesikika veeema kabisa

  • @madigasankara6610
    @madigasankara6610 6 месяцев назад

    JE NE SAIS MAIS J ADORE cette chanson. magnifique

  • @Mama_masai_Tz
    @Mama_masai_Tz 6 месяцев назад

    Nzuri sanaaa❤❤

  • @rojasikulola
    @rojasikulola 6 месяцев назад

    Y❤ I Ve been watching it since 2023,when I was @ Dodoma I saw guys they do great,pliiz support this guyz instead of wavalia masuruali chin hukoo,this is something keep it up,msikate tamaa,basatà support them

  • @BerthaKatongo
    @BerthaKatongo 8 месяцев назад

    Am Zambian, I have a boyfriend in Tanzania he teaches me stability am enjoying the song

  • @kassimungemba5830
    @kassimungemba5830 5 месяцев назад +1

    Dogo wa Manyanga kudos kwake

  • @silasmudoga8361
    @silasmudoga8361 Год назад

    The guy playing guitar wihile sitting ,noma sana

  • @ChiracGajama
    @ChiracGajama Год назад

    Waoooo u make me ....❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 Год назад

    Hii imekaa vzr kuliko ile mlio record studio hapana imechuja vifaa hv nd vingine studio

  • @fallyfashionshoppingitalia442
    @fallyfashionshoppingitalia442 Год назад

    This music is number one in fact Grammy awards winner

  • @irenelucy6349
    @irenelucy6349 Год назад

    The calabash boy ume wenza mwanaagu , una cheza kutoka kwa roho ❤nakupeda mdogo wangu

  • @JerryPilo
    @JerryPilo 19 дней назад

    😮dogo wavibuyu kauwa

  • @davidkuloba9517
    @davidkuloba9517 Год назад +3

    The gourds young man, what a catch!!!

    • @MwendaLameki-zx2bm
      @MwendaLameki-zx2bm Год назад

      Mr and Mrs chisoti nicolous. Big up guys, we're together and we love your music. Good job, God bless you all.

  • @patrickbarista2943
    @patrickbarista2943 Год назад +2

    The young man with calabash owns the whole lyrics

  • @sylviaatsali5110
    @sylviaatsali5110 Год назад +1

    Hongora sana nawapenda mmmh

  • @ManueAkachasu
    @ManueAkachasu Год назад +3

    They must release this song such a beautiful song no editing take it as it is😁🔥☑️👏

  • @josephmichael2225
    @josephmichael2225 4 месяца назад

    Dogo wa vibuyu sio mchezo anajua hatari na nusu

  • @foncetec
    @foncetec 21 день назад +2

    Nani anaangalia 2025

  • @AmriHaruna-l4z
    @AmriHaruna-l4z Месяц назад

    Huyo dogo aisee ni talented

  • @geraldjoseph-t2b
    @geraldjoseph-t2b 5 месяцев назад

    Daa dogo anacheza na vibuyu hatar

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 Год назад

    Dogo kama mchawi yani 👋🙌🙌

  • @asiliafp1138
    @asiliafp1138 6 месяцев назад

    Dogo wa manyanga ni kauaaa!

  • @sattakallon3450
    @sattakallon3450 Год назад +1

    The music is sweet from the instrument 🎸 even though I don't understand your language.Much love form Sierra Leone west African

    • @weaverbirdanonymous
      @weaverbirdanonymous Год назад

      The song is in Swahili, the singer is addressing someone telling them not to switch off/ban music.
      He goes ahead and explains how music is his source of income and as a breadwinner everyone in the family depends on his income through music.
      Its a simple piece of poetry mixed with a sweet African melody that consists of three musical chords.
      The chord progression is also African, 1-4-5-1

  • @petercharles8628
    @petercharles8628 Год назад +1

    waw African people with real taste of Natural art love u peter oketch Mwanza

  • @MairaAlly
    @MairaAlly 6 месяцев назад

    Vibuyu ni 🔥 🔥