PACOME ALIVYOKABIDHIWA PESA ZAKE NA ALLY KAMWE ZILIZOCHANGISHWA NA MASHABIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 176

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 8 месяцев назад +60

    Kitu ambacho nimependa ni kuwa pesa ni ndogo sana na imeonyeshwa jinsi gani yanga walivyo wawazi kuhusu kutotaka kujifanya wanaonyesha malaki mbele ya kamera badala yake wameonyesha kile kile kilichochangwa na mashabiki nmependa sana na pia hakuna zawad ndogo hata ongekua shilingi mia,,ahsante sana kwa kuridhika na zawad maana ni kubwa sana ndan ya moyo

  • @lightnessmsangi3148
    @lightnessmsangi3148 8 месяцев назад +59

    Jamaniiii
    Our own Doctor Khalid Aucho na yeye tumfanyie jambo 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 месяцев назад +33

    Manshaallah wananchi wanaupendo na professor pacome

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 8 месяцев назад +32

    Inatia moyo kwa wachezaji wetu mungu ni mwema

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 8 месяцев назад +45

    Wanayanga wenzangu moyo wetu huu uendelee

  • @castorykikoti3096
    @castorykikoti3096 8 месяцев назад +11

    Hii nzuri sana hii Wananchi,,, kidogo chetu ❤

  • @mbwanaibrahim8222
    @mbwanaibrahim8222 8 месяцев назад +14

    Jamaa anaonekana Humble sana

  • @user-yl6uf6zu4d
    @user-yl6uf6zu4d 8 месяцев назад +12

    Pacome nakuombea Sanaa maisha marefu

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 8 месяцев назад +20

    Huyu jamaa wangekua na Mayele yaaan tungeinjoy mpaka basi🎉🎉🎉

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 8 месяцев назад +16

    MUNGU ni mwema safari njema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 8 месяцев назад +23

    Vizuri mashabiki kumjali na kumpa pesa pacome pesa anafanya vizuri. Pacome oyeeeee💚💚🙌🏾

  • @user-lp7uq9ql2p
    @user-lp7uq9ql2p 8 месяцев назад +6

    Merci aussi pacome et tous les joueurs
    Nawakubali sana wanangu wote

  • @makischocho4613
    @makischocho4613 8 месяцев назад +11

    Merci aussi professer Pacome

  • @seifismail6041
    @seifismail6041 8 месяцев назад +5

    Yanga hi raaa adi naisi kisukali🎉🎉🎉 alli kamwe 🎉🎉 pacome

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 8 месяцев назад +6

    Nakubal Xan Mchango Wa Pacome Na Wachezaj Wengine Wanavojituma Kwa Ajili Ya Nembo Ya Yanga Africans 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @brianmugisha2490
    @brianmugisha2490 8 месяцев назад +15

    Lazima nakupende pacome zouzoua naomba like yangu 🎉🎉🎉🎉

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 8 месяцев назад +4

    Alhamndulilah Allah awajaalie afya wachezaji wetu na azidishie uwezo ufaham na upendo kwwnye timu yetu Inshaallah

  • @philipomponeja2457
    @philipomponeja2457 8 месяцев назад +17

    Safi kabisa wananchi😊

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 8 месяцев назад +33

    PACOME ZOUZOUA ✊

  • @solomonsigalah3277
    @solomonsigalah3277 8 месяцев назад +26

    Nakukubal xna,,tunahtaji wachezaj kma Hawa timu inapotaka kufa wao wanaifufua game

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 8 месяцев назад +72

    Hapo sawa sasa, naomba like zangu

  • @zackofficial9840
    @zackofficial9840 8 месяцев назад +13

    Naipenda sana Yanga card ninayo bado jersey ilosainiwa na Pacome tu

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 8 месяцев назад +22

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO💛💚

    • @samuelhuzi
      @samuelhuzi 8 месяцев назад +1

      Asa mwiko nyuma unafanya nin¿

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 8 месяцев назад

      ​@@samuelhuzibado hujasema

  • @SweetDaughter-j5v
    @SweetDaughter-j5v 8 месяцев назад +3

    Daaah mungu ainariki yanga daimaa daimaaaa

  • @yuzomatthias395
    @yuzomatthias395 8 месяцев назад +11

    Nzuriiiiii

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 8 месяцев назад +4

    Hii imeeenda Wananchiiiiii iiiiiiiiiiiih ⚽💚💛🌟💪🔥🔝⚽

  • @aminaabasi2146
    @aminaabasi2146 8 месяцев назад +12

    😂Tunawapenda akii tena

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 8 месяцев назад +3

    Our professor pacome 😊

  • @luxfordrizick
    @luxfordrizick 8 месяцев назад +9

    Over over nawapata kutoka Tokyo Japan❤

    • @iyadelphine6418
      @iyadelphine6418 8 месяцев назад

      Safii sana kumbe yangu mnaelenda mkiwa mbari

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 месяцев назад +35

    Pacome 🎉🎉🎉

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 8 месяцев назад +5

    Pacome you the best player in Africa good man

  • @productionwinderbuly
    @productionwinderbuly 8 месяцев назад +4

    Wachezaji kama hawa tulikuwa tunawasikia tu kwenye timu za ulaya, sasa inshalla tunao. Ama kweli mpira wa bongo umekua.

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 8 месяцев назад +13

    Safi sana pacome

  • @IbrahimOthmanshaban-u3g
    @IbrahimOthmanshaban-u3g 8 месяцев назад +1

    💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚 daim mbel nyuma mwik

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 8 месяцев назад +4

    Pacome ukitaka mke wa pili Mimi nipo🤸🤸🤸

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 8 месяцев назад +4

    Pacomeeeee🔥🔥🔥🔥

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 8 месяцев назад +2

    Uyu mwamba kweli kweli

  • @zetufilm
    @zetufilm 8 месяцев назад +5

    Iyo nimeipenda😂

  • @Smartkambi
    @Smartkambi 8 месяцев назад +3

    Professor

  • @MosesMamaya
    @MosesMamaya 8 месяцев назад +2

    Semaji letuu hilo 🎉🎉❤

  • @MwantumRashidi
    @MwantumRashidi 8 месяцев назад +2

    Pekeang ndo nimeelewa haha😂😂😂😂😂kuna vyenye ametuambia tunakupenda sanaaaa na ahsante kushukuru

  • @SesiliaSamwelkamau
    @SesiliaSamwelkamau 5 месяцев назад

    safi professa♥️👌🇯🇲

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 8 месяцев назад +1

    Asante wananchi kwa upendo,hiyo zawadi ndg itamfaa kijana kwenda fanyia usafi nywele,c haba

    • @SarahWilliam-ik2nc
      @SarahWilliam-ik2nc 4 месяца назад

      Acha dharau umesikia Hana Hela ya kusafixhia nywele.

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 месяцев назад +4

    Yanga 🎉🎉🎉

  • @KingiMakesen-ju9ot
    @KingiMakesen-ju9ot 8 месяцев назад +2

    Hapo sawa msemaj la Caf

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 8 месяцев назад +1

    The tanzanian zidane

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 8 месяцев назад +1

    Hahahahah kibwana ana matatizo nimeipenda hiyo😅😅😅

  • @hassangaucho4084
    @hassangaucho4084 8 месяцев назад +2

    Chama mda umeenda sana asije akatuharibia timu yetu km simba imemshinda atafute pakwenda na sio kwa wananchi ...

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 8 месяцев назад +2

    Mercy Bukù

  • @HatibuMbaruku
    @HatibuMbaruku 3 месяца назад

    daaaar namkubali sana pacome

  • @juniorkaguo8616
    @juniorkaguo8616 8 месяцев назад +4

    Minina 1000 hapa analipataje

  • @elvisnyaranga434
    @elvisnyaranga434 8 месяцев назад +1

    Siku nyingine kma mnamchangia pacomee zouzoua au aucho na diarra mniambie namm nichangie

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤😂😂😂yanga raha sana

  • @gomskitaa4840
    @gomskitaa4840 8 месяцев назад +4

    Pacome mtu hatareee sanaaa

  • @jacklynlemah6654
    @jacklynlemah6654 8 месяцев назад +2

    Cograts Pacomr

  • @allybulula9104
    @allybulula9104 8 месяцев назад +4

    Lazima kibwana awe na tatzo c unajua vijitu vfipi😂😂😂

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 8 месяцев назад +2

    Jamaa mtaalamu

  • @piliMuhammed-so3pg
    @piliMuhammed-so3pg 8 месяцев назад +3

    😂😂😂😂 sio Kwa kuhesabu huko jm

  • @onesmomahenge9025
    @onesmomahenge9025 8 месяцев назад +1

    Very interesting 😂😂😂💚💛💪

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 месяцев назад +1

    Kibwana ana matatizo

  • @user-zx5xj1pl6h
    @user-zx5xj1pl6h 8 месяцев назад

    Nice

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 месяцев назад +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @user-nz6og1cy6v
    @user-nz6og1cy6v 8 месяцев назад +3

    Pacom daima mbele nyuma mwiko

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l 8 месяцев назад

    Chama hatakiwi kwa wananchi aende timu nyingine atatuaribia

  • @musamkonya-ec4rw
    @musamkonya-ec4rw 4 месяца назад

    Mbona jamaa kabonga kiswahili et kibwana ana matatizo

  • @othmanm-pesa9178
    @othmanm-pesa9178 8 месяцев назад +1

    Motooo

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 8 месяцев назад +1

    Daima mbele nyuma nwiko

  • @mariamausi8675
    @mariamausi8675 6 месяцев назад

    Kumbe anafaa kwa matumiz kabxa, mwambien niko single

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 8 месяцев назад +2

    Naomba namba yake😂😂

  • @GafiziSalama
    @GafiziSalama 8 месяцев назад +2

    Courage pacome meilleur joueur

  • @Bwindetz
    @Bwindetz 3 месяца назад

    Wananchiii 💥💥💥💥

  • @EdwardPaul-bd2fx
    @EdwardPaul-bd2fx 8 месяцев назад +1

    Khalid Aucho mpambanaji wetu hebu mfanyieni kitu fulani postivu plz

  • @SadyTz-m8m
    @SadyTz-m8m 8 месяцев назад

    Congratulations brother

  • @user-jv2eq7tm4e
    @user-jv2eq7tm4e 8 месяцев назад

    Nipo kusuni nachungwea Aly kamwe na viongozi tunaomba mkija huku kwaniaba ya mchezo zudi ya namungo mupitie nachingwea tuna zawadi za pacome❤❤❤❤

  • @jamilamkunga234
    @jamilamkunga234 8 месяцев назад

    Pacome🎉🎉

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 4 месяца назад

    Maoni yangu tuu yanga hatutaki wachezaji kama chama tegemezi kibu ni fighter ila itabidi tumuongezee skills na dube wanahitaji more skills ,kuna wafingaji wa mana ndani ya bongo kama tunataka tukuze majina ya wachezaji,ushamba ndio umetuzidi..na mishahara watoto wa jangwani.tukiacha team work ,tuendene na skill's na talent.sina mengi wengine tushacheza mpira.

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 8 месяцев назад +1

    Ni upendo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @deokafwa6908
    @deokafwa6908 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤ Yanga

  • @mcgabby
    @mcgabby 8 месяцев назад +1

    Nipeni na namba ya Yao Yao nifanye muamala na yeye pale Baki ni mutu na nusu😂

  • @jaffarhassan8788
    @jaffarhassan8788 8 месяцев назад +1

    😅😅iyo hamsini nilitoa mm😅😅

  • @Zina-m2v
    @Zina-m2v 8 месяцев назад

    💚💛💚yangaaa

  • @rahmahassan1157
    @rahmahassan1157 8 месяцев назад +2

    Kher kubwa

  • @monjimonjitaiyai
    @monjimonjitaiyai 8 месяцев назад +4

    Ally kamwe iyoo hela hawakuchanga wananchi peke yao walikuepo mpaka mashabiki wa simba

  • @allyselemani9781
    @allyselemani9781 8 месяцев назад

    Unajua Mpira sana

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 8 месяцев назад +2

    Lako mnafanya video

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 8 месяцев назад

    Nice one

  • @Abelandrea-ku1lr
    @Abelandrea-ku1lr 8 месяцев назад

    We love all 3:38 3:43

  • @user-zx5xj1pl6h
    @user-zx5xj1pl6h 8 месяцев назад

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518 8 месяцев назад +1

    Yaan yanga mchezaji hatakama hachezi kwa mapenz basi watafanya mishe mishe ili aipende timu yao is good

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 8 месяцев назад

      Exactly passion is very important

  • @gemandorobo1536
    @gemandorobo1536 8 месяцев назад +1

    👏👏👏👏

  • @andylukass5509
    @andylukass5509 8 месяцев назад

    Professor zouzoua

  • @VictoriaMichael-j4q
    @VictoriaMichael-j4q 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @MaryErnest-pm1qz
    @MaryErnest-pm1qz 8 месяцев назад +1

    Pacome ilov

  • @paulchaula6796
    @paulchaula6796 Месяц назад

    Forgive me pacome I didn't know

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 8 месяцев назад +1

    Yanga bingwa😂😂😂

  • @Izaangonyan
    @Izaangonyan 8 месяцев назад

    Ise nimependa san kuuona uhalisia kiukwer mmefanya pow

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 8 месяцев назад +1

    So funny 🤣

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 8 месяцев назад +1

    Khalidi aucho naye jamami

  • @bahatimkumbo7298
    @bahatimkumbo7298 8 месяцев назад

    😂😂kibwana ana matatizo