Kitu ambacho nimependa ni kuwa pesa ni ndogo sana na imeonyeshwa jinsi gani yanga walivyo wawazi kuhusu kutotaka kujifanya wanaonyesha malaki mbele ya kamera badala yake wameonyesha kile kile kilichochangwa na mashabiki nmependa sana na pia hakuna zawad ndogo hata ongekua shilingi mia,,ahsante sana kwa kuridhika na zawad maana ni kubwa sana ndan ya moyo
Maoni yangu tuu yanga hatutaki wachezaji kama chama tegemezi kibu ni fighter ila itabidi tumuongezee skills na dube wanahitaji more skills ,kuna wafingaji wa mana ndani ya bongo kama tunataka tukuze majina ya wachezaji,ushamba ndio umetuzidi..na mishahara watoto wa jangwani.tukiacha team work ,tuendene na skill's na talent.sina mengi wengine tushacheza mpira.
Kitu ambacho nimependa ni kuwa pesa ni ndogo sana na imeonyeshwa jinsi gani yanga walivyo wawazi kuhusu kutotaka kujifanya wanaonyesha malaki mbele ya kamera badala yake wameonyesha kile kile kilichochangwa na mashabiki nmependa sana na pia hakuna zawad ndogo hata ongekua shilingi mia,,ahsante sana kwa kuridhika na zawad maana ni kubwa sana ndan ya moyo
Hi
Jamaniiii
Our own Doctor Khalid Aucho na yeye tumfanyie jambo 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Haswaa, ana mchango mkubwa sana kwenye timu ni vile haonekan kwa sababu hafungi
❤❤❤❤❤ komaaaa
Kweli kabisaa
Jambo zuri kabisaa
Good idea
Manshaallah wananchi wanaupendo na professor pacome
Inatia moyo kwa wachezaji wetu mungu ni mwema
Wanayanga wenzangu moyo wetu huu uendelee
Hii nzuri sana hii Wananchi,,, kidogo chetu ❤
Jamaa anaonekana Humble sana
Pacome nakuombea Sanaa maisha marefu
Huyu jamaa wangekua na Mayele yaaan tungeinjoy mpaka basi🎉🎉🎉
Kuna watu wangehama nchi
MUNGU ni mwema safari njema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Vizuri mashabiki kumjali na kumpa pesa pacome pesa anafanya vizuri. Pacome oyeeeee💚💚🙌🏾
Merci aussi pacome et tous les joueurs
Nawakubali sana wanangu wote
Merci aussi professer Pacome
Yanga hi raaa adi naisi kisukali🎉🎉🎉 alli kamwe 🎉🎉 pacome
Nakubal Xan Mchango Wa Pacome Na Wachezaj Wengine Wanavojituma Kwa Ajili Ya Nembo Ya Yanga Africans 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Lazima nakupende pacome zouzoua naomba like yangu 🎉🎉🎉🎉
Alhamndulilah Allah awajaalie afya wachezaji wetu na azidishie uwezo ufaham na upendo kwwnye timu yetu Inshaallah
Safi kabisa wananchi😊
PACOME ZOUZOUA ✊
Nakukubal xna,,tunahtaji wachezaj kma Hawa timu inapotaka kufa wao wanaifufua game
Hapo sawa sasa, naomba like zangu
0:00 💕💕💕💕💕💕💕💕 0:00
Hivi likes zinauzwa?
❤
Naipenda sana Yanga card ninayo bado jersey ilosainiwa na Pacome tu
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO💛💚
Asa mwiko nyuma unafanya nin¿
@@samuelhuzibado hujasema
Daaah mungu ainariki yanga daimaa daimaaaa
Nzuriiiiii
Hii imeeenda Wananchiiiiii iiiiiiiiiiiih ⚽💚💛🌟💪🔥🔝⚽
😂Tunawapenda akii tena
Our professor pacome 😊
Over over nawapata kutoka Tokyo Japan❤
Safii sana kumbe yangu mnaelenda mkiwa mbari
Pacome 🎉🎉🎉
Pacome you the best player in Africa good man
Wachezaji kama hawa tulikuwa tunawasikia tu kwenye timu za ulaya, sasa inshalla tunao. Ama kweli mpira wa bongo umekua.
Safi sana pacome
💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚 daim mbel nyuma mwik
Pacome ukitaka mke wa pili Mimi nipo🤸🤸🤸
Pacomeeeee🔥🔥🔥🔥
Uyu mwamba kweli kweli
Iyo nimeipenda😂
Professor
Semaji letuu hilo 🎉🎉❤
Pekeang ndo nimeelewa haha😂😂😂😂😂kuna vyenye ametuambia tunakupenda sanaaaa na ahsante kushukuru
safi professa♥️👌🇯🇲
Asante wananchi kwa upendo,hiyo zawadi ndg itamfaa kijana kwenda fanyia usafi nywele,c haba
Acha dharau umesikia Hana Hela ya kusafixhia nywele.
Yanga 🎉🎉🎉
Hapo sawa msemaj la Caf
The tanzanian zidane
Hahahahah kibwana ana matatizo nimeipenda hiyo😅😅😅
Chama mda umeenda sana asije akatuharibia timu yetu km simba imemshinda atafute pakwenda na sio kwa wananchi ...
Mercy Bukù
daaaar namkubali sana pacome
Minina 1000 hapa analipataje
Siku nyingine kma mnamchangia pacomee zouzoua au aucho na diarra mniambie namm nichangie
❤❤❤😂😂😂yanga raha sana
Pacome mtu hatareee sanaaa
Cograts Pacomr
Lazima kibwana awe na tatzo c unajua vijitu vfipi😂😂😂
Jamaa mtaalamu
😂😂😂😂 sio Kwa kuhesabu huko jm
Very interesting 😂😂😂💚💛💪
Kibwana ana matatizo
Akika hii ndo yanga
Nice
Daima mbele nyuma mwiko
Pacom daima mbele nyuma mwiko
Chama hatakiwi kwa wananchi aende timu nyingine atatuaribia
Mbona jamaa kabonga kiswahili et kibwana ana matatizo
Motooo
Daima mbele nyuma nwiko
Kumbe anafaa kwa matumiz kabxa, mwambien niko single
Naomba namba yake😂😂
Courage pacome meilleur joueur
Wananchiii 💥💥💥💥
Khalid Aucho mpambanaji wetu hebu mfanyieni kitu fulani postivu plz
Congratulations brother
Nipo kusuni nachungwea Aly kamwe na viongozi tunaomba mkija huku kwaniaba ya mchezo zudi ya namungo mupitie nachingwea tuna zawadi za pacome❤❤❤❤
We mmakonde andika vizuri usinitie aibu
Pacome🎉🎉
Maoni yangu tuu yanga hatutaki wachezaji kama chama tegemezi kibu ni fighter ila itabidi tumuongezee skills na dube wanahitaji more skills ,kuna wafingaji wa mana ndani ya bongo kama tunataka tukuze majina ya wachezaji,ushamba ndio umetuzidi..na mishahara watoto wa jangwani.tukiacha team work ,tuendene na skill's na talent.sina mengi wengine tushacheza mpira.
Ni upendo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
❤❤❤❤ Yanga
Nipeni na namba ya Yao Yao nifanye muamala na yeye pale Baki ni mutu na nusu😂
😅😅iyo hamsini nilitoa mm😅😅
💚💛💚yangaaa
Kher kubwa
Ally kamwe iyoo hela hawakuchanga wananchi peke yao walikuepo mpaka mashabiki wa simba
Walitumwa 😂😂
Kwahiyo😅😅😅
Unajua Mpira sana
Lako mnafanya video
Nice one
We love all 3:38 3:43
❤
Yaan yanga mchezaji hatakama hachezi kwa mapenz basi watafanya mishe mishe ili aipende timu yao is good
Exactly passion is very important
👏👏👏👏
Professor zouzoua
🎉🎉🎉
Pacome ilov
Forgive me pacome I didn't know
❤❤❤
Yanga bingwa😂😂😂
Ise nimependa san kuuona uhalisia kiukwer mmefanya pow
So funny 🤣
Khalidi aucho naye jamami
😂😂kibwana ana matatizo