"NITAZUNGUKA TANZANIA NZIMA KUFICHUA MAOVU YA CHADEMA NA MBOWE" MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MENGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024

Комментарии • 9

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 2 дня назад

    Msigwa. Ni usaliti tu. Kwani huko ulikoenda kuna malaika tu?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 дня назад

    Ameanza kusifiasifia tayari umekuwa msukule wa fisiemu kwa hiyo unafurahia wananchi tuuzwe mpka figo

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 2 дня назад +1

    Wote hawa wana siasa wa upinzani ni CCM B na wanakula pasa ya CCM hata mwenyekitj alipewa milioni 150.

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 2 дня назад

    Musigwa. Kudakom

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 2 дня назад

    Usidhan watanzania bado ni wajinga kwamba hawaelewi

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l 2 дня назад

    Hata jina la mchungaji aache kabisa msigwa umepotea wananchi siyo wajinga Msaliti siku zote hasikilizwi.

  • @michaelchombo8956
    @michaelchombo8956 2 дня назад

    Msigwa unakula matapiishi yako