KWANI KUNA SHIDO TUKIJIKUMBUSHA UFUNDI WA PROFESA PACOME ALIVYOWALAZA NA VIATU WAPINZANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 35

  • @bakarimohammed9851
    @bakarimohammed9851 2 месяца назад +12

    M/ Mungu amlinde pacome na majeraha🙏🙏hakika yajayo yanafuraisha 🤝🤝💪💪

  • @user-lt1oy4gc1o
    @user-lt1oy4gc1o 2 месяца назад +4

    Pacome Pedoh Zouzou 🔥🔥😍

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 месяца назад +7

    Hakika ni Raha sana kupata mchezaji wa aina hii na ni majaliwa yake mungu

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 2 месяца назад +8

    Jamaa Anajua Kuuchezea Mpila asiombe Awe Na chama Na dube .😅😅😅

  • @MaulidRajab
    @MaulidRajab 2 месяца назад +3

    Player of the year 🙏🙏

  • @mwansasujonny3536
    @mwansasujonny3536 2 месяца назад +4

    Huyu mtu inabidi tuingie kwenye maombi ya kufunga... Maana huyu mtu kucheza bongo ni Neema za Mungu tu..

  • @user-lc3rv4oz7r
    @user-lc3rv4oz7r 2 месяца назад +1

    Amakwel kunawatu wanavipaji apo unaambiwa kaonyesha kiwango asilimia 50% tu MUNGU Amlinde ampe afya na uzima tupate burudan next season 🙏🏻

  • @anetboaz8783
    @anetboaz8783 2 месяца назад +2

    Skillful

  • @joshuakilyenyi2957
    @joshuakilyenyi2957 2 месяца назад +1

    El Professor Pacome zizzou wa Ivory Coast. Mtu mbad

  • @boscombuba6824
    @boscombuba6824 2 месяца назад +1

    Raha Sana Kwa Burudani km hizi

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 2 месяца назад +2

    Akili nyingi sana

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn 2 месяца назад +2

    Noma xaaaaana

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 месяца назад +1

    Huyu wamemsahau vilab vikubwa, bora iwe hivyohivyo

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ bravoooo

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад +1

    Saf sanaaaa

  • @fadhilimrisho7804
    @fadhilimrisho7804 2 месяца назад

    Jamaa anajua hata azizi ki akiondoka no problem

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 2 месяца назад

    Mwamba huyu hapa 🎉🎉🎉

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 месяца назад

    Hakika yajayo yanafurahisha -- na hasa hili la C P A --- " Nadhani itakuwa ni busara kwa baadhi ya timu kutopeleka timu uwanjani --- naisubiri kwa hamu Kariakoo derby "

  • @revocatusmakwaya7478
    @revocatusmakwaya7478 2 месяца назад

    Anacheza mpira soft wa bila shida tukilud tunamweka kwa zidane na iniesta mess Neymar gaucho hao ndio models wake

  • @OmaryKyaka-zd2gt
    @OmaryKyaka-zd2gt 2 месяца назад +2

    Unajua sana

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад

    😂😂😂kipa wa waarabu na waarabu Kwa ujumla nikam hii highlight ya kwamkapa awataki at kusikia arufu ya hii game

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 2 месяца назад

    Huyu jamaa anajuwa mpira kwakweli

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 2 месяца назад

    Lakini hii pia post ni inatutengenezea attension kuwa hata Aziz akiondoka hamna shida..

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 2 месяца назад

    Hakuna Shido

  • @mwanahamisijuma7270
    @mwanahamisijuma7270 2 месяца назад

    Hakuna baya acha tu enjoy

  • @yussufritzy7684
    @yussufritzy7684 2 месяца назад

    Hhahaha hakuno

  • @soldier-px8vw
    @soldier-px8vw Месяц назад

    😂

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa huwa anapatwa hasiara akiona jersey nyekundu.

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 2 месяца назад

    😅😅k

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 2 месяца назад

    Hakuna shidoo