KISA RAIS CAF KUKUBALI GOLI, KAMWE AOMBA KURUDIANA NA MAMELODI /ATAMBA PAREDI KUWEKWA MSIMBAZI SAA 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 41

  • @user-ot2re9kh6k
    @user-ot2re9kh6k 23 дня назад +6

    Ndio msemaji Lakini tunahofu uwanja haututoshi maana tuko wengi mno Bora wengine tukie.majumbani kuepusha ajali

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 23 дня назад +3

    Amekili mwenyewe kutudhumu Alhamdullah

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 23 дня назад +3

    It was a clear goal

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 23 дня назад +2

    Alipe fidia ya B.4

  • @MohamedAlly-sn2hf
    @MohamedAlly-sn2hf 23 дня назад

    Ilipendeza zaidi

  • @EliakimuBura
    @EliakimuBura 23 дня назад +2

    Leo nd wanakubli goli waache unafkiiii

  • @JuliusfourG
    @JuliusfourG 22 дня назад

    Balaa
    ❤❤❤❤❤❤

  • @mutlemaloyar1700
    @mutlemaloyar1700 23 дня назад

    Hela aliyopewa Mamerodi kwa kuingia nusu fainali apewe Yanga kama fidia-kama kifuta machozi.

  • @MakobaAugostino
    @MakobaAugostino 23 дня назад

    Jaman yanga itengwe🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 23 дня назад +1

    Good for nothing hata akiesema lilikua goal ndio nn

  • @JosephNombo-dc3jp
    @JosephNombo-dc3jp 23 дня назад +4

    Kitenge jau😅

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 22 дня назад

    Ameulizwa acngeweza kukanusha ingemchafua..

  • @robertonaftal9026
    @robertonaftal9026 22 дня назад

    Leo Man u vs man city hatuji apo uwanjani mkali

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 23 дня назад +1

    Mtaishia kujadili tu

  • @JaySufian-bj4ft
    @JaySufian-bj4ft 23 дня назад

    Ndo lilikuwa Goli Sasa inasaidia nn

  • @sadih5333
    @sadih5333 23 дня назад

    Lazima mpite msimbazi mkate viuno na kubong^oa kwa wanaume

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 22 дня назад

      Acha uoga kututisha, labda uxtoke ndani utajua hujui

  • @ignatiomatimba3554
    @ignatiomatimba3554 23 дня назад

    Msijidanganye hakuna kitu kama hicho mechi ndo imeisha hiyo

    • @ErickJeremiah-ww3ez
      @ErickJeremiah-ww3ez 23 дня назад

      Ndo maana wanajiandaa na sherehe za ubingwa na maandalizi ya final za CRDB braza 😂, kwani musepe wamemuita au kaja mwenyew

  • @adamkomba9611
    @adamkomba9611 23 дня назад

    Leteni jezi za ubingwa mikoani hasa huku Tabora

  • @mussandimbo9920
    @mussandimbo9920 22 дня назад

    Acha ujinga msubiri majibu yenu ya malalamiko bado mnaota eti lile ni goli mbona humwambii yale magoli yenu ya mchongo ya ligi kuu

    • @DativaValerian
      @DativaValerian 20 дней назад

      Unatukubali unatofollow na ku comment sasa like hapo juu mbuz ww

  • @evodiuskalugila352
    @evodiuskalugila352 23 дня назад

    Mpaka kupka rang godown

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 23 дня назад

    Kweli wewe bwege

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 23 дня назад

    Huyo motsepe mpumbavu

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 23 дня назад

    Huyu rais anataka kuleta vurugu tu hana lolote

  • @AthanasMasawe
    @AthanasMasawe 23 дня назад

    Kitenge mkudaa wafanya biashara gani haahahahahahh

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 23 дня назад +1

    Hilo limeisha siyo muhimu kwa sasa, yazungumzwe mengine yenye uhumuimu kwa club yetu.

  • @michaelmsambusi9287
    @michaelmsambusi9287 23 дня назад +3

    Huyu raisi mpumbavu Leo anasema inasahidia nini?

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 23 дня назад +1

      Hata angesema wakati ule isingesaidia chochote. Mchezo wa mpira wa mguu Una sheria zake na haziingiliwi na mamlaka yeyote !

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 23 дня назад +2

    Mrudiane na Nan?labda namungo

  • @witnessgeorge1976
    @witnessgeorge1976 22 дня назад

    Tunaogopa kufa😂😂😂😂 bora ungeweka kiingilio tungekuja,, naipenda yanga kuriko mahusiano yangu❤❤❤ lakn kwa buku....😂😂😂 Acha nibaki nyumban mtatuwakilisha🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ik2fg6iu2m
    @user-ik2fg6iu2m 23 дня назад

    Izo ndoto zenu kitenge za kurejena sahau na ushamba wenu uo