Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako
HTML-код
- Опубликовано: 25 сен 2022
- Kama umejifunza vitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo:
Soma eBooks Zangu: Whatsapp 0745 252 670
Jiunge na Kozi Zangu : Whatapp 0762 312 117
Book Mafunzo / Ushauri Wangu: Piga 0756 094 875
See You At The Top
Joel Nanauka.
Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii:
Facebook: / jnanauka
Instagram: / joelnanauka_
RUclips: ruclips.net/channel/UCned...
#Timizamalengoyako #Seeyouatthetop #JoelNanauka #Nanauka
Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
Asante nimejufunza kwa mafundisho
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
asante sana nashukuru
Nashukuru sana mungu akubarik sana
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
Thanks my friend for your advice God bless you
Nimekupenda bule
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
MUNGU akubariki Sana our mentor..
Asante sana kaka.
Asante sana baba Joel nanauka
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Be blessed brother umenipa funzo zurii
Asante sana nimepata funzo
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
Shukrani sana Kwa somo zuri!
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
Asante kwa somo nimejifunza kitu
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
Hakika
Hongera kaka tunajivunia kwa class zako
🙏🙏
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
Asante mwalimu
Mungu Akubariki Sana
Mungu akubariki sana
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
Asante sana🤔
ahsante sana mwalimu
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
Nashukuru umenifungua.
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
Asante sana Kaka
Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia
Asante Sana kaka
Asante Bro kwa hii elimu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
Asante Sana umenisaidi mno
Nashukuru naendelea kujifunza
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
Asante Sana Kaka najifuza kwako
More thanks
ubarikiwe sana
Ahsante sana kk Joel
Kaka Asante sana kwaushauli
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
Anhsante san maneno yako yamenisaidia
Asante kaka
Asante nanauka
Asante sana kaka joel
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
Ubarikiwe sana
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa
Asante kwa ushauri mzuri
Ahsante sana kaka joel
Be blessed
Barikiwa sana kaka
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
Thank you
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
Pmk
Boss amekuona
Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja
Na tena tumia fixed account
Barikiwa sana
.mungu akubariki babaangu
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
Uko juu sana Kaka
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana
Ahsante
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
Ahsante nitaitumia vzr akauti yangu yabenk
Asantee 🙏🙏🙏🙏
Thank you bro
Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba
Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu
Asante brother
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako
Naendelea kujifunza Asante kaka
Nakusikiliza vizuri
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
Mungu akubariki kaka Joel
Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba