Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 сен 2022
  • Kama umejifunza vitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo:
    Soma eBooks Zangu: Whatsapp 0745 252 670
    Jiunge na Kozi Zangu : Whatapp 0762 312 117
    Book Mafunzo / Ushauri Wangu: Piga 0756 094 875
    See You At The Top
    Joel Nanauka.
    Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii:
    Facebook: / jnanauka
    Instagram: / joelnanauka_
    RUclips: ruclips.net/channel/UCned...
    #Timizamalengoyako #Seeyouatthetop #JoelNanauka #Nanauka

Комментарии • 306

  • @elizabethmwaka2921
    @elizabethmwaka2921 Год назад +25

    Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother

  • @mariamnestory5543
    @mariamnestory5543 Месяц назад +3

    Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 17 дней назад +2

    asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia

  • @halimayahaya5558
    @halimayahaya5558 Месяц назад +2

    Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Год назад +6

    Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖

  • @user-fy4tl2te2r
    @user-fy4tl2te2r 3 месяца назад

    Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye9368 27 дней назад

    Kazi njema zote nzuri ubarikiwe

  • @LadouceKulimushi-qb5oe
    @LadouceKulimushi-qb5oe 26 дней назад

    Asante nimejufunza kwa mafundisho

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Год назад +6

    Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Год назад

    Be blessed nakukubali sana ndugu shukran

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Год назад +2

    Shukran sana kiongozi kwa Elimu

  • @HeneryKhamis
    @HeneryKhamis 29 дней назад

    asante sana nashukuru

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula1030 10 месяцев назад

    Nashukuru sana mungu akubarik sana

  • @joycekyando5321
    @joycekyando5321 Год назад

    Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa

  • @user-qe3lo3rn8p
    @user-qe3lo3rn8p 9 месяцев назад

    Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza

  • @MakrinaPius
    @MakrinaPius 2 месяца назад

    Asante sana na ubatikewe🙏🏼

  • @user-oi8cn7hw8y
    @user-oi8cn7hw8y 10 месяцев назад

    Thanks my friend for your advice God bless you

  • @CHIKUMARTIN-oc5ic
    @CHIKUMARTIN-oc5ic 23 дня назад

    Nimekupenda bule

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 8 месяцев назад

    Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana

  • @user-re2jl5rn4h
    @user-re2jl5rn4h 9 месяцев назад

    Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Год назад

    Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj

  • @priscashairock2679
    @priscashairock2679 4 месяца назад

    MUNGU akubariki Sana our mentor..

  • @johnmaduhu9435
    @johnmaduhu9435 Год назад +2

    Asante sana kaka.

  • @etiennenebus4087
    @etiennenebus4087 Год назад +2

    Asante sana baba Joel nanauka

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 Год назад

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @GodlistenMassawe-nf8is
    @GodlistenMassawe-nf8is 5 дней назад

    Be blessed brother umenipa funzo zurii

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack 2 месяца назад

    Asante sana nimepata funzo

  • @shabanabdallah376
    @shabanabdallah376 6 месяцев назад

    Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.

  • @juliusluponde6628
    @juliusluponde6628 Год назад

    Shukrani sana Kwa somo zuri!

  • @jamesngasi7252
    @jamesngasi7252 Год назад

    Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 11 месяцев назад

    Asante kwa somo nimejifunza kitu

  • @AbduMadandi-my6dc
    @AbduMadandi-my6dc Год назад

    Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 Год назад +27

    Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️

  • @user-qz3od7go7h
    @user-qz3od7go7h 10 месяцев назад

    Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako

  • @kelvooonowbert7427
    @kelvooonowbert7427 Год назад

    Asante mwalimu

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq Год назад

    Mungu Akubariki Sana

  • @hellenmwasalwiba6555
    @hellenmwasalwiba6555 Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @fridalifa7575
    @fridalifa7575 Год назад +1

    Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏

  • @user-bp7pr7le3g
    @user-bp7pr7le3g Месяц назад

    Asante sana🤔

  • @harunaselupanga2146
    @harunaselupanga2146 Год назад

    ahsante sana mwalimu

  • @user-um6oj8ci9i
    @user-um6oj8ci9i 21 час назад

    Asante tuku pamoja na darasa lako❤

  • @user-nn4nx2rp3t
    @user-nn4nx2rp3t 10 месяцев назад

    Nashukuru umenifungua.

  • @MwasiMhango
    @MwasiMhango Месяц назад

    Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Год назад

    Asante sana Kaka

  • @trustmhagama2375
    @trustmhagama2375 Год назад

    Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia

  • @barakajustine1145
    @barakajustine1145 Год назад

    Asante Sana kaka

  • @daviddeus3443
    @daviddeus3443 Год назад

    Asante Bro kwa hii elimu

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh Месяц назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq Год назад

    Asante Sana umenisaidi mno

  • @AsteriaKomba
    @AsteriaKomba 2 месяца назад

    Nashukuru naendelea kujifunza

  • @lebahatikeiya8666
    @lebahatikeiya8666 Год назад

    Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu

  • @bernadette6266
    @bernadette6266 Год назад

    Asante Sana Kaka najifuza kwako

  • @OscarKalinga-zt3bk
    @OscarKalinga-zt3bk 2 месяца назад

    More thanks

  • @adamhamis5560
    @adamhamis5560 4 месяца назад

    ubarikiwe sana

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 Год назад

    Ahsante sana kk Joel

  • @MakutaChrispro-lk8gj
    @MakutaChrispro-lk8gj 2 месяца назад

    Kaka Asante sana kwaushauli

  • @patelnay4124
    @patelnay4124 8 месяцев назад +2

    Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼

  • @abimelekiayubu3691
    @abimelekiayubu3691 6 месяцев назад

    Anhsante san maneno yako yamenisaidia

  • @user-yx8pq5nm4y
    @user-yx8pq5nm4y 3 месяца назад

    Asante kaka

  • @lastborntz520
    @lastborntz520 Год назад +1

    Asante nanauka

  • @mariampeter5064
    @mariampeter5064 Год назад

    Asante sana kaka joel

  • @user-vo5df3nu8o
    @user-vo5df3nu8o 8 месяцев назад

    Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.

  • @lightnessmachua6587
    @lightnessmachua6587 Год назад +2

    Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.

  • @estherjoseph4120
    @estherjoseph4120 Год назад

    Ubarikiwe sana

  • @Sibazurin
    @Sibazurin 8 месяцев назад

    Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka9362 3 месяца назад +1

    Upo vizur sn umenijenga sn nanauka

  • @magemwaipaja8650
    @magemwaipaja8650 Год назад

    Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa
    Asante kwa ushauri mzuri

  • @larkmarsh70
    @larkmarsh70 9 дней назад

    Ahsante sana kaka joel

  • @NeboSaulo
    @NeboSaulo 8 дней назад

    Be blessed

  • @user-en6dk7et2x
    @user-en6dk7et2x 2 месяца назад

    Barikiwa sana kaka

  • @allyjuma9365
    @allyjuma9365 Год назад

    Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi

  • @aboymoon9972
    @aboymoon9972 9 месяцев назад

    Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏

  • @thejames2649
    @thejames2649 Год назад

    Thank you

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 11 месяцев назад

    Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante

  • @LilianfelixFelix-wg3wh
    @LilianfelixFelix-wg3wh 6 месяцев назад

    Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa

  • @user-mk7qe1bt8r
    @user-mk7qe1bt8r 7 месяцев назад

    Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 Год назад +70

    Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌

  • @user-ef2om7ep1z
    @user-ef2om7ep1z 8 месяцев назад

    Barikiwa sana

  • @rehemaramadhani8938
    @rehemaramadhani8938 9 месяцев назад

    .mungu akubariki babaangu

  • @christopherndelwa2
    @christopherndelwa2 8 месяцев назад

    nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Год назад +1

    Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 Год назад

    Uko juu sana Kaka

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 Год назад

    Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi

  • @user-vd5fe4ve6l
    @user-vd5fe4ve6l 8 месяцев назад

    Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 10 месяцев назад

    Ahsante

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea7948 3 месяца назад

    Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia

  • @martinenkingwa1757
    @martinenkingwa1757 Год назад +2

    Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.

  • @MirajiShekigendar
    @MirajiShekigendar Месяц назад

    Ahsante nitaitumia vzr akauti yangu yabenk

  • @babybhalo8723
    @babybhalo8723 Год назад +1

    Asantee 🙏🙏🙏🙏

  • @paulouma3958
    @paulouma3958 Год назад

    Thank you bro

  • @onesmomnkondya1725
    @onesmomnkondya1725 Год назад

    Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Год назад

    Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Год назад

    Asante brother

  • @yahyahadji21
    @yahyahadji21 Год назад +8

    Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani

  • @user-mu9dy4ml5p
    @user-mu9dy4ml5p 6 месяцев назад

    Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako

  • @AsteriaKomba
    @AsteriaKomba 2 месяца назад

    Naendelea kujifunza Asante kaka

  • @rashidmashaka1264
    @rashidmashaka1264 Год назад

    Nakusikiliza vizuri

  • @tinoh7_
    @tinoh7_ 9 месяцев назад

    Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you

  • @user-bw6lq4uv5u
    @user-bw6lq4uv5u 6 месяцев назад

    Mungu akubariki kaka Joel

  • @user-di8ox6xz1j
    @user-di8ox6xz1j 2 месяца назад

    Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba