APEWA LAKI 3 YA CHAI KWA SABABU HII...... GeorDavie TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Комментарии • 53

  • @isaacsylvester4414
    @isaacsylvester4414 2 года назад +1

    Baba nabii mkuu naitaji maombi yako , niko mosh nachangamoto ya kimapepo kwasasa ni muda wa miaka kumi nateseka sana nakupitia hiyo mapepo yananifanya kila giza linapoingia mm sina amani wala furaha yamaisha yangu naishi maisha magum sana nahitaji kutoka kwenye kifungo hiki kwa jina la yesu naomba msaada hata wakufika kanisani kwako naiman ntapona kabisa , , , Ee mungu nisaidie

  • @paulwilo5458
    @paulwilo5458 2 года назад +1

    Jambo Nabii Nini Niko Congo nakufataka sana na kupenda kabisa ila naomba msaada wamaombi Nate sua sana maisha yangu ime fungwa sana nawana damu naishi maisha ya umasikini japo mimi natafuta maisha sana na kusii Nabii nisaidiye naona miujiza ambazo Mungu wako anatendaka Nami Nina Imani ulisema neno tu maisha yangu itafunguliwa asante

  • @enizetv5196
    @enizetv5196 2 года назад

    Àsante sana mdada na hongera sana kwako Dadaa mwanamke mwezangu

  • @katotokazuri7412
    @katotokazuri7412 2 года назад +1

    Mwenyezi Mungu akulinde akutunze na kukuzidishia upendo na moyo wa huruma kama hivyo baba baba

  • @Anethelia
    @Anethelia 14 дней назад

    Baba nimeona mungu anavo zidikutendeawatu baba naomba kusapotiwa100000 kwaajiri ya biashara

  • @passykonga5714
    @passykonga5714 2 года назад

    Napenda sana nabii mukuu kwa matendoyake mazuri namaubiri namuliya afike spa Congo mimi ni poba ramazani paScale napatikana ville de goma napenda nimue.

  • @joycesankadamiano3935
    @joycesankadamiano3935 2 года назад +2

    Nice dada umefanya vema sana

  • @maryphili2181
    @maryphili2181 2 года назад

    Ameen ameen baba nataman nifike ngurumo ya upako nitapona kwa upako wa wako baba nip singing

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 3 года назад +2

    Hongera kwa upendo mkuu Askofu Ngurumo ya upako. Mungu wa Mbingini akubariki sana, akapaimalishe palipopungia na akujalie mwisho mwema.

  • @kizasebaziga8135
    @kizasebaziga8135 2 года назад +1

    Pole sana kwa watu wenye wanamusikiliza

  • @muchirifredrick4674
    @muchirifredrick4674 2 года назад +1

    Ooooh asante daddie🙏

  • @kendimutunga
    @kendimutunga 2 года назад +1

    That was amazing to have people who appreciate prophet work good job to the lady

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад

    Napokeya baba amina

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 года назад

    Ameeen

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 года назад

    Amina baba kwahili

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 3 года назад +2

    Huyo ndoo mwanamke wa kumuoa anajielewa sana

  • @thadeothobiastharimo9774
    @thadeothobiastharimo9774 2 года назад +1

    Ee mungu naomba unijalie niache pombe

  • @ev.wyclifeomboka9205
    @ev.wyclifeomboka9205 2 года назад +1

    Amen very wonderful

  • @leahmerilainen1955
    @leahmerilainen1955 2 года назад +1

    Pastori Mungu biweze

  • @neemayohanangekee7594
    @neemayohanangekee7594 Год назад

    Amina

  • @kizzeemohammed9715
    @kizzeemohammed9715 2 года назад +1

    Pia Mimi na furahi Sana huyo mwana dada amefanya kazi hio na Mimi pia ni muislamu

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 года назад

    Big ameeen

  • @lilliankathure9812
    @lilliankathure9812 3 года назад +3

    God bless you my dear

  • @mondialistemanagersungura2335
    @mondialistemanagersungura2335 2 года назад

    Baba kweli Icho kitabu namimi pia nahitaji copy ili nipate mafundisho yako Nadii mkuu nipo Congo Johnson Sungura

  • @EMMAMEDIA-h1c
    @EMMAMEDIA-h1c 2 года назад +1

    Big support

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад +1

    Ahsante baba

  • @saimoniisack5446
    @saimoniisack5446 3 года назад +1

    Ameen

  • @veronicakinyunyu4296
    @veronicakinyunyu4296 3 года назад +2

    MUNGU ALIYEHAI atukuzwe mno mtumishi wacha yesu ajivunie kwako 🔥🔥🔥💯💯

  • @catherinekagwiria5887
    @catherinekagwiria5887 3 года назад +1

    God good 🙏

  • @lilliankathure9812
    @lilliankathure9812 3 года назад +2

    Ungera sana mwana Wa mungu

  • @kizasebaziga8135
    @kizasebaziga8135 2 года назад +1

    Mungu atawalaani...

  • @professor9185
    @professor9185 2 года назад

    mtafuteni YESU wa kweli na msimwabudu mungu mtu, mtapotea kuweni makini

  • @idrisajukulu2637
    @idrisajukulu2637 3 года назад

    Glory glory a dad with a meaning
    Advanced anointing in jounal n academic writing

  • @markobaraka9449
    @markobaraka9449 3 года назад +1

    Amen

  • @alexsilvano332
    @alexsilvano332 3 года назад +1

    be blessed man of GOD

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад

    AMINA

  • @محمدمحمد-ه6ق9ت
    @محمدمحمد-ه6ق9ت 2 года назад

    Zipoy Nije

  • @pauloessaurashidi8949
    @pauloessaurashidi8949 2 года назад

    MUNGU azidi kuku baliki

  • @humphreyshivachi8567
    @humphreyshivachi8567 2 года назад

    Pishop naompa maombi naweza patar kitabu hicho

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 года назад

    Nikweli kafanya vizuri ila nahisi kama maogizo?

  • @petermahimbo378
    @petermahimbo378 3 года назад +2

    Najiunganisha na ibada hii

  • @chalulumanyenga1151
    @chalulumanyenga1151 2 года назад

    dini hio naona ipo kipesa pesa tu yani hela hakuna chengine

  • @abdoulieasow1343
    @abdoulieasow1343 3 года назад

    😂😂

  • @shedrackngaila383
    @shedrackngaila383 3 года назад +2

    Wewe ni mtu wa mbinguni kabisa unahekima mno

  • @archimedbyamungu2120
    @archimedbyamungu2120 2 года назад +1

    Amen