I respect this governor i salute u yoooo u do ur job no favours .am kenyan n am proud of this tanzanian government ,good good step for girl child no more child marriage 👏 😅 😄
Jamani mtu ana miaka 20 mnamzuia asiolewe, Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,
Kasome tu mdogo wangu kwa moyo ♥️ mmoja kama bahati yako ipo ipo tu.! Naimani hiyo miaka miwili ukisoma kwa bidii utafaulu tu.! Shem kama anathubira akusubili tu.! Usomee miaka miwili sio mingi Sana serikali imesema usomee soma tu.! Dada angu hakuna ujanja.....By dogo moja conk ze don..
Mtt gani miaka 20 acheni ujinga mbona mtt anaonekana na furaha zake mna acha kufanya mambo ya maana mnalazimisha ujinga tu acheni kuingilia uhuru wa mtu kila mtu na uhuru wake,
Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,
Binti mwenyewe kabla ya harusi alikuwa analalamika kwa majilan kuwa kalazimishwa , Kwa mazingira ya kawaida tu hata kwa picha hyo familia inaonekana wanamaisha ya kawaida tu ko hakuna kiongoz yeyote angejua kama bint asingesema
Safi sana hongera kwa kufanikisha tukio ilo Tanzania iko macho tuwaache watoto wetu wasome tusikatishe ndoto zao jamani,wazazi hacheni tamaa nimbaya subirini wakati wake ukifika msiwe natamaa za ukatili.
Nikatoka na mtt wangu saiz namaisha yangu mazul tu namshukuru Mungu lkn wazaz achen tamaa ya kutaka mali haraka achen binti asomen mim ilifika mda wazaz wangu walianza kujuta kwa nin waliniozesha
Wewe unaona je ?. Je akiwa Binti yako ambaye anapenda kusoma na kufanikiwa kimaisha uko ladhi kumuozesha bila ruhusa yake na kumkatisha ndoto zake ? Ambapo kiuchumi kwake kutakuwa shida ( yaani macho yote yana mwangalia huyo mume wake na nyinyi ). Unataka awe mtegemezi kwa mume wake na kwenu ?
nilisoma kwa bidii sana sana ila nikipewa nafasi ningeishia form 4 tu nipige mishe nyingine tu yaan.. Vyeti vinaozaaa havinisaidii navichukiaaa...Nimelazimika tumia akili nyingine kusurvive kitaa. Ila wazaz msiwakatishe watoto wenu kisa kuolewa though shule kibongobongo sikuiz kubwa nikujua kusoma na kuandika na kuhesabu. si mimi wala wazazi wangu walonipambania sana aliyejua nitakuwa muuza dagaa. Ukinikuta mwaloni ukaambia nina bachelor ushuz huamini huku aloishia la pili anamtaji mkubwa ujuzi mkubwa na connection kubwa ya biashara kuliko mimi nguchiro mwenye shahada uchwara. Si bora ningeolewa mapema?
@@michaelkitebo9305 ndo madegree yaloyopo mtaani et elim itamkomboa my foot kusema kweli ni upotezaji muda tu nachokiona. Kuhusu madini noo broo sijawai ata waza
Hapo kuna mkono wa mtu mwenye HIRA! Adui ibirisi shetani huwa anatafuta Visababu! Ktk Aina za ukatili wa kijinsia hapo mmemfanikishia Emotion viorence( Msongo wa mawazo! Maana hata keki yake hajala!Tusameheane Bure( Biblia,kitabu cha Zaburi 119:165 na Luka 17:1-4 na Ayubu 5:12 Kwa jina la yesu kristo!)
Wazazi tamaaaa za mahali. Watoto wana ndoto zao unamuoza binti baada ya mwaka mgogoro wa ndoa. Sheria ichukue mkondo wake kwa wazazi mnnnhhhh! Siwezi gawa mtoto wangu akaolewe kirahisi hivyo
Anzeni kuajiri watu waliomalizia ndo mtakuwa mmepunguza watu kuolewa wakiwa bado wanafunzi maana mtu anaangalia sasa anasoma aelekee wapi maana ajira hakuna ko anaona bora aolewe
😂😂😂nimeona masufuria ya pilau
😂😂😂😂😂 ugali bhana
Njaaa izo sasa hahahhaaha
😂😂😂@@JosephMbunju-y7x
I respect this governor i salute u yoooo u do ur job no favours .am kenyan n am proud of this tanzanian government ,good good step for girl child no more child marriage 👏 😅 😄
Safi sana jeshi la police nawote mliomsaidia Mungu awabariki
Mpumbavu wewe unaezibwa macho na serikali
Duu!!haita simama tena huyu jamaa mbele ya mitutu😂😂😂😂😂 nimeipenda
Safi saana keshi la police kazi nzur
Hii Kali 👌
Na wanaomaliza masomo muwafate kama hivyo muwape ajira, sio kuzuia ndoa tu
Kweli
Kabisa
😂😂😂
Sasa hapo ada atalipa nani
Lazima mzazi alipe kwa amr ya serikali
Bila shaka serekali itamsaidia
Dj nimempentaa huyoooooo chaguo lakooooooo😂😂😂😂😅
😂😂😂hana habar na waja🤣🤣chezea mchele wew🤣
noma sana
Hiyo sufuria mbona kama ugali au naona vibaya😂😂😂
Kwan sio chakula acha usenge
😅😅😅😅😅. Ugali wa mihogo au
Ugali na dagaa 😂
Ndoto gani kakatishwaa asomee weee mwisho wa siku ajira hakuna,..au huko atalipiwa adaa?? Hyo mikopo chuo mtihanii
Acha upumbav
Jamani mtu ana miaka 20 mnamzuia asiolewe, Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,
tunajua wewe uliolewa na miaka 11 Sasa hili halikuumi kabisa
@@Dantaata mimi nimeolewa miaka 18
Na Nina virembwe sasa,umri wangu sasa ni miaka 65
@@sabraham5308 pole sana ndio mana bado upo mitandaoni Hadi umri huu,, Kuna maisha yalikupita km uliolewa 18
Fala wewe
Hongereni sana kwa Hilo serikari
Tatizo ata mtu akisoma ajira HAKUNA Bora aolewe akatafute maisha
Dj bado anapiga ngoma tu huku harusi ishaingia mdudu 🤣🤣
Hahahaha
🤣🤣🤣
Anamalizia maokoto😅😅
😂😂dj kashalipwa pesa yake hana baya
😂😂😂
Hatari sana hizo Mila zilishapita jamañ Bora police wamemuokoahuyu binti
Very good job.Keep it up
Askari na mabunduki yenu mara akapimwe akuwe na mimba 😂😂
Akizaa anaendelea na shule😂
Safi Sana tia Ndani wote hao washenzi
Binti Akimaliza shule Mtafutieni Ajira
Huyooooo,.nichaguo lakoooo😅😅😅
Kasome tu mdogo wangu kwa moyo ♥️ mmoja kama bahati yako ipo ipo tu.! Naimani hiyo miaka miwili ukisoma kwa bidii utafaulu tu.! Shem kama anathubira akusubili tu.! Usomee miaka miwili sio mingi Sana serikali imesema usomee soma tu.! Dada angu hakuna ujanja.....By dogo moja conk ze don..
Hongera mkuu wa mkoa Mungu akubariki
Akimaliza masomo mtampa ajira
Mtt gani miaka 20 acheni ujinga mbona mtt anaonekana na furaha zake mna acha kufanya mambo ya maana mnalazimisha ujinga tu acheni kuingilia uhuru wa mtu kila mtu na uhuru wake,
Kama bi harusi ana miaka 18 ana haki ya kuolewa,kwani akiolewa akaendelea na masomo,huu ujinga,hii ni kinyume na haki za binadamu,kusoma ni maamuzi yake mwenyewe,huyu DC hafai,
Binti mwenyewe kabla ya harusi alikuwa analalamika kwa majilan kuwa kalazimishwa ,
Kwa mazingira ya kawaida tu hata kwa picha hyo familia inaonekana wanamaisha ya kawaida tu ko hakuna kiongoz yeyote angejua kama bint asingesema
Kusoma ni lazima Dada angu
@@sabraham5308hujaskia kuwa Binti kalazimishwa na wazazi? Na hapo ndo Wasukuma Huwa tunafel
Acha ujinga nenda kaolewe wewe badala yake
Kwann hamkuja kabila yakufungwa ndoa acheni ujinga mnataka tu kiki hiyo ndoa ya kiiristo uwa inatangazwa kabla ya kufungwa mnataka wazin
Mnashindwa kutafuta wauwaji na watekaji mnaanza kuharbu maisha ya mtu
Safi sana..pelekwni wote whusika ndani pumbavuu...mana wazazi wanaona wakiwa na mtoto wa kike..kitega uchumi ..ya mahali
Dj ulilipwa au mlikubaliana dakika zajiooooni
Safi sana hongera kwa kufanikisha tukio ilo Tanzania iko macho tuwaache watoto wetu wasome tusikatishe ndoto zao jamani,wazazi hacheni tamaa nimbaya subirini wakati wake ukifika msiwe natamaa za ukatili.
Hata mkimchukua kikubwa wamefunga ndoa kanisan Tyr,
🙆♀️
Navowajua wasukuma wanavyoogopa police 😅😅😅ata uje na ng,ombe 100 hawakubari
Uyo binti asipoolewa tena atailaani serikali 😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ha ha ha 🤣🤣
Saaaafi sana good job
Hii imependeza sana toeni namba ya mawasiliano matukio kama haya yako mengi ili likitokea tutor lipoti
NIMEIPENDA SANA HIYO , SAFI SANA KAZI NZURI KAMATA HAO WAZAZI WEKA NDANI
Safi sana muheshimiwa asome tu kwakweli
Wajinga mpo wengi
Mi sijaona noma hapo
Nikatoka na mtt wangu saiz namaisha yangu mazul tu namshukuru Mungu lkn wazaz achen tamaa ya kutaka mali haraka achen binti asomen mim ilifika mda wazaz wangu walianza kujuta kwa nin waliniozesha
Serikali ila ali❤piwe ada
Basi musiwe wepesi kuingilia harusit mlipieni na gharama za kuendelea na masomo maana hamjui kaolewa kwa maanagani
Hovyoooo , hamnazo kwelikweli wewe !!
@@rereshap9416 haya ukiwanazo wewe inatosha ila pia zikiwa nyingi tuuzie nasisi wajinga.
@@rereshap9416 mana nchihii mukisharisisha hivyo via jira au mtu akimiliki milioni 1t basi wasonakaz wala pesa wot niwajinga
Ewaaah Hilo Neno kaka ,,,Shobo kibao wakitoka nje ya Camera Hawana Msaada wowote hata peni ya 100 hawawezi nunua hao
😂😂😂, lakini si teali Kesha funga ndoa wakati wa kipingamizi walikua wapi, na alichokiunganisha mungu mwanadamu.......kmmk mpo slowly sn
Duh! Hatari kweli kweli
Waache wale kwanza bufee, nakeki yao 😂😂😂😂
😆😆😆😆😆
🤣
😅😅😅😅😂😂😂
Ninachoamini ndoa Ni tayari hapo,ilikuwa Bado ubwabwa tuuu 🤣
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Bwana harusi hapo vipi!
Umenyang'wa chombo,ila omba mungu Rachael akasome ili badae awe ubavu wako
akimaliza chuo hamtakitena huyo😅
Mmekoboa nini hapo kwani hajatumika bado bado anayo bikira ama umeshatolewa😂😂😂
Nyie wehu 2 mnanchagulia maisha uyo binti
Wewe unaona je ?. Je akiwa Binti yako ambaye anapenda kusoma na kufanikiwa kimaisha uko ladhi kumuozesha bila ruhusa yake na kumkatisha ndoto zake ? Ambapo kiuchumi kwake kutakuwa shida ( yaani macho yote yana mwangalia huyo mume wake na nyinyi ). Unataka awe mtegemezi kwa mume wake na kwenu ?
tuanze na mchungaji kwanza
Mungu atamsaidia huyo Binti kuolewa wasubiri amalize wasimvuruge
Wazazi kama hawa sio hak
Hatuelewi mpaka hatuelewani😂😂
hiiii kwakoli serekali nawap salitu
Hi ni wivu ya serikali
Bora waolewe wakisoma ajira Haman
Jamani someni kuoelewa mtaolewa tu
Kama mzazi Hana uwezo wa kumusomesha inakuaje et
Safi sana.. kuna wazazi wengine hovyo kabisa..
Hapo mmefanya Vinzuri Saaaaaana
Safii sana acheni kunyanyasa watoto
Mh.pilau nimeiona
Afadhali 😂😂😂 dj huyo ni chaguo lakooo
Mm ningechalaza bakoraaa wazaz na hao wasimamiz
kwan jamaa sialishapga mzgo lakini😂😂😂
😮😮MUNGU mkuu jamani😊
Xax hyo pilao vp?
Umefanya vizuri mama mndeme wasukuma wamezidi kisa kutaka ngombe
Kuolewa napo nibahati jamani wengi madunga embe humu wana angaika😂😂😂
Daaah
Sasa hapo bib harus ndo yupi😅😅😅
👸huyo hapo
@@salamasaidi6620 mwenye kanga au mtandio na shela?ni balaa😀😀😃
Safi sana police
Thanks
Kwani akiolewa hawezi kusoma??
Jesh mko saw komesha Tania mbaya
Jaman mbon hasara aisee Duuh
Jamani mwee mungemuacha afungishwe ndoa yake maana kulivaa shela tu Ndoto ya mtu ktk maisha! Then angendelea na masomo yako!
Muna kosa heshima sana
Mm nataka kujua kama chakula bado kipo 😂😂
😂😂😂ili ufanyej
hii kaliake😂😂😂
nilisoma kwa bidii sana sana ila nikipewa nafasi ningeishia form 4 tu nipige mishe nyingine tu yaan.. Vyeti vinaozaaa havinisaidii navichukiaaa...Nimelazimika tumia akili nyingine kusurvive kitaa. Ila wazaz msiwakatishe watoto wenu kisa kuolewa though shule kibongobongo sikuiz kubwa nikujua kusoma na kuandika na kuhesabu. si mimi wala wazazi wangu walonipambania sana aliyejua nitakuwa muuza dagaa. Ukinikuta mwaloni ukaambia nina bachelor ushuz huamini huku aloishia la pili anamtaji mkubwa ujuzi mkubwa na connection kubwa ya biashara kuliko mimi nguchiro mwenye shahada uchwara. Si bora ningeolewa mapema?
Njoo nikufundishe mishe za MADIN,Mimi nilistuka mapema.nakaa na watu wenye madgrii kupiga story dakika ya mwisho wananiomba elf kumi nashangaaaa!!!
@@michaelkitebo9305 ndo madegree yaloyopo mtaani et elim itamkomboa my foot kusema kweli ni upotezaji muda tu nachokiona. Kuhusu madini noo broo sijawai ata waza
Mkwe wangu msubiri mwezako asome ni miaka 2 tu mtakuwa wote inshaallah
Haaaahaaaa lakini kumbuka elimu inaongeza maarifa hapo imeisha
@@GeraldMyuku Hahahaha anaweza kumkataa mme wake😀
nataka waje waniambie na mimi hivi kwa mwanangu!
Sasa kama wa, zazi wame bless tatizo liko wapi haya akisema sitaki kusoma au nyie mtamsomesha mpaka amalize au haya hatati kusoma itakuwaje???
Ukiacha kusoma kesi ukimaliza kusoma kazi kupata kesi.
Mbona sehem nyingine hua hasifuatiliwi jaman nataman iwe nchi sima iwe hivyo
Wameshindwa kwenda kuchkua watu wanaobaka watoto wakiwa wadogo kbsa 😢
mngepima kama ana mimba tayari. maana kama anayo mliomkataza kuolewa mtakua mmemuharibia maisha
Hapo kuna mkono wa mtu mwenye HIRA! Adui ibirisi shetani huwa anatafuta Visababu! Ktk Aina za ukatili wa kijinsia hapo mmemfanikishia Emotion viorence( Msongo wa mawazo! Maana hata keki yake hajala!Tusameheane Bure( Biblia,kitabu cha Zaburi 119:165 na Luka 17:1-4 na Ayubu 5:12 Kwa jina la yesu kristo!)
Safisan polec we2
amna lofoten kwa hapa dar wanganui wamesoma
na awana ajira pia
Kamata weka ndani duub😢😢😢
😢
😂😂😂😂hao niweny roh mbay wamemfanyia hujum
Umenena mkuu Wivu na maisha ya watu tuu,,,,,,Hii Nchi Imejaa chuki saana Akimaliza shule Wampe ajira sasa ,,,,,Elimu ya Tanzania Hasara tupu
C angeenda tu baada ya kufunga ndoa
Lakini wimbo unasema uyu ni chaguo lako😂😂
Wazazi tamaaaa za mahali. Watoto wana ndoto zao unamuoza binti baada ya mwaka mgogoro wa ndoa. Sheria ichukue mkondo wake kwa wazazi mnnnhhhh! Siwezi gawa mtoto wangu akaolewe kirahisi hivyo
vizuri polisi sukuma ndani
Da ila demu kifaa sana
Anzeni kuajiri watu waliomalizia ndo mtakuwa mmepunguza watu kuolewa wakiwa bado wanafunzi maana mtu anaangalia sasa anasoma aelekee wapi maana ajira hakuna ko anaona bora aolewe
Kwan Si Katimia Miaka Kumi na nane
Jamaaa hana mechi tena 🤣🤣
Hahahahaha