MANABII NA WATUMISHI WALIOPEWA UPAKO NA NABII MKUU WASHUHUDIA - GeorDavie TV
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
The Greater Prophet in the World , 🥰I love you so much 🤗
Ni Jambo jema na la kupendeza, fanya kazi Mtu wa MUNGU
Hongereni nabii mkuu dr geordevi
Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤
Amen...Glory to God for Give us our Greater prophet
Good day man of God , please pray for me and my family for healing and breakthrough. Thank you sir.
Amina
Napokea wateja wengi kila hisi,Amina.
Hata mimi nina ushuhuda kwamba Neno la Nabii Dr GeorDavie ni sheria. Akitamka tu inakuwa. Ni Nabii pekee aliyenitoa kwenye Vikwazo vyote na kuwa Hivi nilivyo.
Ilikuwa🔥🔥👍❤️❤️❤️ Asante sana Baba 🙏🙏
Kwadamu ya yesu,kupitia mtumishi wa mungu,napokea watoto mapacha kupitia madhabahu hii,mke angu apokee mimba kwa Jina la yesu.
Drama
Lk9:1-2 Aliwapa uwezo na MAMLAKA juu ya pepo wote na kuponya maradhi, Na Mt17:15-19 Lakini hawakutendea watu kama ilivyowapasa,
Kupitia madhabuhu hii,nafunguliwa vifungo vya mikosi,madeni,majalibu kwa Jina la yesu,naomba kupitia madhabahu hii napokea,kila hisi
MTAKATIFU BABA NABII MKUU MH. DR. GEORDAVIE. UISHI MILELE.
Tunashukuru
❤❤❤
Pole sana
Nakumbuka jaman alimbarikiwa tena hapo
HERI NINYI MLIOMWAMINI NABII MKUU. HERI NINYI MLIOTAMBUA NGUVU YA MUNGU NDANI YA BABA NABII MKUU.
Gd