Alichokifanya GOD ZILLA kwenye BEAT ya FID Q na BILL NASS kwenye The Playlist Times FM hiki hapa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
    Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com

Комментарии • 396

  • @trinidadivan779
    @trinidadivan779 5 лет назад +37

    "Mungu akubariki unaesikiliza awe na wew" -King Zii🙏😭rest in Power

  • @rantojasiri
    @rantojasiri 6 лет назад +56

    zizi umepiga interview bila tungi ona hata freestyle zako zmekuwa hot na nmemuona yule zila mkal ninayemjua...saf🔥💯

  • @swahiliforex
    @swahiliforex 6 лет назад +85

    Kama Unamkubali Zilla Ndo King Wa Freestyles Ngonga Like👍💗💗

  • @ismaillugemalila1522
    @ismaillugemalila1522 5 лет назад +27

    Hadi nimekosa la kuongea zaidi ya RIP zilla.

  • @amanibakari5061
    @amanibakari5061 5 лет назад +26

    hii freestl wanaweza wachache sana bongo kuna wanajita making afu hawawez wanafanya walizo andika uyu jamaa inatoka kichwan malike mazee

  • @lindadenyce1913
    @lindadenyce1913 5 лет назад +16

    Rest easy zila,tulikutambua kama king and forever you will remain 🙏🙏🙏

  • @mandvd69daddy92
    @mandvd69daddy92 5 лет назад +22

    Freestyle doctor forever rest in power Godzilla

  • @fedrickpaul6733
    @fedrickpaul6733 6 лет назад +12

    Kama unesikiq nabii titto gonga like zilla hatariiiiiii mwachen aitwe god,,,,,,,,,,, ziz inthe houseeeeeeeeee by Lillyommy

  • @jumakajimba7896
    @jumakajimba7896 5 лет назад +13

    Daah sina mengi yakusema zaidi ya R.I.P kinG zilla

  • @fanuelkabelinde564
    @fanuelkabelinde564 5 лет назад +15

    I will remembered you ma zilla God be with u upumzike kwa aman

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 6 лет назад +34

    Huyu ndio bongo bahati mbaya.. 😂 👏👏👏👏

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад +13

    Daaaa dunia ni mapitoxkila kitu kitapita leo hii umetuacha tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi. Mbele yako, nyuma yetu pumzika kwa amani Godzilla🙏🙏🙏🙏

  • @alristv3599
    @alristv3599 5 лет назад +3

    Atabaiki kuwa bora kwangu. Mtu mwenye utundu wake. Huyu Jamaa Mungu amlaze mahali pema peponi. King Zizi mfalme wa miondoko huru.

  • @ladislausfocus789
    @ladislausfocus789 6 лет назад +5

    Zilla ww ni mkali sana kwenye mitindo huru,unachowashinda wengine ni utundu wa kubadilika na ubunifu mwingi sana,kinachonimaliza zaidi ni flow yako tamu.una flow tamu bro kuliko rappers wote tz,huo ndio ukweli,asante kwa burudani.

  • @JeronimoSimon65
    @JeronimoSimon65 6 лет назад +2

    Daah ! Zillaaa u always a killer.. Yaani hujawahi nifelisha kwenye hiz business. Hawataki tu kukucrown but you r the best freestyller of all time, cuz unamurder killa beat. Naomba ututengenzee hata mixtape moja tu ya freestyle. Battle battle battle. Go zizii

  • @OfficialKiliPaul
    @OfficialKiliPaul 5 лет назад +3

    Dadeeeeeeeki,nani anakubali hii 2019

  • @edwardpatrick8170
    @edwardpatrick8170 4 года назад +2

    2020 still unaishi kweny freestyle rest in paradise zilla😓love you broh

  • @isackhassan6551
    @isackhassan6551 5 лет назад +7

    Rest In Eternal Peace Kaka Mkubwa, will always remember you as a king of freestyle

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki7664 6 лет назад +40

    Huyu ndo alio mu insipire mtu wangu young killer msodoki so big up sana ila ukicheza ukianza bangi tukutane central jumanne eti watoto waambie wajipange hhh

    • @kaizamgao4621
      @kaizamgao4621 6 лет назад +1

      King zila zila ni balaaa Nouma sana bongo bati mbaya

  • @azizarajab5727
    @azizarajab5727 5 лет назад +4

    A minute of silence please for the late King Zilla 😭😭

  • @onestkasmir4297
    @onestkasmir4297 5 лет назад +8

    Akitoka ngwea ni chid benz akitok chid bhas hyu myamaa R i P kaka msalimie ngwea!!! Mbel yko nyuma yetu

  • @alexanderpius1992
    @alexanderpius1992 5 лет назад +3

    This guy was the best rapper i ever see, RIP zilla nakumbuka class best Nsumba wanataka selfii

  • @silvaanhaniancr814
    @silvaanhaniancr814 5 лет назад +6

    r.I.p brooo najiisi kutoa chozi

  • @kairanmahmoud5234
    @kairanmahmoud5234 5 лет назад +26

    kila nafsi itaonja umauti mbele yako nyuma yetu godzilla

  • @mohdkassim360
    @mohdkassim360 5 лет назад +6

    He was a true king; R.I.P boy!

  • @derrickmbaku4768
    @derrickmbaku4768 5 лет назад +11

    Dah so sad mangwair na Godzillah, tumebaki na Chid benz pekee kwenye michano ya mitindohuru

  • @mohamedsadiki1575
    @mohamedsadiki1575 5 лет назад +2

    inallilah waina lillah rajium

  • @lisherjerry317
    @lisherjerry317 6 лет назад +7

    something never change!! zizi you know who you are!! #King

  • @alexanderpius1992
    @alexanderpius1992 3 года назад +1

    Mmh, Zilla hapa aliua, R.i.p king tupo njia moja!!

  • @antonygerald5252
    @antonygerald5252 Год назад +2

    What can we say about zizi😢ONLY GOD KNOWS...🙏🙏🙏

  • @kelvinsichone2359
    @kelvinsichone2359 6 лет назад +6

    I gotta salute you King of SalaSala Empire!

  • @josest5575
    @josest5575 11 месяцев назад +2

    2023 Ziz still the best to me. I pray for the soul to be rested in a safe place. Amen.

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 5 лет назад +2

    RIP kingzilla inauzunisha sana kuondokewa na majembe
    ngwea RIP
    langa
    leo tena kingzilla hakika umeacha sana mapengo kwenye tathinia ya kurap

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +30

    HUYUU NDO ZILLA NINAE MJUAA 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @promramson80
    @promramson80 6 лет назад +6

    Huyu jamaa kwa freestyle ni nyoko sana ....nomaaaa

  • @charlesfwongo3619
    @charlesfwongo3619 6 лет назад +1

    huyu Ndo kingzillah wanamuweza wachache labda from outside Tz🔥🔥🔥🔥🔥

  • @leonardbihanya9028
    @leonardbihanya9028 6 лет назад +10

    Daah free style we ndoo babaa yaooo nakubalii sanaa mzeyy

  • @danymsinga7048
    @danymsinga7048 5 лет назад +5

    Huyu n motoo🔥🔥🔥🔥🔥

  • @barakajulius7812
    @barakajulius7812 6 лет назад +4

    wengine wanaendaga kwa lilommy kutembea ila zizi umekuja kuongea noma saaana arif

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 4 дня назад

    Godzilla x Ngwear cowboy x Geez mabovu x kanumba rest in Paradise brothers 💔💔💔, mapengo yenu hayatazibika mlituacha tukiwa bado tunawahitaji 🙏 mwenyezi Mungu awasamehe dhambi zenu na awapumzishe kwa amani 🙏🏾

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 6 лет назад +14

    Shikamoo zilla! Wee ni nyooooookoooo

  • @abrahamkamus8405
    @abrahamkamus8405 6 лет назад +1

    Saluuuuutttttteeeeeeeee umeongea kiswahili bila ata kingereza

  • @mokiwatv1206
    @mokiwatv1206 4 года назад +3

    R.I.P king . Sala sala appreciate ur talent we miss u king 😪

  • @TzSPYTv
    @TzSPYTv 6 лет назад +11

    Uyu jamaa ni mbayaaaa kweny freestyle aisee

  • @musaobeli8958
    @musaobeli8958 5 лет назад +2

    freestyle noma ya mwaka bro Godzilla am from Kenya and you doing greet keep it up

  • @mctv2465
    @mctv2465 3 года назад +1

    Huyu jamaa alikuwa mkali sana duuuh Mungu mrudishe basi

  • @sumutherapper2543
    @sumutherapper2543 5 лет назад +1

    Can't hesitate to comment. Big up and R. I. P buddie. Bado ntakuskiliza kama kawa.

  • @andelherrera5137
    @andelherrera5137 6 лет назад +4

    hizi ni real freestyle..🔥🔥

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +15

    HUYU NDO ZILLA NINAE MJUA MIMI 🔥🔥🔥🔥

  • @issamiyebo1046
    @issamiyebo1046 5 лет назад +1

    Daaaaaaah pumzika kwa amani kaka king ziller

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад +1

    27 January 2022 bado na watch.
    R.i.p jeshi la m2 m1

  • @rehemagabriel5747
    @rehemagabriel5747 5 лет назад +2

    R.I.p tutakumiss zilla milele daima

  • @jawaduathuman3756
    @jawaduathuman3756 6 лет назад +4

    Huyu jamaa hafai ata kdogo sijui kwann hana rotation sanaa

  • @ngishjimg8803
    @ngishjimg8803 5 лет назад +1

    R.I.P zilla nilimkubali sanaaa king wa freestyle

  • @hassanimkononi7623
    @hassanimkononi7623 6 лет назад +10

    Start one mzee part one iko wapi naona iyo end of the movie

  • @tumainzacharia917
    @tumainzacharia917 6 лет назад +2

    Freestyle killer black ZIZI ,Magufuri wa New Era!!

  • @mbishitrump5621
    @mbishitrump5621 5 лет назад +1

    Pumzika salama Zilla...

  • @simanjilo5
    @simanjilo5 5 лет назад +7

    Watu ambao warkuw hatr nirkuw nawa kubar saiv wamesepa wametuacha ni Alrbat magwear god zilla
    Daaah ntawamiss sana ma bro ntagulien na imani ntakutana Bdae

  • @victorprince9883
    @victorprince9883 Год назад +1

    2023 tumekuja kumchek mwana Piga like apaaa 🔥 king of freestyle

  • @EmmanuelLekasango-rt1qx
    @EmmanuelLekasango-rt1qx 6 месяцев назад +1

    Jamaaa alikuwa vizur asee pumzika kwamaani mwamba ziziiiii😢😢😢

  • @edwinlawi710
    @edwinlawi710 5 лет назад +1

    R i p Mwamba king zizi

  • @riquenyags1621
    @riquenyags1621 6 лет назад +1

    zillaaa kwel mungu anakuona kaka unajua sana hadi unaboaaaa

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 5 лет назад +2

    Dah eebn Godzilla noma xn

  • @THEKUTAMANI
    @THEKUTAMANI 6 лет назад +4

    king of all of them zillaaaaaaaaaa

  • @Jxcjs
    @Jxcjs 3 года назад +1

    Nimemmiss Jamaa sana

  • @danielsiasa459
    @danielsiasa459 6 лет назад +2

    Aiseeee Zilla ni mwamba yan 🔥🔥

  • @mndigaboy2534
    @mndigaboy2534 6 лет назад +2

    zila Leo Nimeipenda hiyo 👑 freestyle bongo but sharot mkubwa SCODA Boy

  • @_yuzzo7249
    @_yuzzo7249 6 лет назад +4

    Hakuna msanii Mwingine anaweza Fanya hivi

  • @frankdegang8245
    @frankdegang8245 6 лет назад +17

    hilo jamaa sumu sana...mie hua nalikubali kinyama yaaan...unaweza yaaan take 5 ..kitaan unakubalika zaid ya wale maboya waliokua wanajiweka mbele kushindana nawe bingwa

  • @dinosmack
    @dinosmack Год назад

    🔥🔥rest in power king zizii..mafreestyle yataishi milele

  • @emmanuelmajovenee8954
    @emmanuelmajovenee8954 6 лет назад +1

    never seen before,,,,,, millennium Kutokea kama huyu genious,,,tukiongelea freestlyle

  • @divineidentity9445
    @divineidentity9445 5 лет назад

    sijawai ku komenti ila kwa hii free style bro zila ni hatari , R.I.P

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад

    RIP king zilla.... really ulkuwa king wa freestyle after kaa wizi kaa obama.. na nyote mungu ashawahitaji..

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 6 лет назад +7

    unavu oxygen na sio bange we noma zinzzz

  • @barakasamwelijohn
    @barakasamwelijohn 2 месяца назад

    Pumzika kwa amani Legacy yako bado inaishii #2024

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 5 лет назад

    Sio kosa kukuita king of freestyle

  • @AugustinoYm
    @AugustinoYm 2 месяца назад

    2024 on this one
    Respect King 👑 zilla

  • @gogoboy3300
    @gogoboy3300 3 года назад

    Mungu mungu kwel sis nimali ya udongo nimekumic bro

  • @stanyshinemusic3347
    @stanyshinemusic3347 6 лет назад +1

    King is back.....salaaaam salaaaaam wakazi mitaani

  • @shabilbosco8144
    @shabilbosco8144 6 лет назад +2

    TAMBWEE....Napenda sana izi dakika kumi za msanii kutoa jasho.......ikiwezekana hii sehem iitwe ......mda wa kijasho chembamba nadhan itapendeza zaid😁😂😁😂😁😂

  • @abrahamkamus8405
    @abrahamkamus8405 6 лет назад +2

    The real definition of freestyle

  • @davidmdavid4869
    @davidmdavid4869 6 лет назад +3

    Nimekubali zilaaaaah

  • @patricktravis6575
    @patricktravis6575 6 лет назад +9

    jombaaa zillah hafaiiii aiseeeee freestyle zimejaaaaaaàaa

  • @thomasnyemba4367
    @thomasnyemba4367 6 лет назад +2

    nimekuelewaaaa Fireee

  • @jamesmhema8077
    @jamesmhema8077 4 года назад +1

    Zilla's Best moment
    Rest in peace brother.

  • @divineforex
    @divineforex 6 лет назад +4

    Umetisha zilla

  • @fakiisuleiman8057
    @fakiisuleiman8057 2 года назад +1

    Big wow💥🙌

  • @emanueledwin5685
    @emanueledwin5685 6 лет назад +1

    Big up ziziiiiiiiiiiiiii nakuelewa vby mnoooo shar out kwakoooo

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 6 лет назад +3

    king of freestyle #zilla

  • @chunatv7282
    @chunatv7282 6 лет назад +9

    nakubali

  • @cholokanji7139
    @cholokanji7139 6 лет назад +5

    frestyle so ngoma.ngoma ni aidia kwaio zila kakosa aidia kwa sasa ndomana kaganda lkn mistar naamin haishi kwake. jamaa ww ni king wa frestyle

  • @mayagillamussa5480
    @mayagillamussa5480 6 лет назад +5

    king zillaaaaaaa

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka 6 лет назад +2

    Huyo ndio zilla ninaemjua maaaan

  • @antonygerald5252
    @antonygerald5252 5 лет назад +1

    Aaaah kumamaake ziziii 🙌🙌🙌

  • @shekhekhandereizer559
    @shekhekhandereizer559 5 лет назад +1

    Daaa raiti kama mungu angwkuwa anatoa ruusa ya kuchagua watu wawilli wakurudi duniani walai ningeanza na zizi king sala sala walai tena zilaa zina lakusema nisije mkufuru mungu kazi yake aina makosa pumzika mzee umeshatuonesha kitu mungu alicho kupa utuoneshe walau kwa muda mfupi tu sasa aupo tena daaa

  • @rickstyleboy9373
    @rickstyleboy9373 6 лет назад +1

    this is the kingfreestyle himself alive now

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou3022 Год назад

    Huyu huyu tunamjua sana❤❤❤❤

  • @kalvindamian3476
    @kalvindamian3476 4 года назад +1

    Aisee RIP king zilla🔥

  • @edwinamandus825
    @edwinamandus825 5 лет назад +1

    Much respect zilla......... RIP

  • @bennykamuggy5174
    @bennykamuggy5174 6 лет назад +2

    Zilla kwann lakini media imekuficha muuni, 👽👽