MwanaFA - We Endelea Tu (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #MwanaFA #WeEndeleaTu #SlideDigital
    (c) Slide Digital
    SMS [Skiza 8091976] to 811
    MWANA FA SONGS ARE AVAILABLE WORLDWIDE ON ALL DIGITAL PLATFORMS
    ffm.to/mwanafa
    Follow Mwana FA on;
    / mwanafa
    www.facebook.c...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 2,2 тыс.

  • @smartmkambala5395
    @smartmkambala5395 5 лет назад +262

    Anayesema uyu Jamaa, mistari yake ni ujumbe tosha, gonga like hapa twende pamoja

  • @raspadeiramichel5176
    @raspadeiramichel5176 5 лет назад +749

    Watoto waliachiwa wakaharibu bongo fleva...sasa ma Legendary wamerudi...Mwana FA

    • @saidjuma9782
      @saidjuma9782 5 лет назад +12

      😂😂😂😂😂😂😂Duuuuhhhh umeniweza 😂

    • @festomishita3303
      @festomishita3303 5 лет назад +6

      Kabisa

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 5 лет назад +10

      Kabisaaa wale wenye mziki wao wamerudi madogo wengi na wanahippop wanatuandikia kutuchania vitu vya ajabu

    • @slimpirate6020
      @slimpirate6020 5 лет назад +4

      Baaas ukweli 🔥🔥

    • @marcsthinker3882
      @marcsthinker3882 5 лет назад +3

      Hawawezi peke yao mkuu

  • @yusuphally131
    @yusuphally131 5 лет назад +104

    Hata wachawi pia wanafiwa 😂😂😂😂😂😂 sharti nimevaa LA Jana ila gari nmebadilisha #FA unajua kinomaaaa mzeeee like 1000 kwa FA

  • @boniphacetv739
    @boniphacetv739 5 лет назад +1

    hadi tuwatie mimba wake zao ndo wajue tuna Fanya kazi

  • @gadafimasaicomedy1936
    @gadafimasaicomedy1936 5 лет назад +1

    Noma San sijawahi kukoment ila KW hii ngoma noma

  • @noorsallum9093
    @noorsallum9093 5 лет назад +339

    Naona bendera za kenya ziko nyingiiii hayaaa waTz🇹🇿🇹🇿gonga like hapa 🎶🎶🎶🎶🎶💣💣

    • @sanuka2557
      @sanuka2557 5 лет назад +1

      ruclips.net/video/qcUxdygOk8I/видео.html

    • @yusraally7264
      @yusraally7264 5 лет назад +1

      Watanzania unafiki umetujas kwani hujui

    • @mercymusangi2804
      @mercymusangi2804 5 лет назад +1

      Bendera ni mingi sababu Mwana FA ni mkali Ndugu! Kazi kali

    • @luvunodzunga5131
      @luvunodzunga5131 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @onesboy5457
      @onesboy5457 4 года назад

      Nice

  • @venancekavishe9823
    @venancekavishe9823 5 лет назад +146

    TANZANIA kimuziki tuko juu East Africa Soma hiyoooo 🇹🇿🔥

    • @Ambwenefilm
      @Ambwenefilm 5 лет назад

      FAHAMU || NAMNA VIONGOZI KATILI NA DIKTETA DUNIANI WALIVYOKUFA (2)
      ruclips.net/video/iEKdIwy48O8/видео.html

    • @petermakho673
      @petermakho673 5 лет назад

      Kabisa

    • @ngugikarori8975
      @ngugikarori8975 5 лет назад +1

      Wamlambez

  • @fredrickbenard7813
    @fredrickbenard7813 5 лет назад +76

    This is madness
    Hata mchawi Hua anafiwa 😂😂😂
    Kama message siipendi na mshoot mpaka messenger 😂😂😂 meen...... Gonga like ya kibabe

  • @wesleyratemo7832
    @wesleyratemo7832 2 месяца назад

    Ndio hivyo...2024 mwisho mwisho

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +2

    Ujawahi kukosea mwana FA

  • @seckhanjames7325
    @seckhanjames7325 5 лет назад +61

    Wakikuuliza unaendeleaje wajibu zaidi ya jana....Legendary FA

  • @hamzasaidi9127
    @hamzasaidi9127 5 лет назад +14

    Kaliii fa is back gonga like km umeangalia zaidi ya mala 2

  • @bakarimwinyi250
    @bakarimwinyi250 5 лет назад +89

    Tafuta hela ta kutosha ila usipige nazo Picha.. FA mwisho wa mawazo

    • @Ambwenefilm
      @Ambwenefilm 5 лет назад

      FAHAMU || NAMNA VIONGOZI KATILI NA DIKTETA DUNIANI WALIVYOKUFA (2)
      ruclips.net/video/iEKdIwy48O8/видео.html

    • @josephmwachalula6134
      @josephmwachalula6134 5 лет назад +1

      ....maisha yanabadilika

    • @catherinenoga2
      @catherinenoga2 5 лет назад +1

      Dope song

  • @deusfernandes9170
    @deusfernandes9170 5 лет назад +26

    Hapa ndo unapoweza kutofautisha kat ya MwanaMUZIKI na MSANII.

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 2 месяца назад +1

    Waambie "Vizur zaidi ya jana, Vizur zaidi ya wao" mak hao

  • @40kstore
    @40kstore 5 лет назад +25

    "anaejifanya anakuamua anakushika upigwe babu,mtie mitama siku nyingine ashike adabu" #weeendeleatu

  • @johnmgweno4254
    @johnmgweno4254 5 лет назад +9

    Tuliorudia kuitazama hii video weka moto🔥🔥🔥🔥

  • @wayamoja8576
    @wayamoja8576 5 лет назад +16

    Kama ngoma umeielewa kama mm gonga like🔥🔥🔥🔥

  • @yusuphkaoneka3664
    @yusuphkaoneka3664 5 лет назад +1

    Hata wachawi wanafiwa we endelea tu

  • @babaharunakipindula3895
    @babaharunakipindula3895 5 лет назад +4

    Dah vijana wameharibu bongo flavor.... Asante ma legendary

  • @jmohamedjumanne
    @jmohamedjumanne 5 лет назад +16

    Mzee... umetishaaa. Hakuna hata comment 1 inaepinga hii ngoma.
    Legendary... nakuita Hamisi

  • @manjaruujr8255
    @manjaruujr8255 5 лет назад +22

    mwana MUZIKI hutoa ngoma bila kiki msanii ndo huangaika na kiki#WE ENDELEA TU#fa

    • @hilalomary7309
      @hilalomary7309 5 лет назад

      Mw AF mm nakupaa big up wimbo endelea tu . Umetimia mashair na biti imetimia ila. IPO ndogo

  • @mtumishihewa7595
    @mtumishihewa7595 5 лет назад +45

    kama umetazama hii ngoma zaidi ya mara 40 WE ENDELEA TU!!!👊👊👊sema nn FA weeeee niii maaafyaaaaaaaa!!!!

  • @RamsohLatinho
    @RamsohLatinho 5 лет назад +2

    Mbona poa tu, YANI KWAKIFUPI WE NDO MZEE WA MISEMO

  • @bonpol
    @bonpol 5 лет назад +2

    Imekuwa tofauti na wasanii wengine kwa mfalame FA kila kukicha ndo anavyozidi kuwa mkali

  • @sammytz1540
    @sammytz1540 5 лет назад +51

    subira haivuti bangi haigongi nyagi inavuta kheri tu haijawahi kubugi 🔥🔥🔥 nice jam

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 5 лет назад +64

    We endelea tuu kuninyima like, team mwana_f_a na team east_cost__team gusa like

  • @definitionjr8069
    @definitionjr8069 5 лет назад +246

    Kama una amin FA ndo Best MC wa muda wote gonga like twende sawa.

  • @springsmedia5688
    @springsmedia5688 5 лет назад +2

    heshima kwako FA umekaa chini ukaumiza kichwa na kutoa nyimbo yenye ujumbe uliojitosheleza

  • @daudyjohnson3447
    @daudyjohnson3447 3 года назад +1

    We endelea tyu kwa mungu amna wanafki

  • @jaydallu3158
    @jaydallu3158 5 лет назад +123

    hao walio dislike wanaujua mziki kweli au wamezoea zile video za marangi rangi na uchi uchii....
    this is a good music

  • @hilalmtangi5241
    @hilalmtangi5241 5 лет назад +132

    We endelea tu kuachia Ngoma kimya kimya. Keeping the good music alive
    #WeEndeleaTu

    • @abubakermachatha5680
      @abubakermachatha5680 5 лет назад +1

      anasema nini hapo eti, ...............,kishua au kimtaa ni kucheza na number kama mtu mbaya Salah.

    • @sadockmtwe4852
      @sadockmtwe4852 5 лет назад

      Hilal Mtangi mbna biti zilezile

  • @stephanoedward6271
    @stephanoedward6271 5 лет назад +17

    Msanii wangu bora wa hip hop tanzania ,,we endeleea kunifurahisha tuu

  • @aminasaid9382
    @aminasaid9382 Год назад

    Piga kelele km umependa Mwana FA weeweeee🗣🗣🗣🗣🗣🗣

  • @rickwilliams2641
    @rickwilliams2641 5 лет назад +1

    mmbuyu ulianza kaa mchicha ila mchicha haujawai kuwa mmbuyu💣

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 5 лет назад +55

    My big brother FA hujawahi kuyumba the best lyricist of all time

  • @emmanueljackson2844
    @emmanueljackson2844 5 лет назад +6

    Miruzi mingi mbwa sipotei we endelea kuskiliza utaelewa tyu

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 5 лет назад +4

    Hahahahahaha big daddy #mtu mbaya #mwanaFa #big dady #mwanafalsafa # we endelea tu. We jamaaaa unatisha kama EBOLA ✈️✈️✈️

  • @zenjonlinetv4953
    @zenjonlinetv4953 5 лет назад +4

    Dah naombeni like hata moja jmn

  • @emelmarry8354
    @emelmarry8354 5 лет назад +1

    Mi nna mungu we endelea tuu safiii fa

  • @MajaxiFx
    @MajaxiFx 5 лет назад +108

    I beleve in you Mwana Falsana lazima tujifunze kwa waliofanikiwa ili nasi tufanikiwe i swear nitatafuta pesa na nikipata Sipigi nazo picha ng'ooo
    We endeleaa tu

  • @zainabual_tz5623
    @zainabual_tz5623 5 лет назад +7

    Bonge la nyimbo kama unamkubali mwanafa like hapa twende Sawa 👌🏼👌🏼

  • @eddymwalagho354
    @eddymwalagho354 5 лет назад +8

    🇹🇿 🇰🇪 Ni Rehma za Mungu tu na maamuzi yake.. Kwa Mungu hakuna majungu mi nina Mungu.
    Mkongwe wa Hiphop Afrika!

  • @kidunapoletano3118
    @kidunapoletano3118 5 лет назад +3

    Uyu jamaa ajawai kuchuja mana mziki anaujua xana angekuwa anaupromoti mziki wake km wanavyo fanya wenzie wakina Mondi basi africa nzima kusinge kalika. Weeeeeee ENDELEA TYU. UMEUWAAAAA F. A. SAFI XANA. napenda xana mziki wako napenda xana mziki mzuri. Sichagui wala sibagui nasapoti mtu anae imba mziki mzuri basi

  • @chimamychimychimamy8482
    @chimamychimychimamy8482 5 лет назад +25

    Nalikubali kubwa mwana fa from Kenya+254 kama unamkubali mwana fa ngonga like hapa big bro 😘😘😘😘

  • @ebrahimuselemanindani8079
    @ebrahimuselemanindani8079 5 лет назад +5

    Mimi siyo mgeni hapa,najua miili inapozikwa/
    Nina kitabu hapa,najua nini kimeandikwa.
    #WeEndeleaTu.

  • @christophersoty101
    @christophersoty101 5 лет назад +55

    Hili lijamaa linajua thamani ya mb zangu
    kwa ngoma hii Kwanini nisimalize bando
    👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪💪💪💪

    • @barakambuya2902
      @barakambuya2902 5 лет назад

      Endelea tuu Bonge LA nyimbo,falsafa katisha

    • @samwelcharles74
      @samwelcharles74 5 лет назад

      Hahaha! Hata mm nimerudia zaidi ya mara 20..kweli huyu mwana FA

  • @godfreyeugentarimo101
    @godfreyeugentarimo101 5 лет назад +5

    Mm ninavyoon hii ndio itakua ngoma boraa sanaa katika huu mwakaa nani anabishaaaa

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 5 лет назад +1

    Hao waliodislike ndio wachawi waliodhani Wao hawafiwi😀😀

  • @zenchmathias6755
    @zenchmathias6755 5 лет назад +1

    Haujawahi kufel bro,, nakukubal Leo kexho mpaka milele

  • @alifarah9459
    @alifarah9459 5 лет назад +7

    Huyu Ndoo msanii namba 1 Bongo nzimaa hatarii gemuu imemisi hizi kaziii sio zogooo la Vumbi

  • @noelphilipmollel6355
    @noelphilipmollel6355 5 лет назад +55

    Hii ngoma hatari sana....inapaswa kupigwa remix na malegends karibu wote..awa watoto waskuiz wanazingua sana....thanks for good music

    • @adamumkomwa2143
      @adamumkomwa2143 5 лет назад +1

      Noel Philip Mollel real

    • @abdullytwaha978
      @abdullytwaha978 5 лет назад

      Uko sawaaa

    • @maleop2950
      @maleop2950 5 лет назад +1

      Hizi flow za kigadhabu achia warabu
      disi hip hop za wenye hip FA Whatsap

    • @maleop2950
      @maleop2950 5 лет назад

      Miendo ya ngamia juu ya maji eeh ya filauni

    • @maleop2950
      @maleop2950 5 лет назад

      Huku tunakanyaga tamu na kutetema,
      Kwangwaru kwa mademu sio mchezo Wa kusema

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 5 лет назад +10

    Nilikua nangoja sana Mzazy FA utapakua nini na lini but umeangusha mzigo mkali FA yuleyule misemo full kujiachia

  • @pitahkym8806
    @pitahkym8806 5 лет назад

    Kenya tumekubali waambie wakanyange polepole wasije wakajikwaaaaaa!

  • @nickomdete7232
    @nickomdete7232 5 лет назад

    its we ni mwanafalsafa maana duuh watoto hawawezi elewa ila ss wakongwe tunakupata 100%

  • @beckarluhanga8421
    @beckarluhanga8421 5 лет назад +22

    Sisi ndio wagosi tunaweza uza Ng'ombe kwa kesi Ya kuku lazima tushinde big up Mwana FA mgosi wa ndima Kama mbwayi mbwayi tu

  • @falsafayohana4985
    @falsafayohana4985 5 лет назад +9

    Kwani je haya ndo mambo sasa misamiati kama yote ::::: we endelea tu kwa Mungu hakuna majungu

  • @iddidhidha1869
    @iddidhidha1869 5 лет назад +18

    one of the best in E.A without a doubt! Hujawahi kutuangusha mafans wako!

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 2 месяца назад +1

    Mwana FA ni Manufaa ❤❤❤❤from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @esterwilliam3309
    @esterwilliam3309 5 лет назад +3

    Oyooooooo... Wanao amini kwa MUNGU hakuna majungu.. waendelee tu... Like mingii hapaa

  • @sultanhassan7928
    @sultanhassan7928 5 лет назад +11

    Hata kama hukipendi kukiheshimu inabidi🙌
    Wangapi wamepata vibes za 2010
    👇

  • @ayanmilitiatmk146
    @ayanmilitiatmk146 5 лет назад +81

    Ma legendary are back with a bang💪💪💪💪,we endelea tu 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shedkawinda3627
    @shedkawinda3627 5 лет назад +16

    Heshimu pesa baada ya dini ......... We endelea tyuu... Eeh bhn gonga like hapaaa

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 5 лет назад

    Mwana fa we endelea tu maana ukitoa unatoa bila kuboa, watoto wanaochafua mziki wanakujua kua we noma ,wape habari wenye habari zao 7bu kwa Mungu hakuna majungu....we endelea tu

  • @kyokweteisack1949
    @kyokweteisack1949 4 года назад +14

    Huwezi kutupangia. Tushavuta sana milango iloandikwa push..na trust me inafunguka..
    You always make music feel easy maana mistari migum ila unaitema kama umezaliwa nayo. Big up FA.
    Keeping th good music alive.

  • @kelbeckmusicworld1736
    @kelbeckmusicworld1736 5 лет назад +20

    Kimewaka 🔥🔥🔥🔝 gonga like twenzetu na burudani🎬

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 5 лет назад +4

    Hawa ndoo ma legends sasaaaa.. mziki safi

  • @jumerramadhan1617
    @jumerramadhan1617 5 лет назад +55

    All the way from 🇰🇪 the legend is back with a great message❤️❤️💯

  • @planbmauwezo4853
    @planbmauwezo4853 Год назад

    Ukisikia wahuni nd hawa cy muhun utembee na wembe good F A

  • @omaryjuma803
    @omaryjuma803 5 лет назад +1

    Et amua mwnywe utazik au utasafirisha # mwana fa uko juuu mkubwa

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein748 5 лет назад +17

    Daa!bonge la hit 🔥👊💥Subira haivuti bangi!......

  • @mwanaidimsangi6275
    @mwanaidimsangi6275 5 лет назад +9

    we endelea maisha co lazma uvalie kikoiii
    anajifanya anakuamua mshike mpge mtama ckunyngne acrudie
    kwa mungu hakuna majungu mwanafa

  • @mohamedkipingu4807
    @mohamedkipingu4807 5 лет назад +23

    Nyimbo kali sana Mwana Fa sema hapo kwenye chorus angekaa G nako ingekuwa kizazi sana

  • @hawasalehe1233
    @hawasalehe1233 5 лет назад +1

    Nakupend xana mwanafA .....unajuwa kaka. Anayebixha mbana pua.

  • @marionsteven8198
    @marionsteven8198 5 лет назад

    Maisha siyo lazima yakubali kwani unayadai??? 😀 #falsafa ...we endelea tu...🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @karanidicky5338
    @karanidicky5338 5 лет назад +4

    Imenyooka Mzazi, Kali i sei

  • @luvunodzunga5131
    @luvunodzunga5131 5 лет назад +61

    From Kenya this Extravaganza 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @slimpirate6020
    @slimpirate6020 5 лет назад +16

    The one man Army 🔥🔥🔥🔥🇰🇪👏👏👏 najua kuna wenye wameanza kustuka juu hii real hip hop come back💕🔥

  • @vicentmatius9361
    @vicentmatius9361 5 лет назад

    wakikuuliza unaendeleaje wambie vizur anae kuamua ana kushka upigwe isha wahi kunitokea

  • @bamatv651
    @bamatv651 5 лет назад +1

    Mafundi sikuzote wanajua wanachokifanya....Heshima za kutosha kwako Hamisi Mwin'juma

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 5 лет назад +25

    Amua mwenyewe Utazika? Utasafirisha? (mwana FA).

  • @aysha4102
    @aysha4102 5 лет назад +4

    ChoirMaster❗️

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 5 лет назад +137

    Wa kwanza ku comments gonga like kama unamfatilia huyu jamaa 💥🔥🔥

    • @deogratiussiriwa1384
      @deogratiussiriwa1384 5 лет назад +1

      Habily Boy huwa akosei mwamba%√

    • @Ambwenefilm
      @Ambwenefilm 5 лет назад +2

      FAHAMU || Msitu hatari zaidi duniani || kuna viumbe wa ajabu (Romania)
      ruclips.net/video/Sd6ZVMsxLxY/видео.html

  • @sahirstimajr4394
    @sahirstimajr4394 5 лет назад +1

    Kaka umewaza nini...... Tanga juuuuuuu

  • @hassanzubeir7350
    @hassanzubeir7350 5 лет назад +1

    Tafta hela zakutosha ila usipege nazo piacha😊👏👏👏

  • @agacksatinda4990
    @agacksatinda4990 5 лет назад +7

    'Amua mwenyewe utazikwa utasafirishwa'

  • @chrissymetics5132
    @chrissymetics5132 5 лет назад +26

    Mi NAENDELEA tu kuwatch na nipo #FYN by falsafa🙌🙌

  • @rashidyhemedy5110
    @rashidyhemedy5110 5 лет назад +4

    wakikuuliza naendeleaje waambie vizuri zaidi ya jana,,,miluzi mingi ila kubwa la jibwa sipoteii,,,dah respect sana brooother💪💪💪💪💪

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +1

    Wale wabana pua wapo wapi natamani waisikilize hi ngoma waachane na nyege, wasikie vina humu na mpangalio wa beti ama kweli wenye mziki wao wanasafisha mazingira hi ngoma ukimtwisha dogo janja anadondoka nayo chini hatoi hata mguu

  • @costantinerichard2095
    @costantinerichard2095 5 лет назад +6

    Tuliikumbuka hii sauti na imeludi kwa kasi ya hatari 👑👑👑 nakuele mfalme mwana f.a we endelea tu kutuletea mistari bora Tanzania

  • @sir.dejemantatz6261
    @sir.dejemantatz6261 5 лет назад +37

    Bro @Mwanafatz respect.. Ni rehema za Mungu tu,na maamuzi yake tu..🙏

  • @wambulasson2592
    @wambulasson2592 5 лет назад +6

    Kisasi hakitanitibu ila na ww utakuwa umeumia!👏👏👏👏😁

  • @andrewshirima9575
    @andrewshirima9575 5 лет назад

    Daah duniani hamna mtu mwembamba F.A sasa hivi na ye kawa mbavu

  • @ahdakhalid3384
    @ahdakhalid3384 2 года назад

    Kichupa na nusu🔥🔥 falsafa unajua mpaka unajua tenaaaaa

  • @alicekashumba3032
    @alicekashumba3032 5 лет назад +19

    Hao walio thumb down wote wana utindio wa ubongo...what the hell🙄..masikio yao yapo sawa kweli...this issa💣💣

  • @ridhiwaniselemani5106
    @ridhiwaniselemani5106 5 лет назад +10

    "anayejifany anakuamua anakushik upigwe babu, mtie mitama skuingine ashik adabu" 🗣🗣Faaalsaaafaaa hatar sanaaa

  • @samirmussa3906
    @samirmussa3906 5 лет назад +5

    Ila hii nyimbo ukifanya masihara unaweza usijue kilichoimbwa umu ndan,,,Bonge LA ngoma father...GOD BLESS YOU

  • @Mwalubalile
    @Mwalubalile 5 лет назад

    Kizazi sana hili goma hata sichoki kuliona RUclips

  • @dfinaldavillagekingfinalki6170
    @dfinaldavillagekingfinalki6170 5 лет назад

    Mwana cjuinikupe heshima gani wewe king wa flavor za bongo

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 3 года назад +21

    This man mentions God in most of his songs like every beautifully crowned eternal soul

    • @ahdakhalid3384
      @ahdakhalid3384 2 года назад +1

      That’s why he’s called the “PHILOSOPHER” aka falsafaaa🥳