Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hongereni kwa kudhibiti vifo, na maerezo yako ukosahihi, kuku anatakiwa kukingwa na siyo kutibiwa, niko katoro geita, mi pia mfugaji
pamoja sana ...
Kazi nzuri Mungu azid kuwatangulia
amen , asante sana
Hongerasana kwa kazi nzuri. Nami najifunza kutoka kwenu
asante , pamoja sana karibu
Kazi nzurii na ni uwekezaji mkubwa kazi isonge mbele🙏🙏❤️
Asante
Naoenda sana kufuatilia kipindi chochote kinachotoa mafunzo yaufugaji wa kuku naipenda sana hii kazi
asante sana karibu...
Kazi kwa kazi kbs...Ila tunafanayaje tunapotaka kuanza ishu kama ivo
asantee sanajitahidi kufwatilia video zetu zote utapata kujifunza mengi na namna tulivyo anza. asantee...
Nice and keep up the good work
Thanks!
Ni jisanvu cha ile mihogo mikubwa? Hongera sana
Kisamvu cha kawaida
Hongerasana kwa kudhibiti vifo
asnate sana
Well done
thanks
Great work
thank you
Nipe namba yasimu
Broiler ? Ndio chakula Gani?
Broiler starter na layers starter itakua ka jichanganya apo kidogo
🎉🙏🙌
🤝
Kwahiyo kufagia ni vipi
Wee 15 or 16 kwaiyi layers wanaanza kutaga miezi 4?😮😊
Uakika kuanzia wiki ya 16 kama wanakula vizur
Ata uwape chakula kizuri vipi hawawezi kutaga na miezi minne kutaga wanaanza na miezi 6 adi 7
@@lucasrobert3791ata miezi mitano wanataga ukiwapa egg booster wanaanza na miezi mitano
@@lucasrobert3791Kwa hiyo taarifa zao ni Uongo!!!Eh!!
Labda niwashauri kidogo, Hizo kamba zining'inizazo vyombo vya maji na chakula nadhani si IMARA.Nadhani mkitumia binding wire itakuwa afya zaidi.Hata hivyo, Hongera zenu
Hongereni kwa kudhibiti vifo, na maerezo yako ukosahihi, kuku anatakiwa kukingwa na siyo kutibiwa, niko katoro geita, mi pia mfugaji
pamoja sana ...
Kazi nzuri Mungu azid kuwatangulia
amen , asante sana
Hongerasana kwa kazi nzuri. Nami najifunza kutoka kwenu
asante , pamoja sana karibu
Kazi nzurii na ni uwekezaji mkubwa kazi isonge mbele🙏🙏❤️
Asante
Naoenda sana kufuatilia kipindi chochote kinachotoa mafunzo yaufugaji wa kuku naipenda sana hii kazi
asante sana karibu...
Kazi kwa kazi kbs...
Ila tunafanayaje tunapotaka kuanza ishu kama ivo
asantee sana
jitahidi kufwatilia video zetu zote utapata kujifunza mengi na namna tulivyo anza. asantee...
Nice and keep up the good work
Thanks!
Ni jisanvu cha ile mihogo mikubwa? Hongera sana
Kisamvu cha kawaida
Hongerasana kwa kudhibiti vifo
asnate sana
Well done
thanks
Great work
thank you
Nipe namba yasimu
Broiler ? Ndio chakula Gani?
Broiler starter na layers starter itakua ka jichanganya apo kidogo
🎉🙏🙌
🤝
Kwahiyo kufagia ni vipi
Wee 15 or 16 kwaiyi layers wanaanza kutaga miezi 4?😮😊
Uakika kuanzia wiki ya 16 kama wanakula vizur
Ata uwape chakula kizuri vipi hawawezi kutaga na miezi minne kutaga wanaanza na miezi 6 adi 7
@@lucasrobert3791ata miezi mitano wanataga ukiwapa egg booster wanaanza na miezi mitano
@@lucasrobert3791Kwa hiyo taarifa zao ni Uongo!!!
Eh!!
Labda niwashauri kidogo,
Hizo kamba zining'inizazo vyombo vya maji na chakula nadhani si IMARA.
Nadhani mkitumia binding wire itakuwa afya zaidi.
Hata hivyo, Hongera zenu