Nita drive by Zabron Singers (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 3 ноя 2023
- (c) MKONO WA BWANA
Zabron Singers songs OUT WORLD WIDE ON MAJOR DIGITAL STORES
onerpm.link/Ukosingle-Zabrons...
Written by japhet zabron
Follow zabron singers on
zabronsingers?i...
m. story.php?stor... - Видеоклипы
Zabron tunawapenda DRC sana... Hakuna wakuwapinga East Afrika yote.
Wanayo kubaliyana nami muniwekeye like 💪
amen tunawapenda pia wakongo
Amen sana Nawapenda
Pia Sisi Wakenya twawapenda zablon singers. Spread the gospel trustfully.❤❤❤❤❤❤❤
true🎉❤
Amazing❤❤,on behalf of my fellow Kenyans,we love you very much,keep up the good work!❤️💖🙏🙏
We also love kenyans
@@ZabronSingers Asanteni sana!💖❤️🙏🙏
@@ZabronSingers karibu kenya mombasa tuwaskie pia sisi
Amém 🙏🙏
And on behalf of Ugandans🇺🇬🇺🇬🇺🇬👏👏👏🙏🙏
Struggling very hard to make it but leaving this comment in 2024 believing one day i shall reread it when have made it🤲Grace upon my life🙏
Amen🙏
You've written on my behalf
Huu wimbo hakika ni wa baraka katika maisha yangu first time niliusikiza mara kumi indeed you are just blessed the zabron singers🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉
Nitadrive kwa jina Lake Yesu....👏
The pain am passing through may Lord see me through 😢it isn't easy the song is a blessing 🙏
Wow🎉❤❤❤❤
As a Muslim am proud to say this song has blessed me because my new Prado TX will be arriving at the port on Tuesday next week....for sure nitadrive,,,,glory be to God
Amen
Wooow glory be to God
Ameen🙏
Here we are praising the real God Jesus Christ and the right blessings not the skewed one.
Congrats
Am writing this comment so that in five years l'll come and say this song was my manifestation 😊...... l'll drive, good life 😊.... don't keep quiet say it, claim it in Jesus name 🙏
Wow wow wow sweet song nice video kama huu wimbo umeunda kwa %100 gonga like hata moja tuuuh kwa ajili ya wimbo mtam na waimbaji wenye quality ya juu
Hata mie Mungu baba nina ombi leo hii. Moyo umeumia na shida zimenisonga. Leo nakwambia shida zangu. Yabadilishe maisha yangu, nibariki na kanyumba kangu, kagari kangu, kiwanja cha kwangu niende benki nihesabu pesa zangu na niishi maisha mazuri❤
Kenyans are the greatest supporters of Gospel music mostly in East Africa... They are the first ones to comment.. And it's a blessing 🙏
mbarikiwee na Bwanaa🙏🏼🧎🏻♀️ nita drive na mm kabla mwaka huu kuisha 😊
I will drive in the name of Jesus, hata vipesa vyangu nitavihesabu, Amina, wapi likes aki
Hakika tumebarikiwa mnooo Mungu awatunze awalinde na azd kuwatumia nyimbo zenu zinatuponya zinatuinua zinatubariki nimefurahi kwann niume moyo wkt yesu upo nitafagia kanyumba kangu nitaesabu vipesa vyangu 😊😊😊 so powerful I receive it in Jesus name AMEN
Nitadrive,nifagie na kanyumba kangu,niende benki nihesabu na vipesa vyangu.God here my prayers
A Spirit filled choir indeed!❤.
Can't stop listening, God bless you all.❤
Wow what an amazing song... nitasema yote kwako Yesu be it my relationship, be it my life, be it blessings I.e nitadrive, nifagie kanyumba kangu, familia bibi mrembo na watoto finest, pesa nazo Kwa account God nakuaminia 🙏🏾🙏🏾
😂😂😂😂😂it's Nini mrembo for me 😂😂she will come from God
@@cynthiabirech9365 Nasiukue huyo mrembo 😂😂😂😂😂
@@josephkaruga5495 😂😂😂😂😂😂
@@cynthiabirech9365 😂😂😂😂
Wow...wow...wow
Hakuna kunyamaza tena....
Kama batimayo nitaongea sijali watakalosema watu....
Nitadrive...nitafagia kanyumba kangu....nitahesabu hela zangu...Amen.
Kazi nzuri hapo. Mungu azidi kuwainua
sending love from kenya, mimi nitadrive katika jina la Yesu
Kuna vitu vingii NITADRIVE imebeba well done zabron singers Kwa kitu cha kutufanya tumwambie yeu haja zetu. I hope Kwa neno la Bwana soon NITADRIVE💪💪🙏
Mungu awe pamja nanyi tunawapenda sana janiiiii
Indeed ipo siku: nitadrive,,nifagie nyumba yangu,nihesabu vipesa vyangu....Mungu yupo❤. Be blessed zabron
Nmependezwa vile mumevaa kishago😊kwanza wewe Victoria na huyo wa boda hongera sana na wengine wote
😂 aminaaaa
Mshakoswa Cha kuimba nyie, rudini kwenye msingi acheni kuwa wahuni . Make siku hizi mnaimba vinyinbo vya ovyo kweli kama wasanii tu yaani. Au msajiliwe tu kwenye bongo fleva.
Kenyans, let's gather here 🎉🎉🎉, this is a banger ❤
Lazima tu drive 🎉🎉🎉
Amen
Wamerudi tena....kwaya yangu pendwa 😊😊😊
ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana na Bwana
Pia natumai siku moja mungu atatenda nipige na nyi collabo mi pia ni msaani wa nyimbo za injili 😢
Yanini niumie moyo hata ucjal❤️❤️❤️❤️wakati yesu upo🙏🙏🙏🙏Naamini we upo❤️🙏❤️🙏
Hongereni sanaaaa kwa wimbo mzuri, MUNGU awabariki,, napenda nyimbo zenu maana nyingi zinanigusa sana ikiwemo na za japhet zabron
I dedicate this song to all kadama's working in gulf much love❤❤❤❤❤❤ tutadrive na tutafagia manyumba yetu tutaenda mabank na tuhesabu mapesa yetu shout out a big Amen.
Amen🙏🙏🙏
On behalf of Kenyans..this is pure talent,.. great music❤❤❤
Amen Amen nitanunua kashamba mwanxo ndio ni drive badae in Jesus NAME
Mungu azidi kuwajalia afya njema❤❤
Nitadrive, nifagie na ka nyumba kangu, niende bank nihesabu na vipesa vyangu in Jesus name Amen🙏
Yanini niumie moyo wakati yesu upo
Good songs ,mbarikiwe wapendwa
Hakika munajuwa kubariki mpaka uvunguni mwa mioyo ya watu hakika mungu ni mkuu na mnajuwa kuvaa uhusika
Shikamooo
Shinyanga
Nitadrive na kufagia kanyumba kangu in Jesus name
Be blessed guys for the encouraging song
Amen,I will drive in Jesus Name,glory be to God,thanks Zabron for the encouraging song.
ruclips.net/video/HsVfkj4MLwc/видео.html
Kweli I don't know what to say but mumenitia moyo.sana thanks for the nice song love you more
T5
Mungu awabariki wapendwa katika christo tunawapenda sana hapa Zambia
Nita drive,niende benki na na nijeenge kanyumba kangu,kwa jina la yesu🙏
I manifest in Jesus Name 🙏. Amen . Great, happy life is my portion.
The creativity behind this video is remarkable 🙌🏽🙌🏽🙌🏽💯❤️
Mmeonesha ualisia wa mangaiko ya wengi ya kila siku.
Mungu awabariki sana kwa ujumbe mzuri
Tunawapenda sana ❤️🇨🇩🇨🇩🇺🇸
#wakt Mather mwaipaj anaomba kufundishwa kunyamaza cc uku hatutanyamazaaaa and we all praying the same God
😂😂
Amina 🙏 Nitadrive katika jina la Yesu, upendo kutoka Kenya 🇰🇪
The song amazes me with the point it says that 'ya nini niumiee moyo wakati Yesu upo'
I proclain time like now next year i will be here driving my very own
Sinyamazi ntaongea
From kenya much love
Mungu awabariki watumishi wa bwana Mungu huwapa vitu vzr hamnaga kazi mbovu... ushauri lekebisheni kidgo kwenye digatl yaani wimbo ukitok tu immediately ufike kila konaa
Kwanini Niumiy nawewe MuNGu upo naamini Iposiku MUNGU Atayafuta machozi ❤❤❤❤❤yangu 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️
Sichok kuisikiliza hii nyimbo Kila siku naipenda sana inaujumbe mzur mno Mbarikiwe sana
Mambo makubwa Ambayo Mungu anaenda kunitendea ni makubwa ...
Nitadrive, nijenge ghorofa, nipate vipesa niweke bank
I'm th First to watch it. Be blessed my beloved choir
Big up ubarikiwe sana
Me too
Dk chache imenivutia zaidi kusikiliza na kichwa cha wimbo, mmeenda na vile muda unavyotaka.
Yesu upo me sijali ya wanadamu, barikiwa sana kabisa.
🙏Sitanyamaz kumweleza YESU
chukuen maua yenu zabron singers💯
Ubalikiwe kamanda wa yesu ubalikiwe sana mpaka ushangaee kazi Yako njema sana
This is a good and inspiring song.nitadrive in Jesus Name nitafagia nyumba yangu sio za wengine in Jesus Name
Nazid barikiwa Sana hasa na Dada angu Lea Thomas hakiwa hapa mmoja wa kwaya
Kwanini niteseke na Yesu yupo, thank you Zabron singers.
Hallelujah:wimbo huu ni nzuri Sana Mungu azidi kuwapa nguvu
Hata Mimi naamini Nita drive in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🇰🇪
New anthem in this tough times. Thank you Lord.
From Kenya.... Wapi likes lovers of Zablon Singers❤❤
Waoooooo amazing song mzidi kubarikiwa wana wa Mungu naipenda sanaaaaaa huduma yenu
Mazingira safi sana,, ya kazi za watu wengi,
Mbarikiwe sana Zabron singers
Najua hamjaambiwa Shusho anakuja Kenya you guys should tag along. You really bless me😊
Wimbo mzuri.barikiwa sana Mr zabron na group lako
Wapi likes zangu wadau , this song is incouraging
❤❤❤❤ Amen watumishi wa mungu hongereni sàna 🇰🇪
Amen amen. Nitaseka kwa Yesu shida zangu zote
Kwa nini niumue moyo, nichekwe, na kudharauliwa wakati yesu upo. Naamini na mimi mwaka huu nitadrive kwa uwezo wako yesu wangu
Surely what a wonderful song.Aki hii imewahi.lazima ishike ... 👌👌👌👌👍
Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya tofauti. Nimebarikiwa na ujumbe mzur
Nitadrive na nifagie kanyumba kangu,niende benki nihesabu pesa zangu.Amina
Niko hapa kuwakilisha batimayo wa leo💪💪💪 nipewe like
Napenda nyimbo zenu keep up the good work Mungu awaongezee
Yes,yes nita drive,nitajenga nitaenda benki nihesabu na pesa zangu🙏🙏🙏
❤❤❤ all Rwandan we love zabron too much!
hiii nyimbo imenisisimua sana kwa kweli.. Mungu awalinde mzidi kutuokoa na tujue mtetezi wetu yupo hai kupitia nyimbo zenu...
Vipesa vyangu benkini nivihesabu 😂❤ nami.Yesu hunitakia maisha mazuli.
In Burundi we are following the very good gospel messages from Zabron singers. May God bless you. I will also drive in the name of Jesus Christ.
Revelation of my life,i ll drive and have all good things, good health happiness,peace ,joy and soft life in the mighty name of God amina🙏
Amen kubwa , barikiwe sana watumishi wa Mungu
As a Maasai We are Much proud of you May God Continue Grant you Favour and keep glowing 🙏🙏
Yeah sure🙏
Hiii ni nzuri mno hapo kwenye kufagia na kanyumba kangu mmeweza sana big up ticher kwa kufikiria
Jmn wimbo umenibariki sana😊😊😊😊 nawapenda zabron singers Mungu azidi kuwainua daima
Utunzi mzuri sana, wimbo mtamu sana, Mungu awabariki sana mdrive nyote kila mmoja na gari lake,mpate hata ndege🚙🚚🚗🚁✈️🚀🛫 Kenya tunawapenda❤❤
Mungu awabariki sana nawafatilia kutoka Dubai Bwana awabariki sana
Seba amsungulile lubango baba ba ng'wamulungu namtogilwe nonono!!!.
Zabron singers never disappoint.Thanking God for you.From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love.
Woooow ya nini niteseke wakati Yesu yupo jamaniiiii🎉❤
Amen 🙏,zabron singers , nyimbo zenu huniiinua sana ki Imani wakati mwingine napitia mengi natamani kukata tamaa ,lakn nyimbo zenu hunipa nguvu 😢
Nita drive...naamini nita drive ❤❤. Wimbo mzuri huu
Zabron singers nawapenda sana!! I am from Rwanda
Kenyans gather here and support this ministry ❤🎉
My prayers 2024 in Jesus.You really bless us.God see you through
My new favorite song it reminds me that no situation is permanent.We'll get there with prayers and persistence ❤
Wimbo Mzuri ✍️ Hongera
Sana mtunzi Wa Shairilenye falaja ya mafanikio 💯🔥🔥
Lubumbashi, drc tuna jengwa n'a nyimbo izi
Nawapenda sana Zebron's family,ata na mimi nita-drive,nifagie nakanyumba kangu,niende banki nihesabu navipesa vyangu🎉🎉🎉your songs make me happy everyday❤❤❤❤
Nita drive na kufagia kanyumba kangu ii mwaka kwa jina la mungu
Nita drive na nihesabu vipesa vyangu. Nifagie linyumba langu 😅😅😅
Ni kweli ukimya wakati mwingine ni kikwazo, unabaki unaumia moyoni😢balikiwa na wimbo huu...