Rich Mavoko rasmi WCB, kasainishwa rasmi leo
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Mwimbaji wa bongofleva Rich Mavoko amesaini rasmi kuwa chini ya lebo ya WCB ambayo inasimamiwa na Diamond Platnumz akiungana kuwa chini ya lebo na wakali wengine ambao ni Raymond na Harmonize.
naipenda cruu hii atar
uku babu tale kule babu fela, Hapa salama, duuu nishida san
diamond, rich mavoko, raimondi, harmonize, duuuu shiiiida san apo
Karibu sana kwa watu wa kazi #WCB
I hop 2mor namm nitakua hapo
hongera sana kwa mavoko na platnum kuwa pamoja kazin mungu ni mmoja
Hongera sana team nzima ya WCB nimefurahi sana
hongera simbaaa kwa kuikuza bongo fleva
Haya tumeelewa mchukueni na miror... Hongera zenu pigeni kazi
wamchukue Hawa sasa Yule binti ana sauti na mashahiri. ....plz wasifi
hongera rich mavoko na diaomond kwa hilo ni jambo la heri sana bongo flaver itafika mbali kwa umoja wenu wasanii.
ishallah
Hongera kwa muungano wenu
karibu chama lawasafi ililinaitwa mwendo kasi hatamajilani maisha yakiwashinda karibuni wasafi chama lamwendo kasi
big up kwa kaZ nzuli
penda sana baba tiffa na rich wapiii mkubwa fera
thanks diamond for this WCB
Safi saaana naona Maaafisa mbalimbali wa WCB wakifanya yao katika kuhakikisha wanalifikisha bali Gemu
Tambariza mziki mavoko nakuaminia
kazi njema maa braazaa mwahitaji pongezi
wengine wako uchi
Nawakubali wote Aiseeeeeeeeee hapa WCB tu
Gud one simbaaa
Hongera
hongeraa
wow! datz ma lebo
shukrani brother millard
mavoko pamoja na kusain hapo ngoma yake yakawaida mno kwanza cjaikubali
great!
Then Work
it doesn't matter what you do in life! sometimes it matters where you end up in life.
Keep do what you believe is best.
Hapo sasa ndo nimeamia rasmi kuwa mshabiki wa WCB
Mafundi wanazidi ongezeka... ndan ya WCB
big up
WCB mko poa sana, mtaikuza sana sanaa ya Tanzania, ila inabidi muww na mtu wa itifaki (protocol officer) ambaye atawashauri nani atafanya nn na nini kifanyike wakati gani wakati wa press conference. kwamfano hapo microphone hazikutakiwa kuondolewa, ila mazingira yalitakiwa kuandaliwa vizuri kwa kusain mkataba na wasanii kuzungumza, nipeni kazi hiyo, mimi ni mtaalamu wa hayo mambo
Safi
Naam WaSaNii Na Lab£l imesimama Cha muhimu KAZI Na R£sp£ct viwe Ndo Msingi Wa Kilakitu...Big Up Wcb.
penda sana WCB kazi njema
SIMBAAAA NA WANAWE
gud
Diamod Platinum amejitahidi sana kuufanya mziki kuwa kitu Rasmi na chenye heshma yake, yaani hapo kama vile mchezaji anasajiliwa kuingia kwenye Club kuubwa sana ya soka
ni zaid ya saf !
nakupa kongole rich mavoko kk wa nguvu.diamond meno ziliharbk na ugoro akavaa zakubadika mudomo kama bebe huo
mbona Qboy ama simsanii wa WCB
hapo chachaa
WCB (WEMA CHIBU ------------------------------😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 you win baby
+Zainab Wanja 😂😂😂😂😂😂😂😂help me to find the meaning 4 WCB????
sasa wewe nawe Wema ametokea wapi
d huyo nyuma yakk nani maan iyo nguooo aibuu
@millard Ayo. my dear sometimes you have to translate in english as well, cause you have alot of english speaking followers. Ok sweetie. Thanks alot.
This is a bitch ideal but Mavoko smart move Nigga make some money I hope Ali Kiba doesn't end up in their that will be a bad reputation for him 💯.
shindwe saitan in the name of God ...Ali ni kipenzi cha watu nahatakuja kujiunga nao riswe
+Esther Wangare kuusemea moyo ni mzigo
+Esther Wangare haaaaa
shair don't u know wat All signed a deal of milions which will help his career 5yrs from now
kiba ajiamini na twamkubali xnaaa.