Dada Merry uko munzuri bona na kimo nzuri (urefu wako). Kwa nini unakosa bwana ??? Najapo unazungumuza vizuri. Ni tabia ngumu ? Ao nje ? Mume awe anakupenda umesema. Hofu ya Mungu siyo garantie ya ndowa. Sema awe napato. Awe na uwezo wa mpesa. Uko munzuri ndiyo. Na wewe unapashwa uonyeshe mapenzi kwa bwana ao muchuba utakaye mupata. Karibu kwetu Bukavu🙏🇨🇩💟
Dada Marry nimependa neno lakumuogopa mungu maana hauwezi ukamufanyiya kibaya mmewe au mkewe kama unamuogopa Safi Sana ningekuwa TZ ningeku tafuta ,hapa niko South Africa
Mimi ni ezee son from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩 yaani nakupenda sana marry❤❤
Dada Merry uko munzuri bona na kimo nzuri (urefu wako). Kwa nini unakosa bwana ??? Najapo unazungumuza vizuri. Ni tabia ngumu ? Ao nje ? Mume awe anakupenda umesema. Hofu ya Mungu siyo garantie ya ndowa. Sema awe napato. Awe na uwezo wa mpesa. Uko munzuri ndiyo. Na wewe unapashwa uonyeshe mapenzi kwa bwana ao muchuba utakaye mupata. Karibu kwetu Bukavu🙏🇨🇩💟
TALO
Shukran za dhati Marry kwa kudhibitisha bangi nyingi hii anatumia Yule boss Mweusi
Dada Marry nimependa neno lakumuogopa mungu maana hauwezi ukamufanyiya kibaya mmewe au mkewe kama unamuogopa Safi Sana ningekuwa TZ ningeku tafuta ,hapa niko South Africa
Haki hiyo nikweli dada merry haki mungu atabariki utaolewa kwetu ❤️👏👏
Mimi ni ezee-son From DRC🇨🇩🇨🇩 nakupenda sana marry
Muulize, kasema kwamba hana mchumba, mbna alienda mr right???
Marry i love you
Merry kwakweli anastahili kweli sababu ya hakili yako
Ungali ni fufu ao foufou katika lugha ya lingala.
😅😅ndiyo
napenda merry
❤❤❤💕👌👌
Nisikufiche, , Mary napokuona unvutia, , juju zako zavutisha, , hivi mbona usinipe nafasi
Naomba no ya Mary plz
Acha kujichubuwa merry unaharibu urembo wako ❤
Kwani unamfahamu, mbona hiyo Ni rangi yake na anapendeza, tuseme tu labda una wivu.
Wivu tu hawa wanajua kila mweupe anajichubua@@modestferdinand2357
We pangi paka kwa mastar kama hauna kitu yaku komenti wakya wewe😂❤
Nipe namba ya merry nimuowe Mimi nimulete south Africa
Haujaoa na je utamtunza
Tafuta hukhuko mbon wapo
Hiyo nitama
Mengi Tv Nampenda huyo dada.. Nipeni contact zake.. plz naomba
Unaziomba zanini wewe
😂😂😂 marry ugali kwa kingereza unasema ni nini😮 fufu ni kwa luga ya kwetu Congo 🇨🇩😊 bhana, hiyo ni lingala kabisaaa😂😂😂
Utawahi kufa we endelea kupenda kukaa peke ako
Good 👍👍👍
Hiyo hofu ya Mungu wewe unayo
Mary umejawa na ujasiri.
Nimependa uyo dada
Jmn stive Hana baya
Mbengo wewe una maswali mengi sana kasema kwamba Hana bwana mutoto atatoka wapi sasa?
Merry mbona umejichubua ,Tena unapunguza ulembo 😂😂
Kumbe hua anajichubua mm najua ndio ramgi yake mrembo uyo
By the way im tarik ningependa tufaamiane dada
@@lahdadibrahim5006
Hahaha 🤣🤣
Wewe ndo kikyubuzi siyo dada merry
Marry, njoo bac mm nkuowe
Una mchumba?????
naomba number yako marry