Vipaji Kambin nyarugusu kigoma Kila Siku wakomani saluti kwenu, tunasuburi kadi za uraiya tu muoneshe vipaji vyenu vizuri Tz hongera mdogo wangu unaweza
Claam huyi mutoto muruhuhusu awe karibu na wewe maana anawonekana kwa kazi zako atakufaa ukisha mufunza bing kwa bile unatufurahisha saan kwa kazi zako
ni ushauli wangu t mtoto kama huyo akikwambia mzazi au wazazi wake walifariki we muelewe t make wengine wanaroho ndogo wanaweza Lia mkahalibu mahojiano yenu
Nimekubali sana huyu dogo anaweza, Clam amsapoti sana maana ndani yake mnakitu.
Vipaji Kambin nyarugusu kigoma Kila Siku wakomani saluti kwenu, tunasuburi kadi za uraiya tu muoneshe vipaji vyenu vizuri Tz hongera mdogo wangu unaweza
😢😢😢
Kiiam ana misifa sana
Comment gani izi
Claam huyi mutoto muruhuhusu awe karibu na wewe maana anawonekana kwa kazi zako atakufaa ukisha mufunza bing kwa bile unatufurahisha saan kwa kazi zako
Dada mtangazaji unapendeza ukivaa hivo yani nilikua nimekusahau mashaAllah
Halfu pia ni mrembo MASHALLLAH ❤
@@hamisuuhamadi1663 tena sana bro huyo dada ni mrembo mungu amjalie kuvaa hilo vazi siku zote
Maansha Allah umependeza Dada Endereya kujisitili mudogowangu Allah Karim ❤❤❤❤
mtangazaji umependeza sana endelea kuvaa hijab ❤❤
Wooh mashaallah dada umedamshi kukupenda tu ndiyo kitu najuwanga ❤🎉
😅😅😅haa
Nimependa Xana Wanangu Na Congo 🇨🇩 Kumb Tunawez Big Up Xan 🎉🎉🎉🎉
Ma sœur je t'aime j été préféré vraiment depuis 🇨🇩🇨🇩
MashaAllah TabaarakAllah umependeza dada ❤❤❤
Mtangazaji umependeza sana mashallah
Mashaallah,mungu akuinue inshaallah,utafik mbli,ila unahuzusha San aky mpka nimehuzunika 😢😢😢.mung akusaidie inshaallah🤲🤲🤲
Nimpenda sana huyu dogo Allah amsimamie huyo dadaake nipeni Mimi awe mtoto wangu jaman
Umetishaa
Clam vevo ajitahidi zawadi yake kwa uyo dogo ampeleke shule kabisa piya anaweza kuwa natumika na dogo 👍👍👍
Sana dogo vevo15 🎉🎉
Wow 🎉❤
MUNGU akusadie mdg wangu
Shule ni muhimu
Nahomba namba za mbengo tv
Mi ni COMEDIAN masela
𝐈𝐧𝐬𝐭𝐚𝐠𝐫𝐚𝐦
@@Mfromdubai sihelewi
Huu mtangazaji ni Murundi njo mana anaroho nzuli 🇧🇮🇹🇿👌
😂😂😂nimecheka Kwa sauti
Km hutovua hiyo hijab bc utapts mume mapem
Aki Uyu Mtto Apate Msaada Wa Kupelekwa Shule ....Shule Ni Kitu Muhimu Sana Ata Ukiwa Mjancha Wa Aina Gani Ila Shule Ni Maali Pa Kuongeza Akili
Maashallah Leo umedamshi
Mung akujalie mdog wangu
Mtangaji mm nimekupenda
😂😂😂😂nmecheka sana
Bembe to the world
Ach kiherere lol. Nan mbembe hap?
Much love to kifaru mabulo🎉🎉🎉🎉
Uyo ni mkongoman 🇨🇩🇨🇩 mwemzangu kabisa tena m'bembe kabisa
😂wabembe bana
Umeulizwa😏
Yani Mpaka usemeeeh au shobo🤓🤓🤓
😂😂😂😂😂@@BeatriceKashindi-et2id
Kilicho pangwa na Mungu lazima kitimie
Sisi wa bembe tunaweza alikuja funderbtz akaja na wengi 🇺🇲 Marekani moja Michigan
Mutangazaji mpelekeni shule kwanza
Sio kweli
Maana ilo jina La etabó nilakibembe kabisa
🦸♂️
Nimependa huyo jamaa alchofanya
Oya vip
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ahahhahahahahahahah aiiiiiiweeeeee😂😂😂😂 mwisho mwishoooo😂😂😂🙌
Anajitahidi kiasi copy cut
Dogo ana akili ya kujibu maswali vzr sana lugha ndo changamoto
DAAH ASEE ANA SURA NGUMU HATARI
Semesha ukweli wewe mkongomana wewe sunasikia na Kiswahili Congo
Dogo asome kwanza maana Eli ni muhimu
Mtoto wa clam au wa Mondi
Let's go ohhh😊😊😊
Hakukua na nguo nyengine mpaka avae jezi ya Yanga ...😢😢😢 Izi timu ni kama dini unashangaa mtu wa Simba akishindwa kumsaidia
Huyu dogo anaonekana ni mkimbizi kutoka congo
Hao ni wakimbizi nyarugusu kambini
Umeulizwa nanani?😏
Mbwa ww 😂😂😂
Umetumwa wewe mjinga wewe pumbafu zako
Umeulizwa
Ongera ahiiiii🎉🎉🎉🎉
Kifaru kaamuwa kuwa msindikizaji kbs😢
Kazi ihendelee
Mtoto ana kipaji sanaa MUNGU amsaidie afikmbali klam msaidie jmniiiiiiiiii
Dogo big up sana
🎉
🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤
🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😅😅😅😅kinavyo Tisha sasa😅😅😅😅😅 ata hakifanani 😅😅😅
😂😂😂😂
Daaaaah 😂😂😂
Mmmmhh Ni hatar
Hawa waongo
Nimepend msaada wa huyu kijana anaemsimamiy dogo vrt.
Akakujaaaaaaa
Miaka mitatu tu au
😢😢😢jamani wewe
😂😂😂😂😂😂 jamani
Waongo
Niko apo kwa miaka mitatu 😅😂😂
Huyu ni mtoto wa juma jicho ama clam
Kabisa ndungu
😂😂
🤣🤣🤣🤣
ni ushauli wangu t mtoto kama huyo akikwambia mzazi au wazazi wake walifariki we muelewe t make wengine wanaroho ndogo wanaweza Lia mkahalibu mahojiano yenu
Mashallah ❤❤
Argh, he's his brother, not his son so come on...
Kwaiyo angeweka chup kichwani ungemuiga eee nyie wasani fanyeni vitu VA mahana na vizuri watto mitahan wanawaiga
Hawajafanana atakidogo
Mtangazaji kama hutojali tafadhali tuwakutanishe wazazi wetu ili watuunganishe.
Mbon mim naona kafanan na juma jicho vile😂😂 sema dog anajua san
*Huyu dogo anaweza sijiamini
Hajahahahhahaha
Hahaha
Mtoto ana kipaji sanaa MUNGU amsaidie afikmbali klam msaidie jmniiiiiiiiii
😂😂😂😂😂