SHETTA afunguka alivyoachana na MKEWE 'Nilimwachia nyumba, nilibeba kila kitu nikaanza upya ' - Pt 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 мар 2022
  • Shetta anafunguka jinsi alivyoachana na mke wake, Mama Qayllah
    #ChillnaSky

Комментарии • 163

  • @oliverkyara8232
    @oliverkyara8232 2 года назад +68

    Sema kwa sasa unaona wanao wanaishi vizuri na unawahudumia na wanafuraha lakini niamini endapo utaoa mwanamke mwingine tofauti na mama yao aiseee kaka watapata wakati mgumu sana kama.ningeambiwa niwashauri jipimeni kwa muda mliotengana angalieni uwezekano wa kuwa pamoja muwaleee watoto wenu kwa upendo ukioa mwanamke.mwingine haya unayoongelea hapa hayatakuwepo mawasiliano na wanao au akulelelee wanao duh kaka aiseee kaka Neema ya Mungu Iamue Mioyoni Mwenu kabla hamjamove on.

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 2 года назад +10

    umekaaa miaka mingi ...... kuna mnyamwezi Byser salute sana kwake

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 года назад +18

    Baba Kyler nakukubali Sana afu upo na bonge la mwandishi

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 года назад +12

    Nimekupenda kaka endelea kupenda wanao

  • @maureenmollel
    @maureenmollel Год назад +7

    Shetta anakuaga na akili mingi ..maturity at it's best

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 года назад +15

    Safi sana sio wanaume wengine wakigombana wanasusa watoto dhambi ajui watoto wanateseka badae wko vizuri wahanza kusumbua

  • @saidmasika8738
    @saidmasika8738 2 года назад +20

    mwanamume anae jielewa Allah akupe uzim

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 2 года назад +16

    Sheta kumbe kiumbe safi Sana🙌

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 года назад +4

    Brother kwanza hongera sna kwa kweli ktk maisha yangu nakua nakufiatilia sana kaka nakila siku nakuombea sana kaka nakuomba sana,niweze kukupata lkn sijui nakupata wapi kwa kweli kaka,nisaidie nikuone sana kak mm Niko Pemba,

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 2 года назад +31

    Shetta ni mwanaume wa kuigwa💪💪💪

  • @starshinetz
    @starshinetz 2 года назад +13

    Shetta full inspiration brother

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +8

    Ni vizuri msije mkauana kitu chema ni kujali watoto tu

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 2 года назад +5

    Mashaalah kaka yangu allah akupe subara kaka

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 2 года назад +1

    This is real nice👍👌

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 года назад +13

    Sijawah muona mkewe akihojiwa but ombi langu ongeeni mlee watoto family ya baba na mama ni nzur mno mm nimelelewa na momy tu na kisha momy kafarik tukiwa wadogo tukalelewa na bibi now keshafarik tupo wenyew tu na naomba mungu mno nipate mwanaume bora na mwenye hofu ya mungu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Pole Sana lakini endelea kumuamini Mungu na usiwe na haraka atakupatia yule roho yako inamtamani.

    • @True20137
      @True20137 3 дня назад

      Amiin

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад +13

    this is what i call maturity

    • @user-qr9gd3id1f
      @user-qr9gd3id1f 8 месяцев назад

      Maturity wapi Uporo unapashwaa 😂

  • @dosianasimon312
    @dosianasimon312 Год назад +3

    Huyu jamanaa ndio maana mambo yake yananyooka ingawa katengana na mke wake naamini yule mwanake anamuombea sana mungu azidi kukuinua ili ulee watoto wako kwa upendo huohuo

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 2 года назад +1

    Mwanangu san.. sheta the don

  • @beatricethomas4061
    @beatricethomas4061 2 года назад +3

    Ubarkiwe hadi ushangae bro wanaume wote wa rika lako wangeipata hii akili dah watoto wasngepata tabu kitaa

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 2 года назад +3

    Vizuri sana , watoto hawana makosa.

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 8 месяцев назад

    Masha laah❤

  • @officialmariamdaudi401
    @officialmariamdaudi401 2 года назад +2

    Ni kweli kabisa

  • @user-sv1lr5qj6x
    @user-sv1lr5qj6x 5 месяцев назад +1

    baba mzuri kwa jamii❤❤❤

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 2 года назад +12

    Swadakta kuowana Kwa wema kuwatana Kwa Amani👏👏

  • @mariamgaya2
    @mariamgaya2 2 года назад +1

    Nice

  • @abubakarymsuluzya2195
    @abubakarymsuluzya2195 2 года назад +1

    Safi mkuu

  • @JohnJafary-he7tk
    @JohnJafary-he7tk 9 месяцев назад

    Vip kakah nakuhusu daimond kukut#mbea mke

  • @bintyy_sultan3569
    @bintyy_sultan3569 5 месяцев назад +1

    Natamani interview iendeleeeeeeeeeeeee

  • @mozamagaya8618
    @mozamagaya8618 5 месяцев назад

    Ongera kaka

  • @estertiffathomas5651
    @estertiffathomas5651 2 года назад +4

    Safi kbxaaa hku kwetu mkiachan ni majang matup yaan full kuchamb status nimekutan na x wngu amekonda mmbwa yule na emoji ya kukunyal juuu😏😏😏

  • @SummerTech.
    @SummerTech. 2 года назад +2

    Shetta safi sana

  • @SWAGGELI
    @SWAGGELI 2 года назад +8

    Dude you so fucking strong Man eehh sio mchezo

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 2 года назад +2

    Sema jamaa kawa boss bwana saivi

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 года назад

    Uko vzr san, wanaume jifunzeni kwa huyu kuachana hamna vita

  • @trio9911
    @trio9911 2 года назад +15

    Mwamba mzungu sana huyu 😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +1

      Mno! Nimempenda bure! Huyu ni Mbongo kweli au ....

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 5 месяцев назад +1

    Yani ndo najua leo 31/12/2023 kuwa sheta aliachana na mkewe

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 года назад +4

    ongea kiswahili bwana ,unazingua

  • @herryignasy8711
    @herryignasy8711 2 года назад +1

    Profeda jay amekaa muda gan

  • @bellahappy2119
    @bellahappy2119 2 года назад +11

    Mrudie mke wako una watoto wazuri sana

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 2 года назад +3

      @21yrs bado kabisa Shetta alikua hajala ujana, ukizingatia ni msanii na by then alikuja kua maarufu hasa zile tracks kama Shikolobo etc ni wazi alikutana na ngozi nyingi sana waluwalu halaf ni pisi kali mzee damu inachemka pesa ipo, jogoo kick moja tu kavimba kama chuma, weeh sio rahisi kuvuka kituo aisee. Umri ule wa 20-35yrs ni vigumu mno kijana kujifanya una drive mwendokasi express we vituo unauza tu!
      Hapo kudumu ndoa ni ama mwanamke akuvumilie sana, au nae asilipize kisasi.
      Vinginevyo sio rahisi ukizingatia mazingira ya kisanii anayoishi Shetta.
      Nyie Mungu anasisitiza Upendo. Upendo kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu asilimia kubwa hufikia kwenye kuoana na kuishi pamoja, kadhalika upendo huo ndipo Mungu alipoweka amri zake na nyingi huvunjwa na binadamu kwa kua shetani nae achezi mbali kushawishi. Atakuingia kichwani na kukwambia hii ni pisi kali, piga kama vipi, iba pesa ukaspend nayo, ua ie toa mimba maana ishanasa etc .
      Kifupi ujana maji ya motoo

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 2 года назад

      @@jojigeorige1056 inawezekana ndio sabab waliachana. Nae sasa kashaanza kuchoka hyo lyfstyle ndo anamkumbuka mama watt wake.

  • @kingsanya6860
    @kingsanya6860 Год назад

    jaman kiswahili kitume sana

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 2 года назад

    Swadakta

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 5 месяцев назад

    Asnte sana kaka sky ni mejifunza ilikua mm na bimkubwa wangu simu yake akini pigia tu mapovu ama sheta amevaa uhalisia wamsanii kioo chajamii umenifunza kaka sheta 😭

  • @kibongephotographer9224
    @kibongephotographer9224 2 года назад +2

    Kwahiyo wote mna dimpoz anhaaa

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 2 года назад +2

    Watoto wawili mrudie mkeo hakuna lisiloweza kurekebishwa miaka 9 mmeishi dah mkataeni shetani salini saana wekeni mambo Sawa Mungu ashindwi na kitu kikubwa kumtanguliza Kwa kila jbo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      Kweli warudiane! Imekaa hawaku achana Kwa ugomvi, shetani mbaya huyu!

  • @AminaIhera-cg2xr
    @AminaIhera-cg2xr 8 месяцев назад

    yani huyu nibaba hongera

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 года назад +4

    Uzungu mwingi

  • @azzizazizion5056
    @azzizazizion5056 2 года назад +4

    mm kuna dem niliachna nae kama leo kesho namkuta na panga mlangon kwangu 😄😄

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      😂 pole sana 🤗

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 года назад +8

    Shetta ana akili

  • @mussajabiry3891
    @mussajabiry3891 2 года назад +4

    Mm ndonapend mfumo uo WA maisha cy mmetengan mnakua madui

  • @beatricejoseph3537
    @beatricejoseph3537 2 года назад +3

    Ulioa mdog sana lakin umekoamaa akili mapema hongera sana

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 2 года назад +6

    Dunia ingekua na wanaume kama shetta ingekua raha sana

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 2 года назад +4

    Jamani nipeni tu huyo shetta

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад +2

      usiamini kila uonacho kwenye social media.huyo ni msanii hawezi kuongea vibaya.

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 2 года назад

      @@ahz6907 nimecheka kifala love jast joke

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 2 года назад +3

    Unasema uhusiano wako ni mzuri na huyo X wako na upo single? Ngoja upate girlfriend utaona atakavyo badilika

  • @Cyper255
    @Cyper255 2 года назад +7

    Sheta akiamua kupasha kiporo hakuna upinzani

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      hilo mbona lipo wazi si kashasema ni washikaji.

  • @abusalman5139
    @abusalman5139 2 года назад +2

    Huyu bwege kweli... Mwanaume unazungumza na mkeo kuhusu mabwana zake? Hovyo sana.

  • @estellemwai5402
    @estellemwai5402 2 года назад +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 2 года назад +1

    Asa kingereza cha nini nakwazikaga mimi ,,, duhhh

  • @rhodafredy2251
    @rhodafredy2251 2 года назад +6

    Shetq ni mwanaume wa kuigwa wallah sijapata kuona

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 5 месяцев назад

    Ndugu zangu kama ni jambo liliwatenganisha , kaeni TU MUONGEE maana MUNGU HAFURAHII na EX ni EX TU labda kama mnapendana ndani Kwa ndani

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 года назад +2

    Mungu akusaidie ikiwezekana msameheane mrudiane Maisha ni yale yale mama k au Kaka shetta ebu jaribuni ku angalia kama mrudiane tena if it’s possible please

    • @melensianakemanzi8325
      @melensianakemanzi8325 2 года назад

      Mimi naomba mwangalie kusameheana Ili watoto wawe na utulivu na akili ya kulelewa na baba na mama inapendeza zaidi

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 2 года назад +5

    Harmonize Jana alijaza??????

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 года назад +4

    Malaki 2:16 NEN
    “Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
    NEN: Neno: Bibilia Takatifu 2014

  • @jumamohamed7720
    @jumamohamed7720 2 года назад

    Pete lake ilo 😳😳

  • @winnieamanya1550
    @winnieamanya1550 2 года назад +7

    Kizungu ilikuja na meli 🤣🤣 Tz "",
    We do co-parenting...

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +3

      He is still learning, practicing is the only way.
      Waliojifunza ukubwani wanapambana na challenges nyingi lakini mdogomdogo tu aendelee kukaza.

    • @liviaG87
      @liviaG87 2 года назад +1

      What is wrong with that statement?? Acha ushamba. Hata waitaliano, wajerumani, wafaransa wana kiingereza kibovu vilevile

  • @chuchudorice8531
    @chuchudorice8531 2 года назад +3

    Wabongo hamjui kizungu si mkubali tu 🤔🤔🤔🤔🤔

    • @magzakky2781
      @magzakky2781 2 года назад

      😂😂😂😂ma ribs tuwaombee watajua with tym

    • @fridasky1019
      @fridasky1019 2 года назад

      Kwani kuna alité zaliwa Nacho?

  • @user-jw9dq3qt3d
    @user-jw9dq3qt3d 5 месяцев назад

    Akili nying uyu jamaa

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 2 года назад

    Mmh watarudiana tu hawa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @ngutuismail6945
    @ngutuismail6945 2 года назад +7

    Sheta ulifanya kama mimi nilichofanya ukiachana na mkeo na mna watoto ni bora baba ukaondoka wewe ukawaachia nyumba ukiendelea kutoa support kuliko kumfukuza mwanamke

    • @jasmineshechambo3401
      @jasmineshechambo3401 2 года назад

      🙏

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 месяцев назад

      Vp kama mama ndio chengachenga?yani yy ndio kaharibu unamfanyaje?😂

    • @IBENGM
      @IBENGM 5 месяцев назад

      Hilo ni jambo la busara sema hapo inategemea na mmeachana kwasababu zipi na mwanamke ni mtu wa aina gani!

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 года назад +3

    Ni Jambo zuli kuacha nyumba na kuondoka

  • @veronicasteven1731
    @veronicasteven1731 2 года назад

    Ukioa lazima abadilike tu

  • @sleimbh
    @sleimbh 2 года назад +4

    Kiswahili kinatosha bwana shetta!

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Год назад

    Inspection Haroon yupo kwenye ndoa miaka 23 hivyo sio msanii wa kwanza kukaa muda mrefu

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 2 года назад

    Miaka 21-30 umeoa na kuacha?

  • @saidimkome3818
    @saidimkome3818 2 года назад +2

    Sasa shetta na mr bluu asemaje Kama wewe umekaa kwenye ndoa miaka Tisa😁😁😁

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 5 месяцев назад

    Yan ndo najua leo kama waliachana

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 2 года назад +3

    Ndoa za bongo kuachana sana juu ya kupenda ngono wanaume wengi tunapenda kucheat na kuvuruga ndoa ,ni bora kukaa mbila ndoa kuliko kupoteza mdaa kwa ndoa

    • @nurdinchilambo1486
      @nurdinchilambo1486 2 года назад +4

      sio bongo tu ila fatilia vzur had ulaya hao wazungu unao ona labda wana maana hua wanaachana sana

    • @simonmwandu2214
      @simonmwandu2214 2 года назад

      @@nurdinchilambo1486 wanachana san lakini siyo kwa kusalitiana eti akatiwe au akatie nje ya ndo wanachan kwa mfumo jike kwa sabb Europe mwanamke ndiyo mwenye sauti ndan ya nyumba

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Yeye ndo alimchoka ndo mana

  • @godsson5954
    @godsson5954 2 года назад +4

    Shetta ajarib kutafuta hela yeye kama yeye kiume tuone na sio kupewa pewa kwa bahati hyku anajitamba kuwa maisha mazur ni yake hahahhha ww know this dude anawwza hata sema sns ni ya kwake😀

  • @JacksonThobias-wc6ml
    @JacksonThobias-wc6ml 5 месяцев назад

    Kitu kizito umepigwa

  • @ivodaman6236
    @ivodaman6236 5 месяцев назад

    km tunaoana ili tuje kuachana ni bora kuzaa nao tu na kulea watt

  • @safariadrien5348
    @safariadrien5348 2 года назад +4

    Kizungu cha nini baba 😅😅

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 года назад +1

      Sijui anajikuta naniii mdomo koma mimi naona aongee tu kiswahiliii🤣🤣🤣🤣

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 2 года назад +3

    Da! Aisee ni ngumu kumeza.. kuachana kwa amani sawa ila mawasiliano close kama hayo cwez aisee..

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 года назад +2

      Ni rahisi sana ukikubali matokeo kiroho safi, ila wanawake ndiyo huwa inakuwa ngumu kwao mpaka labda akipata baharia mwingine.

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      @@unclepwechnov1381 sure

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 года назад +3

    Bora hata wewe kuliko wale watoa povu na lawama kibao

  • @obrigadoofficial1506
    @obrigadoofficial1506 2 года назад +3

    👏👏 Hekima ya bongo flavor Kutoka kwa Shetta kuachana sio vita.ruclips.net/video/m3AN6xvTgEA/видео.html

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 Год назад

    Tuacheni bhna hawa wanapasha viporo 😂😂😂hivi mnajua kuachana nyie au Mnasema tu

  • @solvia4306
    @solvia4306 2 года назад +1

    Kwani watu kama sheta wako wapi na mimi nikaokote😄

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      nipo hapa

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 года назад

      @@ahz6907 😄😄😄

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 года назад

      Wapi huko sasa nije kuokota

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      Dar

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 года назад

      @@ahz6907 wee na mm niko dar afu sijui wanakopatikana,ebu toa location

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 2 года назад +2

    Mademu wanatamaa

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 2 года назад

    Hivi jamani naomba niulize huyu ndo yule anaejiita shetani?

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣ndiooo siku hiz mpk kinge anaongeaaaa🙄😂😂😂😂

    • @sashahauke2032
      @sashahauke2032 2 года назад

      @@aminakipande5645 😭😭😭haya bwana

  • @daughters1226
    @daughters1226 2 года назад +3

    Siwez kuacha kuwahudumia wanangu eti kisa nimeachana na mama yao ila siwez kumuhudumia mama yao bora nichinjwe f**c nilipe Kodi yake ,,nilipe Fees za wanangu,,kula yake na tuligawana sawa kila tulicho chuma pamoja kama yeye n homeless aniachie wanangu

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 2 года назад +1

      Anamtunza kwasabab bado hajaolewa, pia kulinda saikolojia ya watoto. Akiolewa bas atachukua watot wake na kumuachia maisha yake mazima. Maneno ni sumu, hzo chuki ndizo hupandikiza ubaya kwenye akil za watoto mpaka wanakuwa wakubwa wanakua wanaishi kimatabaka na wazaz. Unashangaa mzaz flan anapendelewa na mtoto kumbe mtt alikuwa na mentality mbov kuhusu mzaz mwngne tangu utoto

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад +2

      Hiyo roho ya kimaskini! Hiyo nyumba anaishi x wake au na watoto? Chakula anakula kiasi gani hadi umapowalisha watoto ushindwe kumlisha na mama Yao? Futa hayo mawazo kichwani mwako sio afya.

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 5 месяцев назад

      Umaskini ndo tatizo

  • @japhettobisha5481
    @japhettobisha5481 2 года назад

    wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona

    • @registrationphone3593
      @registrationphone3593 2 года назад +1

      Ndo hapo n km km bado washkaji nn imeshindikana kuendelea kua pamoja...maana ndoa yenye urafik ndo nzr na hudumu zaid

  • @jescajohn6619
    @jescajohn6619 2 года назад

    Zero

  • @levinamaico7064
    @levinamaico7064 2 года назад +3

    Kwakwel kama wanaume wote wangekuwa kama sheta 900 ingependeza sana😂😂😂

  • @jchriss4269
    @jchriss4269 2 года назад

    Bunduki ya hewa inayotengenezwa mbeya Tz na kijana mdogo tazama hii
    ruclips.net/video/Lg84vXtWlWI/видео.html

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 2 года назад +1

    Mama Kaila Malaya Dereva wa Kaila Alikuwa anakula mzigo

  • @japhettobisha5481
    @japhettobisha5481 2 года назад

    wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona

  • @hakimalia2275
    @hakimalia2275 2 года назад +5

    Kwaiyo sheta una miaka30😂

    • @paulokasera3470
      @paulokasera3470 2 года назад +2

      Possibly...Sheta kamaliza Shule ya Msingi Boman pale ilala 2004...Kamaliza Form IV benjamin Mkapa 2008....Kama alimaliza Mdogo sana form IV anaweza akawa alikuwa na miaka 16 na Kama alimaliza Mkubwa sana alikuwa na Miaka 18....Pigia Mahesabu kuanzia hapo na kuendelea.....So it is possible akawa ana hiyo Miaka