Caf club championship msimu ulioisha, Chama ndiye aliyewavusha simba mchezo wa kwanza na Power Dynamo, hadi half time simba walishafungwa goli mbili bila,NI CHAMA ALIYEFUNGA MABAO MAWILI mkamaliza mbili mbili. Chama aliingiza simba makundimsimu uliopita.
Caf club championship msimu ulioisha, Chama ndiye aliyewavusha simba mchezo wa kwanza na Power Dynamo, hadi half time simba walishafungwa goli mbili bila,NI CHAMA ALIYEFUNGA MABAO MAWILI mkamaliza mbili mbili. Chama aliingiza simba makundimsimu uliopita.
Mashabiki kama Sam ndiyo tunaowataka kwenye mpira wetu
Kungekuwa na watu kumi wenye uelewa ktk simba kama Samm timu ingekuwa mbali mnoo !!!!!!!
Wewe broo unajua mpira siyo wapuuzi wengine hawa
Asante. Sam. Simba. Ongea. Ukweli. Huyo. Kisugu. Mnafiki. Waaambieni. Ukweli. Maana. Ukweli. Utakuweka. Huru. Ndugu. Yangu. Sam
Sam mm nakukuba Sana tena Sana unasema Ukwel Kabsa
Nguvu nyingi,akili kidogo😂😂😂😂😂😂 Kibu Deniiiiiiiiiisi😂😂😂😂😂
Simba kwanza wamtafute kocha ndiyo wasajili
Kisugu sio mshabiki wa mpira uyo wacha aongeee tuuu
Huyohuyo kisugu alisema chama akihama Simba ataacha kuishabikia Simba...aache sasa
Kisugu si Chawa tu
Mimi ni mshabiki wa yanga ila wewe kaka unajua wacha nikupe sifa yko
Wewe ni chawa wa utopolo ubwa wew fara
Kisugu nichizi wasizitaki mbichihiziiii😅😅
Sam wewe unajua kushabiikia mpira
Weweeee
Safi sn,unaongea points🎉🎉🎉🎉
Kweli nyani aoni kundule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwa wanasemaga yanga tunang'ang'ania wachezaji tuna watukana wachezaji Kiko wapi kisugu Leo kwenuuuuuuuuuuu atutaki porojo tukutane uwanjani . Sam Simba ni wewe tu peke yako c mbumbumbu nakupa mauwa yko kisugu mbumbumbu FC ata Moira ajui
Kisugu ni senge maji
Huyo kisugu, bangi xinamzingua
Hakika sam umenikosha wewe ni bonge la mshabiki mimi ni simba kweli wanaomtukana chama siyo mashabiki wa mpira.
Mseng aondk uy alitukuta na timu yet aondk atuachie timu yet
wewe unazungumza chama wa zamani si chama wa leo tena chama amekwishaaaa sasa
Sasa jamani kisugu anajua mpira au mipasho tu kama msemaje wake wa club
Wewe pia ni wahovyo bora hata kisungu koliko wewe
Sam unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki kbs mkuu
Good
Kisugu bado mtoto nichawa
😂😂😂😂😂😂😂😂
😢😢😢😢😢😢😢
pole nikwamau mivu Wana simba
Kumbee inawaumaa