SAM SIMBA AMPA MAKAVU KISUGU KUMTUKANA CHAMA KUSAJILIWA YANGA/ANATAKA MAKOMBE/YANGA TIMU KUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #alikamwe #azizki #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangaleo #yangasc #yangatv

Комментарии • 32

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 3 месяца назад +4

    Caf club championship msimu ulioisha, Chama ndiye aliyewavusha simba mchezo wa kwanza na Power Dynamo, hadi half time simba walishafungwa goli mbili bila,NI CHAMA ALIYEFUNGA MABAO MAWILI mkamaliza mbili mbili. Chama aliingiza simba makundimsimu uliopita.

  • @JosephBernad-b7b
    @JosephBernad-b7b 3 месяца назад +4

    Mashabiki kama Sam ndiyo tunaowataka kwenye mpira wetu

  • @GeoffreyNgonyani
    @GeoffreyNgonyani 3 месяца назад +1

    Kungekuwa na watu kumi wenye uelewa ktk simba kama Samm timu ingekuwa mbali mnoo !!!!!!!

  • @JosephBernad-b7b
    @JosephBernad-b7b 3 месяца назад +2

    Wewe broo unajua mpira siyo wapuuzi wengine hawa

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 3 месяца назад +2

    Asante. Sam. Simba. Ongea. Ukweli. Huyo. Kisugu. Mnafiki. Waaambieni. Ukweli. Maana. Ukweli. Utakuweka. Huru. Ndugu. Yangu. Sam

  • @MahmoudHassani-wh4lt
    @MahmoudHassani-wh4lt 3 месяца назад +4

    Sam mm nakukuba Sana tena Sana unasema Ukwel Kabsa

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 3 месяца назад +2

    Nguvu nyingi,akili kidogo😂😂😂😂😂😂 Kibu Deniiiiiiiiiisi😂😂😂😂😂

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 3 месяца назад

    Simba kwanza wamtafute kocha ndiyo wasajili

  • @ridhwansaid4949
    @ridhwansaid4949 3 месяца назад

    Kisugu sio mshabiki wa mpira uyo wacha aongeee tuuu

  • @matronamushi7021
    @matronamushi7021 3 месяца назад +2

    Huyohuyo kisugu alisema chama akihama Simba ataacha kuishabikia Simba...aache sasa

  • @ridhwansaid4949
    @ridhwansaid4949 3 месяца назад

    Mimi ni mshabiki wa yanga ila wewe kaka unajua wacha nikupe sifa yko

  • @jacobanania2741
    @jacobanania2741 3 месяца назад +1

    Wewe ni chawa wa utopolo ubwa wew fara

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 3 месяца назад

    Kisugu nichizi wasizitaki mbichihiziiii😅😅

  • @MaulidAli-cq4nf
    @MaulidAli-cq4nf 3 месяца назад

    Sam wewe unajua kushabiikia mpira

  • @IlisoniBugali-mn1sn
    @IlisoniBugali-mn1sn 3 месяца назад +2

    Weweeee

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 3 месяца назад +1

    Safi sn,unaongea points🎉🎉🎉🎉

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 3 месяца назад

    Kweli nyani aoni kundule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwa wanasemaga yanga tunang'ang'ania wachezaji tuna watukana wachezaji Kiko wapi kisugu Leo kwenuuuuuuuuuuu atutaki porojo tukutane uwanjani . Sam Simba ni wewe tu peke yako c mbumbumbu nakupa mauwa yko kisugu mbumbumbu FC ata Moira ajui

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 3 месяца назад +1

    Kisugu ni senge maji

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 3 месяца назад

    Huyo kisugu, bangi xinamzingua

  • @iddymalole7330
    @iddymalole7330 3 месяца назад

    Hakika sam umenikosha wewe ni bonge la mshabiki mimi ni simba kweli wanaomtukana chama siyo mashabiki wa mpira.

  • @LewisLenox-f9n
    @LewisLenox-f9n 3 месяца назад

    Mseng aondk uy alitukuta na timu yet aondk atuachie timu yet

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 месяца назад

    wewe unazungumza chama wa zamani si chama wa leo tena chama amekwishaaaa sasa

  • @JosephBernad-b7b
    @JosephBernad-b7b 3 месяца назад

    Sasa jamani kisugu anajua mpira au mipasho tu kama msemaje wake wa club

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 3 месяца назад

    Wewe pia ni wahovyo bora hata kisungu koliko wewe

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад

    Sam unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki kbs mkuu

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 3 месяца назад

    Good

  • @TumainSanga-x6f
    @TumainSanga-x6f 3 месяца назад

    Kisugu bado mtoto nichawa

  • @NestoryFrances
    @NestoryFrances 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ChristopherCharles-u6f
    @ChristopherCharles-u6f 3 месяца назад

    pole nikwamau mivu Wana simba

  • @ZuharyBakari
    @ZuharyBakari 3 месяца назад

    Kumbee inawaumaa