“Maji yake hubadilika rangi” - Tazama maajabu ya Ziwa Ngosi lililoko Mbeya, Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2018
- AZAM TV YAWA YA KWANZA KULIFIKIA ZIWA NGOSI: Moja kati ya vivutio vikubwa vya utalii mkoani Mbeya ni Ziwa Ngosi. Hili ni ziwa la pili kwa ukubwa barani Afrika linalotokana na mlipuko wa Volacano. Miongoni mwa maajabu ya ziwa hili ni maji yake kubadilika rangi.
Ziwa hili linapatikana katika hifadhi ya misitu ya Poroto iliyoko wilayani Rugwe, takriban kilometa 30 kutoka Mbeya Mjini.
Azam TV kimekuwa ni chombo cha kwanza kufika katika ziwa hilo, ambapo kikosi chake kimechanja mbuga na kuupasua msitu huo hadi kulifikia Ziwa hilo na kukutana na wahifadhi wa Ziwa hilo katika Hifadhi asilia ya Milima Rungwe.
Wahifadhi hao wameeleza chanzo na asili ya jina la ziwa hilo. Wameeleza chimbuko na kuwataja watu waliolivumbua. Yaani simulizi kamili ya kutokea kwake iko hapa.
Pia hiki kama kivutio cha utalii kimelinufaisha vipi taifa hadi sasa?
Tazama Makala hii inayosimuliwa na Salim Mhando. Животные
mimi ni msafwa wakijiji cha iwalanje mbeya vijijini kwetu nijilani kabisa kufika kwenye hilo ziwa hakika ukifika hautatamani kuondoka nipazuli sanasana
Hongereni sana munastahili pongezi sana na poleni pia ila zaidi I'm so proud to be born in Africa
Salim muhando m/mungu akulaze mahali pema pepon aamin,,ulikuwa mtangazaji mahili wa azam tv media bora tanzania
The green City Mbeya Tz home sweet home oyeeee
hongereni sana Azam nim epapenda hapo.....siku moja nitafika hapo ziwani maana navutiwa sana na uzuri wa nchi yangu Tanzania (urithi wangu)
Nchi yetu ni nzuri sana ila kuna watu wachache sana ambao wanataka kutuharibia,hao wasiojulikana ndio shida sana,ila Mungu katupendelea sana
Tunahaki ya kutambua na kuthamini vya kwetu
Viva Tz
MAASHAALLAH ALLAH azidishe neema katika nchi yetu. Ila Kama mgeweza kurusha clip Kama hizi na ikawa inasikika sauti ya mtangazaji tu ingekua poa mkaondoa hizo ala za miziki. Hii nikutokana na baadh ya maeneo huwezi warushia chip Kama hizi zenye ala za miziki hawatatizama
Hilo ziwa ni nouma,watu wanafika wanaishia hapo juu,kushuka chini ni mteremko mkali,na ukifanikisha kushuka kupanda mtihani,ila Hata ukiwa Kwa juu ziwa linaonekana vizuri sana,inapendeza sana
wow safi sana nduguzangu kwa kuweza kufika hapo katika ziwa lenye kivutio kikubwa ,wana Mbeya Tunajivunia sana hii ziwa pia niwaombe hata Tukuyu pia kuna vivutio vingi pia muweze kutembelea ikiwemo daraja la Mungu
huo mlima sio mchezo. presenter wakiwa kule chini mimi nasema 'mkumbuke mtarudi juu tena...'
wapresenter wazuri kabisa wanapendeza na pia presentation yao nzuri sana hongera.
nimetamani nami nifike hapo....inshallah one day
Fantastic
Beautiful
Nakumbuka tulienda trip za shule Pandahill chini ya uangalizi wa mwalimu madevu.... Watu tulitelemka kwa matako usiombe mida wa kupanda sasa.... Utatupa hata nguo uliyovaaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂kumbe na ww umesoma ph kma mm😂😂 ila sijafika
Hahaaaa
Noma
Nimemiss jaman Salim Mhando R. I. P my friend
we alikufa huyu jaman wewe
Serikali wamelitupa ziwa hili, ilipaswa kuwe na barabara zikuingia mpaka karibu na ziwa Kisha vidaraja vizuri vyakushukia mpaka kugusa maji ya ziwa
Fika Rombo kilimanjaro utakutana na ziwa lingine la volcano. Hakuna mto unaoingia wala kutoa maji kuyagusa maji utateremka mteremko zaid ya dk 20 kutoka juu
Nimezaliwa tukuyu lakin cjawai fika hapo tulikuwa tunaambiwa na bb kuwa kuna majini hapo ukifka hapo unavutwa na kuzamishwa ilipelekea kuigopa ht kusogea hapo.......hd leo niko mwanza nataman sku moja nirud nikaone...proud Africa
Nilifanikiwa kufika hapo mwaka 2016 ni sehemu nzuri sana ya kihistoria
Noma Sana .. hongereni kwa kufika chini... Najua kasheshe yake
Safi sana tujue vitu tulivyo navyo tzd
Thanks
Najivunia vivutio vya nchi yangu Tanzania.
Napenda sana utangazaj wako kaka nakukubal sana Allah akupe ubunif zaid
Asante MUNGU 🙏🙏🙏
Hongereni mnafanya kazi nzuri
Allah Akulaze mahala pema. Brother salum muando
that good
Nakupenda Tanzania yangu najivunia kuzaliwa Afrika
Ninakupenda kwa moyo wetu nakutakia amani na mshimano
Nimeipenda
Sifa nyengine ni kua pana dhahabu tena ipo kwene lake shower.
Masha Allah , Ziwa Lina Mvuto Mzuri Sasa Tengenezeni Ngazi kwa Washukao Kwa Miguu
Wenzetu kama china uko wangeteneza ngazi apo ata barabara mpaka apo ziwani na madaraja ya juu ya kamba na mbao ili kivutia vyema watarii
Oya eeeh Mungu noma iyo
K2 n Africa kbs
Dr!!!
May your Soul.Rest in eternal.Peace Salim😢
Weee Salimu ndio yupi Huyo aliefariki 😳
Nakumbuka mama alikuwa akinipa vistor vya zamani kuhusu ziwa hilo lakini mpaka nilifika jamani aliposikia nimeenda alitamani kufaa bp hahahaha selela buanaaa😍😍😍
Cso Ngole jmn nikwer mpk mm mzee jemsi mwaselela alinikataz kbsaaaa nisiende
Nimeipenda sana Mbeya OK ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii Bofya kapicha kushoto
Zuri sanamungu mkubwa niuzieni hilo
Aisee maajabu kweli,ziwa Lina ramani ya afrika tena na visiwa kama vya unguja na Pemba,jamani tangazeni vivutio hivi tupate pesa.
We are the Rich Tanzania
Tanzania tumshukuru tuu Mungu kwakweli sababu ametupatia viingi sana ,twapaswa kumshukuru
Safi sana azamu
Uyole mbeya sweet home
usipende kusimuliwa hiliziwa nikivutio kikubwa cha tanzania kwanza lina lamani ya Afulika hakika nipazuli sana
Hili ziwa ili kulifaidi ilibidi wawekezaji waweke vile vitreni Vya juu aisee kama nchi zilizoendelea ila kwa shughuli hiyo hapo tutaishia kuliona RUclips tu!
Wow , i love it, ,
Nimeipenda sana hii,endeleni kuleta vitu kama hivi hii,mimea ni viumbe hai na wanyama ni viumbe hai pia.
Wahifadhi tengenezeni miundo mbinu ya njia ili watu wafike kwa urahisi sasa emagine wanawake na watoto watawezaje kufika wakati huyo big kajuta kushuka ziwani?
Utukufu Mungu aliyejuu nilifika mnamo 31.08.2013
Shukran sana ila ni hatari barabara mbovu sana
Miundo mbinu ya Barabara ni muhimu itengenezwe ili kuvutia watalii na wawekezaji na pia in vizuri ziwepo boats za kutembeza watalii na restaurants... Pia kama kuna samaki ni vizuri kuhamasisha utalii wa uvuvi
Angalau na visiwa vya unguja na pemba vimo humo kwenye ziwa 😂😂.. Ziwa lenye Ramani ya Africa
😂😂😂
Huyo mtatilo ni mwanaume Wa Dar halisi
Dah! kwa bibi paleee
Hahahaaaa umenifurahishaaa
Evelinai Benson unvituk ww
Nilifika hapo mwaka 2015 mwezi 3, niliinjoi sana ila miguu iliniuma sana safari ya kufika hapo kileleni sio mchezo tena ukifika kileleni unaanza safari ya kushuka ziwani...lo ooh! Pazuri sana
Africa tumebarikiwa vitu vizuri ila akili zetu zero
Hahaha ATI ngombe zimeenda bondeni.. amechoka na utumwa anamalengo ya kuwa boss...
Muacheni Mungu aitwe Mungu
Kweli Mungu wa ajabu
Mumewasahauu mashetani wenye mguu mmoja jamani wanatusumbua usiku tukilala kwa Bibi😁😁
😂😂😂😂😂 shetan mwenye mguu mmojq umenikumbusha mbali
Muziki Ni kelele tupu ambao umeharibu ladha ya video nzuri sana....poleni
Ridhwaniiiii
Naiona kawetere
Charles hirary..
apo JKT inahusika... sio kwa vikwazo hvo..
😂😂😂😂😂😂😂😂watu wako hoi kabisa kwa kutembea ndo mazoezi lakini
Ethiopia Wana Ziwa linaitwa Debrezeti na Tana
Nimeshawahi kufika hapo hadi kugusa maji... Kama afya yako haijakaa poa sikushauri kwenda
Otto Raphael kwa nn coz cjakuelewa
em nifafanulie
iko poa
Nimewahi tembelea hilo ziwa mwaka 2010. Kutoka hapo juu linapoonekana hadi chini kabsa kwenye maji ni nomaaa tulitumia kama saa 1 hv. Kuna miteremko ya kutisha.Ni nomaaa ila ni kuzuri sn cha msingi ukienda huko usisahau kubeba maji na chakula hasa biscut.
Kweli bwana mpaka ukayakute maji ni mbali sana ukiwa mliman panaonekana pafup anza kushuka utaelewatu ila lazuli sana
Makala nzuri nimeipenda sana na hongereni sana Azam TV kwa hilo, kitu kimenisikitisha ni kwamba, mlipofika chini ziwani nilitegemea hata mngeyashika maji na kutaste ladha mbali ya kuwa mmetuambia kuwa ni ladha ya chumvi, lakini kwa nini hamjatuthibitishia kwa kuya taste? Lakini pia nilitegemea baada ya kufika ziwani mkatuonyesha vilivyomo ziwani kwa karibu zaidi ili kunishawishi nije kutembelea, otherwise mmefanya kazi nzuri, mapungufu madogo madogo kama hayo next time jitahidini mnayarekebisha
Nikwel kabisa
Vyombo tatizo waifadhi wanatakiwa wajenge camp kuwe na boti ya kuwatembeza watarii kama kuna kauwoga kidogo, kukiwa na boti utafiti utafanyika usiku kwakutega mitambo ijulikane kunamaajabu gani mengine usiku mkubwa, je chini ya kina cha maji kupoje? Je ao samaki kweli wapo waishije ula nn maficho yao yakowapi ? Maana ziwa alina ata gugu maji ndio maana tulitaman kuona kamera ishuke majini ipite taratibu tuone vyema, au ata darubin tosa kwenye maji tuone viumbe hai uko chini
ZIWA ILO NALIKUBALI KWELI ANEEEEEE
Nimefrah kwa utafit wenu
Mmmm watu wakishaanza kwenda huko kutembea......
Na watu wasiojulikana watahamia huko kila siku mtakuwa mnatekwa shaurizenu mimi siendi hata kwa Bommmm
ali alesry hahahaaaa lol
Sana pazuri lakin tengenezeni njia za kutebelea.
.. Tanzania siyo Kongo...
Hilo ziwa liko powa Sanaa ila uongo kwenye Ramani ya Bara la Africa Visiwa vya Unguja na Pemba havimo kabisa musitudanganje.
... Sisi tunaviweka kwa vile ni visiwa vyetu... Tanzania oyeee 💯💯
rip bro i miss your voice
John kimune ni yupi hapo aliyefariki?
Salim ndo alikufa,,aliyetangaza mwanzon wakiwa wanaanza safari ya kwenda.
Safi ili jitahidini kutengeneza manidhri itakuwa bora zaidi
I love you Tanzania nchi yangu Tanzania nzuri Sana
Usalama upoje? Mana lipo milimani na lipo msituni pia, unaweza panga kuja kutembea kuangalia maajabu ya Mungu aliyotujalia Tanzania ukaishia kutekwa ama kuishia mikononi mwa watu wabaya.
Wekeni usafi,na usalama was jeshi hapo. Bila hivo watakuja wengine kufanya hivyo.
Hata hajui kufanya mazingira ya utalii kuwa mazuri mmekuwa kienyeji anyeji sana munaupa wizara ya utalii aibu sana lazima kuwe na njia irekebiswa hata mgeni akija awe na furaha akitembea hamjui hata kubuni kutumia akili
mimi nimefika hakika nipazuli sana jamani
Hilo Ziwa Ngosi chanzo chake cha maji huwa yanatoka wapi.
liko pw
Mmmh jamani hamuogopi kunkatwa na nyoka!
Misitu ya milimani sehemu za baridi hainaga nyoka
Kwa hiyo miti siyo viumbe hai? Acheni elimu ya kumeza na kukalili halafu kufauru mtihani. Ona unavyoaibika sasa!Hii ndo product ya elimu ya bongo ukimuuliza elimu yake utasikia ana Master au PHD.
Abby Adams mshkaji hajui kama mti unahema.Noma✌️
Nadhani wanahitaji pongezi kuliko kupondwa hivi, ni makosa ya kiubinadamu
basi abby na ww ulivyokalilishwa kutofautisha vyitu ndo basi ukajikuta mwalimu wa kila kitu hicho ni kiswahili tu ila sio utaalamu wake bro
+Benard Seme
Tatizo wabongo mnajifanya wajuaji sana wakati alichotuhabarisha huenda hukijui hapo awali
😕😕😕😕😕
Wachaga hao,wamechaguana kiukabila kutoka wizara ya mali asili na utalii ,ukifuatilia utakuta juu ya hao viazi kuna kigogo wa kichaga ndio aliowaweka hapo,wachaga ni noma!!
next time muende ziwa chala
burdan sana nmefurah mno chibonge amepata tab mno
Wenzetu huku sehemu kama hizo wanatengeneza na kuhakikisha zinafikika kwa urahisi.....barabara nzuri na Usafiri wa Uhakika....
Ni pazuri Mno....
xf xana
Kuonga vipi hapo
Salim mhando 😢😢
Wajina Lilia n
Mtangazaji ni ziwa ngosi sio ngozi
mkoa wa mbeya ni mkoa wenye vivutio vingi ispokua avitangazwi
Watafikaje watali ilhali njia ya kuenda kwa miguu mbovu staili hiyo.Ukipata jeraha huko chini unaachwa kuliwa na chatu au fisi. Msimu wa mvua hapapitiki hata kwa miguu. Tumieni nguvu kazi hapo mbeya muboreshe njia tuje kutembea.
Huu ni mlima mkali Sana na unamawe makubwa sana
Kama hayo maji yanahakisi ramani ya africa how come visiwa viwe ndani ya eneo la bara....
manish haujaelewa ndugu yangu sikiliza tena
@@zamoyonigerimia7647 huenda na wewe haujanilewa....sikatai muonekano wake kufanana na ramani ya Africa.. ila hiyo ya visiwa ni out of context.
Sasa kwa njia mbaya kama hii mutapata wapi watalii
mbona dogo sana hivi ili liitwe ziwa linatakiwa kuwa na ukubwa gani maana kuna mabwawa makubwa kama hilo ziwa.
Hali ya usalama ikoje uko .mambo ya snek snek
apo sasa
Misitu ya milimami sehemu za baridi hainaga snake
Anaefaham garam za kuingilia lake ngos
Sio mchezo kabisa
ziwa lapili kwa ukubwa linalotokana na vorkano
tubhuke ntukuju mosa
kwetu pazuli