“Maji yake hubadilika rangi” - Tazama maajabu ya Ziwa Ngosi lililoko Mbeya, Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2018
  • AZAM TV YAWA YA KWANZA KULIFIKIA ZIWA NGOSI: Moja kati ya vivutio vikubwa vya utalii mkoani Mbeya ni Ziwa Ngosi. Hili ni ziwa la pili kwa ukubwa barani Afrika linalotokana na mlipuko wa Volacano. Miongoni mwa maajabu ya ziwa hili ni maji yake kubadilika rangi.
    Ziwa hili linapatikana katika hifadhi ya misitu ya Poroto iliyoko wilayani Rugwe, takriban kilometa 30 kutoka Mbeya Mjini.
    Azam TV kimekuwa ni chombo cha kwanza kufika katika ziwa hilo, ambapo kikosi chake kimechanja mbuga na kuupasua msitu huo hadi kulifikia Ziwa hilo na kukutana na wahifadhi wa Ziwa hilo katika Hifadhi asilia ya Milima Rungwe.
    Wahifadhi hao wameeleza chanzo na asili ya jina la ziwa hilo. Wameeleza chimbuko na kuwataja watu waliolivumbua. Yaani simulizi kamili ya kutokea kwake iko hapa.
    Pia hiki kama kivutio cha utalii kimelinufaisha vipi taifa hadi sasa?
    Tazama Makala hii inayosimuliwa na Salim Mhando.
  • ЖивотныеЖивотные

Комментарии • 204

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 лет назад +13

    mimi ni msafwa wakijiji cha iwalanje mbeya vijijini kwetu nijilani kabisa kufika kwenye hilo ziwa hakika ukifika hautatamani kuondoka nipazuli sanasana

  • @heletuuabdalla9434
    @heletuuabdalla9434 4 года назад +2

    Hongereni sana munastahili pongezi sana na poleni pia ila zaidi I'm so proud to be born in Africa

  • @ayubunangigi829
    @ayubunangigi829 3 года назад +3

    Salim muhando m/mungu akulaze mahali pema pepon aamin,,ulikuwa mtangazaji mahili wa azam tv media bora tanzania

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 5 лет назад +6

    The green City Mbeya Tz home sweet home oyeeee

  • @willymosses1612
    @willymosses1612 5 лет назад +2

    hongereni sana Azam nim epapenda hapo.....siku moja nitafika hapo ziwani maana navutiwa sana na uzuri wa nchi yangu Tanzania (urithi wangu)

  • @erickmahujilo4643
    @erickmahujilo4643 5 лет назад +13

    Nchi yetu ni nzuri sana ila kuna watu wachache sana ambao wanataka kutuharibia,hao wasiojulikana ndio shida sana,ila Mungu katupendelea sana

  • @chancemtitu1852
    @chancemtitu1852 5 лет назад +10

    Tunahaki ya kutambua na kuthamini vya kwetu
    Viva Tz

  • @jumaazuberi9317
    @jumaazuberi9317 5 лет назад +1

    MAASHAALLAH ALLAH azidishe neema katika nchi yetu. Ila Kama mgeweza kurusha clip Kama hizi na ikawa inasikika sauti ya mtangazaji tu ingekua poa mkaondoa hizo ala za miziki. Hii nikutokana na baadh ya maeneo huwezi warushia chip Kama hizi zenye ala za miziki hawatatizama

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 лет назад +1

    Hilo ziwa ni nouma,watu wanafika wanaishia hapo juu,kushuka chini ni mteremko mkali,na ukifanikisha kushuka kupanda mtihani,ila Hata ukiwa Kwa juu ziwa linaonekana vizuri sana,inapendeza sana

  • @marlonmwakalinga2252
    @marlonmwakalinga2252 5 лет назад

    wow safi sana nduguzangu kwa kuweza kufika hapo katika ziwa lenye kivutio kikubwa ,wana Mbeya Tunajivunia sana hii ziwa pia niwaombe hata Tukuyu pia kuna vivutio vingi pia muweze kutembelea ikiwemo daraja la Mungu

  • @fawziaabdurrahman2251
    @fawziaabdurrahman2251 5 лет назад +1

    huo mlima sio mchezo. presenter wakiwa kule chini mimi nasema 'mkumbuke mtarudi juu tena...'
    wapresenter wazuri kabisa wanapendeza na pia presentation yao nzuri sana hongera.
    nimetamani nami nifike hapo....inshallah one day

  • @bukorimalima662
    @bukorimalima662 5 лет назад +2

    Fantastic

  • @frankchande9514
    @frankchande9514 2 года назад +1

    Beautiful

  • @judithhelman3574
    @judithhelman3574 5 лет назад +5

    Nakumbuka tulienda trip za shule Pandahill chini ya uangalizi wa mwalimu madevu.... Watu tulitelemka kwa matako usiombe mida wa kupanda sasa.... Utatupa hata nguo uliyovaaa😂😂😂😂😂

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 5 лет назад +5

    Nimemiss jaman Salim Mhando R. I. P my friend

  • @mufamozmufash166
    @mufamozmufash166 5 лет назад +7

    Serikali wamelitupa ziwa hili, ilipaswa kuwe na barabara zikuingia mpaka karibu na ziwa Kisha vidaraja vizuri vyakushukia mpaka kugusa maji ya ziwa

  • @kilirombo4603
    @kilirombo4603 Год назад +1

    Fika Rombo kilimanjaro utakutana na ziwa lingine la volcano. Hakuna mto unaoingia wala kutoa maji kuyagusa maji utateremka mteremko zaid ya dk 20 kutoka juu

  • @tonayden5431
    @tonayden5431 Год назад

    Nimezaliwa tukuyu lakin cjawai fika hapo tulikuwa tunaambiwa na bb kuwa kuna majini hapo ukifka hapo unavutwa na kuzamishwa ilipelekea kuigopa ht kusogea hapo.......hd leo niko mwanza nataman sku moja nirud nikaone...proud Africa

  • @benedictaman936
    @benedictaman936 5 лет назад +1

    Nilifanikiwa kufika hapo mwaka 2016 ni sehemu nzuri sana ya kihistoria

  • @hassanhassan1019
    @hassanhassan1019 2 года назад

    Noma Sana .. hongereni kwa kufika chini... Najua kasheshe yake

  • @ezekielcharles9285
    @ezekielcharles9285 Год назад

    Safi sana tujue vitu tulivyo navyo tzd

  • @anuaromary4267
    @anuaromary4267 5 лет назад

    Thanks

  • @kilosaconservation565
    @kilosaconservation565 5 лет назад +4

    Najivunia vivutio vya nchi yangu Tanzania.

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 лет назад +1

    Napenda sana utangazaj wako kaka nakukubal sana Allah akupe ubunif zaid

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 5 лет назад

    Asante MUNGU 🙏🙏🙏

  • @benardseme7445
    @benardseme7445 5 лет назад

    Hongereni mnafanya kazi nzuri

  • @lutulalihim1585
    @lutulalihim1585 4 года назад

    Allah Akulaze mahala pema. Brother salum muando

  • @mapenzisefu5943
    @mapenzisefu5943 5 лет назад

    that good

  • @eyumededu2948
    @eyumededu2948 3 года назад

    Nakupenda Tanzania yangu najivunia kuzaliwa Afrika
    Ninakupenda kwa moyo wetu nakutakia amani na mshimano

  • @syliviussmgenyi344
    @syliviussmgenyi344 5 лет назад +1

    Nimeipenda

  • @qaboossaid2259
    @qaboossaid2259 5 лет назад +6

    Sifa nyengine ni kua pana dhahabu tena ipo kwene lake shower.

  • @salehemigoko3035
    @salehemigoko3035 3 года назад

    Masha Allah , Ziwa Lina Mvuto Mzuri Sasa Tengenezeni Ngazi kwa Washukao Kwa Miguu

    • @uzuriwabure6204
      @uzuriwabure6204 3 года назад +2

      Wenzetu kama china uko wangeteneza ngazi apo ata barabara mpaka apo ziwani na madaraja ya juu ya kamba na mbao ili kivutia vyema watarii

    • @prophetessepifania8316
      @prophetessepifania8316 2 года назад

      Oya eeeh Mungu noma iyo
      K2 n Africa kbs

  • @ggmaths9636
    @ggmaths9636 5 лет назад

    Dr!!!

  • @ericndeki9522
    @ericndeki9522 5 лет назад +3

    May your Soul.Rest in eternal.Peace Salim😢

  • @csongole5799
    @csongole5799 4 года назад +1

    Nakumbuka mama alikuwa akinipa vistor vya zamani kuhusu ziwa hilo lakini mpaka nilifika jamani aliposikia nimeenda alitamani kufaa bp hahahaha selela buanaaa😍😍😍

    • @floridacharles7601
      @floridacharles7601 4 года назад

      Cso Ngole jmn nikwer mpk mm mzee jemsi mwaselela alinikataz kbsaaaa nisiende

  • @SKILLS360TV
    @SKILLS360TV 5 лет назад +5

    Nimeipenda sana Mbeya OK ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii Bofya kapicha kushoto

  • @waryobamahunyo4990
    @waryobamahunyo4990 5 лет назад +3

    Aisee maajabu kweli,ziwa Lina ramani ya afrika tena na visiwa kama vya unguja na Pemba,jamani tangazeni vivutio hivi tupate pesa.

  • @miriamabinery5695
    @miriamabinery5695 5 лет назад +1

    Tanzania tumshukuru tuu Mungu kwakweli sababu ametupatia viingi sana ,twapaswa kumshukuru

  • @ezekielcharles9285
    @ezekielcharles9285 Год назад

    Safi sana azamu

  • @frankmwafifi6712
    @frankmwafifi6712 5 лет назад +1

    Uyole mbeya sweet home

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 лет назад +1

    usipende kusimuliwa hiliziwa nikivutio kikubwa cha tanzania kwanza lina lamani ya Afulika hakika nipazuli sana

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 5 лет назад +2

    Hili ziwa ili kulifaidi ilibidi wawekezaji waweke vile vitreni Vya juu aisee kama nchi zilizoendelea ila kwa shughuli hiyo hapo tutaishia kuliona RUclips tu!

  • @womenkilimanjaro298
    @womenkilimanjaro298 4 года назад

    Wow , i love it, ,

  • @waryobamahunyo4990
    @waryobamahunyo4990 5 лет назад

    Nimeipenda sana hii,endeleni kuleta vitu kama hivi hii,mimea ni viumbe hai na wanyama ni viumbe hai pia.

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 5 лет назад +3

    Wahifadhi tengenezeni miundo mbinu ya njia ili watu wafike kwa urahisi sasa emagine wanawake na watoto watawezaje kufika wakati huyo big kajuta kushuka ziwani?

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 5 лет назад +1

    Utukufu Mungu aliyejuu nilifika mnamo 31.08.2013

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 лет назад

    Shukran sana ila ni hatari barabara mbovu sana

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 5 лет назад +1

    Miundo mbinu ya Barabara ni muhimu itengenezwe ili kuvutia watalii na wawekezaji na pia in vizuri ziwepo boats za kutembeza watalii na restaurants... Pia kama kuna samaki ni vizuri kuhamasisha utalii wa uvuvi

  • @nureyna629
    @nureyna629 5 лет назад +3

    Angalau na visiwa vya unguja na pemba vimo humo kwenye ziwa 😂😂.. Ziwa lenye Ramani ya Africa

  • @songasn4718
    @songasn4718 5 лет назад +6

    Huyo mtatilo ni mwanaume Wa Dar halisi

  • @evelinaibenson8297
    @evelinaibenson8297 5 лет назад +3

    Dah! kwa bibi paleee

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 4 года назад

    Nilifika hapo mwaka 2015 mwezi 3, niliinjoi sana ila miguu iliniuma sana safari ya kufika hapo kileleni sio mchezo tena ukifika kileleni unaanza safari ya kushuka ziwani...lo ooh! Pazuri sana

  • @kinghenry5511
    @kinghenry5511 5 лет назад +3

    Africa tumebarikiwa vitu vizuri ila akili zetu zero

  • @wazeerkahirafaadhil7455
    @wazeerkahirafaadhil7455 Год назад

    Hahaha ATI ngombe zimeenda bondeni.. amechoka na utumwa anamalengo ya kuwa boss...

  • @winniepeter212
    @winniepeter212 2 года назад

    Muacheni Mungu aitwe Mungu

  • @janewilison6982
    @janewilison6982 4 года назад

    Kweli Mungu wa ajabu

  • @csongole5799
    @csongole5799 4 года назад +1

    Mumewasahauu mashetani wenye mguu mmoja jamani wanatusumbua usiku tukilala kwa Bibi😁😁

  • @koylaempire2135
    @koylaempire2135 5 лет назад +2

    Muziki Ni kelele tupu ambao umeharibu ladha ya video nzuri sana....poleni

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 лет назад +1

    Ridhwaniiiii

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 5 лет назад +1

    Naiona kawetere

  • @e-siryahyer788
    @e-siryahyer788 5 лет назад

    Charles hirary..

  • @rodgersgingila9367
    @rodgersgingila9367 5 лет назад +2

    apo JKT inahusika... sio kwa vikwazo hvo..

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 5 лет назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂watu wako hoi kabisa kwa kutembea ndo mazoezi lakini

  • @felixmdoe6644
    @felixmdoe6644 3 года назад

    Ethiopia Wana Ziwa linaitwa Debrezeti na Tana

  • @ottoraphael2309
    @ottoraphael2309 5 лет назад +6

    Nimeshawahi kufika hapo hadi kugusa maji... Kama afya yako haijakaa poa sikushauri kwenda

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Nimewahi tembelea hilo ziwa mwaka 2010. Kutoka hapo juu linapoonekana hadi chini kabsa kwenye maji ni nomaaa tulitumia kama saa 1 hv. Kuna miteremko ya kutisha.Ni nomaaa ila ni kuzuri sn cha msingi ukienda huko usisahau kubeba maji na chakula hasa biscut.

    • @julianachengula351
      @julianachengula351 5 лет назад

      Kweli bwana mpaka ukayakute maji ni mbali sana ukiwa mliman panaonekana pafup anza kushuka utaelewatu ila lazuli sana

  • @fadhiliakida8609
    @fadhiliakida8609 4 года назад

    Makala nzuri nimeipenda sana na hongereni sana Azam TV kwa hilo, kitu kimenisikitisha ni kwamba, mlipofika chini ziwani nilitegemea hata mngeyashika maji na kutaste ladha mbali ya kuwa mmetuambia kuwa ni ladha ya chumvi, lakini kwa nini hamjatuthibitishia kwa kuya taste? Lakini pia nilitegemea baada ya kufika ziwani mkatuonyesha vilivyomo ziwani kwa karibu zaidi ili kunishawishi nije kutembelea, otherwise mmefanya kazi nzuri, mapungufu madogo madogo kama hayo next time jitahidini mnayarekebisha

    • @uzuriwabure6204
      @uzuriwabure6204 3 года назад

      Nikwel kabisa

    • @uzuriwabure6204
      @uzuriwabure6204 3 года назад

      Vyombo tatizo waifadhi wanatakiwa wajenge camp kuwe na boti ya kuwatembeza watarii kama kuna kauwoga kidogo, kukiwa na boti utafiti utafanyika usiku kwakutega mitambo ijulikane kunamaajabu gani mengine usiku mkubwa, je chini ya kina cha maji kupoje? Je ao samaki kweli wapo waishije ula nn maficho yao yakowapi ? Maana ziwa alina ata gugu maji ndio maana tulitaman kuona kamera ishuke majini ipite taratibu tuone vyema, au ata darubin tosa kwenye maji tuone viumbe hai uko chini

  • @begaca
    @begaca 5 лет назад +2

    ZIWA ILO NALIKUBALI KWELI ANEEEEEE

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 5 лет назад +2

    Nimefrah kwa utafit wenu

  • @alialesry5131
    @alialesry5131 5 лет назад +4

    Mmmm watu wakishaanza kwenda huko kutembea......
    Na watu wasiojulikana watahamia huko kila siku mtakuwa mnatekwa shaurizenu mimi siendi hata kwa Bommmm

    • @teophilnorbert6749
      @teophilnorbert6749 5 лет назад

      ali alesry hahahaaaa lol

    • @Salma-xh9un
      @Salma-xh9un 5 лет назад

      Sana pazuri lakin tengenezeni njia za kutebelea.

    • @kebo2155
      @kebo2155 4 года назад

      .. Tanzania siyo Kongo...

  • @suleimanmazrui6942
    @suleimanmazrui6942 5 лет назад

    Hilo ziwa liko powa Sanaa ila uongo kwenye Ramani ya Bara la Africa Visiwa vya Unguja na Pemba havimo kabisa musitudanganje.

    • @kebo2155
      @kebo2155 4 года назад

      ... Sisi tunaviweka kwa vile ni visiwa vyetu... Tanzania oyeee 💯💯

  • @johnkimune8348
    @johnkimune8348 5 лет назад

    rip bro i miss your voice

    • @braxedafiroza2444
      @braxedafiroza2444 4 года назад

      John kimune ni yupi hapo aliyefariki?

    • @topesafi9742
      @topesafi9742 4 года назад

      Salim ndo alikufa,,aliyetangaza mwanzon wakiwa wanaanza safari ya kwenda.

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 лет назад

    Safi ili jitahidini kutengeneza manidhri itakuwa bora zaidi

  • @shamsahussen1059
    @shamsahussen1059 5 лет назад

    I love you Tanzania nchi yangu Tanzania nzuri Sana

  • @twilikashilongo7887
    @twilikashilongo7887 5 лет назад

    Usalama upoje? Mana lipo milimani na lipo msituni pia, unaweza panga kuja kutembea kuangalia maajabu ya Mungu aliyotujalia Tanzania ukaishia kutekwa ama kuishia mikononi mwa watu wabaya.

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 5 лет назад +2

    Wekeni usafi,na usalama was jeshi hapo. Bila hivo watakuja wengine kufanya hivyo.

  • @salimbinargan9658
    @salimbinargan9658 3 года назад

    Hata hajui kufanya mazingira ya utalii kuwa mazuri mmekuwa kienyeji anyeji sana munaupa wizara ya utalii aibu sana lazima kuwe na njia irekebiswa hata mgeni akija awe na furaha akitembea hamjui hata kubuni kutumia akili

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 лет назад

    mimi nimefika hakika nipazuli sana jamani

  • @edwardandrea9766
    @edwardandrea9766 3 года назад

    Hilo Ziwa Ngosi chanzo chake cha maji huwa yanatoka wapi.

  • @mikelampkin7418
    @mikelampkin7418 4 года назад

    liko pw

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 5 лет назад +1

    Mmmh jamani hamuogopi kunkatwa na nyoka!

    • @ottoraphael2309
      @ottoraphael2309 4 года назад

      Misitu ya milimani sehemu za baridi hainaga nyoka

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад +3

    Kwa hiyo miti siyo viumbe hai? Acheni elimu ya kumeza na kukalili halafu kufauru mtihani. Ona unavyoaibika sasa!Hii ndo product ya elimu ya bongo ukimuuliza elimu yake utasikia ana Master au PHD.

    • @hhonest9553
      @hhonest9553 5 лет назад

      Abby Adams mshkaji hajui kama mti unahema.Noma✌️

    • @benardseme7445
      @benardseme7445 5 лет назад +1

      Nadhani wanahitaji pongezi kuliko kupondwa hivi, ni makosa ya kiubinadamu

    • @alphaxardmugabo7848
      @alphaxardmugabo7848 5 лет назад +1

      basi abby na ww ulivyokalilishwa kutofautisha vyitu ndo basi ukajikuta mwalimu wa kila kitu hicho ni kiswahili tu ila sio utaalamu wake bro

    • @halfahalfa9728
      @halfahalfa9728 5 лет назад

      +Benard Seme
      Tatizo wabongo mnajifanya wajuaji sana wakati alichotuhabarisha huenda hukijui hapo awali
      😕😕😕😕😕

    • @jumasaid6073
      @jumasaid6073 5 лет назад

      Wachaga hao,wamechaguana kiukabila kutoka wizara ya mali asili na utalii ,ukifuatilia utakuta juu ya hao viazi kuna kigogo wa kichaga ndio aliowaweka hapo,wachaga ni noma!!

  • @thomastairo2021
    @thomastairo2021 5 лет назад

    next time muende ziwa chala

  • @maryseriah157
    @maryseriah157 4 года назад

    burdan sana nmefurah mno chibonge amepata tab mno

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 5 лет назад

    Wenzetu huku sehemu kama hizo wanatengeneza na kuhakikisha zinafikika kwa urahisi.....barabara nzuri na Usafiri wa Uhakika....
    Ni pazuri Mno....

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 лет назад +1

    xf xana

  • @goodtimeemmanuel9263
    @goodtimeemmanuel9263 5 лет назад

    Kuonga vipi hapo

  • @lilianemily856
    @lilianemily856 5 лет назад

    Salim mhando 😢😢

  • @shedrackmwaipopo7253
    @shedrackmwaipopo7253 3 года назад

    Mtangazaji ni ziwa ngosi sio ngozi

  • @justincharles6531
    @justincharles6531 4 года назад

    mkoa wa mbeya ni mkoa wenye vivutio vingi ispokua avitangazwi

  • @gemkachar
    @gemkachar 5 лет назад +4

    Watafikaje watali ilhali njia ya kuenda kwa miguu mbovu staili hiyo.Ukipata jeraha huko chini unaachwa kuliwa na chatu au fisi. Msimu wa mvua hapapitiki hata kwa miguu. Tumieni nguvu kazi hapo mbeya muboreshe njia tuje kutembea.

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 5 лет назад +1

    Kama hayo maji yanahakisi ramani ya africa how come visiwa viwe ndani ya eneo la bara....

    • @zamoyonigerimia7647
      @zamoyonigerimia7647 5 лет назад

      manish haujaelewa ndugu yangu sikiliza tena

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 5 лет назад +1

      @@zamoyonigerimia7647 huenda na wewe haujanilewa....sikatai muonekano wake kufanana na ramani ya Africa.. ila hiyo ya visiwa ni out of context.

  • @faizadulla8663
    @faizadulla8663 5 лет назад

    Sasa kwa njia mbaya kama hii mutapata wapi watalii

  • @kadogojoseph4199
    @kadogojoseph4199 5 лет назад

    mbona dogo sana hivi ili liitwe ziwa linatakiwa kuwa na ukubwa gani maana kuna mabwawa makubwa kama hilo ziwa.

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 лет назад +2

    Hali ya usalama ikoje uko .mambo ya snek snek

  • @goodluckmgimba903
    @goodluckmgimba903 4 года назад

    Anaefaham garam za kuingilia lake ngos

  • @uzuriwabure6204
    @uzuriwabure6204 3 года назад

    Sio mchezo kabisa

  • @kenethmswakala9669
    @kenethmswakala9669 5 лет назад

    ziwa lapili kwa ukubwa linalotokana na vorkano

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 5 лет назад

    tubhuke ntukuju mosa

  • @musasamwel9578
    @musasamwel9578 5 лет назад

    kwetu pazuli