Rev. Dr. Faustin Kamugisha: GHARAMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Mambo mengi katika maisha yana gharama. Kuwa mfuasi wa Yesu Kristo kuna gharama. Ni zipi?

Комментарии • 51

  • @DafrosaNyamwiza
    @DafrosaNyamwiza Месяц назад +3

    Hongera sana Fr. Ilove Romans one day nakuja kwenu ! Mnajua mnachokifanya no noises wala hamjifanyi watakatifu mnanyookaga tu❤

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Месяц назад +3

    Eee Mungu mwema umubariki baba mtakatifu, askofu na mapadre, wakubwa, waalimu na jamii. Uwafadhili marafiki na adui zetu. Uwaongoze wale wasiokujua bado, au wasiotii injili. Uwarudishe wasefu. Uwafadhili masikini na wazee. Uwasadie wagonjwa na wanaozimia au wasiotii injili. Uwahurumie roho wanateswa tohorani. Uwape heri ya milele Amina!!

  • @GodfreyKeraka
    @GodfreyKeraka Месяц назад

    Father Kamugisha Mungu aliyekujalia kipaji hiki cha ufundishaji akujalie neema ya kuishi maisha marefu ili elimu yako iwafikie wengi.ubarikiwe

  • @AugustineLomolen
    @AugustineLomolen Месяц назад

    Asante saana padre Kamugisha..mungu wetu akubariki na akuongezee maarifa tele tele hasua katika mwaka mpya 2025.Ni Augustino Lomulen nakupata vizuri sana kutoka kenya.Turkana county.

  • @edithavalelian256
    @edithavalelian256 Месяц назад

    Asante Fr Kamugisha, hii tafakari imenifundisha mengi sana,,, Mungu aendelee kukutunza,,,🙏🙏

  • @RevinaBamwenzaki
    @RevinaBamwenzaki Месяц назад

    Nakutakia mwaka mpya wa baraka father Kamugisha,Mungu azidi kukuangazia.

  • @brunopaul9661
    @brunopaul9661 Месяц назад

    Baba hongera kwa masomo mazuri uendelee kubarikiwa
    Karibu sana katoro - Geita katika parokia ya mt Paul vi utupatie ujumbe wa yesu kristo

  • @peternjoroge2359
    @peternjoroge2359 Месяц назад

    Nashukuru Fr kwa somo hili mpya. Mungu akubariki

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Месяц назад

    Tusupo kuelewa basi tena asante sana ubarikiwe❤🎉

  • @AnastasiaMkwena
    @AnastasiaMkwena Месяц назад

    Wewe father ni jembe tena ni sululu ya kuchimba yanayoshindikana mungu akuhifadhi ktk yote.

  • @bathshebanyaboke7192
    @bathshebanyaboke7192 Месяц назад

    Nitasikiliza hili somi zaidi ya mara tatu n tamu mno b blessed padre

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario Месяц назад

      @@bathshebanyaboke7192 Somi gani linalosujudia vyuma na mawe yalichongwa? Somi gani linaloomba marehemu waliombee kwa Mungu au linamashaka halitasikilizwa ? Somi gani linaombea marehemu waovu eti wasamehewe dhambi zao hali injili inasema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe Gal.6.5, na baada tu ya kufa ni HUKUMU Ebr.9:27-28? Hilo sio somi ni kubwa jinga njoo kwa Yesu (yaani kushika yaliyoandikwa katika Biblia tu) ndo somi la masomi! Wake up!

  • @kisidominic
    @kisidominic Месяц назад

    Merry Christmas to you too father.
    Tulikuwa pamoja pale cuea kenya

  • @rahabmacharia5020
    @rahabmacharia5020 Месяц назад

    Merry Christmas baba yetu. Mungu akuzidishie.

  • @raphaelrichard114
    @raphaelrichard114 Месяц назад

    Asanteeeh sanaa padre Mungu akutanguliee

  • @athanasmwabena5899
    @athanasmwabena5899 Месяц назад

    Aminaa kubwa baba

  • @JohanesDarasa
    @JohanesDarasa Месяц назад

    Waitu Mungu akuwe emigisha

  • @bimenyimanaclaude8297
    @bimenyimanaclaude8297 Месяц назад

    Merry Christmas Father kutoka Rwanda

  • @kennedyowino6438
    @kennedyowino6438 Месяц назад

    Merry Christmas kutoka kenya

  • @Eva-f4n
    @Eva-f4n Месяц назад

    Amin saana

  • @suzannebucyanayandi630
    @suzannebucyanayandi630 Месяц назад

    Merry Christmas Father kutoka USA-Utah 🖐🖐🖐

  • @ditrickmotto4617
    @ditrickmotto4617 Месяц назад

    Aminaa Baba, Napataje Kitabu chako kimojawapo ??

  • @michaelvincentmhagama337
    @michaelvincentmhagama337 Месяц назад

    Asante sana Padre

  • @IreneMashallo-un8zy
    @IreneMashallo-un8zy Месяц назад

    🙏🙏🙏

  • @beatricenangale5439
    @beatricenangale5439 20 дней назад

    Leo nimejifunza, kumbe Sauli aliyekuwa akiwaua wafuasi wa Yesu aliona mfano kutoka kwa Stefano aliyekufa kwa ajili Kristu.

  • @RenatusNyanda
    @RenatusNyanda Месяц назад

    🙏👍

  • @Desderyaugustine
    @Desderyaugustine Месяц назад

    Tunaomba uje kibaigwa utufundishi kidogo hapa dodoma

  • @magretmush7646
    @magretmush7646 Месяц назад

    Hero ya Xmas PDR tuko pamoja simanjiro Massimo tunafuatilia mafundisho

  • @getrudmajul5137
    @getrudmajul5137 Месяц назад

    😂😂😂😂asante Babà tunakupata vema

  • @ManswetKimario
    @ManswetKimario Месяц назад

    Unaonekana unaakili nyingi sana Padre but kwanini umeamua kujifungia JELA? Au na ww unaogopa KULIPA GHARAMA? Vipi kuhusu kuhubiri Mungu mwenye nafsi TATU hali ni uongo kabisa ? Hivi padri Kamugisha Mungu anawezaje kuwa na Mungu wake? (Yoh.20:17) Mtu akifa anakuwaje Peponi hali tunasubiri Ufufuo au mm sielewi maana ya neno UFUFUO? Kwann unasujudia SANAMU? Kwann unaombea wafu wakati kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe? Kwann unaomba WAFU wakuombee kwa Mungu badala ww uombe mwenyewe mfano akina Maria n.k ?

    • @AIKABAHATI
      @AIKABAHATI Месяц назад

      Hiyo ni Iman yako..Baki.nayo.

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario Месяц назад

      @AIKABAHATI sio kwamba nibaki na imani yangu tu iite "imani safi na ya kweli kwa kila anayeutaka ukweli" huwezi linganisha imani yangu safi na hayo masanamu yenu , mara kuomba msaada kwa watu waliokufa a.k.a WAFU mara muwaite watakatifu hali ni mifupa mitupu ha! ha 😂 Hakika mmepotelea kwenye giza nene.

    • @anastazimichaelmbua1559
      @anastazimichaelmbua1559 Месяц назад +1

      mtu aliyesoma theology na phylosophy kwa miaka 15 ,unahisi hajui anacho kiamini?? kwa mtazamo wako unahisi ni hivyo lakini ,Imani ni bayana ya mambo yasiyo onekana . Hakuna miungu 3 ni MUNGU mmoja katika nafsi 3,na hakuna ibada ya sanamu hapo . Hakuna dini itakayo mfanya mtu fulani kuwa bora kupita mwingine bali Imani thabiti kuhusu uwepo wa MUNGU na matendo yako.

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario Месяц назад

      @anastazimichaelmbua1559 Think big brother! Kusoma miaka 15 kitu gani kwani hata ingekuwa miaka 100 unaweza kuwa unajifunza upumbavu mtupu kwa muda mrefu! Theology ni elimu juu ya Mungu hivyo unaweza kusoma kuhusu Mungu kwa kubase katika imani fulani na huo ndo mwanzo wa kushika maujinga na maushenzi kama kuheshimu masanamu, kuomba wafu, kuvaa mahirizi kama Skapulari na marozari. Omba Yesu akujaze Roho Mtakatifu huyo ndo mwalimu wa kweli hayo mengine ni ziada tu.

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario Месяц назад

      @@anastazimichaelmbua1559 Kusoma theology miaka 15 sio kigezo that is the weak FACT! Unawezaje kuwa msomi huku ukaheshimu na kusujudia Mawe yalichongwa na wamakonde na kupakwa rangi we utakuwa msomi au KIAZI?

  • @PatriciaEmanuel-i9s
    @PatriciaEmanuel-i9s Месяц назад

    🙏🙏🙏