Frt. Justo Mwalemba, OSB Akabidhiwa Msalaba Usio na Mwili, Atumwa Kufanya Umisionari Bara la Ulaya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии •

  • @marymbilinyi1498
    @marymbilinyi1498 2 года назад

    Mungu alitangulia ktk utume

  • @dominikamtewele2103
    @dominikamtewele2103 2 года назад +1

    Kila lakher kaka yangu katika utume wako mwemyezi Mungu akutangulie

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 2 года назад

    Mungu akutangulie kaka

  • @johnsisya7367
    @johnsisya7367 2 года назад

    Yanga na simba leo

  • @fortidaswilfred7566
    @fortidaswilfred7566 2 года назад +2

    Abate maana yake n nini katika kanisa katoriki naomba kujua jamn kwa anaefaham

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 2 года назад

      Ni mkuu wa nyumba ya kimonaki

    • @johanajoseph878
      @johanajoseph878 2 года назад

      Kimonaki ni nini??

    • @ikrissaidrissa8613
      @ikrissaidrissa8613 2 года назад +3

      @@johanajoseph878 ni watu wanao jitenga kabisa na Dunia wanaishi maisha ya Sala na upweke, kujitolea Kwa Mungu zaidi, ufukala miaka ya zamani walikuwa wanakaa jangwani or mbali na miji ni tofauti na watawa wengine wanao ishi maisha ya kawaida kama Hawa tunao waona Kila siku mara nyng wanaitwa bruda (monk) na Kwa wanawake Nun

    • @johanajoseph878
      @johanajoseph878 2 года назад

      🙏🙏🙏

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 2 года назад

      @@ikrissaidrissa8613 Asante nami nimeelewa leo sikuwa najua kabisa. Barikiwa