Best Naso Ft Zara Queen - Candle (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 122

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Год назад +43

    Kwanza hapa like 100k chap chap tupush kaz ya mwanetu

  • @josephombaka
    @josephombaka Год назад +9

    Iv watanzania mnataka mpewe nini mbn huyu mwamba Ana nyimbo tamu sana mpeni nafasi jmn anastahili au kuna shm anafeli mwenyewe mana huyu homeboy mm ndo msanii pendwa nmb moja kutoka moyoni ila dah

  • @plutoafricatv9723
    @plutoafricatv9723 Год назад +16

    WAPI LIKES ZA 254 🇰🇪

  • @AwadhiHemedi-vl5ri
    @AwadhiHemedi-vl5ri Год назад +12

    kamkubwa nakukubali Sana wefundi wamziki nyimbo zako hazichuji zimenyooka sosawa nakina kitolondo unaimba kwahisia sana nainjoi sana nikisikiliza ngoma zako zinanipoteza mawazo yangu hatakama nadaiwa kodi nasahau mungu amekujaalia amekupa kipaji nasauti yapekee ngoma yoyotei kipingwa unajua kabisa huyo kakanaso huyo asilimia zote mkoa watanga wote tuna kukubali mungu akuzidi shiekaka mkubwa upaleni namoshi nakonimeenda ngoma zakozina gongwa kinoma kalibu sana tanga

  • @faidamisalaba5759
    @faidamisalaba5759 Год назад +3

    Wimbo mzuri Sana Dah basi tu

  • @susanmidecha1810
    @susanmidecha1810 Год назад +3

    Nyimbo nzuri Sana yenye mafunzo

  • @dayzany4843
    @dayzany4843 Год назад +5

    Nice song kama unamkuli kama mm gonga like apo kaka naso anajua sio sili

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Год назад +2

    Huyo ndie ana stahili tuzo sijui basata munaona huyo jamaa🤔🤔 likes hapo wanangu

  • @jameswangwe7418
    @jameswangwe7418 Год назад +8

    Music mzur unaongea na kuishi ana wakilisha vyema Tanzanian na maisha Yao💚💚💚💚✌️🛖☠️☠️

  • @masadakamusic
    @masadakamusic Год назад +7

    Ngoma Safi naso🔥🔥🔥🔥🔥
    Naomba ikue ft @masadaka music

  • @Manswabu
    @Manswabu Год назад +2

    Uyu jamaa anajua sna basi t watanzia wanapenda maki hawatoi airtime kwanngoma Kali kama izi

  • @barakajohnh.b8580
    @barakajohnh.b8580 Год назад +5

    💯💯💯💯💯💯 utabaki kuwa juuuuuuuuuuuuu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +10

    Artist asiyevuma sanaaa ila yupo na hachuji. Salute sana mwamba

  • @Smart_melody_music255
    @Smart_melody_music255 Год назад +2

    Unyama saana brother cjawah kupinga tangu kipindi Cha nope nafasi unajua homboy

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Год назад +2

    Best naso hatimae amenyowa lasita zake yani kabidilika San

  • @MarcelinaItongo
    @MarcelinaItongo Год назад +3

    Good job 👏 👍 👌

  • @AnnieUtenga-cr1rp
    @AnnieUtenga-cr1rp Год назад +5

    Msanii wangu pendwa wa Mara zote❤️❤️❤️

  • @abyudishiuga1368
    @abyudishiuga1368 Год назад +1

    Wewe ni mwamba nasso nakukubar mzeee 💯💯💯💯💯✊

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 Год назад +1

    Best Naso is the best👍👍👍💪💪

  • @ShawnLexonke_
    @ShawnLexonke_ Год назад +10

    My all time artist 🔥💥 we ni nyota babu💥💥mziki wako unafunza sana🔥💥

  • @ev.juliusvindya3033
    @ev.juliusvindya3033 Год назад +1

    Huyu jamaa ako fit

  • @shamnyoka_tz4220
    @shamnyoka_tz4220 Год назад +3

    Rege Fran hivi Kali sana so big up my brother ✊✊ VIDEO KALI

  • @chakaboy.
    @chakaboy. Год назад +2

    Hatari rlsana Ile paaaaah dude hili apa

  • @edwardnelison7485
    @edwardnelison7485 Год назад +2

    Nasso🎶🎶🎶✨✨✨✨✨💥💥

  • @mashimbabujiku1250
    @mashimbabujiku1250 Год назад

    Wewe kaka ni mwamba Sana, wewe ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnstoneadventureofficial219
    @johnstoneadventureofficial219 Год назад +2

    Best Nasso Ni Mmoja Tu Na Akuna Wa Kumfananisha Nae

  • @WhatboyChuwi
    @WhatboyChuwi Год назад +3

    Courage brow courage vraiment

  • @jamesrobert8890
    @jamesrobert8890 9 месяцев назад

    Mwanangu mwenyewe wa kanda ya ziwa musoma bestnaso nassoro kaka unaimba kwa hisia mpaka raha mzee wa khadija.

  • @MiguelMariano-cs6me
    @MiguelMariano-cs6me 5 месяцев назад

    King Baressa

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 Год назад +7

    Best naso is the best number one

  • @georgejustinian6394
    @georgejustinian6394 Год назад +5

    Nice Mr Nassoro

  • @DirectortristanKevin_POKOTTV
    @DirectortristanKevin_POKOTTV Год назад +8

    Kaliii sanaaa 🔥💯 keep going 🔥💯

  • @winnieopiyo3784
    @winnieopiyo3784 Год назад +10

    ❤❤❤❤ my favourite forever 👍👍👍

  • @AbduliAmidu-pm3bw
    @AbduliAmidu-pm3bw Год назад

    Nakubar Sana member wa madon Ni kazi nzur mungu azid kukushika mkono mziki wako uendelee kukua

  • @emmanuelmwanza6963
    @emmanuelmwanza6963 Год назад

    dah kaka nakubali sana pamoja na mwenzako chief maker sijui ypo wap now

  • @Ndahekenya
    @Ndahekenya Год назад +5

    Safi sana brother best Bado ni msanii wangu tangu ngoma yako ya ediga 2012

  • @user-is4fm6rv3w
    @user-is4fm6rv3w Год назад

    Best naso ❤❤ hongera san wimb mzur mung abarik Kaz yako

  • @user-jn4uz6eg4w
    @user-jn4uz6eg4w 11 месяцев назад

    Hii song naikubali sana nikiwa umba shembe ❤❤❤ best naso mwambaa

  • @luckcalx1602
    @luckcalx1602 Год назад +1

    Nakukubali bro

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Год назад +2

    Mziki mzuri sijuwi kwanini auendi viral😱

  • @prickanickolas9383
    @prickanickolas9383 Год назад +2

    ❤️❤️🔥

  • @gemstaryahaya1235
    @gemstaryahaya1235 Год назад +2

    Good music best

  • @AdidiFlavour
    @AdidiFlavour Год назад +12

    Great tune 🔥🔥

  • @dommediatz194
    @dommediatz194 Год назад +5

    Hit baada ya hit, keep it up bro

  • @user-is4fm6rv3w
    @user-is4fm6rv3w Год назад

    Best❤❤ mung abarik Kaz yako iwe juu

  • @gozlivegosbertnassoanajua2537
    @gozlivegosbertnassoanajua2537 Год назад

    Wimbo mzur sana akika ww ndo jagwa

  • @mokirisospeter4297
    @mokirisospeter4297 Год назад

    Huyo mdada kaimba vizuri sio poa

  • @nellyjakano6247
    @nellyjakano6247 Год назад

    We huyu Dem mkali Rudi Ile mitaa ulomuinapo ukaehapo hata wiki atapita tu yaani nimkali kama hii ngoma🔥🔥

  • @fabricekamate1359
    @fabricekamate1359 Год назад +2

    Big UP✅✅✅

  • @japhetmalamba6569
    @japhetmalamba6569 11 месяцев назад +1

    Kaka asate

  • @kalemelamazala7895
    @kalemelamazala7895 Год назад

    poa mwambie akwelewe

  • @sonkidkenyansa
    @sonkidkenyansa Год назад +1

    Mnifollow wakenya na watantazania wengu plz🥺🥺🥺🥺

  • @farmerboy-ug9xu
    @farmerboy-ug9xu Год назад

    Ina Tisha mi naipenda❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 Год назад

    Naso eeh, nimeiskiliza kaka

  • @kirugaralucasmatutu9968
    @kirugaralucasmatutu9968 Год назад

    Candle sio mtu mzuri kwa kukuona eti unatoka kanda maalum ee

  • @Jofuboy
    @Jofuboy Год назад +2

    Twenden na like tujuan 💪💪

  • @masadakamusic
    @masadakamusic Год назад +2

    Nasso ft masadaka

  • @asheriharuni
    @asheriharuni Год назад +2

    Big up Sana brother

  • @elidadiluhaka8415
    @elidadiluhaka8415 Год назад

    Tangu, 2015 kwenye papaso TBC had Leo bado the best kwan hujaisomea hiyo fan Bali ni kipaj,

  • @kapeamohamed2750
    @kapeamohamed2750 Год назад

    Noma sana BEST NASO

  • @CassioDomingos-td8rw
    @CassioDomingos-td8rw 7 месяцев назад

    Vizur

  • @WamburaJomu-xy2is
    @WamburaJomu-xy2is Год назад +8

    👏👏👏☑️💥💥💥📝

  • @parfecttarimo9593
    @parfecttarimo9593 Год назад +3

    Nice song

  • @barakamasterb
    @barakamasterb Год назад +2

    ❤❤❤

  • @pizzypo6797
    @pizzypo6797 Год назад +3

    ♥️♥️♥️♥️🔥

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Год назад +3

    Imefika kwangu tyr🎉🎉🎉#karromia

  • @leonardwarasla4978
    @leonardwarasla4978 Год назад

    Nzur kaka nassoro wape

  • @nsumbaboy3549
    @nsumbaboy3549 Год назад

    Hajawahi kufeli huyu mwamba kutoka mara

  • @abbasbuyele4255
    @abbasbuyele4255 Год назад

    Kazi nzuri kaka

  • @amisiamuri
    @amisiamuri Год назад

    Inafika congo lubushi

  • @saleheheda4537
    @saleheheda4537 Год назад

    Best naso huwa anaimba Sana lkn kwenye mafanikio naona Bado sijui Kwanini ambao mnakubali kazi zake tujuane kwa like

  • @4list.105
    @4list.105 Год назад

    Bombomba Sana Mr 🔥🎤🤙🇹🇿

  • @herryguy
    @herryguy Год назад

    ni fire ndani ya game

  • @gabbygospel1885
    @gabbygospel1885 Год назад

    Appreciate my by jella p happy like kama zote

  • @igomaculturaltourismchanne6656

    Ngoma nzuri

  • @hamisijuma6664
    @hamisijuma6664 Год назад

    Noma jamani

  • @Borderonemediastudi
    @Borderonemediastudi Год назад +6

    💪💪🙏🙏

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 Год назад

    Bro unajua Sana sema bas tu watu wanajisahaulisha

  • @d-maxScarlageKe
    @d-maxScarlageKe Год назад +6

    I played this song with very high volume, my neighbors called the police, the police arrested them.

  • @amisiamuri
    @amisiamuri Год назад

    Akuna musani kama tanzania

  • @zakayokassi
    @zakayokassi Год назад

    Nakukubali kaka

  • @Borderonemediastudi
    @Borderonemediastudi Год назад +6

    🙏💪💪❤

  • @alexmathias6620
    @alexmathias6620 Год назад

    Hivi balaza la sanaa ndio kusema kwamba huyu mwamba hawamuoni mbona nyimbo zake zote ziko poa zinafundisha pia kuelimisha jamii lakn naona jamaa maisha yake yapo chin sana anazidiwa na wale wanaoimba matusi alafu utasikia wakipewa Tuzo cjui hizo tuzo ni za nini

  • @tsunamimedia254
    @tsunamimedia254 Год назад +2

    🔥🔥254❤❤

  • @tinakisuda7454
    @tinakisuda7454 Год назад +1

    I like the way your

  • @jacobmasha6896
    @jacobmasha6896 Год назад

    Wonderful broo

  • @freddybaziraomari
    @freddybaziraomari Год назад

    👊🏼👊🏼

  • @NestoryMapunda-kx1su
    @NestoryMapunda-kx1su Год назад

    Fund ilq sas daa besti naso vipi tena lasta mbona mwonekano u auja kupndz kaka

  • @BABAGVANY
    @BABAGVANY Год назад

    Candle

  • @neemananyaro369
    @neemananyaro369 Год назад

    Love song

  • @NancyGidion-by4sl
    @NancyGidion-by4sl Год назад

    Uko poa bro

  • @JumaMsa
    @JumaMsa Год назад

    Nipo

  • @Borderonemediastudi
    @Borderonemediastudi Год назад +3

    🙏🙏💪💪💪

  • @MagesaMarubiri-sp6sg
    @MagesaMarubiri-sp6sg Месяц назад

    MUSOMA,tz,and Africa like you please

  • @MasumbukoSilima-sw7hl
    @MasumbukoSilima-sw7hl Год назад

    Saana

  • @chitv-qg9wl
    @chitv-qg9wl 11 месяцев назад

    I poa sana

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 Год назад

    Location za shooting za mwanza unyamaa sana

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnbatachoka11
    @johnbatachoka11 Год назад +1

    Naitaji comments Zangu hapa

  • @NedahNnko-iw6jf
    @NedahNnko-iw6jf Год назад

    Nc song