Best Naso kaka yangu, mimi niko mozambique, lakini ninapendaga sana music wako, hila ninakuomba kama utanikubaly, ufanye tena video Clip ya music wa MAMO WA DA. ninakuomba sana. mimi makonde hila niko maputo.
Acha uwongo best et Tanzania na nchi nzima baada ubadilike uende na upepo wanaofanya wenzio we endelea kuimba kizamani utaishia huko huko shamba badilika kaka mkongwe😭😭
Best Naso kaka yangu, mimi niko mozambique, lakini ninapendaga sana music wako, hila ninakuomba kama utanikubaly, ufanye tena video Clip ya music wa MAMO WA DA. ninakuomba sana. mimi makonde hila niko maputo.
Jamaa yunakaa kiba
Best naso ni namba 1 anakubalika
Namkubar sana Nasso kutoka kitambo,,,,wew ni star bro
Mwamba nasso nakukubali sana
Uko vizr make hubaguagi na show nilikuangaliaga kwa kiingilio Cha buku buku GEITA😂😂😂
Unatuinuwa Wana mara Nasso🔥🔥
Tupo pamoja best.
Nakupenda sana kaka mungu akufamwie wepesi
Ndioo 🔥🔥🔥
Uko sahihi mno best nasso
Tanzania na nje ya tanzania 😂😂
Acha uwongo best et Tanzania na nchi nzima baada ubadilike uende na upepo wanaofanya wenzio we endelea kuimba kizamani utaishia huko huko shamba badilika kaka mkongwe😭😭
Anachokifanya kinamlipa kuliko hawa wasanii wanaoimba kisasa
@@aloyceshirima7539hahahahahhahhahahahahahah uongo uo
Kweri kabisa huyu jamaa kanda yaziwa hanampinzani kwenye show
Huna baya nasso ukifa huozi we tupe za kutuelimisha
Nakukubali
Hutokuwa namupinzan 😂😂😂😂
Acha.zako umeyumba.😂😂😂
Mbona kalegeza mdomo ama nimtoto wakigoma duh😂😂😂
😅😅😅
Kwa Best Naso ni kweli tupu haongopi jamaa na ni kichwa kanyooka vby mno. Anaweza akaja kufanya alichokifanya 20% naye atadumu 7bu haanzi anamalizia
Naso kweli umeongea point tupu
Uyu jamaa anajua sana ila sema ndo ivyoo asikiki sana
❤❤❤❤❤❤
Mp3yutub danulod video