BEST NASO MBELE YA HARMONIZE, ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGIA SIFA ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 28

  • @RafadaMonicaTomasRafa
    @RafadaMonicaTomasRafa Год назад +3

    Best Naso kaka yangu, mimi niko mozambique, lakini ninapendaga sana music wako, hila ninakuomba kama utanikubaly, ufanye tena video Clip ya music wa MAMO WA DA. ninakuomba sana. mimi makonde hila niko maputo.

  • @Eliroster
    @Eliroster Год назад +1

    Jamaa yunakaa kiba

  • @DemungaMsenga
    @DemungaMsenga 4 дня назад

    Best naso ni namba 1 anakubalika

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад

    Namkubar sana Nasso kutoka kitambo,,,,wew ni star bro

  • @athumanjames4471
    @athumanjames4471 10 месяцев назад

    Mwamba nasso nakukubali sana

  • @katoro3733
    @katoro3733 Год назад +5

    Uko vizr make hubaguagi na show nilikuangaliaga kwa kiingilio Cha buku buku GEITA😂😂😂

  • @kuyengathomas876
    @kuyengathomas876 Год назад +2

    Unatuinuwa Wana mara Nasso🔥🔥

  • @user-it8tm2sr6x
    @user-it8tm2sr6x 9 месяцев назад

    Tupo pamoja best.

  • @user-ci2fc9xw2g
    @user-ci2fc9xw2g Год назад +1

    Nakupenda sana kaka mungu akufamwie wepesi

  • @javonymusic2931
    @javonymusic2931 Год назад +1

    Ndioo 🔥🔥🔥

  • @user-qo2oh8wi6p
    @user-qo2oh8wi6p Год назад +1

    Uko sahihi mno best nasso

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Год назад +3

    Tanzania na nje ya tanzania 😂😂

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm Год назад +4

    Acha uwongo best et Tanzania na nchi nzima baada ubadilike uende na upepo wanaofanya wenzio we endelea kuimba kizamani utaishia huko huko shamba badilika kaka mkongwe😭😭

    • @aloyceshirima7539
      @aloyceshirima7539 Год назад +2

      Anachokifanya kinamlipa kuliko hawa wasanii wanaoimba kisasa

    • @OfficialMicky-nv4re
      @OfficialMicky-nv4re Год назад +1

      ​@@aloyceshirima7539hahahahahhahhahahahahahah uongo uo

  • @vkmalove1307
    @vkmalove1307 Год назад +1

    Kweri kabisa huyu jamaa kanda yaziwa hanampinzani kwenye show

  • @user-qo2oh8wi6p
    @user-qo2oh8wi6p Год назад +1

    Huna baya nasso ukifa huozi we tupe za kutuelimisha

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Год назад +1

    Nakukubali

  • @user-oe7pt1uy2x
    @user-oe7pt1uy2x Год назад

    Hutokuwa namupinzan 😂😂😂😂

  • @user-oq1fc7th9n
    @user-oq1fc7th9n Год назад +1

    Acha.zako umeyumba.😂😂😂

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 Год назад +2

    Mbona kalegeza mdomo ama nimtoto wakigoma duh😂😂😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +1

    Kwa Best Naso ni kweli tupu haongopi jamaa na ni kichwa kanyooka vby mno. Anaweza akaja kufanya alichokifanya 20% naye atadumu 7bu haanzi anamalizia

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Год назад +1

    Naso kweli umeongea point tupu

  • @jaykillertz9231
    @jaykillertz9231 Год назад +1

    Uyu jamaa anajua sana ila sema ndo ivyoo asikiki sana

  • @user-qo2oh8wi6p
    @user-qo2oh8wi6p Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-rf1gi1mq5b
    @user-rf1gi1mq5b 8 месяцев назад

    Mp3yutub danulod video