ZILIPENDWA TANZANIA
ZILIPENDWA TANZANIA
  • Видео 94
  • Просмотров 824 171

Видео

Tabora Jazz Band - Florah (Hataki tena)
Просмотров 529День назад
Tabora Jazz Band - Florah (Hataki tena)
Tabora Jazz Band - Kabwela Sina Kitanda (Zilipendwa 1970s)
Просмотров 7853 месяца назад
Tabora Jazz Band - Kabwela Sina Kitanda (Zilipendwa 1970s)
Nuta Jazz Band - Sabina (Zilipendwa 1970s)
Просмотров 4,8 тыс.4 месяца назад
Nuta Jazz Band - Dada Sabina (Zilipendwa 1970s)
Dar Jaz Band - Yamewafika wenzetu (06/08/1967)
Просмотров 7 тыс.6 месяцев назад
Dar es Salaam Jaz Band - Yamewafika wenzetu (06/08/1967)
Nuta Jazz Band - Instrumental tamu sana (1960s)
Просмотров 3,4 тыс.6 месяцев назад
Nuta Jazz Band - Instrumental tamu sana (1960s)
Mbeya Jazz Band - Nampenda Frida (Zilipendwa 1970s)
Просмотров 7526 месяцев назад
Mbeya Jazz Band - Nampenda Frida (Zilipendwa 1970s)
Maestro King Kikii - Mimi na Nono (Zilipendwa)
Просмотров 1,9 тыс.6 месяцев назад
Maestro King Kikii - Mimi na Nono
Tongolanga - Chingome (Wimbo wa Kimakonde)
Просмотров 22 тыс.7 месяцев назад
Tongolanga - Chingome (Zilipendwa)
Zilipendwa RTD - kazi gani nitafanya nipate mali
Просмотров 6037 месяцев назад
Zilipendwa RTD - kazi gani nitafanya nipate mali
Nuta Jazz Band - Bibi (Zilipendwa 1970s)
Просмотров 7 тыс.7 месяцев назад
Nuta Jazz Band - Bibi (Zilipendwa 1970s)
Zilipendwa Mashuleni - Usitoe mimba sakina
Просмотров 4968 месяцев назад
Zilipendwa Mashuleni - Usitoe mimba sakina
Kilwa Jazz Band - Mwenzenu nina kesi (Mama Chanja) Zilipendwa
Просмотров 2,2 тыс.8 месяцев назад
Kilwa Jazz Band - Mwenzenu nina kesi (Mama Chanja) Zilipendwa
Tabora Jazz Band - Kilimo cha Kufa na Kupona (1973)
Просмотров 2,3 тыс.9 месяцев назад
Tabora Jazz Band - Kilimo cha Kufa na Kupona (1973)
Juma kilaza & Cuban Marimba - Sema unachotaka
Просмотров 2,1 тыс.Год назад
Juma kilaza & Cuban Marimba - Sema unachotaka
Juma kilaza & Cuban Marimba - Tunda
Просмотров 2,7 тыс.Год назад
Juma kilaza & Cuban Marimba - Tunda
Zilipendwa - Pongezi Yanga Afrika (1970s)
Просмотров 2 тыс.Год назад
Zilipendwa - Pongezi Yanga Afrika (1970s)
Kilosa Jazz Band - Mpenzi nyamaza kulia (1960s)
Просмотров 3,6 тыс.Год назад
Kilosa Jazz Band - Mpenzi nyamaza kulia (1960s)
Nuta Jazz Band - Punguza chenga zako
Просмотров 5 тыс.Год назад
Nuta Jazz Band - Punguza chenga zako
Zilipendwa RTD - Kila munu ave na kwao (Original Version)
Просмотров 47 тыс.Год назад
Zilipendwa RTD - Kila munu ave na kwao (Original Version)
Zilipendwa RTD - Sitaoa tena Mchinga
Просмотров 1,1 тыс.Год назад
Zilipendwa RTD - Sitaoa tena Mchinga
Jamhuri Jazz Band - Amida Umeniponza
Просмотров 1,5 тыс.Год назад
Jamhuri Jazz Band - Amida Umeniponza
Juma Kilaza & Cuban Marimba - Yaniliza Maisha Haya
Просмотров 850Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba - Yaniliza Maisha Haya
Wanyamwezi - Nalelemba Nalinshinya mbina (1960s)
Просмотров 700Год назад
Wanyamwezi - Nalelemba Nalinshinya mbina (1960s)
Mkwawa Jazz Band - Weekend ya Iringa Tamu (1969)
Просмотров 1,2 тыс.Год назад
Mkwawa Jazz Band - Weekend ya Iringa Tamu (1969)
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Nilipo nyamaza mlisema
Просмотров 2,3 тыс.Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Nilipo nyamaza mlisema
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Nalia na Walimwengu
Просмотров 1,6 тыс.Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Nalia na Walimwengu
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Mke Wangu
Просмотров 2,6 тыс.Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Mke Wangu
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Njoo Mpenzi Wangu
Просмотров 1 тыс.Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Njoo Mpenzi Wangu
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Mpenzi Tulia
Просмотров 1,5 тыс.Год назад
Juma Kilaza & Cuban Marimba Band - Mpenzi Tulia

Комментарии

  • @rabiusvm
    @rabiusvm 17 часов назад

    🥺

  • @johnstonekhamisi3519
    @johnstonekhamisi3519 17 часов назад

    Furaha isiyo kifani🎉

  • @LaureinKayega
    @LaureinKayega День назад

    Nikisikiliza wimbo huu machozi yana nitoka mama yangu Yustina Thadei Mtanga Sagiro aliupenda sana wimbo huu wakati huo nyumbani tulikuwa na radio ya 277 ya mbao, RTD watangazaji alikuwa Halid Ponela, Suleimani Mhogola, Abdalah Mlawa, Sara Dumba, Salim Mbonde, Maiko Katembo na wengine wengi Pumzika kwa amani mama yangu Yustina Thadei Mtanga Sagiro.

  • @KiatuKibovu
    @KiatuKibovu День назад

    Namkumbuka baba mzee PETRO MWALUKO

  • @BahatiHaule-w8t
    @BahatiHaule-w8t 2 дня назад

    Mpumzike kwa wazazi wangu

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 дня назад

    Tuwatunze wazazi wetu kwa macho mawili.

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx 3 дня назад

    nawatakia kheri afya tele wazaz wangu allhaji shekhe kidaha ally na mama yangu khadija bint kanani mungu akulindeni

  • @GerraldBukelebe
    @GerraldBukelebe 4 дня назад

    I'm still listening 🎶 2024....

  • @RaphaKamusa
    @RaphaKamusa 4 дня назад

    Hakika wazazi ni miungu wa Duniani

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd 5 дней назад

    Enzi za mtangazaji sara dumba sekioni kitojo suleimn kunchwaya

  • @glorymshana5765
    @glorymshana5765 7 дней назад

    Yatima sie 😢

  • @godfreyimbali5809
    @godfreyimbali5809 7 дней назад

    Tamu sana

  • @mahmudmustafa8588
    @mahmudmustafa8588 8 дней назад

    Mungu wape nguvu wazazi wangu nawapenda Sana

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 12 дней назад

    Yaani hadi raha Segua segua🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @neattechnologiestz8636
    @neattechnologiestz8636 12 дней назад

    Ya kale ni dhahabu

  • @paulobanzi5962
    @paulobanzi5962 12 дней назад

    Mambo sihayo na segusegu

  • @leonardfungo
    @leonardfungo 13 дней назад

    Enzi hizo akina Ngurumo, Juma Akida wakiwa vijana nyakati hazirudi nyuma.

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 16 дней назад

    😭😭nawakumbuka wazazi wangu💔Allah awaondolee adhaba ya kaburi awaweke mahali pema Yarabi,mwimbo unahuzunisha😔

  • @limbasalum7324
    @limbasalum7324 17 дней назад

    Miaka inazidi kukatika

  • @LarryWhite-o6m
    @LarryWhite-o6m 17 дней назад

    Moore Karen Williams William Brown Amy

  • @Zainaumsami
    @Zainaumsami 17 дней назад

    Duu

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 17 дней назад

    Nimebarikiwa nikiwa Italy MUNGU azidi kuwatunza mapadri wote

  • @ZainabuIslam
    @ZainabuIslam 17 дней назад

    Nyimbo inanikumbusha mbali sana

  • @AmosKanire
    @AmosKanire 17 дней назад

    Huu wimbo unanikumbushq mbali sana

  • @alesantamakiko801
    @alesantamakiko801 18 дней назад

    Salamu baba na mama ( Helphe M swai & Menafyaulana S munis. Mungu awape pumziko la furaha .Mlituacha tukiwa wadogo sana lakini Mungu ana tusimamia. Inaumiza mno lakini Mungu ni Mwema.

  • @RuthNdirangu-iy2lr
    @RuthNdirangu-iy2lr 18 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @anthonymarwa7823
    @anthonymarwa7823 20 дней назад

    Kilaza akishirikiana na Chiriku Maneti wanapasua anga zz Affika mashariki na kibao kikali 😂

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 21 день назад

    Nawapenda wazazi wangu Mwenyezi Mungu aendelee kuwatunza!

  • @thomasmomanyi285
    @thomasmomanyi285 25 дней назад

    Tears to myself.

  • @horacekennedy5704
    @horacekennedy5704 25 дней назад

    Wimbo huu hauzeeki, baba Mungu ailaze roho yako pema peponi

  • @AHMADISEPHLUNDA-eu2kf
    @AHMADISEPHLUNDA-eu2kf 26 дней назад

    2024 Mimi apa

  • @edwardnganatha8181
    @edwardnganatha8181 26 дней назад

    Those who used to play this song have since either died or died including my both parents and recently kabro.

  • @MkoiTvTz
    @MkoiTvTz 27 дней назад

    AFANDE MWINGINE ATUMA WAHUNI KUMLAWITI KIJANA ANAETEMBEA NA MCHEPUKO WAKE,KUMBE NI MWANAE..! ruclips.net/video/TfoMGMw13zU/видео.html BAGAMOYO. Afande Mstaafu aliyeatuma wahuni kwenda kumlawiti kijana aliyekuwa anatembea na mchepuko wake, Lakini wakati wahuni wanajiandaa kumuingilia Kijana huyu mzee kumuangalia vizuri kumbe ni kijana wake kabisa. Alikuwa hajui kama msichana huyo ni MAMA yake mdogo walikutana bar usiku akaenda kulala nae, Kumbe baba yake amempangia nyumba nzima, amemfungulia Saloon na kumnunulia gari aina ya IST. Mzee alichanganyikiwa kwani alikuwa na maradhi ya KISASA, Wananchi wengi watoa maoni yao kuwa wazee wenye watoto wa kiume umri wa kuanza mahusiano wawe wanatoa taarifa kwa watoto wao ili lisijirudie jambo kama hili. Mtoto wa huyu mstaafu huyu hapa VIDEO yake amefunguka mengi, endelea kuangalia Mkoi Tv Online share, comment, Like na Subscribe Mkoi Tv au unaweza kuwsiliana na chumba chetu cha habari kwa simu namba +2557130575718 ipo Whats App.

  • @karejimaure8870
    @karejimaure8870 28 дней назад

    Amen 🙏🙏

  • @AllyAthumani-m1k
    @AllyAthumani-m1k 28 дней назад

    Wimbo huu jamani unikumbusha mbali sana

  • @GeofreySenga
    @GeofreySenga Месяц назад

    Sahiiii

  • @MkoiTvTz
    @MkoiTvTz Месяц назад

    MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻 MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 Месяц назад

    Bado nazisikia sauti changa za GURUMO na John Simon. SIJUI kama ktk guitar ni Abel Baltazar

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 Месяц назад

    Namsikia Gurumo na John Simon na Mnenge wakiwa wa moto sana

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Месяц назад

    Wimbo huu nakumbuka nbali sana mama alikuwa anabeba redio mgongoni tunakwenda safari❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Sufianihozza
    @Sufianihozza Месяц назад

    Mumenikumbusha mbali sana

  • @Sufianihozza
    @Sufianihozza Месяц назад

    Shukrani ziwafikie waliokuwa waimbaji Asante I saaaana

  • @jonijomk3107
    @jonijomk3107 Месяц назад

    nyie me sio mmakonde lkn huu wimbo nina istoria nao, nakumbuka nilikua nakula mabanzi na mzee wangu kila siku akirudi ananikuta nammalizia baterry zake kwenye radio kwakusikiliza tape ya huu wimbo nilikua naurudia hata masaa mawili nausikiliza huku nalia😢 hata ninacholilia sikijuwi, niliaza kuipenda melody baadae nikaskia mzee mmoja wakimakonde anamtamfsilia mzee mwenzake maana ya huu wimbo aisee yule ndo aliniliza bora hata nisingekuwepo skuile😢😢😭😭 nilirud nyumbani kwahasira niliwasha radio nikasema sizimi mpaka baterry ziishe nikafumwa tena hata dk10 hazijafika, hiyo siku sasa ndo inanifanya hata leo ninapouskiliza huu wimbo nitokwe tena na👉😥 maana kile kichapo hakikua cha kawaida, baadae mzee akaniuliza kwa ukarimu unaupendea nini huu wimbo? nikamwambia melody na ujumbe, akaniuliza ujumbe we umekijulia wapo kimakonde nikaanza kumtafsilia moja baada ya jingine kulingana na nilivyokalili kutoka kwa yule mzee nandolo alivyokua akimtafsilia mzee mwenzake, siku iyo dingi alinambia kuanzia leo nisipokuwepo ruksa kufungulia radio hata kutwa nzimaa na jioni akatoa maagizo kwa bimkubwa nisiguswe juu ya hili kwamaana aliamini nina kitu ndani yangu😂😂😂😂😂, R.I.P DADY leo nimekukumbuka kupitia huu wimbo ulokufanya skuile uzidi kunipenda😢😢😢😢 na wenzangu wakahisi kua napendelewa bila kujua kua yalianza mateso ya kipigo cha mara kwa mara moaka pale nilipoeleweka.🙏🙏🙏

    • @MkoiTvTz
      @MkoiTvTz Месяц назад

      MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻 MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html

    • @kisaipopo1176
      @kisaipopo1176 20 дней назад

      Dah....HAKIKA huu wimbo una kumbukumbu Fulani kwako. Ila yote kwa yote nyimbo za zamani bwana zinatupa memory flani hivi ya maisha Yale tuliyopitia. Kuna picha inakuja kichwani ya maisha yooote namna yalivyokua,mazingira familia. Na ikitokea Kuna wapendwa wetu wengine hawapo basi Kuna hisia flani hivi za huzuni zinazalika. RIP daddy.

  • @Michael-ql3ni
    @Michael-ql3ni Месяц назад

    Frt Godrey Masokola My classmate ulitulia sana kwenye utunzi wa nyimbo hii ya koroho

  • @PhilidoPhilibertmutalemwa-l4w
    @PhilidoPhilibertmutalemwa-l4w Месяц назад

    Tuwajibike

  • @MwitaChacha-n5e
    @MwitaChacha-n5e Месяц назад

    Nitumie mm bwana

  • @MwitaChacha-n5e
    @MwitaChacha-n5e Месяц назад

    Nitumie mm bwana

  • @MwitaChacha-n5e
    @MwitaChacha-n5e Месяц назад

    2:18 nitumie mm bwana

  • @simbasaleh7940
    @simbasaleh7940 Месяц назад

    Za kale ni zahabu

  • @shamtesultan3209
    @shamtesultan3209 Месяц назад

    Mola awarehemu wazazi wetu waliotangulia mbele za haki na walio hai Mola awape mwisho mwema, amini rabbil laa alamin.