Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hii instrument ndio iliyotumika na wazaire kutengeneza nyimbo ya kasongo, that time wazaire walikuwa wanajifunza muziki toka Tanzania, alieturoga katupatia sana hakuna katika africa alitufikia kwa vitu vingi mno, vipaji viepotea
Pigen nyimbo mwanzo mwisho CYO mnazikata hasa hz nyimbo za hala weken n yo nyimbo Kama zilivyo
Ni kweli Ala haijakaa Sawa, mtayarishaji rudia vyanzo sahihi. Kuna wakati solo alikuwa anapanda hapa naona yupo kwenye mkao mmoja tu
Ludien tena hii nyimbo ipigen Kama ilivyoandaliwa syo mnaikata
Mtayalishaj rudia tena iyo nyimbo hatukuerew kbsa sisi cyo watoto wa miaka y 2000tumezaliwa 70 tunazijua izo nyimbo vzl sana
Nyimbo mnazihalbu sana kwann mnazikata kata?
Sahihi kabisa na mi nimemkumbuka,
Hapa Said Mabera hakuwepo bhana, mbona kama sio solo lake hili
Bado nafatilia list nzima
Huyu ni Albert Bathazar mchawi wa solo gitaa NUTA walimchukua kutoka Kilosa jazz
Samahani ni Abel Balthazar
Solo ni Mzee wa mipango Abel Baltazar
Abel Baltazari huyo!!!
Hii instrumental ilikuwa inaruhusu rhythim guitar kutembea peke yake mahala fulani. Hicho kionjo naona kimekatwa.
Ni katika wimbo gani?
@@ZilipendwaTanzania Ni katika wimbo huu huu
Hiyo ilikua ni kawaida rumba linapofikia climax rhythm guitar anaachiwa pekee yake watu wacheze kwa kishindo
Hii instrument ndio iliyotumika na wazaire kutengeneza nyimbo ya kasongo, that time wazaire walikuwa wanajifunza muziki toka Tanzania, alieturoga katupatia sana hakuna katika africa alitufikia kwa vitu vingi mno, vipaji viepotea
Pigen nyimbo mwanzo mwisho CYO mnazikata hasa hz nyimbo za hala weken n yo nyimbo Kama zilivyo
Ni kweli Ala haijakaa Sawa, mtayarishaji rudia vyanzo sahihi. Kuna wakati solo alikuwa anapanda hapa naona yupo kwenye mkao mmoja tu
Ludien tena hii nyimbo ipigen Kama ilivyoandaliwa syo mnaikata
Mtayalishaj rudia tena iyo nyimbo hatukuerew kbsa sisi cyo watoto wa miaka y 2000tumezaliwa 70 tunazijua izo nyimbo vzl sana
Nyimbo mnazihalbu sana kwann mnazikata kata?
Sahihi kabisa na mi nimemkumbuka,
Hapa Said Mabera hakuwepo bhana, mbona kama sio solo lake hili
Bado nafatilia list nzima
Huyu ni Albert Bathazar mchawi wa solo gitaa NUTA walimchukua kutoka Kilosa jazz
Samahani ni Abel Balthazar
Solo ni Mzee wa mipango Abel Baltazar
Abel Baltazari huyo!!!
Hii instrumental ilikuwa inaruhusu rhythim guitar kutembea peke yake mahala fulani. Hicho kionjo naona kimekatwa.
Ni katika wimbo gani?
@@ZilipendwaTanzania Ni katika wimbo huu huu
Hiyo ilikua ni kawaida rumba linapofikia climax rhythm guitar anaachiwa pekee yake watu wacheze kwa kishindo