@@AthumanAidan Kama hujajenga nyamaza hujui kitu , sababu kubwa ya watu kupaua mtindo huo ni kupunguza gharama , aina hiyo ya upauaji inatumia mbao chache na bati chache kuliko aina nyingine yyt . Walionielewa wamenyamaza ..
@@AthumanAidan Angalia VIDEO za nyuma za Mr House utaona ameeleza mara nyingi kuhusu aina 3 za upauaji na gharama zake , na kwanini watu wengi sasa hivi wanapaua aina hiyo , ni kukwepa gharama , My tindo huo unatumia mbao chache na bati chache , umeuelewa Bwana Athumani. ???
@@AthumanAidan Haijalishi nyumba Iko wapi , ukubwa wa kiwanja , . Mtu yyt anapotaka kujenga anafikiria kupunguza gharama , kwa aina hii ya upauaji mafundi wengi bado hawajaujua , ndio maana nikasema unakwepa gharama za mbao na bati mwanzoni lakini unakuja kuhangaika na marekebisho baada ya nyumba kuanza kuvuja . Umeuelewa Bwana Athumani ???
watu ukiwaambia hiz nyumba azifai.wanaona huna maana wao wanachodai ni kukwepa gharama kwenye mvua watakiona cha.moto labda wapate mafunzi wajuz kama huyu
Ahsante sana kaka
Umefanya vizur ila hujasafisha Ilo bat baada ya kupiga plasta
Mnakwepa gharama ya bati na mbao , mnakuja kuingia gharama ya kuboresha baadae .
Alafu wanachokwepa hata 2m haifiki😂😂
Wewe unaijuwa gharama ya hizo nyumba ...iko sehemu gani 😂😂 au unasema tu ety kukwepa gharama za bati. ....pole
@@AthumanAidan
Kama hujajenga nyamaza hujui kitu , sababu kubwa ya watu kupaua mtindo huo ni kupunguza gharama , aina hiyo ya upauaji inatumia mbao chache na bati chache kuliko aina nyingine yyt .
Walionielewa wamenyamaza ..
@@AthumanAidan
Angalia VIDEO za nyuma za Mr House utaona ameeleza mara nyingi kuhusu aina 3 za upauaji na gharama zake , na kwanini watu wengi sasa hivi wanapaua aina hiyo , ni kukwepa gharama , My tindo huo unatumia mbao chache na bati chache , umeuelewa Bwana Athumani. ???
@@AthumanAidan
Haijalishi nyumba Iko wapi , ukubwa wa kiwanja , .
Mtu yyt anapotaka kujenga anafikiria kupunguza gharama , kwa aina hii ya upauaji mafundi wengi bado hawajaujua , ndio maana nikasema unakwepa gharama za mbao na bati mwanzoni lakini unakuja kuhangaika na marekebisho baada ya nyumba kuanza kuvuja .
Umeuelewa Bwana Athumani ???
Yes sir❤❤❤
Mbona skating za mlalo wa juu zimepinda
Sikiliza vizuri
Hizo nyumba hazina mana huku nje zinavujaa😅😅
Inategemea na mafundi wanae jenga ,ukiweka mafundi njaa lazima ivuje 😂😂😂😊
Ukipqtq fundi ana uwelewa ndo litalukuta janga km ili lkn ukipqta fundi makini mbona raman nzur
Siitaki kwa kweli.
Hapo fundi wa palaster hayupo kasafiri
watu ukiwaambia hiz nyumba azifai.wanaona huna maana wao wanachodai ni kukwepa gharama kwenye mvua watakiona cha.moto labda wapate mafunzi wajuz kama huyu
Hapo fundi wa plaster hayupo kasafiri
Nitakutafuta ndugu wacha nipambane kwanza huku Qatar
upo Qatar sehemu gani
@@nicokamily1749 Niko Qatar Doha, Al Rayyan
Natamani kuja huko