BIBI IRENE AELEZA NAMNA AMBAVYO NYUMBA YAKE YA KUFICHA BATI ILIVYO MTESA KWA KUVUJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 22

  • @kulwagama3677
    @kulwagama3677 8 месяцев назад

    Ahsante sana kaka

  • @MichaelMagembe-g8o
    @MichaelMagembe-g8o 3 месяца назад

    Umefanya vizur ila hujasafisha Ilo bat baada ya kupiga plasta

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 9 месяцев назад +5

    Mnakwepa gharama ya bati na mbao , mnakuja kuingia gharama ya kuboresha baadae .

    • @nwntz
      @nwntz 9 месяцев назад

      Alafu wanachokwepa hata 2m haifiki😂😂

    • @AthumanAidan
      @AthumanAidan 8 месяцев назад

      Wewe unaijuwa gharama ya hizo nyumba ...iko sehemu gani 😂😂 au unasema tu ety kukwepa gharama za bati. ....pole

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 8 месяцев назад

      @@AthumanAidan
      Kama hujajenga nyamaza hujui kitu , sababu kubwa ya watu kupaua mtindo huo ni kupunguza gharama , aina hiyo ya upauaji inatumia mbao chache na bati chache kuliko aina nyingine yyt .
      Walionielewa wamenyamaza ..

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 8 месяцев назад

      @@AthumanAidan
      Angalia VIDEO za nyuma za Mr House utaona ameeleza mara nyingi kuhusu aina 3 za upauaji na gharama zake , na kwanini watu wengi sasa hivi wanapaua aina hiyo , ni kukwepa gharama , My tindo huo unatumia mbao chache na bati chache , umeuelewa Bwana Athumani. ???

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 8 месяцев назад

      @@AthumanAidan
      Haijalishi nyumba Iko wapi , ukubwa wa kiwanja , .
      Mtu yyt anapotaka kujenga anafikiria kupunguza gharama , kwa aina hii ya upauaji mafundi wengi bado hawajaujua , ndio maana nikasema unakwepa gharama za mbao na bati mwanzoni lakini unakuja kuhangaika na marekebisho baada ya nyumba kuanza kuvuja .
      Umeuelewa Bwana Athumani ???

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 8 месяцев назад

    Yes sir❤❤❤

  • @NicholausDanga
    @NicholausDanga 9 месяцев назад +3

    Mbona skating za mlalo wa juu zimepinda

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 9 месяцев назад +2

    Hizo nyumba hazina mana huku nje zinavujaa😅😅

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 9 месяцев назад

      Inategemea na mafundi wanae jenga ,ukiweka mafundi njaa lazima ivuje 😂😂😂😊

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 9 месяцев назад

      Ukipqtq fundi ana uwelewa ndo litalukuta janga km ili lkn ukipqta fundi makini mbona raman nzur

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 9 месяцев назад

    Siitaki kwa kweli.

  • @Allykitambi-g4u
    @Allykitambi-g4u 8 месяцев назад

    Hapo fundi wa palaster hayupo kasafiri

  • @roidaRichard-ho3uq
    @roidaRichard-ho3uq 8 месяцев назад

    watu ukiwaambia hiz nyumba azifai.wanaona huna maana wao wanachodai ni kukwepa gharama kwenye mvua watakiona cha.moto labda wapate mafunzi wajuz kama huyu

  • @Allykitambi-g4u
    @Allykitambi-g4u 8 месяцев назад

    Hapo fundi wa plaster hayupo kasafiri

  • @joycechuki8258
    @joycechuki8258 9 месяцев назад +1

    Nitakutafuta ndugu wacha nipambane kwanza huku Qatar