Zaita Musica na kisa cha kesi ya kanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 26

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Год назад

    Kama ninamuona mtu kama Badibanga Wa Tshilumba Kai Kai aliyewahi kuimbia Le Mangelepa huyo muimbaji mweusi anayecheza sana.

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 2 года назад +3

    Huu wimbo umenikumbusha mbali aisee!
    Dah.
    Enzi hizo miaka ya 1991....😭

  • @anickashasha
    @anickashasha 2 года назад +2

    R.I.P Supreme Fredie Ndala Kasheba; R.I.P Baziano Bweti. I pray for the health recovery of King Kikii a.k.a Bwana Mukubwa. Those were good old days of enjoying to the real music at Msasani Bay Villa (kwa mzee Chando, R.I.P).

  • @davishenrykibassa1038
    @davishenrykibassa1038 2 года назад +2

    Ya kale dhahabu.

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 месяцев назад

    Marem kasheba alikua nguli mungu amuweke pema peponi

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 месяцев назад

    Mungu nimwema atamweka peponi na maisha yaendelee

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 7 месяцев назад

    Zaita muzika ilikua nawakati nzuri kipindi hicho

  • @PeterShija-b9h
    @PeterShija-b9h Год назад

    Natamani dunia mwenyezi mungu arudishe nyuma

  • @sabaskimboka7301
    @sabaskimboka7301 Год назад

    Natamani sana kuusikia ule wimbo wa hawa hawa watu ' 'Mama Safar'.

  • @DeograsiasMhaiki
    @DeograsiasMhaiki 7 дней назад

    Gitaa la nyuzi Kumi na mbili (dozen)

  • @YoungKing-info
    @YoungKing-info 11 месяцев назад

    Vitu hvyo ❤❤❤

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 месяцев назад

    Sawa kabisa hakuna ubishi

  • @OscarChibwana
    @OscarChibwana Год назад

    Nyimbo bora sana wakati huo.

  • @alfonsiammuni2316
    @alfonsiammuni2316 Год назад

    Naupenda

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 7 месяцев назад +1

    Tuleteeni wimbo wa Monica ameshakamatwa sijaupata nautafuta

  • @jamaphamymete139
    @jamaphamymete139 2 года назад

    Tamu sana

  • @cathyrwiza
    @cathyrwiza 10 месяцев назад

    Jaman jamani tungepata kujua aliko muumba was mbinguna Dunia tungeeda kumuomba arudishe Dunia nyuma Ili Fred ndala kasheba arudi na wakongoman wenzake

  • @cathyrwiza
    @cathyrwiza 9 месяцев назад

    Kikii jamani

  • @samiramhina4762
    @samiramhina4762 Год назад +1

    Najisikia Raha sanaa Huu wimboo

  • @PeterShija-b9h
    @PeterShija-b9h Год назад

    Hizi ndo enzi zetu

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 8 месяцев назад

    Zamahizo zaita ilikua Moto chini chini ya ndala kasheba

  • @ayubuyondu8835
    @ayubuyondu8835 8 месяцев назад

    😂so far so good RIP

  • @kidotimathew1916
    @kidotimathew1916 Год назад

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 7 месяцев назад

    Hao walikua magwiji wa mziki

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 месяцев назад

    Maremu kasheba alikua nguli Kati ya wanamuziki

  • @deodatusngoti10
    @deodatusngoti10 Год назад

    Nyumban ni nyumbani