Mhs Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Ni kijana mwenye utu hekima na busar ,upendo kujishusha Mungu amlinde na kumtunza daima milele kweli Mhs Rais Wetu ni kichwa alojua kumteuwa kijana mwema na uwezo wa uongozi anaheshimu kila mtu Mungu wa Mbinguni tulindie huyu mtoto wetu umwondolee hasad na chuki za wanadamu wenye wivu Ammin
Vipaji vipooooo.....mtu wa kazi mzalendo na pengo kunbe linazibikaa.....Mungu akurpe ulinz na barakai wa utume kijana wetu Biteko.......chapa kazi tutakumbukaaa
Et uhuru wa kuabudu wakati tunashuhudia mchungaji kafugwa jera, na kanisa lake wamezuiliwa kuabudu sasa hapo uhuru upo wapi, ifikie mahara saswala ya mungu tuwe serious. Serikali mnaongea hivi alafu mnaishi kingine sis tutawaaminije sasa
Mhs Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Ni kijana mwenye utu hekima na busar ,upendo kujishusha Mungu amlinde na kumtunza daima milele kweli Mhs Rais Wetu ni kichwa alojua kumteuwa kijana mwema na uwezo wa uongozi anaheshimu kila mtu Mungu wa Mbinguni tulindie huyu mtoto wetu umwondolee hasad na chuki za wanadamu wenye wivu Ammin
Tunakuamini sana naibu waziri mkuu. You are so bright.
Hongera Kijana Roho Mtakatifu Aendelee kukupa Nguvu na HEKIMA Tele, Barikiwa sana
Unaakili sana Mh.Naibu waziri mkuu!.
Amina Barikiwa
Songa Mbele Mungu Yuko na wewe.
Hongera naibu waziri Mkuu hakika mama hakukosea
Uko vizuri
Vipaji vipooooo.....mtu wa kazi mzalendo na pengo kunbe linazibikaa.....Mungu akurpe ulinz na barakai wa utume kijana wetu Biteko.......chapa kazi tutakumbukaaa
Tyk
Naibu waziri Mkuu Umemsahau Mhashamu Askofu Bernadin Mfunbusa...alikuwa Deputy Vice Chancellor of Academic Affairs pia.
Sio lazima awakumbuke wote
Wasizalisha wana maneno mengi
Et uhuru wa kuabudu wakati tunashuhudia mchungaji kafugwa jera, na kanisa lake wamezuiliwa kuabudu sasa hapo uhuru upo wapi, ifikie mahara saswala ya mungu tuwe serious. Serikali mnaongea hivi alafu mnaishi kingine sis tutawaaminije sasa