SADAKA YA ZAKA. Mwl, Vincent Mwakisyala.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 7

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 8 месяцев назад +2

    ubarikiwe mtumishi

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 7 месяцев назад

    Barikiwa muno

  • @minanielikana
    @minanielikana 8 месяцев назад

    Visenti ahsante sana.
    Wengi wetu hatuliziki kwasababu
    Nimaandiko mengi tunakuta nikama yanapinga mutumishi.
    Yesu mungu Alimtowa zaka.
    Na pengune zaka ilikuwa Ni vyakula tu.
    Na kitabu cha Nehemia 5:14;19
    Nehemia 13::14-31 mambo mutumishi nimeeeengi mno.

  • @barikimwakakenda
    @barikimwakakenda 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe saana mtumishi kwa mafundisho mazuri .
    Lakini ukisoma vizuri katika MATHAYO 23:23(.......hayo imewapasa...)
    Neno hilo linamaanisha ni lazima. (Ought ye) KJV

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 7 месяцев назад

    Asante sana Mtumishi wa MUNGU kwa kudadavua vizuri kuhusu utoaji wa sadaka ya zaka na climb uko lake. Sikuhizi watumishi wengi sana wanalazimisha waumini tena wengine kwa matisho makubwa sana kiasi kwamba inampelekea mtu kutoa sio kwa moyo wa kupenda bali kwa kuogopa. Sasa ninaswali na hii sadaka ya malimbuko ambayo pia watumishi wengi sana wanaisisitizia siku hizi. Hii ikoje Mwalimu?