KAREJESHA UZIMA-KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, \\ NANSIO-UKEREWE
HTML-код
- Опубликовано: 29 мар 2024
- Karibu utazame wimbo Mzuri wa Sherehe ya Ufufuko wa Bwana(Pasaka)
Mtunzi: E. E. Mlyuka (Jissu)
Waimbaji: KWAYA YA MT. YOSEFU MFANYAKAZI, NANSIO
Sound Eng.: E. WAMUNGU
Organist: KAZOBA DE WJ
Video Director: MDETE TM
Audio: CAPITAL SOUND
#kwayakatoliki #africangospel #eastereggs #eastersongs #hehasrisen Видеоклипы
Hongereni sana jamani, mmeimba kwa utulivu na wimbo mzuri
Safi sana kwa kazi nzur
Hakika tinaenjoy tulio mbali na Kwetu Ukerewe
Mung tunakusifu sana
Hongereni sana kwa utume uliotukuka. Asante mwandishi wa wimbo kwa teología nzuri. Kongole kwenu waimbaji
asante sana sana
Another hot music from you wanachoir wa Nansio after that sitamuacha mungu..mola aendelee kuwapa nguvu daima..Kenya twawapenda sana🙏🙏🙏🙏
Amefufuka tushangilie sote
Hakika amefufuka kwelikweli Tuzidi kuinuana ndugu zetu wakenya tunawapenda sana, karibuni sana Nansio Ukerewe
@@MtYosefuNansio amen and amen
Hongereni sana Wana wa Nyumbani Ukerewe
Waaooooh! Hongereni sana wapendwa kwa wimbo mzuri.. "Karejesha uzima"❤❤
asante sana Mungu ni mwema
Hongeren sana wanakwaya mmeupiga mwingi.
asante sana
❤🙏 wimbo mzuri
naam asante sanaa
Mmeupiga mwingi ndugu zangu, unazidi kuuonesha ukubwa wenuu, tukoo pamoja kuitangaza kazi hiii huku tulikooo
Woow hakika Mungu ni mwema kila wakati
Barikiwa❤
Asante sana sana
Atari Sana tumuombe mungu atuzidishie Imani🙏🙏
Hakika
Hongereni ndg zangu namuona class met wangu Edina Emily Ukerewe moto
Hongereni sana.. kazi nzuri mnoo
asanteee sanaaa
Hongrn mmeimba vzr sn wamewatoa vzr sn
asante sana sana
Kazi nzuri sana wapendwa
oooh shukrani sana sana tuzidi kuombeana zaidi
Mmenogaaaaa🎉
shukrani sana
Safi sana❤
asante sana
Hongereni sana❤
shukrani sana
Hongereni sana
asante sana sana
Asee hapo mwanzo wa wimbo hapo mna vituu❤
Mungu awabariki kila wakati. Pongezi mko smart, sauti kama Malaika. Mtakatifu Yosefu tuombe.
naam naam ninheri katika yote uzidi kubarikiwa nayo
asante sana
Hongereni san St. Yosefu Mfanya kazi nansio kwa wimbo mzuri kwa kufufuka kwa Bwana Yesu. ALELUYA SANA
Aleluya Amefufuka kwelikweli
asante sana kwa pongezi zako mahsusi kwetu
Hongereni kwa kazi nzuri ya kumtukuza Mungu. By Tungilo
Amina sana Ndugu yetu Joachim Tungiro Karibu sana , na uzidi kubarikiwa zaidi na zaidi
Hongereni sana🔥🔥🔥
asante sana
Aseeeeee wonderful enough actully; Kwa albam yenu hii mmetshaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Hongera sana
😁😁😁🎼🎼🔥
❤❤❤
thanks
Waoooh ❤🎉🎉🎉
🎹🎵Naaaaam...Pasaka imewakaaa🎶🔥🔥💥
hakika mungu ni mwema
Safi
Amina sana Nansio kwetu
Amina sana Karibu nyumbani
Kazi d
jema yamungu
Amina ubarikiwe kwayo
Wow!!!❤❤❤❤❤ it's good I like it
Thank you! 😊
OK thanks too
Kazi nzuri sana hongereni
Asante sana
Surelly broooo!!!
Vitu vyangu hvo ongereni bhwana bhwetu
asante sana ubarikiwe mwana wetu
Sema mnajua buana❤❤
Amina sana ni Neema ya Mungu
🥰🥰🙌🏾
thanks
Congratulations 🎊
Thanks on Behalf
Hongereni wana Yosefu Mfanyakazi Nansio kwa Wimbo mzuri wa Ufufuko wa Mkombozi wetu. Kristu AREJESHE UZIMA ndani ya Mioyo yetu.
hakika mungu ni mwema sana
Hongereni sana
Shukrani sana sana