The Struggle is real Fam... Asante kwa wote mnaoendelea kutusupport ili Kuiweka HIPHOP ya BONGO mahala pale... Asante EA Radio na uongozi mzima pia ASANTE
Ukweli ni kwamba mchizi hana zile nyota na wengi tulikua hatumjui ila jamaa dakika kumi zote kachana yani ana upepo.. mi nampa 98%.. honestly hujatuyeyusha na ata wangekuongeza 10 nyingine usingetuyayusha big up bro na kila la kheri muhimu kupambana na kusali sana
Hip Hop ipo Kusini, Pumzi ya kutosha yan 10 Mins hakuna zile za "Nikisema Pa mnasema Pe, Paaaa Pee Paa pee" *3 . Mwanzo mwenga jamaa kaflow. Big up home boy
Huyu rapa, anafloo vizuri ila mashairi hayana maana, kajitahidi ila hana mashairi makali, narudia tena no punch line hata moja niliyoisikia, ila floo kama baghdad
The Struggle is real Fam... Asante kwa wote mnaoendelea kutusupport ili Kuiweka HIPHOP ya BONGO mahala pale... Asante EA Radio na uongozi mzima pia ASANTE
T Gwan umewakilisha vyema kusini yetu #njombe up umeua mnooooooo
Oneloveee homeboy ngumu black..
Pumzi ya kuchebaaaa.
Be blessed buddah
T Gwan
Aiseeeeeeee
kip up bro u can make it...heshima ndo silaha yako mkuu
you killed it mzee kama kawa kama enzi za kijiwe
Ukweli ni kwamba mchizi hana zile nyota na wengi tulikua hatumjui ila jamaa dakika kumi zote kachana yani ana upepo.. mi nampa 98%.. honestly hujatuyeyusha na ata wangekuongeza 10 nyingine usingetuyayusha big up bro na kila la kheri muhimu kupambana na kusali sana
Amen amen Askari SALUTE
hizo 2 unampelekea nani sasa usiozimalizia kwake tu
Hip Hop ipo Kusini, Pumzi ya kutosha yan 10 Mins hakuna zile za "Nikisema Pa mnasema Pe, Paaaa Pee Paa pee" *3 . Mwanzo mwenga jamaa kaflow. Big up home boy
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
weka likes zake mwana ameumiza kinoma
DJ unazingua kila siku
kwani beay mpaka uweke za bongo hata za mbele gonga
unawatoa ma MC kwenye vibe some time
*****MAONI TU*****
#Makambako stand up ☝✌
Wakilisha boy ...🎤🎼
T gwan
HAKIKA Leo nawaeleza.... dj DEA.... HAKUNA WAKUMLINGANISHA.... YUPO VIZURI KULIKO MAELEZO... BIG UP DJ DEA.
Keep it up
Unachofanya ni adimu sana kwa kizazi cha sasa bila kutukana. Makambako Nyumbani
Amani Hommie... Be blessed
Makambako kumekucha og
Nami naitaji dakika 10 niangamize 0756188587
N burudani tosha,,,unakosaje dak 10 za maangamiz
nakubali makambako boy#Tgwan
kama kuna mtu atashindana na uyu aje apambane mamae kwenye mic apa
Kuna midundo mingi sana maemcee wanaweza kupita, karibu midundo kadhaa kwa sasa maDJ wenu wanairudia sana! Jaribuni kufanyieni kazi hilo
Uwezo unajieleza
Jaman wa2 kama hawa inatakiwa wachukuliwe 10 bora ya kumi za maangamiz halaf itolewe ngoma moja kama cypher flan hv itakuwa 🔥naamini
Inabidi uongozi Ufanyie kazi hili braa... Tuzidi kusogea... Amani kwako though
Number one ☝️ on Dakika 10 za mangamizi,daaaah ana mzuka
Haijawahi tokea kama hii. Salute t gwan
Dj katulia, angekuwa Dj summer angempoteza mchizi
Ashakhum si matusii...huyu jamaaa ni nyokoooooo, mamaeeeeeeeh.
Na naomba nisamehewe kwakua nilimu undemine sana before kuplay.
Im sorry brother,...
Hii ndo maana ya 10 za maangamiz....yan akuna mbwembwe mistar mwanzo mwishooooooo
Jamaa anaua sana nimependa staili yake iko kivyake sana yaan full kukimbia na anapumzi
wa kwanza kuview na wa kwanza kucoment #Hiphop #kiswanglish
Mleteni Naguar the durable a.k.a Kijogoo
anavo chana adi ubongo una sisimuka kabixa what he did
Rap sourthen highland zone wakiongozwaa na mentally
90 Kaua hajaleta zile nichane nisichane" can I kiki" Anajua Jinsi ya dakika kumi
Mchiz ka-flow poa sana..thumb up bro
Thumb Up too Brother... TUSONGE
Jamaa umetishaaaaa umefunika mastaa wote walioingia dkk10 we nimkali
Asante kwa kunipa Nguvu ya kuendelea KUKAZA...SALUTE
Nikichogundua iringa mko vizuriii ..r.I.p geeeev
Amechinja wote tangia ianze
DJ unazingua kwenye upande wa midundo
kila siku tunasikia midundo jau jau
******MAONI TU*****
Safi sana.Bro umefanya kitu kikubwa unajua
Nomaaa kijana watu
Katishaa sanaaaa sema tunaomba dakika kumi ziwe angalau cku mbili ndan ya week itakua mzuka sanaaaa coz ma mcee n wengi ili tuwape nafasi
kweli brow
mkali saaana jama huu hip hop yake kali sana unadhani ni 50cent kbsa
Amini
Ebwana kizazi sana tupopamoja mpaka pale malengo yetu yatakapo timia japo mdomdo
Kutoka home.......Halaaaaaaa T-GWAN
T gwan mnyama killed it bro
Noma mzee #TGwaan Umeangamiza
Budddah tisha sanaaaaaaaaaa
T jamaa mnyama sana u ko tofaut sana
Amani kwako Braa TUSONGE
he kill it meeeeeen jamaaa dk 10 zote katembea na beat mwanzo mwengaa
Dah kwa hizi floo,,hip hop inaweza kuzaliwa upya kwa ma mc wapya,,
Amen
www.T GWAN NI HATARI MAMAE I WARNED YOUUUUUUU.co.tz
Tunaanziaga hku kwa comment kucheck kama mwana kazingua ama vip
top5 t-gwan .maarifa the bg thinker , boshoo
Ashakhum si matusii...huyu jamaaa ni nyokoooooo, mamaeeeeeeeh.
Na naomba nisamehewe kwakua nilimu undemine sana before kuplay.
Im sorry brother,...
Shukran sana Brother... Kwa Muda wako, Asante kwa Mrejesho pia Ubarikiwe Sana
jaman mim kilio changu uyo dada tu nampenda alivyo
Rating 7/10 Yuko sawa kufreestyle na hajasitasita ila hana uzito wa punchline.
but jamaa yuko sawa
Miltone Musumbah 254 yeah
hujui mziki wewe/hiphip)
Miltone Musumbah 254 kwa 255 ntajie 5 best MCs/rappers unaowakubal
njombe juu babake t ngwana umetisha sana brza safi
Godfrey Kyando sanaaaa
kama unamkubali gonga tumpe like zake saluti kwake
Mitambao na mitindo 100%√√
SALUTE Braa TUSONGE
kijana ni fireeeeee
Is this shit real from Makambako!?,it cant be true T.. my city coming d.o.p.e#bestof10zamaangamizi
Amini..
This nigga 🙌🙌 we need him Vs Boshoo
Mchiz mkali nimemkubali sana big up
mleten b boy blackfire bna
Shidaa xana ani metixha toka mk .....Nj stnd up
Jmaa anamapepo ya hip hop kimenukaaaaaa
..."mama aliniita TOGAMA nikaanza ku CHANIKA"...that's his name Togama Chanika....One love school mate, Box 2, Songea Boys' unawakilisha ile mbayaaaaa
Pamoja Mboy Lets Kip Up The Spirit TUSONGE Broo
b boy blackfire ashuke
Jamal hatari sana, dakika zote zimetumika yani
Anajua mzee
Tunamtaka cado kitengo
Afu ana verse za uongo uongo
🔥🔥 umekiwasha T Gwan
no yoyo yo yo
bless up
Favorite tgwan
100% naungana na @fifi.
Nyoa
Hip hop ni kweli ipo kusini... Anae bisha asubiri jamaa wakuitwa Mtoka mbali atimbe hapo one day 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aweke number tumchangie mistari naona anajua kushusha vifusi vya vina ajamaa anajua yana tangia dakk ya 1
Jamaa alitsha mbaya hakka bongo 2na vpach sema uwezeshwaj ndo ttz kubw. Cjw nan wa kuwahamacsha viongoz mpak cku wajue mzik ni kaz kam kaz zngn. Jamaa ana pumz n shda.
NENO...
Imekomaa Sana hii tagama
nimemwelewa Sana jamaa
nimeirudia tena aisee t gwan nooma
Much respect for him,he killed dk za mangaz
Respect Hommie #TUSONGE ✊🏿
kusini makambako
Nommaaaaaaaa
T-Gwan kaangamiza ipasavyoo mistari mikali afu anajua kwenda sawa na midundo.
live kaka mistari konki
Ebhana hatar sana T gwan ,keep it up
fresh xana t gwan umetisha uko unique kimichano
Makambako mko juu
Motooo
umenipeleka, kisha ukanirudisha, nasema niache hapa hapa... ulitisha na umetisha
Amani kwako Ma Hitter TUSONGE
nzuri broh
makambakonian
jamaa anarap sana
good
t gwan nomaaaaaaaa sana boi
Ninja unajua mzee
jamaa anajua
Huyu rapa, anafloo vizuri ila mashairi hayana maana, kajitahidi ila hana mashairi makali, narudia tena no punch line hata moja niliyoisikia, ila floo kama baghdad
T gwan🔥🔥
t.o.d jmn mtuleteeeee
Jamaa No 1
Makambambako ndauli bee dogo ana pumzi balsa yuko vizuri
Haaahaaah Amani Ma men men TUSONGE
Hey hey T gwan u kill it meeeen salute to you bro.keep it up mzee
asante kwakazi nzuli kilosafi nimeenjoi ila chamsingi nikuendelea kukaza pamoja Makambako nyumbani
Amen Amen Braa... TUSONGE
Midude noma yoo... salute ninja T gwan
Amani kwako Illmatic... SALUTE
Alitish sana
2020 2na ichek
Umetisha ma men men...
Umewakisha vyema Hom boi....
Nazan wameelewa , mana moto huo haukua moto wa kizembe