Dakika 10 za maangamizi - T-Gwan | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 351

  • @tgwan
    @tgwan 6 лет назад +94

    The Struggle is real Fam... Asante kwa wote mnaoendelea kutusupport ili Kuiweka HIPHOP ya BONGO mahala pale... Asante EA Radio na uongozi mzima pia ASANTE

    • @camillomakongwa8308
      @camillomakongwa8308 6 лет назад +6

      T Gwan umewakilisha vyema kusini yetu #njombe up umeua mnooooooo

    • @davidngimba4267
      @davidngimba4267 6 лет назад +2

      Oneloveee homeboy ngumu black..
      Pumzi ya kuchebaaaa.
      Be blessed buddah

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 6 лет назад +3

      T Gwan
      Aiseeeeeeee

    • @abousally8686
      @abousally8686 6 лет назад +1

      kip up bro u can make it...heshima ndo silaha yako mkuu

    • @lunyatheprodigy
      @lunyatheprodigy 6 лет назад +2

      you killed it mzee kama kawa kama enzi za kijiwe

  • @eddiedonald7483
    @eddiedonald7483 6 лет назад +26

    Ukweli ni kwamba mchizi hana zile nyota na wengi tulikua hatumjui ila jamaa dakika kumi zote kachana yani ana upepo.. mi nampa 98%.. honestly hujatuyeyusha na ata wangekuongeza 10 nyingine usingetuyayusha big up bro na kila la kheri muhimu kupambana na kusali sana

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад +2

      Amen amen Askari SALUTE

    • @issackmohammed080
      @issackmohammed080 Год назад

      hizo 2 unampelekea nani sasa usiozimalizia kwake tu

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 6 лет назад +33

    Hip Hop ipo Kusini, Pumzi ya kutosha yan 10 Mins hakuna zile za "Nikisema Pa mnasema Pe, Paaaa Pee Paa pee" *3 . Mwanzo mwenga jamaa kaflow. Big up home boy

  • @shabanimdugi6813
    @shabanimdugi6813 6 лет назад +11

    weka likes zake mwana ameumiza kinoma

  • @clavelzaddy795
    @clavelzaddy795 6 лет назад +2

    DJ unazingua kila siku
    kwani beay mpaka uweke za bongo hata za mbele gonga
    unawatoa ma MC kwenye vibe some time
    *****MAONI TU*****

  • @emmanuelskmtanzania24
    @emmanuelskmtanzania24 6 лет назад +11

    #Makambako stand up ☝✌
    Wakilisha boy ...🎤🎼

  • @mohamedbabesh575
    @mohamedbabesh575 6 лет назад +4

    HAKIKA Leo nawaeleza.... dj DEA.... HAKUNA WAKUMLINGANISHA.... YUPO VIZURI KULIKO MAELEZO... BIG UP DJ DEA.

  • @marymichael7245
    @marymichael7245 6 лет назад +13

    Keep it up
    Unachofanya ni adimu sana kwa kizazi cha sasa bila kutukana. Makambako Nyumbani

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amani Hommie... Be blessed

    • @kelvinmartin863
      @kelvinmartin863 3 года назад

      Makambako kumekucha og

  • @mrjackchananashon4
    @mrjackchananashon4 6 лет назад +2

    Nami naitaji dakika 10 niangamize 0756188587

  • @allymussa2532
    @allymussa2532 6 лет назад +2

    N burudani tosha,,,unakosaje dak 10 za maangamiz

  • @antonkihongosi2086
    @antonkihongosi2086 6 лет назад +3

    nakubali makambako boy#Tgwan

  • @lawichogo1861
    @lawichogo1861 6 лет назад +7

    kama kuna mtu atashindana na uyu aje apambane mamae kwenye mic apa

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 6 лет назад +3

    Kuna midundo mingi sana maemcee wanaweza kupita, karibu midundo kadhaa kwa sasa maDJ wenu wanairudia sana! Jaribuni kufanyieni kazi hilo

  • @ambrozywzanzibar422
    @ambrozywzanzibar422 6 лет назад +3

    Uwezo unajieleza

  • @issaboyracka4805
    @issaboyracka4805 6 лет назад +7

    Jaman wa2 kama hawa inatakiwa wachukuliwe 10 bora ya kumi za maangamiz halaf itolewe ngoma moja kama cypher flan hv itakuwa 🔥naamini

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Inabidi uongozi Ufanyie kazi hili braa... Tuzidi kusogea... Amani kwako though

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 6 лет назад +6

    Number one ☝️ on Dakika 10 za mangamizi,daaaah ana mzuka

  • @nicholauserick7179
    @nicholauserick7179 6 лет назад +10

    Haijawahi tokea kama hii. Salute t gwan

  • @samsonmatonya3608
    @samsonmatonya3608 5 лет назад +1

    Dj katulia, angekuwa Dj summer angempoteza mchizi

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat2049 6 лет назад +1

    Ashakhum si matusii...huyu jamaaa ni nyokoooooo, mamaeeeeeeeh.
    Na naomba nisamehewe kwakua nilimu undemine sana before kuplay.
    Im sorry brother,...

  • @gervaswenceslaus6158
    @gervaswenceslaus6158 6 лет назад +3

    Hii ndo maana ya 10 za maangamiz....yan akuna mbwembwe mistar mwanzo mwishooooooo

  • @eliamwakalong6160
    @eliamwakalong6160 6 лет назад +8

    Jamaa anaua sana nimependa staili yake iko kivyake sana yaan full kukimbia na anapumzi

  • @calvinminja2923
    @calvinminja2923 6 лет назад +6

    wa kwanza kuview na wa kwanza kucoment #Hiphop #kiswanglish

  • @kingcharlz3325
    @kingcharlz3325 6 лет назад +5

    Mleteni Naguar the durable a.k.a Kijogoo

  • @lawichogo1861
    @lawichogo1861 6 лет назад +5

    anavo chana adi ubongo una sisimuka kabixa what he did

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 6 лет назад +2

    Rap sourthen highland zone wakiongozwaa na mentally

  • @callmangumbo1552
    @callmangumbo1552 6 лет назад +6

    90 Kaua hajaleta zile nichane nisichane" can I kiki" Anajua Jinsi ya dakika kumi

  • @ibracadabra7687
    @ibracadabra7687 6 лет назад +6

    Mchiz ka-flow poa sana..thumb up bro

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад +2

      Thumb Up too Brother... TUSONGE

  • @sultanhamad4924
    @sultanhamad4924 6 лет назад +3

    Jamaa umetishaaaaa umefunika mastaa wote walioingia dkk10 we nimkali

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Asante kwa kunipa Nguvu ya kuendelea KUKAZA...SALUTE

  • @bashirisalumu8612
    @bashirisalumu8612 5 лет назад +1

    Nikichogundua iringa mko vizuriii ..r.I.p geeeev

  • @josedorothea7939
    @josedorothea7939 6 лет назад +2

    Amechinja wote tangia ianze

  • @clavelzaddy795
    @clavelzaddy795 6 лет назад +1

    DJ unazingua kwenye upande wa midundo
    kila siku tunasikia midundo jau jau
    ******MAONI TU*****

  • @erickdioniz1330
    @erickdioniz1330 6 лет назад +3

    Safi sana.Bro umefanya kitu kikubwa unajua

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 лет назад +2

    Nomaaa kijana watu

  • @isamiloprezdent6807
    @isamiloprezdent6807 6 лет назад +18

    Katishaa sanaaaa sema tunaomba dakika kumi ziwe angalau cku mbili ndan ya week itakua mzuka sanaaaa coz ma mcee n wengi ili tuwape nafasi

  • @aboubakarseley2122
    @aboubakarseley2122 5 лет назад +2

    mkali saaana jama huu hip hop yake kali sana unadhani ni 50cent kbsa

    • @tgwan
      @tgwan 5 лет назад

      Amini

  • @ramseyreentz7061
    @ramseyreentz7061 5 лет назад +1

    Ebwana kizazi sana tupopamoja mpaka pale malengo yetu yatakapo timia japo mdomdo

  • @amanimgaya823
    @amanimgaya823 6 лет назад +1

    Kutoka home.......Halaaaaaaa T-GWAN

  • @amannziku590
    @amannziku590 6 месяцев назад +1

    T gwan mnyama killed it bro

  • @monyogang3004
    @monyogang3004 6 лет назад +4

    Noma mzee #TGwaan Umeangamiza

  • @davidngimba4267
    @davidngimba4267 6 лет назад +3

    Budddah tisha sanaaaaaaaaaa

  • @georgenomaawejamaa4472
    @georgenomaawejamaa4472 6 лет назад +2

    T jamaa mnyama sana u ko tofaut sana

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amani kwako Braa TUSONGE

  • @tafawasaid4740
    @tafawasaid4740 6 лет назад +1

    he kill it meeeeeen jamaaa dk 10 zote katembea na beat mwanzo mwengaa

  • @glover2553
    @glover2553 6 лет назад +3

    Dah kwa hizi floo,,hip hop inaweza kuzaliwa upya kwa ma mc wapya,,

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amen

  • @doctor_fazi
    @doctor_fazi 6 лет назад +1

    www.T GWAN NI HATARI MAMAE I WARNED YOUUUUUUU.co.tz

  • @mrcoco9915
    @mrcoco9915 5 лет назад +1

    Tunaanziaga hku kwa comment kucheck kama mwana kazingua ama vip

  • @lawichogo1861
    @lawichogo1861 6 лет назад +3

    top5 t-gwan .maarifa the bg thinker , boshoo

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat2049 6 лет назад +1

    Ashakhum si matusii...huyu jamaaa ni nyokoooooo, mamaeeeeeeeh.
    Na naomba nisamehewe kwakua nilimu undemine sana before kuplay.
    Im sorry brother,...

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Shukran sana Brother... Kwa Muda wako, Asante kwa Mrejesho pia Ubarikiwe Sana

  • @jileckatanga4795
    @jileckatanga4795 6 лет назад +1

    jaman mim kilio changu uyo dada tu nampenda alivyo

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 6 лет назад +9

    Rating 7/10 Yuko sawa kufreestyle na hajasitasita ila hana uzito wa punchline.
    but jamaa yuko sawa

    • @cuthbertsafari3999
      @cuthbertsafari3999 6 лет назад +1

      Miltone Musumbah 254 yeah

    • @ToyTz
      @ToyTz 6 лет назад +1

      hujui mziki wewe/hiphip)

    • @rehemaahmed8120
      @rehemaahmed8120 6 лет назад

      Miltone Musumbah 254 kwa 255 ntajie 5 best MCs/rappers unaowakubal

  • @godfreykyando1298
    @godfreykyando1298 6 лет назад +6

    njombe juu babake t ngwana umetisha sana brza safi

  • @aboubakarseley2122
    @aboubakarseley2122 5 лет назад +1

    kama unamkubali gonga tumpe like zake saluti kwake

  • @cypherkongwe1910
    @cypherkongwe1910 6 лет назад +2

    Mitambao na mitindo 100%√√

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      SALUTE Braa TUSONGE

  • @isubamen
    @isubamen 6 лет назад +2

    kijana ni fireeeeee

  • @cleverdaud7624
    @cleverdaud7624 6 лет назад +1

    Is this shit real from Makambako!?,it cant be true T.. my city coming d.o.p.e#bestof10zamaangamizi

    • @tgwan
      @tgwan 5 лет назад

      Amini..

  • @joycejacobs5057
    @joycejacobs5057 6 лет назад +1

    This nigga 🙌🙌 we need him Vs Boshoo

  • @daboyjox7930
    @daboyjox7930 6 лет назад +4

    Mchiz mkali nimemkubali sana big up

  • @nickb3289
    @nickb3289 6 лет назад +1

    mleten b boy blackfire bna

  • @zackchriss10
    @zackchriss10 6 лет назад +3

    Shidaa xana ani metixha toka mk .....Nj stnd up

  • @tulisanga2023
    @tulisanga2023 5 лет назад +1

    Jmaa anamapepo ya hip hop kimenukaaaaaa

  • @jigwafrankie9420
    @jigwafrankie9420 6 лет назад +1

    ..."mama aliniita TOGAMA nikaanza ku CHANIKA"...that's his name Togama Chanika....One love school mate, Box 2, Songea Boys' unawakilisha ile mbayaaaaa

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Pamoja Mboy Lets Kip Up The Spirit TUSONGE Broo

  • @edwinlawi6538
    @edwinlawi6538 6 лет назад +1

    b boy blackfire ashuke

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld 6 лет назад +4

    Jamal hatari sana, dakika zote zimetumika yani

  • @davidprotas2207
    @davidprotas2207 6 лет назад +2

    Anajua mzee

  • @rashidyusuph9117
    @rashidyusuph9117 5 лет назад +1

    Tunamtaka cado kitengo

  • @holymoko5058
    @holymoko5058 6 лет назад +1

    Afu ana verse za uongo uongo

  • @kipungaswitzer3294
    @kipungaswitzer3294 6 лет назад +4

    🔥🔥 umekiwasha T Gwan
    no yoyo yo yo
    bless up

  • @mohamedwilson6671
    @mohamedwilson6671 2 года назад +1

    Favorite tgwan

  • @harmoniky4000
    @harmoniky4000 6 лет назад +5

    100% naungana na @fifi.

  • @mtokambali8490
    @mtokambali8490 6 лет назад +1

    Hip hop ni kweli ipo kusini... Anae bisha asubiri jamaa wakuitwa Mtoka mbali atimbe hapo one day 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn4852 6 лет назад +1

    Aweke number tumchangie mistari naona anajua kushusha vifusi vya vina ajamaa anajua yana tangia dakk ya 1

  • @kingrasdee445
    @kingrasdee445 5 лет назад +1

    Jamaa alitsha mbaya hakka bongo 2na vpach sema uwezeshwaj ndo ttz kubw. Cjw nan wa kuwahamacsha viongoz mpak cku wajue mzik ni kaz kam kaz zngn. Jamaa ana pumz n shda.

    • @tgwan
      @tgwan 5 лет назад

      NENO...

  • @kibabulikonga4297
    @kibabulikonga4297 4 года назад +1

    Imekomaa Sana hii tagama

  • @bentenamaz4987
    @bentenamaz4987 6 лет назад +1

    nimemwelewa Sana jamaa

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud 5 лет назад +1

    nimeirudia tena aisee t gwan nooma

  • @ernestboniphace8703
    @ernestboniphace8703 Год назад +1

    Much respect for him,he killed dk za mangaz

    • @tgwan
      @tgwan Год назад

      Respect Hommie #TUSONGE ✊🏿

  • @edwardloppa180
    @edwardloppa180 5 лет назад +1

    kusini makambako

  • @masika315
    @masika315 6 лет назад +1

    Nommaaaaaaaa

  • @kingcharlz3325
    @kingcharlz3325 6 лет назад +5

    T-Gwan kaangamiza ipasavyoo mistari mikali afu anajua kwenda sawa na midundo.

  • @stiviemshuza446
    @stiviemshuza446 6 лет назад +2

    Ebhana hatar sana T gwan ,keep it up

  • @twahaismaili4811
    @twahaismaili4811 6 лет назад +1

    fresh xana t gwan umetisha uko unique kimichano

  • @johntyson1330
    @johntyson1330 6 лет назад +1

    Makambako mko juu

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 4 года назад +1

    Motooo

  • @alwatanafrikan5910
    @alwatanafrikan5910 6 лет назад +1

    umenipeleka, kisha ukanirudisha, nasema niache hapa hapa... ulitisha na umetisha

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amani kwako Ma Hitter TUSONGE

  • @alumpost6631
    @alumpost6631 4 года назад +1

    nzuri broh

  • @fadhilinyalusi5638
    @fadhilinyalusi5638 6 лет назад +1

    makambakonian

  • @lifetimemedia9078
    @lifetimemedia9078 6 лет назад +1

    jamaa anarap sana

  • @janetheugen1724
    @janetheugen1724 6 лет назад +1

    good

  • @barakamichael4621
    @barakamichael4621 6 лет назад +2

    t gwan nomaaaaaaaa sana boi

  • @adv.claverymlowe4791
    @adv.claverymlowe4791 6 лет назад +1

    Ninja unajua mzee

  • @nabiiwakwanza8805
    @nabiiwakwanza8805 6 лет назад +1

    jamaa anajua

  • @abdulapolinari178
    @abdulapolinari178 6 лет назад +1

    Huyu rapa, anafloo vizuri ila mashairi hayana maana, kajitahidi ila hana mashairi makali, narudia tena no punch line hata moja niliyoisikia, ila floo kama baghdad

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini 6 лет назад +4

    T gwan🔥🔥

  • @jimmilykawia976
    @jimmilykawia976 6 лет назад +3

    t.o.d jmn mtuleteeeee

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn4852 6 лет назад +1

    Jamaa No 1

  • @mosesrichard8240
    @mosesrichard8240 6 лет назад +4

    Makambambako ndauli bee dogo ana pumzi balsa yuko vizuri

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Haaahaaah Amani Ma men men TUSONGE

  • @andrewmaurus7864
    @andrewmaurus7864 6 лет назад +2

    Hey hey T gwan u kill it meeeen salute to you bro.keep it up mzee

  • @absoniluvanda1005
    @absoniluvanda1005 6 лет назад +2

    asante kwakazi nzuli kilosafi nimeenjoi ila chamsingi nikuendelea kukaza pamoja Makambako nyumbani

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amen Amen Braa... TUSONGE

  • @illushadahkid3400
    @illushadahkid3400 6 лет назад +2

    Midude noma yoo... salute ninja T gwan

    • @tgwan
      @tgwan 6 лет назад

      Amani kwako Illmatic... SALUTE

  • @casianclement3147
    @casianclement3147 4 года назад +1

    Alitish sana
    2020 2na ichek

    • @tgwan
      @tgwan 4 года назад

      Umetisha ma men men...

  • @odamanbarnaba6582
    @odamanbarnaba6582 6 лет назад +1

    Umewakisha vyema Hom boi....
    Nazan wameelewa , mana moto huo haukua moto wa kizembe