Mimi pia nashangaa the fucker r they talking about. Si Sisi ndio tunapashwa, kama hatuonyeshwi sura basi hai make sense. Hatujui ni uongo ama Kweli mtoto anafanana na Nani. Wachaneni tu na hii story
WHOEVER ADVISED THIS LADY + HER TRADITIONS ....FAILED...... MANY MOURNERS COULF HAVE CONTRIBUTED TOWARDS THIS BABY SINCE SHE WAS THE ONLY BABY KNOWN 2 PUBLIC AS FREDS BIOLOGICAL KID....BLOGGERS WONT HELP ALOT💔💔💔💔
Hatujaona and by the way that other lady is the mother.I have a two years old ,am never at home I move around alot job wise but when I come home,he doesn't leave my side, even my house help can't feed him when am around.
Ati anaambia Eric Omondi mtoto wa cousin yako ndio huyu😂😂😂 I think Huyu mtoto …. Kubali tu kuwa single mother. Lea mtoto wako kwa Amani. Fred angekudhamini angekuletea watu wake waja Shila mtoto wao. Zoea tu maisha ya single mum. Familia ya Fred inakaa sio wale wa kid hi I damu Yao.
My dear bora umejua kwa kina mtoto, usihitaji usaidizi kwa hiyo familia, tafuta kazi usomeshe mtoto, nowadays relatives hawasaidiangi, they have their families, tafuta job ufanye utapata mwanaume mwenye atakuoa , don't be desperate
It seems this one talking is the father to this baby, they only wanted to get followers,huyo sio mtoi wako juu after the many days away....mtoi angekusongelea,sana
Ati shims anasema mtu aside bila shopping ur a fool….r u the father who r u just say ur the father na hii nikipindi wengi wamefanya hii ujinga 254 ur a gentleman don’t be like this guy utapoteza content yako
Mbona Una taka kulazimisha erick kusidiana yet he is not the father ,the father died now you are the other parent Siblings don't help each other nowadays especially when its a family
You seem to be a stranger to the baby, because pple are doubting you this is the time you'd proudly show your baby ndio the side of the family ionekane,.hii ya kuficha ina ish ish.....
Wee dem jiheshimu at your age inafaa utafute job ufanye sio uharibie mufu jina na kumbuka place ulikua na fred Eric hakukua huko heshimu Eric coz inafaa umuombe akufanyie favor sio kumlazimisha nkt
Huyu musichana hana mtoto ni uongo mtupu mtoto ni wa dada mwenye amevaa kofia na pia alisema mtoto yuko na miaka mbili na mwenye tunaonyeshwa kwa camera ni mwaka muache upuzi
Tungie penda ku ona machats ya huu mwanadada na fred if they have ever interacted.
Fanya kazi dadangu singles ladies tuko wengi wachana na mambo za TV una jishusha dhamani yako ulikubali kufichwa
Peleka ukora na uko ukiwa na wajiga wengine unatuonyesha mgogo kwani tuko kwa mgaga unauzia akina na woga wewe ama ulikua unadhani utapata share 😎😎😎
Yes wacha Erick aku block wewe ni mkora.nauwache kusumbua family ya wenyewe.wako na majonzi yakupoteza brother yako
Thats why Erick hawezi ingilia hii ni upuzi
The guy just want to built his channel through this
Uyo mrembo awache ujinga sialisema anarudi Nairobi atuonyeshe mtoto wewe ni mkora ule mtoto wako
Ata mtoto amutaki Huyu mtoi ni wa yule demu ya kofia
You haven't delivered you are just acting with this girl,no favor there
It's either muonyeshane ama muache hii upuzi once and for all
Mimi pia nashangaa the fucker r they talking about. Si Sisi ndio tunapashwa, kama hatuonyeshwi sura basi hai make sense. Hatujui ni uongo ama Kweli mtoto anafanana na Nani. Wachaneni tu na hii story
WHOEVER ADVISED THIS LADY + HER TRADITIONS ....FAILED......
MANY MOURNERS COULF HAVE CONTRIBUTED TOWARDS THIS BABY SINCE SHE WAS THE ONLY BABY KNOWN 2 PUBLIC AS FREDS BIOLOGICAL KID....BLOGGERS WONT HELP ALOT💔💔💔💔
huyu anakaa kama widow kweli 😂😂😂, we r not fools
Nashuku huyo auntie ndio mama kyler...wa kofia
I agree with you ju ata mtoto amkaribii
@@dianaachieng482 walahi,SI mtoi hufurahi hata akiona mum after that long time,,,
Huyu yuko kwa nyumba ya wenyewe. Nguo bado amevaa yenye alikuwa nayo kwa previous video akitravel jana. Mtoi hamjui and kids don't lie
Shims is the father na hi nikipindi. Eric Tanya lie mambo watu wanpata content in fired name unfair
Young lady wenye tumelea munaelewa nani mama mtoto
What's the reason for not seeing Kylers face
Hatujaona and by the way that other lady is the mother.I have a two years old ,am never at home I move around alot job wise but when I come home,he doesn't leave my side, even my house help can't feed him when am around.
Hawa NI maumbwa wote mshafanya content
It's not her baby
Wachana na uongo kama ni ukweli mbona munaleta aunt yake na pia uyo aunt anaficha uso mtoto ni WA uyo Muna muita aunt washeni kucheza na akili za watu
if kama mtoto n wake Fred unamficha mtoto,watu wa proof,Aki kw ukweli,wee c class ya Fred,hata mimi cio celeb, uwezi kua class yangu,
Hii niile mikora ya nairobi
Shenzi
This is pure conmanship. Stop celebrating in one's death.
Ati anaambia Eric Omondi mtoto wa cousin yako ndio huyu😂😂😂 I think Huyu mtoto …. Kubali tu kuwa single mother. Lea mtoto wako kwa Amani. Fred angekudhamini angekuletea watu wake waja Shila mtoto wao. Zoea tu maisha ya single mum. Familia ya Fred inakaa sio wale wa kid hi I damu Yao.
Mbona hubembelezi mtoto, The other lady is doing that?
My dear bora umejua kwa kina mtoto, usihitaji usaidizi kwa hiyo familia, tafuta kazi usomeshe mtoto, nowadays relatives hawasaidiangi, they have their families, tafuta job ufanye utapata mwanaume mwenye atakuoa , don't be desperate
God bless you guy
But kuna game apa nyi wasee mbona tusimwone sura mmmhh,,,uyu siyo Kyla omondi uyu mtoi ni WA uyo dame mwingine
Mama wa mtoto ni huyo mwingine😂😂😂😂😂😂
Hdi mtoto amemkataa c mamake
Nyinyi wote ni waongo sana
Waongo sana
It seems this one talking is the father to this baby, they only wanted to get followers,huyo sio mtoi wako juu after the many days away....mtoi angekusongelea,sana
Thankyou Ni sawa we won't come then
Mko na mchezo sana😏
Uwongo mtanatafuta pesa
Washenzi nyinyi
ATI mtoto wancousin yako? Hata umesahau umesema Tu vizuri mtoto WA cousin tangu ndio huyu
Kumbafuuuuu
It is wrong to solve this issue like this.
That's your baby mama there is nothing you are helping there huyo aliambia alete akakataaa eti anataka pesa so wewe najua unaangalia views
Ati shims anasema mtu aside bila shopping ur a fool….r u the father who r u just say ur the father na hii nikipindi wengi wamefanya hii ujinga 254 ur a gentleman don’t be like this guy utapoteza content yako
Mbona Una taka kulazimisha erick kusidiana yet he is not the father ,the father died now you are the other parent
Siblings don't help each other nowadays especially when its a family
Huyo si mtoto wa huyo Dem. Nyinyi ni wakora, then mtoto wa 2yrs anafaa akuwe anaongea hyo ni wa 1yr
Kama wewe ni mama mtoto mbona anakukataa analilia huyo mwenye mkonaye simply because huyo ndio mamake
Ata mtoto hana shuguli na mamake kwenda huko
Aki msichana mdogo unang'ang'ana tu uitwe mjane si ushughulikie mtoi wako uachane na hizi drama zote
Izi ni nini sasa
Well atleast ameonyesha kyla.so ana exist
Take the baby to Hospital so the DNA will prove kama ni ya huyo jamaa lazima ifanane na familia more so the mother to Fred
You seem to be a stranger to the baby, because pple are doubting you this is the time you'd proudly show your baby ndio the side of the family ionekane,.hii ya kuficha ina ish ish.....
Nmesikia aunty mchukue 😂😂😂alafu 😂acha ufala shims ukona wana
Mbona mtoto hataki mamake? She seems to want the "aunty". Weeh..kenyans were bored
Idlers
😢😢😢
Stop bothering Eric,
Wee dem jiheshimu at your age inafaa utafute job ufanye sio uharibie mufu jina na kumbuka place ulikua na fred Eric hakukua huko heshimu Eric coz inafaa umuombe akufanyie favor sio kumlazimisha nkt
Lakini huyo wa sipects aseme chenye anataka kwa mama kyla ju pia wanaram
Ety anafanana Erick nkt so Ni Wa Erick huyu 😅fanya kazi wewe msichana Wacha upuus
Mtoto si wako ni wa huyo meinginr
Kwani mtoto of 2 yrs hana interest na mtoto. Very funny
Mtaaaacha uchizi mbona msionyeshe sura kwani anafanana na jirani
Hapa sielewi😅
The brothe to this girl alisema sis wake Hana mtoi so please stop this nonsense if at all ilikua unamezea Fred sema tu. Kucrashia mtu si dhambi 😂😂
Huyu musichana hana mtoto ni uongo mtupu mtoto ni wa dada mwenye amevaa kofia na pia alisema mtoto yuko na miaka mbili na mwenye tunaonyeshwa kwa camera ni mwaka muache upuzi
Mtoto hata si wa huyo mkora ni wa uyo mama na hata ni neiba yake. Achana na familia ya wenyewe. Ile siku utaget mtoi ndio utajua uongo ni dhambi
Wote ni wakora Hadi mwenye anawafanyia interview
Hapo.....aaaiiiii mbona hatuoni mtoii ....
Wakora kabisaa
Kwani Eric omondi ndio the father,why was she not introduced to the family
Hii ni kipindi tu aki
Mikora sana
Ww una shinda mm.kama ungekuwa kua matanĝ ungeonyesha mgoĝo
Not legit
Mbona hauonyeshi USO????¿
Hapa tumepagwa😅😅😅
Aonyeshane venue wamekuwa wakichat basi
Huyu si mtoi wa huyu demu
Guys tusalimie huyu 😂
Mtoto wa Eric anaitwa kyler pia wa Fred anaitwa kyler pia😮😮
are you the only single mother in this country.
Wakora wato
Wueeh
Tukuje na shopping wololo c uonyeshane mtoto njoo tuvamie erick
Guyyy mtot amemkataaa anasema anamtot uuuiiii ujinga mtupu anajua kweli uchungu wa mwana huyu mkora
Mama ni hiyo WA kofia atutaki ukora Sisi mtoto ungepeleka Kwa mazishi
na hapo kuna kaukweli ila Mungu ndiye ajuwae
This guy in specs Kuna venye
Erick mmechezwa mbona anaonyesha tu nyuma
🙏🏽🙏🏽🙏🏽😭😭😭💔💔
Kuan sura iko nn
Tafuta kazi dada Wacha kupenda vya bure
mtoe iyo kofia tuone sura vizuri
Huyo ni mtoto wako Wacha kutupima akili
Ni wakora wote hawa
Mnamficha juu ni mweusi Erick alisema ataki mtoto mwesi
😂😂😂uyu mtoto n wa uyu Dem Ako fb
😂😂😂
Page please?
Acheni ujinga
Pelekeni umatako uko😢😢
Mmeanza wizi ukora wenu tunaujua
Guys you are still following 😂😂😂😂😂😂😂these people are doing content...... looking for views.
Mbona aunty kavaa darks
Yaani unapigania ukae mjane at young age stop nonsense
Wajana kupima watu 😢😢
😂😂😂
Bwanake mgani mugani