#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Hongera sana baba askofu kwa jubilei ya miaka 50 ya upadri, wanakwaya Iringa mmeimba vizuri sana nyimbo za kihehe, mrekoudi basi hizi nyimbo za kihehe za litrujia ni nzuri sana
Ndugu askofu wetu Ngalalekumtwa......Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu na yenye Baraka uweze kuliongoza na kuliendeleza kanisa zaidi na zaidi............Amina🙏🙏
Kazi nzuri sana mmefanya hii chaneli, Mwenyezi Mungu awabariki nyote🙏🏾
Hongera baba askofu kwA miaka 50 ya utumishi uliotukuka
Very blessing songs. Just fantastic!
Nyimbo ya pili ya màandamano inaitwaje