#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 194

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +4

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад +35

    Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Год назад +22

    kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Год назад +30

    Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌

  • @AzaShamba
    @AzaShamba Год назад +10

    QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Год назад +18

    Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.

  • @lovierlion-vs9rn
    @lovierlion-vs9rn Год назад +3

    Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 Год назад +11

    Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!

  • @LoveAron
    @LoveAron Год назад +9

    Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Год назад +8

    Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏

  • @hellenmachibya2681
    @hellenmachibya2681 Год назад +3

    Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa
    Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti
    Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!

  • @vincej9275
    @vincej9275 Год назад +8

    Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.

  • @JoharKhamis-k5t
    @JoharKhamis-k5t Год назад +2

    Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад +1

    Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto

  • @nestor384
    @nestor384 Год назад +2

    Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Год назад +15

    Huyu dada nampenda had nampenda tena!

    • @ummykitira5371
      @ummykitira5371 Год назад

      Mfyuuu punguza zarau

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 Год назад

      ​@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Год назад

      Nyie ndio wale wanafki

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 Год назад +1

    Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +2

    MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад +4

    Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Год назад

      Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Год назад +1

    Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +6

    We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +4

    Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁

  • @gracegrace6510
    @gracegrace6510 Год назад +6

    Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema

  • @priscajonas7805
    @priscajonas7805 Год назад +4

    Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 4 месяца назад

    Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani

    • @mammyspecial2
      @mammyspecial2 3 месяца назад

      Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 месяцев назад

    Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад +4

    Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu

    • @Trappqueen970
      @Trappqueen970 Год назад +1

      watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso

    • @NEEMANdembwe
      @NEEMANdembwe Год назад +2

      Roho mbaya haijengi

  • @omanmct135
    @omanmct135 Год назад +4

    Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 Год назад +3

    You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤

  • @زيتون-ض9خ
    @زيتون-ض9خ Год назад +3

    Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka

  • @mashamsangi4679
    @mashamsangi4679 11 месяцев назад

    Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana

  • @patrinussanga519
    @patrinussanga519 11 месяцев назад

    Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya

  • @lucianaisrael3841
    @lucianaisrael3841 11 месяцев назад

    Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Год назад

    Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno

  • @haifamiraji6483
    @haifamiraji6483 Год назад +1

    Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +3

    FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Год назад

    We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Год назад +1

    Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo..
    Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад

      Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад

      Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper Год назад

      Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅

    • @omarymnuru8746
      @omarymnuru8746 11 месяцев назад

      @@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...

  • @jestinabenedict4620
    @jestinabenedict4620 Год назад +1

    ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Год назад

    Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Год назад

    Nyumba nzuri haikosi mpangaji
    Vipi Queen akose mpangaji

  • @mashamsangi4679
    @mashamsangi4679 11 месяцев назад

    Umelaaniwa wewe

  • @veraisaria
    @veraisaria Год назад +2

    Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад +2

    Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Год назад +6

    Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo

  • @JamilhaSelemani
    @JamilhaSelemani 8 месяцев назад

    Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад +3

    Hongera sana Queen

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Год назад +1

    hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.

  • @jescawilson39
    @jescawilson39 Год назад

    Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +1

    Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 6 месяцев назад

    Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 Год назад +6

    Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤

  • @AwaziBange-yo1wq
    @AwaziBange-yo1wq Год назад

    Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +1

    Queen mzuri bwana acheni wivu

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 Год назад +1

    Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Год назад +4

    Mungu atatenda

  • @abdulbarymohamed643
    @abdulbarymohamed643 Месяц назад

    I love you qeeni

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 Год назад

    Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?

  • @ElizaLaurent-gc3hx
    @ElizaLaurent-gc3hx Год назад +2

    Jaman kaz nzur dada mungu akubariki

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Год назад +3

    Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Год назад +3

    Hongera sana Queen

  • @abdulbarymohamed643
    @abdulbarymohamed643 Месяц назад

    ❤❤❤❤I like you

  • @eddamsalilwa4876
    @eddamsalilwa4876 Год назад +1

    Hongera sana Quene unapambana sana

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Год назад

    Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Год назад

    Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅

  • @Aisha-h1t4e
    @Aisha-h1t4e Год назад

    Namba plx namba zako nashida San na wew

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад

    Wapi ww umeharibikia ukubwan Kama bamia hayo ndio yalikuwa maisha yako yakudanga shida mkipataga majanga kidogo tu mnaomba msaada

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 Год назад

      kama unajua alipata majanga kwahiyo ulitaka aishi kwenye majanga hivyo hivyo

  • @AgathaSanga-ec5hl
    @AgathaSanga-ec5hl Год назад +1

    Nakupenda tu❤

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Год назад +1

    Nakupenda sana Queen

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Год назад +1

    Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Год назад +1

      Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?

    • @yosephakomba1201
      @yosephakomba1201 Год назад

      Wemkundu kweliyani mama ako adangi?

    • @yeslord2276
      @yeslord2276 Год назад

      Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana

    • @provianapaul6634
      @provianapaul6634 Год назад

      Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia

    • @PaulinaOtaigo
      @PaulinaOtaigo Год назад

      Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Год назад +7

    MashaAllah, am happy for you darling 😘❤

  • @mbanga6759
    @mbanga6759 Год назад

    Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka

  • @hadijahadija4699
    @hadijahadija4699 Год назад +1

    Nimekupenda.sana.

  • @matswelomphela972
    @matswelomphela972 Год назад

    Asante dada nimekupenda since then

  • @samiatsungura
    @samiatsungura Год назад +1

    Hongera sana dada

  • @Adje244
    @Adje244 Год назад +2

    ❤ nakupenda tu

  • @SophiaKilimo-gx7xh
    @SophiaKilimo-gx7xh Год назад

    Pambana dadaangu mungu atakusaidia

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Год назад +5

    Ana fanana na zari the bowse

  • @elizabethtindwa7739
    @elizabethtindwa7739 Год назад +1

    Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Год назад +2

    Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад

    Jimbo limekwishachukuliwa

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 Год назад

    Unajua kujipigia promo dada big up

  • @happywilkins4391
    @happywilkins4391 Год назад

    Nilidhn ni mim mwenyew nimeon

  • @زيتون-ض9خ
    @زيتون-ض9خ Год назад +1

    Unafaaa sana unamuono mzuri

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Год назад +1

    Nampenda sana queen

  • @marympochela7903
    @marympochela7903 Год назад

    Una donge, u ovyo wake ni nini?

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Год назад

    Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Год назад

      Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo

  • @ivodaman6236
    @ivodaman6236 Год назад +3

    kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Год назад +1

    Hongera sn Queen

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Год назад +1

    Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo

    • @aishaa2930
      @aishaa2930 Год назад

      Una hakika

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Год назад

      ​@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂

    • @gracekenan4665
      @gracekenan4665 Год назад

      Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .

  • @joank7929
    @joank7929 Год назад

    Queen kama Queeeeeen.

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana

  • @jescawilson39
    @jescawilson39 Год назад

    Nampenda sana Queen❤

  • @lucasernest6012
    @lucasernest6012 Год назад

    Hongera sana dada

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 Год назад +1

    Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад

      Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...

    • @mariamshabani769
      @mariamshabani769 Год назад

      Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!?
      Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah!
      Na huyu kazaa akiwa kaolewa!!
      Makasiriko tu😏

    • @sumaidgasto4721
      @sumaidgasto4721 Год назад

      @@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo

    • @sumaidgasto4721
      @sumaidgasto4721 Год назад

      @@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Год назад

    Congratulations

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Год назад +1

    We nimalaya tu

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation Год назад

    Pambana Qeen usisikilize wenye wivu
    Huwezi kupendwa na kila mtu

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 Год назад +1

    Uyu malaya tu amna jipya