Mungu wangu akaniponye naroho zote za mauti niwe salama, biashara zangu zifufuke nipate pesa nyingi, nipate mume sahihi, watoto wangu wawe kichwa na si mkia, nilipe madeni kwa njia rahisi, nimesamehe maadui zangu waishi ili washuhudie mema yangu
Naomba mm nifunguliwe niko ilak huku nafmili yangu huko tz ifunguliwe ninaombaongezwa mshahala naboss wangu kwajina layesu napolala usiku mguu niuma sana naomba nifunguliwe mgojwa pone kwa jina layesu
Kupitia ushuhuda huu kila kitu kinafufuka uchumi wangu unafukuka uzazi wangu unafukuka ndoa yangu inafukuka kipato cha mchumba angu kinafukuka ndoa yangu inafukuka kwa jina la yesu kupitia mazabahu ya mtumishi wako boniface mwamposa
Nakataa kesi ya kusingiziwa kwa jina la yesu na leo naenda kusimama nampiga ububu aliyeongea uongo mung nitetee ktk hili pekee ang siwezi nipe roho ya uvumilivu na ushindi najua nitasimamia madhabahu ni nitoe shuhuda ck moja kwa kina la yesu aliye hai
Mi naona huu upako,ni mzuli,ila inabidi huu upako upelekwe hospital wapakwe wagonjwa wapone.na wapakwe maiti zilizopo mochwali ili wafufuke kwa jina la yesu ndo itakuwa vizuli zaidi.
@@shangwekamando2599 hivi we unaakili kweli we hujui kama hayo ni mazingaumbwe na watu wanapangwa watoe ushuhuda mi Kuna dogo hapa mtaan kwetu alipewa elfu sitin akaambiwa na huyohuyo kuhan Musa aseme kuwa et alikuwa bubu sasa ameombewa ameanza kuongea na wakati huyu dogo alizaliwa hivo hivo
Acha ujinga hakuna mtu aloombewa akafufuka kama ni kweli SI aende muhimbili au mitaan watu kibao SI wanakufa katika mambo ya kimuungu hakuna kanuni hiyo
Amen mungu naomba uguse maisha yangu amen naamini mungu unagusa maisha yangu
Mungu akupe maisha marefu mtume na kwa ushuhuda huu milango yang ya biashara ifunguke
Amen mungu akubariki mtume,,nabarikiwa na shuhuda 🙏🙏🙏
Amina mtumish mung azid kukupa ujasir
Mungu wa mwamposa anatenda jamani naamini NAMI Mungu ataniponya hakuna kubwa mbele yako baba
Mungu wangu akaniponye naroho zote za mauti niwe salama, biashara zangu zifufuke nipate pesa nyingi, nipate mume sahihi, watoto wangu wawe kichwa na si mkia, nilipe madeni kwa njia rahisi, nimesamehe maadui zangu waishi ili washuhudie mema yangu
Leo napokea miujiza kwa jina la yesu ameni
Mungu mumeo wangu aache pombe Leo pombe anayokunywa asinywe Tena aache pombe katika jina la yesu
Amen Mungu anatenda mambo makubwa kupitia Mwamposa Mungu akupe miaka buku
Amin
⚘🥰 Hallelujah! Thanks and Praise be to God. Amen
Napokea uponyaji, napokea mume, napokea mahitaji yangu kwa kina la Yesu
Amen amen 🙏
Mungu WA mwamposa kupitia shuhuda hii naamin namimi nitapona vidonda vya tumbo na uvimbe katika kizazi
Leo nafunguliwa miujiza kwa jina la yesu ee baba usiniache mwanao ameni
Mungu nitendee na mm
Namuomba mungu atufungue uchumi kwenye familia yetu,na watoto wangu wawe na hekima na busala yakumjua mungu,na zaidi wawe vichwa shuleni mwao
Kupitia hii shuhuda ya huyu moto na Mimi lazima nifunguliwe
Naitwa penina kutoka Kenya naugua naomba namba ya simu
Asante yesu uinuliwe bwana Amina
Naomba mm nifunguliwe niko ilak huku nafmili yangu huko tz ifunguliwe ninaombaongezwa mshahala naboss wangu kwajina layesu napolala usiku mguu niuma sana naomba nifunguliwe mgojwa pone kwa jina layesu
Mtume mungu akubariki
Biashara yangu inafufuka kwa jina la Yesu
Mtume mungu akupe umri mrefu
Amen 🙏🙏
Amen mungu akubariki Sana
Mungu wa mwaposa ongezeka kwenye miguu ya yanga wapate magoli 4 ehe mwenyezi tufute machozi baba yngu
Kupitia shuuda hii naomba mafanikio yangu yafufuke kuanzia Leo niwe mtu wakumiliki ela saana zinikimbilie kwa jina la yesu
AMEN
Kupitia ushuhuda huu kila kitu kinafufuka uchumi wangu unafukuka uzazi wangu unafukuka ndoa yangu inafukuka kipato cha mchumba angu kinafukuka ndoa yangu inafukuka kwa jina la yesu kupitia mazabahu ya mtumishi wako boniface mwamposa
Ameen
Am in kenya naweza pata mafuta aje?
Nakataa kesi ya kusingiziwa kwa jina la yesu na leo naenda kusimama nampiga ububu aliyeongea uongo mung nitetee ktk hili pekee ang siwezi nipe roho ya uvumilivu na ushindi najua nitasimamia madhabahu ni nitoe shuhuda ck moja kwa kina la yesu aliye hai
Amena mungu no mwema
Namuomba mwenyezi aukuze ujauzito nilionao kwa mkono wake wenye nguvu,na kwa jina la yesu uwe ujauzito wa watoto mapacha,nijifungue salama.
AMEEEEEEEEEEEE
Mung akubaliki mtume kwakaz unayofany na mung azid kukup nguv
Amen
Ucku huu nafunguliwa kwa jina la yesu
Kupitia shuhuda hizi Mungu fufuka na maisha yangu na watoti wangu wafaulu mitiani na kupata Kazi na mitaji
Ameeeeeee
Amee
Mung nisaidie mimi na kaz yang
Eeee mungu fanya kitu ba kwangu
Mi naona huu upako,ni mzuli,ila inabidi huu upako upelekwe hospital wapakwe wagonjwa wapone.na wapakwe maiti zilizopo mochwali ili wafufuke kwa jina la yesu ndo itakuwa vizuli zaidi.
Uongee na Ndugu zao wakikubali mfuate Mtume ila uwaambie tu wawe na imani na Ndugu zao waamini na wakubali siyo ukisikia Mwenzio kafufuka Bila imani
@@shangwekamando2599 hivi we unaakili kweli we hujui kama hayo ni mazingaumbwe na watu wanapangwa watoe ushuhuda mi Kuna dogo hapa mtaan kwetu alipewa elfu sitin akaambiwa na huyohuyo kuhan Musa aseme kuwa et alikuwa bubu sasa ameombewa ameanza kuongea na wakati huyu dogo alizaliwa hivo hivo
Acha ujinga hakuna mtu aloombewa akafufuka kama ni kweli SI aende muhimbili au mitaan watu kibao SI wanakufa katika mambo ya kimuungu hakuna kanuni hiyo
Kila kitu ni iman
Naomba mungunamm nipone kifua nanione sikuzangu
Mung akuzidishiesan
NAMI uchumi wangu ukafufuke mara 12
Atukuzwe kabisa
Napataje msaada ninashida
Mung ni mwem
Na angefutwa kazi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii dunia INA siri kubwa
Asate yesu kwA miujiza wako naomba unifungulie milango ya riziki biashara zangu ziwe nzur nakupenda yesu wangu
Ameen
Amen
Ameen
Ameen
Eee yesu wa mwaposa fanya uponyaji kwangu
Ameen
Aman amen Amen ,na Mimi nitapona na familia yangu kwajina la yesu
Nina Amini nitapona kwa jina la yesu
Ameen,
Mungu mkubwa mno kupitia mtumishi wake.
Amina pia nami natarajia makubwa