MTOTO AFUFUKA BAADA YA KUPAKWA MAFUTA YA UPAKO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 70

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад +1

    Amen mungu naomba uguse maisha yangu amen naamini mungu unagusa maisha yangu

  • @richardjohn8632
    @richardjohn8632 2 года назад +1

    Mungu akupe maisha marefu mtume na kwa ushuhuda huu milango yang ya biashara ifunguke

  • @irenebanga7261
    @irenebanga7261 3 года назад +4

    Amen mungu akubariki mtume,,nabarikiwa na shuhuda 🙏🙏🙏

  • @mwanasaidi5092
    @mwanasaidi5092 2 года назад +1

    Mungu wa mwamposa anatenda jamani naamini NAMI Mungu ataniponya hakuna kubwa mbele yako baba

  • @brighterandrew4288
    @brighterandrew4288 Год назад

    Mungu wangu akaniponye naroho zote za mauti niwe salama, biashara zangu zifufuke nipate pesa nyingi, nipate mume sahihi, watoto wangu wawe kichwa na si mkia, nilipe madeni kwa njia rahisi, nimesamehe maadui zangu waishi ili washuhudie mema yangu

  • @teddyaloyce5982
    @teddyaloyce5982 3 года назад +2

    Leo napokea miujiza kwa jina la yesu ameni

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 5 месяцев назад

    Mungu mumeo wangu aache pombe Leo pombe anayokunywa asinywe Tena aache pombe katika jina la yesu

  • @magrethmwigune8697
    @magrethmwigune8697 2 года назад

    Amen Mungu anatenda mambo makubwa kupitia Mwamposa Mungu akupe miaka buku

  • @neemacharles8046
    @neemacharles8046 Год назад

    Amin

  • @doreengomes3489
    @doreengomes3489 3 года назад +1

    ⚘🥰 Hallelujah! Thanks and Praise be to God. Amen

  • @rhodanyanguss3543
    @rhodanyanguss3543 2 года назад

    Napokea uponyaji, napokea mume, napokea mahitaji yangu kwa kina la Yesu

  • @kkjustn8385
    @kkjustn8385 3 года назад +2

    Amen amen 🙏

  • @scollaribrahim9643
    @scollaribrahim9643 Год назад

    Mungu WA mwamposa kupitia shuhuda hii naamin namimi nitapona vidonda vya tumbo na uvimbe katika kizazi

  • @teddyaloyce5982
    @teddyaloyce5982 3 года назад +2

    Leo nafunguliwa miujiza kwa jina la yesu ee baba usiniache mwanao ameni

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 5 месяцев назад

    Mungu nitendee na mm

  • @edediajeremiah1621
    @edediajeremiah1621 2 года назад

    Namuomba mungu atufungue uchumi kwenye familia yetu,na watoto wangu wawe na hekima na busala yakumjua mungu,na zaidi wawe vichwa shuleni mwao

    • @dianamlasu3
      @dianamlasu3 Год назад

      Kupitia hii shuhuda ya huyu moto na Mimi lazima nifunguliwe

  • @peninamwangi9260
    @peninamwangi9260 2 года назад +1

    Naitwa penina kutoka Kenya naugua naomba namba ya simu

  • @florasospeter7047
    @florasospeter7047 2 года назад

    Asante yesu uinuliwe bwana Amina

  • @zakiahashim2274
    @zakiahashim2274 2 года назад

    Naomba mm nifunguliwe niko ilak huku nafmili yangu huko tz ifunguliwe ninaombaongezwa mshahala naboss wangu kwajina layesu napolala usiku mguu niuma sana naomba nifunguliwe mgojwa pone kwa jina layesu

  • @zakarialemtya3282
    @zakarialemtya3282 2 года назад

    Mtume mungu akubariki

  • @neemakavugha518
    @neemakavugha518 2 года назад

    Mtume mungu akupe umri mrefu

  • @purityneema218
    @purityneema218 2 года назад

    Amen 🙏🙏

  • @annangungulu3827
    @annangungulu3827 3 года назад

    Amen mungu akubariki Sana

    • @neemamboya4794
      @neemamboya4794 Год назад

      Mungu wa mwaposa ongezeka kwenye miguu ya yanga wapate magoli 4 ehe mwenyezi tufute machozi baba yngu

  • @eligiusbegaya2862
    @eligiusbegaya2862 Год назад

    Kupitia shuuda hii naomba mafanikio yangu yafufuke kuanzia Leo niwe mtu wakumiliki ela saana zinikimbilie kwa jina la yesu

  • @francismfinanga2588
    @francismfinanga2588 3 года назад +1

    AMEN

  • @lilylukeisa561
    @lilylukeisa561 Год назад

    Kupitia ushuhuda huu kila kitu kinafufuka uchumi wangu unafukuka uzazi wangu unafukuka ndoa yangu inafukuka kipato cha mchumba angu kinafukuka ndoa yangu inafukuka kwa jina la yesu kupitia mazabahu ya mtumishi wako boniface mwamposa

  • @mwalimuteacher
    @mwalimuteacher 11 месяцев назад

    Ameen

  • @nancymbogo8125
    @nancymbogo8125 10 месяцев назад

    Am in kenya naweza pata mafuta aje?

  • @HelsonRuchagula
    @HelsonRuchagula Год назад

    Nakataa kesi ya kusingiziwa kwa jina la yesu na leo naenda kusimama nampiga ububu aliyeongea uongo mung nitetee ktk hili pekee ang siwezi nipe roho ya uvumilivu na ushindi najua nitasimamia madhabahu ni nitoe shuhuda ck moja kwa kina la yesu aliye hai

  • @projestusishekanyoro4550
    @projestusishekanyoro4550 2 года назад

    Amena mungu no mwema

  • @edediajeremiah1621
    @edediajeremiah1621 2 года назад

    Namuomba mwenyezi aukuze ujauzito nilionao kwa mkono wake wenye nguvu,na kwa jina la yesu uwe ujauzito wa watoto mapacha,nijifungue salama.

  • @tunakisiwekamnyoge8061
    @tunakisiwekamnyoge8061 Год назад +1

    AMEEEEEEEEEEEE

  • @dolishenery3012
    @dolishenery3012 2 года назад

    Mung akubaliki mtume kwakaz unayofany na mung azid kukup nguv

  • @evawilliamchatila8211
    @evawilliamchatila8211 3 года назад

    Amen

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 5 месяцев назад

    Ucku huu nafunguliwa kwa jina la yesu

  • @antoniamushi8532
    @antoniamushi8532 2 года назад

    Kupitia shuhuda hizi Mungu fufuka na maisha yangu na watoti wangu wafaulu mitiani na kupata Kazi na mitaji

  • @agnessmbogo900
    @agnessmbogo900 2 года назад

    Ameeeeeee

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад

    Amee

  • @dolishenery3012
    @dolishenery3012 2 года назад

    Mung nisaidie mimi na kaz yang

  • @deliasuperius9286
    @deliasuperius9286 3 года назад

    Eeee mungu fanya kitu ba kwangu

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 3 года назад

    Mi naona huu upako,ni mzuli,ila inabidi huu upako upelekwe hospital wapakwe wagonjwa wapone.na wapakwe maiti zilizopo mochwali ili wafufuke kwa jina la yesu ndo itakuwa vizuli zaidi.

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 3 года назад

      Uongee na Ndugu zao wakikubali mfuate Mtume ila uwaambie tu wawe na imani na Ndugu zao waamini na wakubali siyo ukisikia Mwenzio kafufuka Bila imani

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      @@shangwekamando2599 hivi we unaakili kweli we hujui kama hayo ni mazingaumbwe na watu wanapangwa watoe ushuhuda mi Kuna dogo hapa mtaan kwetu alipewa elfu sitin akaambiwa na huyohuyo kuhan Musa aseme kuwa et alikuwa bubu sasa ameombewa ameanza kuongea na wakati huyu dogo alizaliwa hivo hivo

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 2 года назад

      Acha ujinga hakuna mtu aloombewa akafufuka kama ni kweli SI aende muhimbili au mitaan watu kibao SI wanakufa katika mambo ya kimuungu hakuna kanuni hiyo

    • @lilylukeisa561
      @lilylukeisa561 Год назад

      Kila kitu ni iman

  • @neeemastewad7909
    @neeemastewad7909 Год назад

    Naomba mungunamm nipone kifua nanione sikuzangu

  • @dolishenery3012
    @dolishenery3012 2 года назад

    Mung akuzidishiesan

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 5 месяцев назад

    NAMI uchumi wangu ukafufuke mara 12

  • @chissolamujingasolange1183
    @chissolamujingasolange1183 Год назад

    Atukuzwe kabisa

  • @samweltadashi9405
    @samweltadashi9405 Год назад

    Napataje msaada ninashida

  • @VeronicaBulima-pk4hg
    @VeronicaBulima-pk4hg Год назад

    Mung ni mwem

  • @matridalule5614
    @matridalule5614 3 года назад

    Na angefutwa kazi

  • @allyshaban4288
    @allyshaban4288 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @luminarytz5950
    @luminarytz5950 3 года назад

    Hii dunia INA siri kubwa

    • @meypaulin6138
      @meypaulin6138 3 года назад

      Asate yesu kwA miujiza wako naomba unifungulie milango ya riziki biashara zangu ziwe nzur nakupenda yesu wangu

  • @kassimramadhani3077
    @kassimramadhani3077 2 года назад

    Ameen

  • @jeressjohn9105
    @jeressjohn9105 3 года назад

    Amen

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 3 года назад

    Ameen

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 3 года назад

    Ameen

    • @grolyherman10
      @grolyherman10 2 года назад

      Eee yesu wa mwaposa fanya uponyaji kwangu

  • @kassimramadhani3077
    @kassimramadhani3077 2 года назад

    Ameen