Bashe uko vizuri japo unapigwa vita sana Mungu ni mtetezi wako. Kupanda bei kwa vitu si tatizo linalosababishwa na wewe kila kitu kiko juu ni afadhali hata wewe unayo maelezo. Cementi nauli kupanda na vitu vingi mbalimbali! Leo watu wanakodolea macho sukari tu.
Bashe ni role model wangu kabisa ni kijana anayefikiri athari na nguvu ya maneno yake kabla ya kuzungumza,niliona dakika za mwisho jinsi mzee magufuli alivomkubali baada ya kupiga sana nondo bungeni.
Bashe nayy mwenyewe kigeugeu emejisahau kama makonda ni boss wake labda haelewi nn maana ya mwenezi fara sana huyu bashe mbwa moja acye jutmbya anajibu safi tena baadae anakaa na kusema hakuna w kumuamulia zaidi y rais wazir makamu warais na naibu wazir mpuuzi huyu mbona hapa alijieleza safi nn kilimfanya akaropoke kule ck y pli
Tatizo mnashikilia viwanda vya ndani bila sbb za msingi ruhusuni sukar kutoka nje itauzwa tsh 2,000/= Tatizo mnashikilia viwanda vya ndani ambavyo havina huruma na nchi yetu.
Mpuuzi tu na anashangiliwa na wapuuzi wenzake.kwahio mna shuhulika na matatizo na Hanna akili ya kuzuia matatizo? Alafu mnataka raia wente akili wawaone mnachapa KAZI.?
Kwa hiyo tufanyeje sasa? Huku kibaha tunanunua 4600. Sasa tuache kununua alafu watoto waende shule bila kunywa chai? Hali hii ichukuliwe hatua haraka. Kwenye mtaa wetu mzima ni duka Moja tu Lina sukari. Sasa tutaishije?
Namkubali sana Mheshimiwa Hussein Bashe, Yaani huyu Mwamba Kiukweli Mungu amuongoze na kumpigania.
Bashe uko vizuri japo unapigwa vita sana Mungu ni mtetezi wako. Kupanda bei kwa vitu si tatizo linalosababishwa na wewe kila kitu kiko juu ni afadhali hata wewe unayo maelezo. Cementi nauli kupanda na vitu vingi mbalimbali! Leo watu wanakodolea macho sukari tu.
Pambana Mdogo Makonda, ccm hoyeeee, kaz iendelee
Safi sana makonda chapa kazi
Amna lolote analofanya ni kampeni tu uyu makonda hii awamu dhaifu xana
Hapo Rais Samia kumrudisha huyo Jamaa makonda Umefeli
Punguzeni Kodi tu hakuna njia nyingine serikali inachukua pesa nyingi kuliko wazalishaji
Bashe ni role model wangu kabisa ni kijana anayefikiri athari na nguvu ya maneno yake kabla ya kuzungumza,niliona dakika za mwisho jinsi mzee magufuli alivomkubali baada ya kupiga sana nondo bungeni.
comedian proceed😊
Tanzania
Mnatufanya hatuna akiri
Kaliua, bei ya rejareja leo inasoma 4,000
Mpiga kura anachotwa tu hapo hakuna lolote
😂😂😂 dah mshkaji huyu
Dar sukari 4000
Mwezi wa ramso?
Am fro AMERICAN I don't understand the language buy poul makonda anaupiga mwing 😂😂😂😂
Wewe Millard sasa huu ndo mkara?
Siyo serekali Samia Ni serekali ccm hayat mkapa alikataa hicho kiswaili ccm
Sugar sukari kilo 4500 hatariii hatariii jamanii
Acha uchaguzi upite uone kama makonda atazurula tena hizi zote ni kampeny
Siasa too much jamani nchi hii
Hapa dar 5000 kwa kilo
Mimi nimenunua jana duka la jumla kg 42000
Kilo ngapi? Mm nimetoka Tanzania kwa miaka 2 sijui
Bashe nayy mwenyewe kigeugeu emejisahau kama makonda ni boss wake labda haelewi nn maana ya mwenezi fara sana huyu bashe mbwa moja acye jutmbya anajibu safi tena baadae anakaa na kusema hakuna w kumuamulia zaidi y rais wazir makamu warais na naibu wazir mpuuzi huyu mbona hapa alijieleza safi nn kilimfanya akaropoke kule ck y pli
Sukari Tanzania tunagiza njee wakati viwanda 7 hinatusheliza mpaka nchi jilini kupata makufuli ndio watankumbuka 😂😂
Tatizo mnashikilia viwanda vya ndani bila sbb za msingi ruhusuni sukar kutoka nje itauzwa tsh 2,000/=
Tatizo mnashikilia viwanda vya ndani ambavyo havina huruma na nchi yetu.
Unaka kuua uchumi wa nchi yako ?
kwani makonda wewe hununuwagi mahtaji yanyumbani kwako ndoo usijuwe kupanda kwa sukali
Mpuuzi tu na anashangiliwa na wapuuzi wenzake.kwahio mna shuhulika na matatizo na Hanna akili ya kuzuia matatizo? Alafu mnataka raia wente akili wawaone mnachapa KAZI.?
😂😂 tunapigw tu apa nchi ina mambo meusi sana hii
BEI YA HUKU DAR NI ELFU NNE HAPO MNAKWAMA WAPI AU NI MANENO TUU
Kwa Bashe kawa na heshima kidogo kwakuwa anajua akijichanganya tu atakula za uso, Bashe hana mbambamba.
Kwa hiyo tufanyeje sasa? Huku kibaha tunanunua 4600. Sasa tuache kununua alafu watoto waende shule bila kunywa chai? Hali hii ichukuliwe hatua haraka. Kwenye mtaa wetu mzima ni duka Moja tu Lina sukari. Sasa tutaishije?
CCM huafanya watanzania wajinga sasa
😂😂😂 dah mshkaji huyu