Uimbaji sauti zipo tofauti una weza kuimba nyembamba au nene, au kati izo ni stair za uimbaji. Mpk kufika hapo wamelizika wazima mimi. Love you wote aslay and nandy
Kweli Hulu kijana njo simba wa Bongo ,hata mashairi zake nizakuelimisha na sio za ujinga. Aslay Mungu awabariki na mukewako nandy Mungu azidikuwa bariki.
Uimbaji sauti zipo tofauti una weza kuimba nyembamba au nene, au kati izo ni stair za uimbaji. Mpk kufika hapo wamelizika wazima mimi. Love you wote aslay and nandy
😂😂😂😂uwa napendaa mukifanya show pamoja aslay anajua mahaba😀😜💋😀💋💋💋
😂😂kumbe na wew umeona
Yaan Asley sauti haichuji ... my fav artist 😎😎😎
Ongeren sana
mkiambiwa nyie mnaweza nandy unajua xana my achana hao awana lolote
Masha Allah NYC
NANDY, Nyimbo zako nzuri ila kuimba live hujui, unayumba sasa inatakiwa ukamilike bhna, ur a world wide artist, piga tizz
kabisa umeonaeee
aslay fundi vocals
Wanaokubali kuwa nandy sauti wasipo iediti inakuwa mbaya na hawezi kumfikia ruby gonga like kubwa hapa
basi mololo ujenifanya kipolo big up nandy and asley
Machallah ce magnifique oh lala ce beau j'aiiiiiiiiiime
asly ww ni mutu mubaya sna kimbezaa chalii anguu
HV kna Vanessa,,namba lul,hamuwaoniii,,,,nandyy umevaa vzuriii nakupendaa buree keep it up
Nandiiiio hiyooo sautiii yako amaaaaaa kuimba live kazi jamani
Nyiieeee mnapendana
Nand hyo saut mmmh!dah umezingua asee
Sauti yako band IPO pw
Mwanzo mgumu
Mmeendana sana so nice
Big up aslay ila dada ang hpo saut imezingua
Wow lovely
Hahahaha ati na bilmass vp hahaha mambo ni fire
Noma sana bonge la show
Jamani Nandy umetoka mbali
Kweli Hulu kijana njo simba wa Bongo ,hata mashairi zake nizakuelimisha na sio za ujinga. Aslay Mungu awabariki na mukewako nandy Mungu azidikuwa bariki.
vifaa sio vrz hongea aslay na nandy love
Aslay anakubebag nand live amna kituuu
Mwanamuziki anayeimba LIVE ndo waukweli. Huyu Nandy pumzi imekata, live ni shida sana kwa wasanii wengi sana hii TZ......
Kwanini uyo demu anapenda vaa uci sana
Nivile hujui nandy lakini nakupenda mpaka naumwa 😢😢😢😢
univid mm
aslay umejitahd kwa live band
mmependeza sana nawapenda
Mashallah
Nandy live ni tafauti na rekodi
from saud Arabia I don't understand Swahili but hii show ni ya kipumbavu
Kumbe sauti ya Nandy huwa yatengezwa na computer.
Live band si mambo yako Nandy.Mwachie Ruby.
Hahahahaaaaaaa hiyo sauti ya Nandy duuuuuh borra hiyo ya aslay
Nandy we noma kwa Aslay ulifanya dem wa Aslay akaenda
Daah huyu nandy hafiki kwenye key kabsa..aslay anambeba lkn wapi..
Ravan get asiy
nandy your voice is beautiful but if only you stay natural to your own voice
Walio xema watu hawataingia wako wap? Mambo ni fire
James Faustine hiyo sio ya clouds ndio maana tuliingia maana simba alituambia sio tamasha la clouds
Nandy ukiendelea na hyo sauti live utapata tabu sana mbelen
Inapendeza
Nawapenda mje kigoma
nandy umetisha
duuuh !! watapata tabu sana
Asiry yuko hai s
maskini nandy😓 chezea ruby wewe 😂😂😂
loh bado sana nand. ....ruby ruby ujamfikia
Dodo Shavu Ruby ni nomaaaa apate mtu wakumwandikia nyimbo tu....yaan live anaziweza na ana pumzi
Dodo Shavu
Duh hivi #Nay kawaminisha eti "Pengo la #Ruby ni #Nandy"... WaTZ
Nandy bd Sana kiukweli, msimbebe, kaharibu show.
Leonard Sasita 😁😁😁
Aslay na Nandy mnaendana adi raha............
penda San aslay
👏👏👏👏👏
Nimeipend hiyo nguo
Ovyo
good
nand ckuzote hajui kuimbia vyombo vya mzk
Nandy saut veep😮
nandy mamy mbona leo umeniboa sauti sio rafiki kabisa nakukubal sana
aslay ndo kanogesha
Kaz kukaa uchi tu kwan ukivaa vizur hiy nyimb haiimbik
ninogeshe
Hahaaaaaaaa sauti ya nandy mbn mbaya
Nandy beib..sivyo nnavyokufagilia toto beuty...sauti ipo xawa mbona..sema speaker zikawa za kichina😅😅
Piga
Koldsweat Manstuler 🤣😍😲
Uyo nandi sauti kapeleka wap leo au tungi
Inaeza kuwa couple poa sana
Bh
mbona show haiyeleweki
Nakupnd nandy pambn Dada angu usiskilize manen ya watu
Simba Noma kawafunika wenye show
Lulu
Hamna ki2
kwel rubby ana saut kuliko nandy 😂😂
Yako je
nyee mnaoponda mngeenda nyinyi Nazi kukosoa kuhud za wengine ,kama mbaya kaa kimya
EMMANUEL NYALUSI nipo pamoja Na wewe hivi hawa wanajua kuimba rahisi sana mbele ya watu weng hivyo
Siku nyingine mtu una amka hauko vizuri nashow ishapangwa inabidi uende tuu
Mumependezana si muoane
Ila ipo tafauti Sana na rekodi autotune nyingi au alikua anawa🤷😅
Nandy kuimba live ni shida 😅kam sio yeye duh
nandy VP sauti mbona kama ya enock Bella nikajua yamoto inaimba
Niatari wahimbaji wa bongo
Tutoleen upumbavu kabla atujawalipoti youtube
ဪဩဘဗ
nandy wew mueshim 2 ruby no hata robo kwa ruby bado xana
Nivile hujui naddy lakini nakupenda sana
Angalau
Bonyeza picha hii kushoto kwako yenye alama W kisha bonyeza neno subscribe uone balaa la Diamond huko Alena jana
Mashauzi yote yale rubby kakuacha mbali dogo kuwa na heshima wew mxiiiuu
Mambo vo
Mnaosema sauti mbaya mngeenda nyiny mwenzen ndo kwanz anaingiza ela maan at a mbuyu ulianza kama mchicha hata
Nandy tatzo ujuagi kucheza
Nandy mbna saut leo imekuwa mbaya
Amina Ally yaan ukitoka msikiliza Ruby ukaja sikiliza huyu uwii unazima data kabisa....Ruby kafanya wengine waonyeshe hawajui
greta gonga hahahaaa
Amina Ally hana jeuri ruby c yupo basi anamtetemeshaaa😂😂
Rimoz TV hahahaaaa anamuogopa kiboko yake😆😆😆
Rubby yupo ju nandy saut yake anaedit akiimbaga live ndio anakuwaga hivo
Nakupenda nandy ila nguo haipa poa
Ahahhahah ET la bilnas vipi
Amna kitu hapo mavi matupu Nandy saut kama kameza jichupi limemkaa kooni sasa...mnabebwa na vyombo tu
nandy sku nyingine kinywa maji mengi na maya sauti umezingu
Nandy hamna kitu hapo
saut ya nandy nimbay
Hahaha ety billnass vipi
Umepeleka wapi sauti nandy
, nandy Ssauti mbona mbayaaaah😁😁aslay kafukua makaburi et bilnas VP😂😂😂😂
Sabrina Issa haahaaa
😂😂😂kasema watu washafukua gu chupi😀😀baaada ya show lazma nandy amuulize aslay😌😌😌
Sabrina Issa 😂😂😂😂😂
Sabrina Issa 😅😅
😂😂😂
Yaan kam kalazimishwaa halafu asly anaona aibu kuimbaa na yy yaan kama anataka afiche makosa ya nandy nandy amejiamin kuwa anaweza ila hakuna kitu
Sauti iko tafauti na nyimbo ila naona vyombo ndio mbaya
ety billnas vp hahaaaaaaa mbavu zangu mm
Iddi Shaban ata mimi 😂😂😂😂😂
uyu atakua pacha WA nandy cyo nandy of
a big fan but sauti Leo
Aslay chukua jiko hilo