JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI
😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and
Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema
@@Grace-o1r5y Sasa hapo nione wivu wa nn labda wa kukojoa kitandani au kujampa? Kila mtu ana moyo wake hayo ni maoni yangu sio lazima kila mtu apende unacho kipenda
JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI
🇰🇪 Usijali tpo pamoja
Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.
Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa RUclips 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂
Tunakupenda sana baba karobo ❤
Nataka number yako brother
❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir
😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷
Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉
Thank you baba Kalobo from Rwanda
Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦
nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika
Wakwanza leo, likes zangu nataka
Mnipee like leo...
Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana
Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha
Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan
Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊
Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako
From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni
Hapana jaman❤❤ karibu sana
@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika
❤❤
Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola
Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂
Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa
Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤
Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah
Nyuki yaan ww utafka mbingun umechoka sana, lkn hongera
😂😂
@@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli
@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba
Nyuki umefika fikaje uku naona kwako ni donta tv
😂😂😂😂
Hilo kojo amelinywa leo dadeki
Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts
@@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂
😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂
@@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya
Also in Kenya 🇰🇪
1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂
Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉
Mambo zako❤
@@herenherman8077 poa
@@herenherman8077Poa
@@herenherman8077fiti
❤
Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya
😂😂😂😂
Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤
Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho
Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂
Baba karobo no one
Bwana kikojozi na binti kujamba mumenimaliza katika maguzungumzo ya kufanyia ufumbuzi tatizo lenu😂😂😂😂🖐️✋duh nmecheka mpaka mbavu zmeuma😂
Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪
Baba karobo no one
😂😂😂😂😂😂😂😂 nlikuwa nangoja mtuamwagiwe mkojo mecheka had mejizindukia😂😂😂😂😂😂
Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬
From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani
😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and
Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi
Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤
Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤
naombauniunge nagurupula Whatsapp
Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂
Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha
Baba karobo no one
Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤
❤❤❤❤❤
Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes
Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu
Usijali baba kalobo tuna kufata sana Congo RDC naomba like zenu jamina Nami nafanya music 🎵
Nipitieni uku twendelee na safari
Leo Wakwanza mimi
Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖
❤❤❤
Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu
naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana
Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu
Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂
Wewe unaweza sana umempita mpaka mbusi anae toa snake boy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana
Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani
Tena so kitoto kaua balaa
Waha hatujawahi kukwama hata siku moja
Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu
Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha.
Kutoka Moçambique.
Naomba like zangu
Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana
leo kdogo nimewahi likes zangu plz.
Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ata like moja washikaji wangu
Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤
Baba karobo "ati siskii kitu" 😂😂😂....Mungu Atakuponya kwa imani yako ❤
Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha
Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️
mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤
Naitwa MOHAMEDI YUSUFU GANGO nasoma lgti hombolo dodoma nasema kazi nzuri sana movi zako Zina mafunzo mazuri Yani good work
𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐜𝐨𝐦𝐦𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐚𝐟𝐚𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐰𝐰𝐧𝐳𝐚😂
From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea
Hongereni sana baba karobo❤❤❤❤😂😂😂😂huyu kikojozi hyu kujamba daaa maisha plus
Jamana nawaomba like hata moj TU jamn
Maombi weeeeeeh
😅😅😅😅😅😅😅
Utapeli mama Kalobo shauri yako
Ubaya utakurudia
Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉
Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤
Baba karobo no one
Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉
Baba karobo no one
Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene
Muombaji Mukora sana
Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢
Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂
@@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana
@@PurityJohn-b7w hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme
@@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣
@@PurityJohn-b7w Sis ndio watanzania🤗
Kazi zako nzuri sana, sema mwalimu mgeni hujanitendea haki
kazi nziri form kenya
Safi sana kazi nzuri sana hongerani Kwa nyote
Baba karobo no one
Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri
😂😂😂😂Nacheka na mkojo😂😂😂😂baba kalobo hongera Sana na mkojo😂😂😂😂
Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa
From Kenya 🇰🇪 nawapata vizuri Hong era sana❤
Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema
Baba karobo no one
Good work mzeee baba na appreciate kwa hii KAZI inafundisha Ina elimisha jamii
Mama kalobo kajua kucheza Sana makofi kwake
Kazi nzuri baba karobo na team yako hongeren
🔥🔥👍👌
#BabaJoan kazi nzuri
Movie nzuri ila kuna hawa mke na mume wakujikojolea hawana maana yyte wala hakuna funzo tunalolipata kwao jmn ni kutuchukulia muda
Wapo wanaozipenda kwako hawana maan ila kwa wengine wanamaan wivu unakusumbua
@@Grace-o1r5y Sasa hapo nione wivu wa nn labda wa kukojoa kitandani au kujampa? Kila mtu ana moyo wake hayo ni maoni yangu sio lazima kila mtu apende unacho kipenda
𝐇𝐮𝐲𝐮 𝐦𝐮𝐦𝐞 𝐤𝐢𝐤𝐨𝐣𝐨𝐳 𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐨𝐥𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐤𝐨𝐣𝐨𝐞 𝐧𝐣𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐨𝐯𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚𝐩 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐩𝐞𝐤𝐞𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧😮
@@REHEMANCHALIKA yani sioni cha kujifunza kwao yn wako nje ya mada kbs nakuunga mkono
@@Grace-o1r5y nione wivu wa kujikojolea na kujampa hovyo ama kwa kipi labda
Da zuuu akinywa maji anakuona kwenye glass baba karobo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
like mama karobo n tabia take mbaya
Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa
Great job guys tunawapenda sana jitaindini ❤❤❤
nic
Mungu akubariki kwa kazi nzuri sijawahi kukupinga
From Kenya naombeni likes
Allah atuhifadh waliongia kwenye ndoa natuliokuwa hatujaow Allah atupe wake wema insha Allah.😭😭😭😭
🎉🎉🎉
Ila baba kalobo uyo zujat kama umtaki nipe Mimi no zake 😂😂nimepempenda sana ❤
Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik
From Kenya watching live, I can't wait for episode 13.
Hahahaaa mama karobo
😂😂😂Kali sana mwamke kanywa mikojo😂😂
Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job
Baba karobo no one
Suis en 🇨🇩🇨🇩,bon travail baba joa