BABA YANGU KIPOFU Full episode /12/

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  3 месяца назад +301

    JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI

    • @MwahanjeNdegwaNdegwa
      @MwahanjeNdegwaNdegwa 3 месяца назад +12

      🇰🇪 Usijali tpo pamoja
      Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.

    • @lucyodhiambo5554
      @lucyodhiambo5554 3 месяца назад +11

      Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa RUclips 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂

    • @MERCYmercy-rl3lu
      @MERCYmercy-rl3lu 3 месяца назад +5

      Tunakupenda sana baba karobo ❤

    • @amarikakozi8452
      @amarikakozi8452 3 месяца назад +4

      Nataka number yako brother

    • @ZiadaNiyinkuru
      @ZiadaNiyinkuru 3 месяца назад +3

      ❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir

  • @chantalmariesony2996
    @chantalmariesony2996 3 месяца назад +28

    😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷

  • @etsareliza6687
    @etsareliza6687 3 месяца назад +21

    Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉

  • @constantinndayishimiyenshu4948
    @constantinndayishimiyenshu4948 3 месяца назад +14

    Thank you baba Kalobo from Rwanda

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 3 месяца назад +16

    Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦

  • @Jacky-u5h
    @Jacky-u5h 3 месяца назад +24

    nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika

  • @sikujuakigwada3146
    @sikujuakigwada3146 3 месяца назад +33

    Wakwanza leo, likes zangu nataka

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 3 месяца назад +43

    Mnipee like leo...
    Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 3 месяца назад +4

    Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha

  • @mvinyo99
    @mvinyo99 3 месяца назад +30

    Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan
    Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊

  • @SmilingCaterpillar-yy3jc
    @SmilingCaterpillar-yy3jc 3 месяца назад +32

    Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako

  • @alexandrodieumerci8955
    @alexandrodieumerci8955 3 месяца назад +187

    From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 3 месяца назад +2

      Hapana jaman❤❤ karibu sana

    • @jonnyndixh9414
      @jonnyndixh9414 3 месяца назад +2

      ​@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika

    • @Abomalek-o2e
      @Abomalek-o2e 3 месяца назад +1

      ❤❤

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 3 месяца назад +1

      Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola

    • @HajiMwanz-to3vg
      @HajiMwanz-to3vg 3 месяца назад +1

      Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂

  • @Everayubu
    @Everayubu 3 месяца назад +3

    Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa

  • @J74251
    @J74251 3 месяца назад +16

    Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤

  • @stivemgonja4657
    @stivemgonja4657 3 месяца назад +8

    Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +16

    Nyuki yaan ww utafka mbingun umechoka sana, lkn hongera

    • @abedsaidy7263
      @abedsaidy7263 3 месяца назад

      😂😂

    • @minaelpaul9219
      @minaelpaul9219 3 месяца назад +1

      @@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli

    • @FaustinaAngelo-d4d
      @FaustinaAngelo-d4d 2 месяца назад

      ​@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba

    • @rukiahassan7001
      @rukiahassan7001 2 месяца назад +1

      Nyuki umefika fikaje uku naona kwako ni donta tv

  • @KelvinKalinga-rf4jt
    @KelvinKalinga-rf4jt 3 месяца назад +20

    😂😂😂😂
    Hilo kojo amelinywa leo dadeki

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 месяца назад +42

    Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @amosbarasa3516
      @amosbarasa3516 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts

    • @DamarisDammie
      @DamarisDammie 3 месяца назад +1

      @@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂

    • @ashamwanganzi6400
      @ashamwanganzi6400 3 месяца назад

      😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂

    • @amosbarasa3516
      @amosbarasa3516 3 месяца назад

      @@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya

    • @MiriamKiroko
      @MiriamKiroko 3 месяца назад

      Also in Kenya 🇰🇪

  • @Mwinyh-lp1mo
    @Mwinyh-lp1mo 3 месяца назад +20

    1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад +65

    Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉

  • @BensonJairo-o5y
    @BensonJairo-o5y 3 месяца назад +29

    Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 3 месяца назад +30

    Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu

  • @perissigano
    @perissigano 3 месяца назад +47

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe6965 3 месяца назад +13

    Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 3 месяца назад +34

    Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @pkcamlesh2465
    @pkcamlesh2465 Месяц назад +2

    Bwana kikojozi na binti kujamba mumenimaliza katika maguzungumzo ya kufanyia ufumbuzi tatizo lenu😂😂😂😂🖐️✋duh nmecheka mpaka mbavu zmeuma😂

  • @jemeswambua3174
    @jemeswambua3174 3 месяца назад +24

    Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @MudyAboud
    @MudyAboud 3 месяца назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nlikuwa nangoja mtuamwagiwe mkojo mecheka had mejizindukia😂😂😂😂😂😂

  • @EstherEsther-u2k
    @EstherEsther-u2k 3 месяца назад +10

    Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬

  • @stevedavid1198
    @stevedavid1198 3 месяца назад +32

    From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani

  • @JoffiAlenga
    @JoffiAlenga 3 месяца назад +7

    😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and

  • @Junior-l4u4p
    @Junior-l4u4p 3 месяца назад +66

    Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 месяца назад +4

    Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +18

    Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤

  • @Fadhakir21
    @Fadhakir21 3 месяца назад +11

    Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂

  • @MashMashile
    @MashMashile 3 месяца назад +15

    Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @AksantibiganikiroJoel
    @AksantibiganikiroJoel 3 месяца назад +19

    Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад +27

    Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes

  • @HendriBunuas
    @HendriBunuas 3 месяца назад +15

    Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu

  • @lartiste243lovangel3
    @lartiste243lovangel3 2 месяца назад +2

    Usijali baba kalobo tuna kufata sana Congo RDC naomba like zenu jamina Nami nafanya music 🎵

  • @Sakina-jl6fn
    @Sakina-jl6fn 3 месяца назад +11

    Nipitieni uku twendelee na safari

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale 3 месяца назад +14

    Leo Wakwanza mimi

  • @niyogushimadorine6086
    @niyogushimadorine6086 3 месяца назад +21

    Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖

  • @PriskusMarunda
    @PriskusMarunda 3 месяца назад +40

    Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 3 месяца назад +17

    naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana

  • @ishararamazani1
    @ishararamazani1 3 месяца назад +6

    Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu

  • @RosaVicenteMulota
    @RosaVicenteMulota 3 месяца назад +11

    Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂

  • @Kwaricha
    @Kwaricha Месяц назад +1

    Wewe unaweza sana umempita mpaka mbusi anae toa snake boy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @amosbarasa3516
    @amosbarasa3516 3 месяца назад +10

    Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana

  • @AsmaRamadhani-ok6iv
    @AsmaRamadhani-ok6iv 3 месяца назад +13

    Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani

  • @minaelpaul9219
    @minaelpaul9219 3 месяца назад +3

    Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu

  • @user-martins
    @user-martins 3 месяца назад +24

    Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha.
    Kutoka Moçambique.
    Naomba like zangu

  • @fredrickowino3
    @fredrickowino3 3 месяца назад +7

    Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana

  • @AliIbrahim-gg2sx
    @AliIbrahim-gg2sx 3 месяца назад +16

    leo kdogo nimewahi likes zangu plz.

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +10

    Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu

  • @MICHAELOWINO-s7g
    @MICHAELOWINO-s7g 13 дней назад +1

    From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ata like moja washikaji wangu

  • @FlayLizzy
    @FlayLizzy 3 месяца назад +7

    Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Baba karobo "ati siskii kitu" 😂😂😂....Mungu Atakuponya kwa imani yako ❤

  • @JanethKimath-d5n
    @JanethKimath-d5n 3 месяца назад +7

    Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha

  • @MCMussa-tl8kn
    @MCMussa-tl8kn 3 месяца назад +36

    Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️

  • @JAPONAISMBUTOBINSIKU
    @JAPONAISMBUTOBINSIKU 3 месяца назад +6

    mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤

  • @GangoJr
    @GangoJr 2 месяца назад

    Naitwa MOHAMEDI YUSUFU GANGO nasoma lgti hombolo dodoma nasema kazi nzuri sana movi zako Zina mafunzo mazuri Yani good work

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад

      𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐜𝐨𝐦𝐦𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐚𝐟𝐚𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐰𝐰𝐧𝐳𝐚😂

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 3 месяца назад +18

    From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea

  • @GraceMarco-s8g
    @GraceMarco-s8g 2 месяца назад

    Hongereni sana baba karobo❤❤❤❤😂😂😂😂huyu kikojozi hyu kujamba daaa maisha plus

  • @lucykellymlenga-nm1br
    @lucykellymlenga-nm1br 3 месяца назад +8

    Jamana nawaomba like hata moj TU jamn

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 3 месяца назад +5

    Maombi weeeeeeh
    😅😅😅😅😅😅😅
    Utapeli mama Kalobo shauri yako
    Ubaya utakurudia
    Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉

  • @ksaskaka
    @ksaskaka 3 месяца назад +9

    Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @MalhasanSaid
    @MalhasanSaid 3 месяца назад +8

    Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko 3 месяца назад +6

    Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene

  • @hagayinkundimana
    @hagayinkundimana 3 месяца назад +6

    Muombaji Mukora sana
    Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @PurityJohn-b7w
    @PurityJohn-b7w 3 месяца назад +3

    Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 месяца назад

      Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂

    • @PurityJohn-b7w
      @PurityJohn-b7w 3 месяца назад +1

      @@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 месяца назад

      @@PurityJohn-b7w hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme

    • @PurityJohn-b7w
      @PurityJohn-b7w 3 месяца назад +1

      @@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 месяца назад

      @@PurityJohn-b7w Sis ndio watanzania🤗

  • @SayuniMlelwa
    @SayuniMlelwa 12 дней назад

    Kazi zako nzuri sana, sema mwalimu mgeni hujanitendea haki

  • @Jamespandei
    @Jamespandei 3 месяца назад +8

    kazi nziri form kenya

  • @نورة-ذ3غ2ث
    @نورة-ذ3غ2ث 3 месяца назад +6

    Safi sana kazi nzuri sana hongerani Kwa nyote

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 3 месяца назад +9

    Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri

  • @YafitaHasna
    @YafitaHasna 2 месяца назад

    😂😂😂😂Nacheka na mkojo😂😂😂😂baba kalobo hongera Sana na mkojo😂😂😂😂

  • @InnocentSeth-k1f
    @InnocentSeth-k1f 3 месяца назад +6

    Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa

  • @MwitaMatinde-sg5wi
    @MwitaMatinde-sg5wi 3 месяца назад

    From Kenya 🇰🇪 nawapata vizuri Hong era sana❤

  • @zarejapheth7247
    @zarejapheth7247 3 месяца назад +11

    Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @Angelwithjamevicjr
    @Angelwithjamevicjr 3 месяца назад

    Good work mzeee baba na appreciate kwa hii KAZI inafundisha Ina elimisha jamii

  • @Hermesntibandetse
    @Hermesntibandetse 3 месяца назад +3

    Mama kalobo kajua kucheza Sana makofi kwake

  • @arafatmohd4609
    @arafatmohd4609 2 месяца назад

    Kazi nzuri baba karobo na team yako hongeren

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa 3 месяца назад +8

    🔥🔥👍👌

  • @manfromkakamega
    @manfromkakamega 2 месяца назад +1

    #BabaJoan kazi nzuri

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo 3 месяца назад +9

    Movie nzuri ila kuna hawa mke na mume wakujikojolea hawana maana yyte wala hakuna funzo tunalolipata kwao jmn ni kutuchukulia muda

    • @Grace-o1r5y
      @Grace-o1r5y 2 месяца назад +2

      Wapo wanaozipenda kwako hawana maan ila kwa wengine wanamaan wivu unakusumbua

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 месяца назад

      @@Grace-o1r5y Sasa hapo nione wivu wa nn labda wa kukojoa kitandani au kujampa? Kila mtu ana moyo wake hayo ni maoni yangu sio lazima kila mtu apende unacho kipenda

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад +2

      𝐇𝐮𝐲𝐮 𝐦𝐮𝐦𝐞 𝐤𝐢𝐤𝐨𝐣𝐨𝐳 𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐨𝐥𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐤𝐨𝐣𝐨𝐞 𝐧𝐣𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐨𝐯𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚𝐩 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐩𝐞𝐤𝐞𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧😮

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 месяца назад

      @@REHEMANCHALIKA yani sioni cha kujifunza kwao yn wako nje ya mada kbs nakuunga mkono

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 месяца назад

      @@Grace-o1r5y nione wivu wa kujikojolea na kujampa hovyo ama kwa kipi labda

  • @irenekimaro6523
    @irenekimaro6523 3 месяца назад

    Da zuuu akinywa maji anakuona kwenye glass baba karobo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SilviaDirecto.
    @SilviaDirecto. 3 месяца назад +10

    like mama karobo n tabia take mbaya

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 месяца назад

      Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 месяца назад

    Great job guys tunawapenda sana jitaindini ❤❤❤

  • @NeymanMaganga
    @NeymanMaganga 3 месяца назад +6

    nic

  • @jengenimsuva377
    @jengenimsuva377 3 месяца назад +1

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri sijawahi kukupinga

  • @RehemaNyevu-kk1ms
    @RehemaNyevu-kk1ms 3 месяца назад +4

    From Kenya naombeni likes

  • @HassanSalehMohd
    @HassanSalehMohd 2 месяца назад

    Allah atuhifadh waliongia kwenye ndoa natuliokuwa hatujaow Allah atupe wake wema insha Allah.😭😭😭😭

  • @AsebaleylaDavid
    @AsebaleylaDavid 3 месяца назад +6

    🎉🎉🎉

  • @SylvesterPhilipo-dv8vs
    @SylvesterPhilipo-dv8vs Месяц назад

    Ila baba kalobo uyo zujat kama umtaki nipe Mimi no zake 😂😂nimepempenda sana ❤

  • @RukundoHamdan
    @RukundoHamdan 3 месяца назад +7

    Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik

  • @justinekombo-sl6zf
    @justinekombo-sl6zf 3 месяца назад

    From Kenya watching live, I can't wait for episode 13.

  • @EdsonObadia-d9z
    @EdsonObadia-d9z 3 месяца назад +6

    Hahahaaa mama karobo

  • @ShiroAnn-c9s
    @ShiroAnn-c9s Месяц назад

    😂😂😂Kali sana mwamke kanywa mikojo😂😂

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 3 месяца назад +4

    Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 месяца назад

      Baba karobo no one

  • @joycebageni9040
    @joycebageni9040 3 месяца назад

    Suis en 🇨🇩🇨🇩,bon travail baba joa