Utayapenda mafundisho ya Askofu Mkuu Lebulu/ Upendo usiwe wa unafiki/ Chukieni lolote ovu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 11

  • @lucyfrancis1614
    @lucyfrancis1614 9 дней назад

    Napenda saana mahubiri ya baba askofu lebulu mwenyezi mungu akutunze

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 13 дней назад

    Atukuzwe Mungu milele

  • @edesmasawe430
    @edesmasawe430 21 день назад +1

    Mungu azid kukupigania ktk uzima na afya

  • @aman1leonard914
    @aman1leonard914 22 дня назад +2

    🙏hazina iliyohai

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 19 дней назад

    Tunashukuru baba Askofu umetufakarisha Mungu akubariki sana wewe ni hazina Mungu akupe maisha marefu na afya njema

  • @marundakisaka2637
    @marundakisaka2637 22 дня назад

    Hongera Sana Mhashamu Lebulu kwa maubiri mazuri ya kusisimua na yenye kubariki miyoyo yetu . Asante Mungu kwa kutupa Askofu Mkuu Lebulu ❤

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 14 дней назад

    MUNGU AWE Pamoja Nawe Baba Askofu wetu Kweli kabisa Nimefarijika Sasa kwa kunigusa kupitia Mahubiri Yako iliojaa busara zako kweli kabisa unajua Sana MUNGU Akubariki Sana

  • @francisHhari-uv7lk
    @francisHhari-uv7lk 21 день назад

    Mh, Askofu Yuko vizuri,uzee sio tatizo,anaakiba yakutosha! Hongera yake

  • @Msafiri-cy8os
    @Msafiri-cy8os 13 дней назад

    Hazina,ya kanisa tuitumie

  • @JereminaChamle
    @JereminaChamle 22 дня назад

    Hongera Baba Lebulu❤

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 21 день назад

    Hakika ww baba askof imenifanya nikaipenda karismatik katolik Mungu azid kukutunza na kuimarisha Zaid afya yako