Gawio la Shilingi Bilioni 44.4 Kutolewa kwa Wanahisa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mkutano Mkuu wa 25 wa Wanahisa umekuwa wa mafanikio ambapo zaidi ya Wanahisa 2000 wameweza kushiriki kidijitali.
    Katika Mkutano huo Wanahisa wamepitisha pendekezo la gawio la Tsh 17 kwa hisa ikiwa ni ongezeko 112.5% kulinganisha na Tsh 8 kwa hisa mwaka jana.
    Mkutano Mkuu ujao utafanyika siku ya Jumamosi tarehe 16/05/2021 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).

Комментарии • 2

  • @juliusmantago6148
    @juliusmantago6148 9 месяцев назад

    Je ni namna gani mtu apate kuwa mwana hisa,? Hasa huku nikoani hakuna elimu ya kutosha

  • @anacethngaiza6079
    @anacethngaiza6079 3 года назад

    Mwaka huu gawio ni sh ngapi?