Sasa msimu wa tatu unatoka Lini Nataka kumuona Mnyalukolo vangu Recho Ambi igita ndauli apene apo u Bailam Amlehile Ali nu Jojo u baba Bailam asitwikhe Koko be Recho unakasi muyangu ila ndikhudoboka nde muyago be whifanya wunofu belaaaaaa!!!
@@MariamuOboto-vc1sh mnakataga kuongenza wake lakini mnawazini makanisani? We jua hili nabi Sulaiman amekua nawake wangapi mwanaumme atusheki namke umonja ayonjo mambileyao njogisi wameubwa
Nabii Suleiman hakuijua ndoa ila alitangaza zinaa, mwanaume asie tosheka na mke mmoja huko ni kujiendekeza na kujaza mapepo ya ngono miili mwao, kwan ata ukipewa wanawake mia wote uwazin unapata faida gan? Jifunzen kutokujiendekeza
Rech 😂😂😂😂 uko juu mama 🔥wakuotea mbali kama unamkubali gonga like apa na tumpe maua yake 🌹🌹🌹🌹🌹
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Wa Burundi tuko wapi gonga like tukishuka
Huyu mwanamke amekaa kishari shari sana. Na anafit sana. Big up kwake
Kweli kabisa 😂😂😂😂
Yaani Anajua mpaka Raha Nikimuona Tu Juu kwa DP Huwa Najiandaa Kuenjoi😅😅😅
@@Bonvivant_Richard_Mayila 😂😂😂
Chezea rechoo weeee❤️❤️❤️
Recho kula mandazi matano kwa bill yangu😂😂😂😂😂😂😂😂
Mke mkubwa ametisha kinyama.. Namuona mgeni kwenye game lakini confidence yuko nayo.. Mswazi 😁😁😁🙌🏾🙌🏾🙌🏾Anajua Sanaa mashaallah
Sio mgeni n team ioio uyooo
@@mwanalimasaid2368 Mashaallah anaongea huyo.. Anajua kutumia mdomo.. Mswahili original
Mwenyeji mbona uyu dada weee😂😂😂😂
napenda recho anavokuwa jasiri...yaani iyo part imeendana na yeye
Big up2 sana mama anaweza
Wakwaza kuona naomba like zangu nimeipenda sana 👍👍
Wataka likes ngapi
Leo mm wa kwanza kuview na kulike kutoka kenya wapi like zangu
Wataka likes ngapi
Kenya kutoka wapi
@@georgekaila6193 makueni
Mbwela ni mtu wa ndonga❤😂😂😂😂😂
Mke mkubwa miyayushoo kweli😂😂😂
Kwahio huyo mwanaume hafanyi kazi mnakosea pia
Karibu bas ndan! Mbwela anataka kumpiga recho ndong
Mke kama recho mimi simtaki walai akuu ataniua na mawazo mapema sana😂😂😂
Good 👍 job guys l love it ❤❤❤❤😂
Kazi kazi
Recho upo moto sana😂😂😂Unajua unajua tena.
Mke kama huyo ni wa kupiga vibao kali sana
Good job
Good job ❤❤ from kenya🎉😅
😂😂😂 recho moto nakukubali mama
Ati karibu ndani 😂😂😂😂
Recho nampenda🥰🥰🥰
Mbona bibi mdogo mzuri tu
Nice 👍❤
Naom mamb ya kulialia achan nay umeplay part ak fresh san
Nakubari sana
Jamaaa huwa namkubari hajawahi kuniangusha
Nzur sana
Recho piga kaz mama
Nimungu akutiye ❤moyo
Mzee Wa ndoga 😂😂😅🙌
😂😂😂🤣🤣🤣yule recho motooo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Asuman KAZI zuri
Nzuri sanaaa wake wenza hoyeee
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Napend rech unavyo ongea jaman dah mpk raha ongera ala naomi nikupe maua yako unaongeaga vzr sana
Duuh ukeweza
Ndomana sipendagi uke wenza
Aaaah,mbwela
Kazi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikua nampango niolewe na bhailam lkn kwa Hii jeur yang na ukali wake nishaghaili maaana kuna ck watakuta maiti ndani 😂😂😂
Ni hatari🤣🤣🤣
Jamani mmi naona ukewenza sio poa bara niwenawangu atakama atakua nakasoro zakutosha ukewenza sio poa
Sasa msimu wa tatu unatoka Lini Nataka kumuona Mnyalukolo vangu Recho Ambi igita ndauli apene apo u Bailam Amlehile Ali nu Jojo u baba Bailam asitwikhe Koko be Recho unakasi muyangu ila ndikhudoboka nde muyago be whifanya wunofu belaaaaaa!!!
😅😅😅😅😅nyieeeeee
Bi mkubwa unajua sana
Unyama mwingi
Bi mkubwa kiboko😅😅
❤❤🔥
❤❤❤woow
Kwel mtu na mke mwezio mpendane huwaunafiki t
Recho nampendaga vile ushari wako ila
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nasupiri ya 2
Subuhanallh Allah 😭😭
💥💥💥💥
Rechoo wasumbuliwa na wivu ww
Mnatoaga part one na two halaf hata hamumalzii
😂😂😂😂
😬😬😬😬🤣🤣🤣🤣
Awe.mkweli.katika.ndoa 3:40
Awe.naukweli.nakuwatimiza.mapenzi
Wanaume.kutafuta.mke.mpole.nanyenyekevu.nkudumu.nae
❤
🥳🎉
❤❤❤❤❤nishida😢😅😊❤❤
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🤣🤣🤣
Part one ndo naiona saiv
Big up to all
Iv dini ya kiisilam ina ndoa ama inaweka mbere zinaa? Mungu aliumba Mme mmoja na mke mmoja iweje Leo hii wanaoa wake wanne et ni suna kama sio uzinzi?
We.mjinga.we namanabi anani mhlchamungu nabi Ibrahim anikua nawake wangapi chizi tu
Tueleweshe
Mungu alipo muumba Adam alimpatia mke ambae ni hawa, mke mmoja sasa iweje waisram wanaoa wake wanne? Suna gan kama sio uzinzi?
@@MariamuOboto-vc1sh mnakataga kuongenza wake lakini mnawazini makanisani? We jua hili nabi Sulaiman amekua nawake wangapi mwanaumme atusheki namke umonja ayonjo mambileyao njogisi wameubwa
Nabii Suleiman hakuijua ndoa ila alitangaza zinaa, mwanaume asie tosheka na mke mmoja huko ni kujiendekeza na kujaza mapepo ya ngono miili mwao, kwan ata ukipewa wanawake mia wote uwazin unapata faida gan? Jifunzen kutokujiendekeza
TATIZO LAKO CHUMA ULETE
ruclips.net/video/qCjf1RDPFrs/видео.html
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂