WAKE WENZA (part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 100

  • @Zalhatsaidi
    @Zalhatsaidi Год назад +31

    Rech 😂😂😂😂 uko juu mama 🔥wakuotea mbali kama unamkubali gonga like apa na tumpe maua yake 🌹🌹🌹🌹🌹

    • @shamyalley2091
      @shamyalley2091 Год назад +1

      🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @agathemichelle238
    @agathemichelle238 Год назад +19

    Wa Burundi tuko wapi gonga like tukishuka

  • @zeroconscious1916
    @zeroconscious1916 Год назад +28

    Huyu mwanamke amekaa kishari shari sana. Na anafit sana. Big up kwake

  • @kimuu1586
    @kimuu1586 Год назад +9

    Recho kula mandazi matano kwa bill yangu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BobMikwara
    @BobMikwara Год назад +8

    Mke mkubwa ametisha kinyama.. Namuona mgeni kwenye game lakini confidence yuko nayo.. Mswazi 😁😁😁🙌🏾🙌🏾🙌🏾Anajua Sanaa mashaallah

    • @mwanalimasaid2368
      @mwanalimasaid2368 Год назад +1

      Sio mgeni n team ioio uyooo

    • @BobMikwara
      @BobMikwara Год назад +1

      @@mwanalimasaid2368 Mashaallah anaongea huyo.. Anajua kutumia mdomo.. Mswahili original

    • @aaminaasljbgbvf745
      @aaminaasljbgbvf745 4 месяца назад

      Mwenyeji mbona uyu dada weee😂😂😂😂

  • @luobae4128
    @luobae4128 Год назад +4

    napenda recho anavokuwa jasiri...yaani iyo part imeendana na yeye

  • @MimiSifa-jk3tx
    @MimiSifa-jk3tx Год назад +11

    Wakwaza kuona naomba like zangu nimeipenda sana 👍👍

  • @vokemaithya6646
    @vokemaithya6646 Год назад +10

    Leo mm wa kwanza kuview na kulike kutoka kenya wapi like zangu

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Год назад +5

    Mbwela ni mtu wa ndonga❤😂😂😂😂😂

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Год назад +4

    Mke mkubwa miyayushoo kweli😂😂😂

  • @jacklinejacklinejonh6530
    @jacklinejacklinejonh6530 Год назад +3

    Kwahio huyo mwanaume hafanyi kazi mnakosea pia

  • @ArobogastMrosso-pz1tk
    @ArobogastMrosso-pz1tk Год назад +2

    Karibu bas ndan! Mbwela anataka kumpiga recho ndong

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад +2

    Mke kama recho mimi simtaki walai akuu ataniua na mawazo mapema sana😂😂😂

  • @biba2552
    @biba2552 Год назад +5

    Good 👍 job guys l love it ❤❤❤❤😂

  • @mabuga_og
    @mabuga_og Год назад +2

    Kazi kazi

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Год назад +3

    Recho upo moto sana😂😂😂Unajua unajua tena.

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa Год назад +2

    Mke kama huyo ni wa kupiga vibao kali sana

  • @halimamohammedsuleiman5159
    @halimamohammedsuleiman5159 Год назад +3

    Good job

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад +3

    Good job ❤❤ from kenya🎉😅

  • @irenejuma4800
    @irenejuma4800 Год назад +2

    😂😂😂 recho moto nakukubali mama

  • @georgekaila6193
    @georgekaila6193 Год назад +2

    Ati karibu ndani 😂😂😂😂

  • @Gmama264
    @Gmama264 Год назад +3

    Recho nampenda🥰🥰🥰

  • @sirjafricatv
    @sirjafricatv Год назад +2

    Mbona bibi mdogo mzuri tu

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Год назад +3

    Nice 👍❤

  • @samboy-y6e
    @samboy-y6e Год назад +2

    Naom mamb ya kulialia achan nay umeplay part ak fresh san

  • @mabuga_og
    @mabuga_og Год назад +1

    Nakubari sana

  • @AbinasBujiku-qm1ys
    @AbinasBujiku-qm1ys 4 месяца назад

    Jamaaa huwa namkubari hajawahi kuniangusha

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 Год назад +1

    Nzur sana

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +3

    Recho piga kaz mama

  • @JohnMatendo-c4s
    @JohnMatendo-c4s 10 месяцев назад

    Nimungu akutiye ❤moyo

  • @Bonvivant_Richard_Mayila
    @Bonvivant_Richard_Mayila Год назад +3

    Mzee Wa ndoga 😂😂😅🙌

  • @erickmeshac3135
    @erickmeshac3135 Год назад +1

    😂😂😂🤣🤣🤣yule recho motooo

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @munenephineas
    @munenephineas Год назад +1

    Asuman KAZI zuri

  • @joyyjoyy5474
    @joyyjoyy5474 Год назад +4

    Nzuri sanaaa wake wenza hoyeee

  • @JohnBlaise-me1zq
    @JohnBlaise-me1zq Год назад +1

    C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @irenebenety921
    @irenebenety921 Год назад +1

    Napend rech unavyo ongea jaman dah mpk raha ongera ala naomi nikupe maua yako unaongeaga vzr sana

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Год назад +1

    Duuh ukeweza

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 Год назад +2

    Ndomana sipendagi uke wenza

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Год назад +1

    Aaaah,mbwela

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +1

    Kazi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ZenaKambi-q2d
    @ZenaKambi-q2d Год назад

    Nilikua nampango niolewe na bhailam lkn kwa Hii jeur yang na ukali wake nishaghaili maaana kuna ck watakuta maiti ndani 😂😂😂

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Год назад +2

    Ni hatari🤣🤣🤣

  • @elizabethefraim6093
    @elizabethefraim6093 Год назад +1

    Jamani mmi naona ukewenza sio poa bara niwenawangu atakama atakua nakasoro zakutosha ukewenza sio poa

  • @DayanaPeter-pd9yf
    @DayanaPeter-pd9yf 9 месяцев назад

    Sasa msimu wa tatu unatoka Lini Nataka kumuona Mnyalukolo vangu Recho Ambi igita ndauli apene apo u Bailam Amlehile Ali nu Jojo u baba Bailam asitwikhe Koko be Recho unakasi muyangu ila ndikhudoboka nde muyago be whifanya wunofu belaaaaaa!!!

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Год назад +1

    😅😅😅😅😅nyieeeeee

  • @leylahkhassim-sy5vv
    @leylahkhassim-sy5vv Год назад +1

    Bi mkubwa unajua sana

  • @SijalyJunior
    @SijalyJunior 7 месяцев назад

    Unyama mwingi

  • @aminamahya657
    @aminamahya657 Год назад +1

    Bi mkubwa kiboko😅😅

  • @mwanatumukombo9440
    @mwanatumukombo9440 Год назад +1

    ❤❤🔥

  • @fa.fa.9713
    @fa.fa.9713 Год назад +1

    ❤❤❤woow

  • @veromaganga1299
    @veromaganga1299 Год назад +1

    Kwel mtu na mke mwezio mpendane huwaunafiki t

  • @gracemadondola7331
    @gracemadondola7331 Год назад +1

    Recho nampendaga vile ushari wako ila

  • @yuui1878
    @yuui1878 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @naomnyamoitaosiangochannel5552
    @naomnyamoitaosiangochannel5552 Год назад +1

    Nasupiri ya 2

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 Год назад +1

    Subuhanallh Allah 😭😭

  • @mabuga_og
    @mabuga_og Год назад +1

    💥💥💥💥

  • @marcelinemwaro266
    @marcelinemwaro266 Год назад +1

    Rechoo wasumbuliwa na wivu ww

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +1

    Mnatoaga part one na two halaf hata hamumalzii

  • @GHgh-hq3zj
    @GHgh-hq3zj Год назад +1

    😂😂😂😂

  • @user-dj7iz2nc2j
    @user-dj7iz2nc2j Год назад +1

    Awe.mkweli.katika.ndoa 3:40

  • @chadracknshimirimana4761
    @chadracknshimirimana4761 11 месяцев назад

    🥳🎉

  • @reinnemsambya3414
    @reinnemsambya3414 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤nishida😢😅😊❤❤

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Год назад +1

    😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 6 месяцев назад

    Part one ndo naiona saiv

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Год назад +1

    Big up to all

  • @MariamuOboto-vc1sh
    @MariamuOboto-vc1sh Год назад +2

    Iv dini ya kiisilam ina ndoa ama inaweka mbere zinaa? Mungu aliumba Mme mmoja na mke mmoja iweje Leo hii wanaoa wake wanne et ni suna kama sio uzinzi?

    • @munimuni3365
      @munimuni3365 Год назад +2

      We.mjinga.we namanabi anani mhlchamungu nabi Ibrahim anikua nawake wangapi chizi tu

    • @georgekaila6193
      @georgekaila6193 Год назад

      Tueleweshe

    • @MariamuOboto-vc1sh
      @MariamuOboto-vc1sh Год назад

      Mungu alipo muumba Adam alimpatia mke ambae ni hawa, mke mmoja sasa iweje waisram wanaoa wake wanne? Suna gan kama sio uzinzi?

    • @munimuni3365
      @munimuni3365 Год назад +1

      @@MariamuOboto-vc1sh mnakataga kuongenza wake lakini mnawazini makanisani? We jua hili nabi Sulaiman amekua nawake wangapi mwanaumme atusheki namke umonja ayonjo mambileyao njogisi wameubwa

    • @MariamuOboto-vc1sh
      @MariamuOboto-vc1sh Год назад

      Nabii Suleiman hakuijua ndoa ila alitangaza zinaa, mwanaume asie tosheka na mke mmoja huko ni kujiendekeza na kujaza mapepo ya ngono miili mwao, kwan ata ukipewa wanawake mia wote uwazin unapata faida gan? Jifunzen kutokujiendekeza

  • @VEVOTV-d1z
    @VEVOTV-d1z Год назад +1

    TATIZO LAKO CHUMA ULETE
    ruclips.net/video/qCjf1RDPFrs/видео.html

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @eliasmaziku1841
    @eliasmaziku1841 Год назад +1

    😂😂😂