Shuhudia Wadudu walivyonogesha Mei Mosi Arusha, wawavunja mbavu watazamaji
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yanayofanyika kitaifa jijini Arusha pamoja na mambo mengine, yamenogeshwa na kikundi cha vijana, maarufu kama wadudu kupita na kutoa salamu kwa mgeni rasmi.
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ni mgeni rasmi wa maadhimisho hayo.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Mei mosi ya wadudu hii nchi kazi kweli kweli
Yaan arusha hawaelew hata mbele ya nan wao ni wao tu , uhun mpaka mbele ya rais sjaona kitu Cha maana hapo
Nikweli hujaona kitu ila kumbuka kwa Dunia ya Sasa ukiwa na akilizako timamu kama ww hupewi hata nafasi ya kupita mbele ya Rais lakini wao na uhuni wao wamepita
Tafakari alafu chukua hatua watu wanapiga hela hapo
😂😂😂😂😂 kazi kweli
Watu wapo serious na kikotoo mnaleta wadudu 😙😙😙😙
Wanazingatia maokoto yao 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂chuga ni nchi ya kipekee sana😂😂😂
Makonda kazii anayoo😂😂😂😂😂
Akhiii wadudu
Arusha raha
Duuuuh arusha kama sio Tanzania
Makonda the great miakili mingi
Ila ARUSHA hahahaaaaaaa burudan sana😂😂😂
Washakuamaarufu
wadudu oyee
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna wadudu na kizaz Og mazee..
Arachuga ni kama nchi,rais wake makonda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
Du,
Hivi kweli wadudu ni watu wa kuwa promoted? Je vijana wa mikoa mingine wakibuni mambo ya ajabu ya aina hii kutakuwa na usalama?
Bahati mbaya sana huwa tunashabikia vitu ambavyo vinatutoa kwenye Mambo ya msingi. Watu walitaka kusikia ya kikotoo n.k.
Hiv mnawajua wadudu nyie
😂😂
😂
Huu ni ujinga wa kiwango cha juu, kuna watu wanatakiwa kuwa promoted lakini wamekosa nafasi kisa wadudu wa kijinga, kweli jamani kwa namna hii tutafika?