Nilifanya biashara nilipata hasara sana no postive progress,faida inapatikana na pesa haikai,wateja ndio hivo tena but this song ENERGIES ME, KEEP PUSHING ON. Nabarikiwa sana na huu wimbo MUNGU amesema na ninyi juu yangu sana sana mstari wa "MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI" napata nguvu sana napo sikia huu wimbo ni kama naona KESHO YANGU iliyo kubwa sana kwa jina la YESU. Hallelujah 🙏
Amen Amen HII nyimbo inatufundihsa kunyenyekea KWA MUNGU ILI akuinue zaidi na zaidi coz unapaswa uwe chin muda WOTE muinue Mungu na kumrudishia sifa na utukufu
Nyimbo imejawa na Utukufu Sana Mungu aendelee Kukutumia kaka ucje ukajikweza kaa kama Sura yako inanyo onekana Mungu atakutumia Sana. Hii nyimbo Iko na Mafuta mengi Sana Halafu hii nyimbo pia ni Dawa ukiisikiliza kila kitu kina kaapoa ubongoni
Hiii track nilisikia kwa sim ya my wife nilivyo sikiliza nikatamani nirudie mala mbili hakika hii nyimbo iko na ujumbe mzito amka . Blessed sana wakuuu Mungu awatunze👏...*mr kibaLi*
Mungu wetu hajalal anaona Ni kungoja kwa Imani na tumaini 🌻 ... Ya dunia yaache yapite tu maan yanaumiza ....tuutazamie ule mji udumuo usiojengwa na mikono ya wanadamu .... 🙏 Amen Godblees you brothers song ...#.(Ligendarii ) 💞
Kama umeipenda wimbo hu naomba tukutane katika likes hapa chini👇👇
Who is here with me today....am blessed with this song
Sifanikwako.bwana.haleluya.ubalikiwe.
Kiukwel ujumbe huu ni mzuri Dana sichok kuisikiliza naweza maliza SK nikiisikiliza wimbo huu ni mzuri Dana na unabariki na kutia Moyo MUNGU akukumbuke
“MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI”💯
Mungu anajua nauhitaji nyimbo mpya. Be blessed. You are a blessing Gibson na Godfrey
Ubarikiwe sana bro 🎉🎉🎉❤❤
Ndani ya kweli niwe huru❤
Hakika wimbo huu unatia moyo sana.
Nilifanya biashara nilipata hasara sana no postive progress,faida inapatikana na pesa haikai,wateja ndio hivo tena but this song ENERGIES ME, KEEP PUSHING ON. Nabarikiwa sana na huu wimbo MUNGU amesema na ninyi juu yangu sana sana mstari wa "MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI" napata nguvu sana napo sikia huu wimbo ni kama naona KESHO YANGU iliyo kubwa sana kwa jina la YESU. Hallelujah 🙏
@@GodrickEmmanuel glory to God
Daah ww mtu steve unajua
Sijui masikio yangu yanashida eti yanafananisha
Natamani nirudie huu wimbo habari za zamani zimenichosha
Nikisikiliza huu wimbo nautafakari ukuu wa Mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kila Nikisikiliza huu wimbo Namtafakari Mungu Kwa Upendo wake Mkuu mbarikiwe watumishi wa Mungu❤🙏🏾🙏🏾
Amen Amen HII nyimbo inatufundihsa kunyenyekea KWA MUNGU ILI akuinue zaidi na zaidi coz unapaswa uwe chin muda WOTE muinue Mungu na kumrudishia sifa na utukufu
Amen. Mungu awabariki sana.
Mungu akuongezee katika kipaji alicho kujalia
Huyu kaka kunakitu atafika mbali mungu mwema❤ nakupenda hata mimi napenda kuimba ila ndo ivo
Ambwene mwasongwe wa pili huyu yupo vizuri sana
Najisikia amani nikisikilizi nyimbo zako Kaka asanteeee
Unajua sana sana jamani mungu aendelee kukupandisha juu
First Kenyan kufika hapa,natabiri nyota yako Ing'ae katika jina la Yesu kristo mwana wa Mungu
Amen
Wimbo unanibariki sana
Kazi nzuri sana sana barikiwa kaka
kazi nzur ndugu zang
Mmeimba vzr Sana had raha
Glory to God.... Nashukuru sana KWA support YAKO
Mungu akubaliki kila nikiamka Asubuh lazima nisikilize huu wimbo
Upitiayo wewe watapona wengine is really deep.
Nyimbo zako nzuri broo zinanibariki Sana hata Kama naumwa nikisikiliza napona God bless you
MUNGU akuinue katika viwango vya juu kwa utukufu wake
Amen
mm nyimbo zk tu zinantiga moyo sn napenda sn kuziskiliza mungu akubarki mno
Mungu awabariki sana watumishi wa. Mungu
Amen
Like it so much my br
Mungu azidi kukubaliki nyimbo zako zinanifariji San ukiwa na yesu Raha sana❤
Mimi bila MUNGU kipofu hahahahaa MUNGU akutunz mtumishi
Waooooo hongera sna sna jmn
❤❤❤❤❤ so nice
Mungu awabalik Sana san
Nawaombeeni Mungu aendelee kuwa2mia kea viwango vya ajabu ili jina lake li2kuke kupitia nyie mbarikiwe xan
Mna juwa kwimba kabisa
SIFA HESHIMA UTUKUFU KWA MUNGU
TANGA BOY YOU ARE DOING WONDERS, GOD BLESS YOU TOO. EIMEN.
Ujumbe mzito sana mkuu
Glory to God
Mungu akubariki sana
Naskiliz hap kak
God bless you 🙏🙏🙏 wow this song is good 💯💯💯 I like this video 📸😍😍😍
Cpatii picha angekuwepo walchupa hii ngoma ungekuwa vp mana nyiye mnajua sana
UTUKUFU KWA MUNGU
@@gibsonmasaki6294 Amin yani Mimi napenda jmn kuimba nifundisheni bc na Mimi jmn
@@gracekamendu6515 tutaongea
@@gibsonmasaki6294 waooo ntafurahia Sana napenda kwel aise
Barikiwa sana mtumishi
Pamoja sana mtumishi WA Mungu
Mbarikiwe Kaz nzur
Nyimbo imejawa na Utukufu Sana Mungu aendelee Kukutumia kaka ucje ukajikweza kaa kama Sura yako inanyo onekana Mungu atakutumia Sana. Hii nyimbo Iko na Mafuta mengi Sana Halafu hii nyimbo pia ni Dawa ukiisikiliza kila kitu kina kaapoa ubongoni
Gipson wimbo huu umeuimba kwa hisia kali,mi huwa sitosheki kuusikiza..,am telling you ,, God is taking you far
Safi Sana Wazee,,, MUNGU WA MBINGUNI,, Awajarie Mfike Mbali Ki HUDUMA,, Tukutane PARADISO
Sehemu Godfrey ulipo huwa nakuwa blessed sanaa🥰🥰 Mungu mwema🙏🙏
Sauti yake ina mamlaka flani hivi ya kubariki 🥰
Hata mimi jamani sauti yake ina kibali Ooooh tumuombee sana Mungu azidi kumtumia
Sauti yake tu lazma utliye,inanibark sana
Natamani niibe huu mwisho ukuja kwa wakati kwangu
Amka Bwana nakutazama, Mungu wangu naomba niongeze naomba uwe na mimi kwa kila hatua ya maisha yangu na wanangu na ndugu zangu pia marafiki Amen
UTUKUFU KWA MUNGU
Amen
Barikiwen
AMEN
Godfrey steven mfalme wa rnb kwny gospel,na kuna mtu anaitwa kibonge wa Yesu nae noma
Ni kweli,Kuna muda Moyo nao unagoma kufarijiwa na ya Dunia,shout out to you brother 🙋🙋🙋
To the next level
Ninaomba Mungu aniongoze,bilan yeye mimi si kitu,ubarikiwe muimbaji n'a Mungu akuongezeye hekima n'a akili nyingi
Hongera sana nakuona mbali nyimbo zako sichoki kusikiliza
Amen Amen Amen
@@gibsonmasaki6294 LIGENDARY
Mungu azidi kukubariki godfrey tunabarikiwa kwakupitia nyimbo zako
Mkuu ubarikwe san
Saut nzuri wimbo mzuri
Godfrey hujawahi niangusha kwa hii sehemu Mungu akufikishe mbali
Nimependa sana ulivyoimba nyimbo hii lakini Kaka jina la Yesu hata kidogo kaka
Wimbo mzuri tena wenye kutia moyo. Mungu akuzidishie neema mtu wa Mungu. ❤️
Mungu akubariki sana maan hii nyimbo inanipaga faraja
Mungu azidi kukutumia brother nabarikiwa na nyimbo zako nakupenda
Jamani nyimbo zako ni nzuri mno naomba ziwe offline pia ,pleaseeee 🤭🤭🤭🤭
Mungu akuinue juu zaidi kaka yangu
Me sauti tuuuu hoi
Alipo god uhakika
Najikuta kupata nguvu mpya ya kusonga mbele, Mungu akubariki sana kaka kazi yako Ni njema sana
Everyone listening to this song be blessed. May God's shine His face upon you.
the tone ...... simba
Glory to God
Ubalikiwe sana
Wimbo mzuri sana
Kazi nzuri sana MUNGU awafikishe mbali
Mimi bila WW Bwana Yesu siwezi kufarijiwa na ya Dunia........❤❤❤
Basi shetani anateseka uko alipo ni hatari be blessed majabari ya Mungu
Am so Blessed
Kwa Ujumbe na Sauti Nzuriiii
💕Kupitia mm watapona wengine✍️
Nice. Nabarikiwa sana na nyimbo hii. Mungu akutumie Godfrey steve
Wimbo mzuri nimebarikiwa
Nashukuru... UTUKUFU kwa MUNGU
@@gibsonmasaki6294 Amina mtumishi.
Nice song,so powerful be blessed man of God
A nice song with a Fabolous message but Dunia haiwezi kukusubiri😊
Kaka ubarikiwe Sana uimbaji wako unanifarj sanaaa
Amen glory to God
Haya majamaa ya Mungu yako vizuri sauti zinafanana
Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali I believe it
Good job ndugu zangu mfike mbali aseeeh
Hiii track nilisikia kwa sim ya my wife nilivyo sikiliza nikatamani nirudie mala mbili hakika hii nyimbo iko na ujumbe mzito amka .
Blessed sana wakuuu Mungu awatunze👏...*mr kibaLi*
Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali ase MUNGU awabariki
Amen Amen
Mtumishi naomba naomba namba yako ..Nam pia mwimbaji nataka nijifunze zaid
@@floridamgina7131 0659230460
Asante Sana barikiwa
Hongera kaka
Kazi nzuri brother nimebarikiwa na nyimbo hii
Ame... UTUKUFU KWA MUNGU
Amen
Daaah nimeielewa kinouma San🙏
Nice ❤❤❤I like this video wow you know two single guys this video is good 👍 ❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊amka
Hii kitalam inaitwa perfect combination
Mungu wetu hajalal anaona Ni kungoja kwa Imani na tumaini 🌻 ... Ya dunia yaache yapite tu maan yanaumiza ....tuutazamie ule mji udumuo usiojengwa na mikono ya wanadamu .... 🙏 Amen Godblees you brothers song ...#.(Ligendarii ) 💞
Amen
It hits different “Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali”😊
Jmn nawapenda Sanaa Yan Mungu asiwaache jmn msiiiache njia yake kbsa azidi kuwatumia