Gibson Masaki ft Godfrey Steven - AMKA (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 457

  • @ndigwaananiah2979
    @ndigwaananiah2979 Год назад +13

    Kama umeipenda wimbo hu naomba tukutane katika likes hapa chini👇👇

  • @tusemezanenamariana5933
    @tusemezanenamariana5933 Год назад +14

    Who is here with me today....am blessed with this song

  • @ChelestinaMkonge
    @ChelestinaMkonge 10 месяцев назад +3

    Sifanikwako.bwana.haleluya.ubalikiwe.

  • @doreenkigosi1524
    @doreenkigosi1524 Год назад +3

    Kiukwel ujumbe huu ni mzuri Dana sichok kuisikiliza naweza maliza SK nikiisikiliza wimbo huu ni mzuri Dana na unabariki na kutia Moyo MUNGU akukumbuke

  • @OFFICIALRIA64
    @OFFICIALRIA64 Месяц назад +1

    “MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI”💯

  • @leahakinyi636
    @leahakinyi636 7 месяцев назад +3

    Mungu anajua nauhitaji nyimbo mpya. Be blessed. You are a blessing Gibson na Godfrey

  • @MargaretAsiko-h2y
    @MargaretAsiko-h2y 9 месяцев назад +3

    Ubarikiwe sana bro 🎉🎉🎉❤❤

  • @NaomiDaudi-c4m
    @NaomiDaudi-c4m 10 месяцев назад +3

    Ndani ya kweli niwe huru❤

  • @AliciaMakaranga
    @AliciaMakaranga 8 месяцев назад +4

    Hakika wimbo huu unatia moyo sana.

  • @GodrickEmmanuel
    @GodrickEmmanuel 8 месяцев назад +6

    Nilifanya biashara nilipata hasara sana no postive progress,faida inapatikana na pesa haikai,wateja ndio hivo tena but this song ENERGIES ME, KEEP PUSHING ON. Nabarikiwa sana na huu wimbo MUNGU amesema na ninyi juu yangu sana sana mstari wa "MAFANIKIO YAMEFICHWA KWENYE MAUMIVU MAKALI" napata nguvu sana napo sikia huu wimbo ni kama naona KESHO YANGU iliyo kubwa sana kwa jina la YESU. Hallelujah 🙏

  • @HijerShaban-ok8wk
    @HijerShaban-ok8wk 8 месяцев назад +4

    Daah ww mtu steve unajua

  • @teresiasanga7474
    @teresiasanga7474 3 года назад +4

    Sijui masikio yangu yanashida eti yanafananisha

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga982 8 месяцев назад +4

    Natamani nirudie huu wimbo habari za zamani zimenichosha

  • @fransiscalupala685
    @fransiscalupala685 10 месяцев назад +6

    Nikisikiliza huu wimbo nautafakari ukuu wa Mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @fransiscalupala685
    @fransiscalupala685 Год назад +7

    Kila Nikisikiliza huu wimbo Namtafakari Mungu Kwa Upendo wake Mkuu mbarikiwe watumishi wa Mungu❤🙏🏾🙏🏾

  • @godrivernicholous3536
    @godrivernicholous3536 Год назад +5

    Amen Amen HII nyimbo inatufundihsa kunyenyekea KWA MUNGU ILI akuinue zaidi na zaidi coz unapaswa uwe chin muda WOTE muinue Mungu na kumrudishia sifa na utukufu

  • @kennethhabibkambanga8456
    @kennethhabibkambanga8456 10 месяцев назад +2

    Amen. Mungu awabariki sana.

  • @KelvinMwaikamira
    @KelvinMwaikamira Год назад +3

    Mungu akuongezee katika kipaji alicho kujalia

  • @AishaAthuman-xx4wq
    @AishaAthuman-xx4wq Год назад +2

    Huyu kaka kunakitu atafika mbali mungu mwema❤ nakupenda hata mimi napenda kuimba ila ndo ivo

  • @pasalmdemu7225
    @pasalmdemu7225 Год назад +3

    Ambwene mwasongwe wa pili huyu yupo vizuri sana

  • @jescatabalo6030
    @jescatabalo6030 2 года назад +1

    Najisikia amani nikisikilizi nyimbo zako Kaka asanteeee

  • @JoyceHanai
    @JoyceHanai 8 месяцев назад +1

    Unajua sana sana jamani mungu aendelee kukupandisha juu

  • @Marsemo
    @Marsemo 2 года назад +5

    First Kenyan kufika hapa,natabiri nyota yako Ing'ae katika jina la Yesu kristo mwana wa Mungu

  • @hurumamwemtsi764
    @hurumamwemtsi764 7 месяцев назад +1

    Wimbo unanibariki sana

  • @stephanomndeme5578
    @stephanomndeme5578 2 года назад +1

    Kazi nzuri sana sana barikiwa kaka

  • @godianmuhikambele7884
    @godianmuhikambele7884 2 года назад +1

    kazi nzur ndugu zang

  • @leahpagale178
    @leahpagale178 3 года назад +2

    Mmeimba vzr Sana had raha

    • @gibsonmasaki6294
      @gibsonmasaki6294  3 года назад +2

      Glory to God.... Nashukuru sana KWA support YAKO

  • @emmanuellaizer5135
    @emmanuellaizer5135 Год назад +1

    Mungu akubaliki kila nikiamka Asubuh lazima nisikilize huu wimbo

  • @lucywambui6977
    @lucywambui6977 Год назад +1

    Upitiayo wewe watapona wengine is really deep.

  • @pendomjema3635
    @pendomjema3635 Год назад +1

    Nyimbo zako nzuri broo zinanibariki Sana hata Kama naumwa nikisikiliza napona God bless you

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru 2 года назад +2

    MUNGU akuinue katika viwango vya juu kwa utukufu wake

  • @annamesomapya5028
    @annamesomapya5028 Год назад +1

    mm nyimbo zk tu zinantiga moyo sn napenda sn kuziskiliza mungu akubarki mno

  • @naomiisack5873
    @naomiisack5873 3 года назад +2

    Mungu awabariki sana watumishi wa. Mungu

  • @GeorgeGesura-he2ie
    @GeorgeGesura-he2ie Год назад +2

    Like it so much my br

  • @happyjohn6266
    @happyjohn6266 7 месяцев назад +2

    Mungu azidi kukubaliki nyimbo zako zinanifariji San ukiwa na yesu Raha sana❤

  • @zilipajohn3633
    @zilipajohn3633 3 года назад +1

    Mimi bila MUNGU kipofu hahahahaa MUNGU akutunz mtumishi

  • @mariamapile80
    @mariamapile80 Год назад +1

    Waooooo hongera sna sna jmn

  • @JonsonKalokola
    @JonsonKalokola 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤ so nice

  • @ngainazipora487
    @ngainazipora487 2 года назад +1

    Mungu awabalik Sana san

  • @BahatiIsaac-iw7vu
    @BahatiIsaac-iw7vu Год назад +1

    Nawaombeeni Mungu aendelee kuwa2mia kea viwango vya ajabu ili jina lake li2kuke kupitia nyie mbarikiwe xan

  • @lindachizabalibuno676
    @lindachizabalibuno676 2 года назад +1

    Mna juwa kwimba kabisa

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Год назад +2

    TANGA BOY YOU ARE DOING WONDERS, GOD BLESS YOU TOO. EIMEN.

  • @makoti77
    @makoti77 3 года назад +1

    Ujumbe mzito sana mkuu

  • @reysohelman7315
    @reysohelman7315 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @niceboy6943
    @niceboy6943 11 месяцев назад +1

    Naskiliz hap kak

  • @DogaleMaombi
    @DogaleMaombi 21 день назад

    God bless you 🙏🙏🙏 wow this song is good 💯💯💯 I like this video 📸😍😍😍

  • @gracekamendu6515
    @gracekamendu6515 3 года назад +1

    Cpatii picha angekuwepo walchupa hii ngoma ungekuwa vp mana nyiye mnajua sana

  • @godfreypeter8383
    @godfreypeter8383 2 года назад

    Barikiwa sana mtumishi

  • @hezroncrisent5898
    @hezroncrisent5898 Год назад

    Pamoja sana mtumishi WA Mungu

  • @happysimon9254
    @happysimon9254 3 года назад

    Mbarikiwe Kaz nzur

  • @josephphilipo9114
    @josephphilipo9114 3 года назад +11

    Nyimbo imejawa na Utukufu Sana Mungu aendelee Kukutumia kaka ucje ukajikweza kaa kama Sura yako inanyo onekana Mungu atakutumia Sana. Hii nyimbo Iko na Mafuta mengi Sana Halafu hii nyimbo pia ni Dawa ukiisikiliza kila kitu kina kaapoa ubongoni

  • @daisyken8020
    @daisyken8020 2 года назад +1

    Gipson wimbo huu umeuimba kwa hisia kali,mi huwa sitosheki kuusikiza..,am telling you ,, God is taking you far

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 3 года назад +1

    Safi Sana Wazee,,, MUNGU WA MBINGUNI,, Awajarie Mfike Mbali Ki HUDUMA,, Tukutane PARADISO

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 3 года назад +20

    Sehemu Godfrey ulipo huwa nakuwa blessed sanaa🥰🥰 Mungu mwema🙏🙏

    • @angelajessala7633
      @angelajessala7633 2 года назад

      Sauti yake ina mamlaka flani hivi ya kubariki 🥰

    • @witnessmsuya675
      @witnessmsuya675 2 года назад

      Hata mimi jamani sauti yake ina kibali Ooooh tumuombee sana Mungu azidi kumtumia

    • @sumasaid358
      @sumasaid358 Год назад

      Sauti yake tu lazma utliye,inanibark sana

    • @happinessmillanga982
      @happinessmillanga982 9 месяцев назад

      Natamani niibe huu mwisho ukuja kwa wakati kwangu

  • @goodmorning9142
    @goodmorning9142 2 года назад +6

    Amka Bwana nakutazama, Mungu wangu naomba niongeze naomba uwe na mimi kwa kila hatua ya maisha yangu na wanangu na ndugu zangu pia marafiki Amen

  • @wishnamhoja9059
    @wishnamhoja9059 2 года назад +1

    Barikiwen

  • @felinesmsuva847
    @felinesmsuva847 3 года назад +4

    Godfrey steven mfalme wa rnb kwny gospel,na kuna mtu anaitwa kibonge wa Yesu nae noma

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 3 года назад +4

    Ni kweli,Kuna muda Moyo nao unagoma kufarijiwa na ya Dunia,shout out to you brother 🙋🙋🙋

  • @niceboy6943
    @niceboy6943 Год назад

    To the next level

  • @FrancoiseBahati-py9su
    @FrancoiseBahati-py9su 2 месяца назад

    Ninaomba Mungu aniongoze,bilan yeye mimi si kitu,ubarikiwe muimbaji n'a Mungu akuongezeye hekima n'a akili nyingi

  • @bongonews729
    @bongonews729 3 года назад +1

    Hongera sana nakuona mbali nyimbo zako sichoki kusikiliza

  • @augustinomalamsha8956
    @augustinomalamsha8956 2 года назад +1

    Mungu azidi kukubariki godfrey tunabarikiwa kwakupitia nyimbo zako

  • @christophermsapuka5451
    @christophermsapuka5451 3 года назад

    Mkuu ubarikwe san

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga982 2 года назад +1

    Saut nzuri wimbo mzuri

  • @witnessmsuya675
    @witnessmsuya675 2 года назад +3

    Godfrey hujawahi niangusha kwa hii sehemu Mungu akufikishe mbali

  • @labanijmwampamba2470
    @labanijmwampamba2470 3 года назад +1

    Nimependa sana ulivyoimba nyimbo hii lakini Kaka jina la Yesu hata kidogo kaka

  • @lotela_music
    @lotela_music 2 года назад +11

    Wimbo mzuri tena wenye kutia moyo. Mungu akuzidishie neema mtu wa Mungu. ❤️

  • @rosekukobwa3997
    @rosekukobwa3997 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana maan hii nyimbo inanipaga faraja

  • @lucydarema4366
    @lucydarema4366 Год назад +1

    Mungu azidi kukutumia brother nabarikiwa na nyimbo zako nakupenda

  • @witneysammy6432
    @witneysammy6432 3 года назад +2

    Jamani nyimbo zako ni nzuri mno naomba ziwe offline pia ,pleaseeee 🤭🤭🤭🤭

  • @mathiasimhando4116
    @mathiasimhando4116 3 года назад +1

    Mungu akuinue juu zaidi kaka yangu

  • @rizikiobedi5298
    @rizikiobedi5298 3 года назад

    Me sauti tuuuu hoi

  • @ezekielmugeta2427
    @ezekielmugeta2427 3 года назад

    Alipo god uhakika

  • @joyceenock7867
    @joyceenock7867 2 года назад +2

    Najikuta kupata nguvu mpya ya kusonga mbele, Mungu akubariki sana kaka kazi yako Ni njema sana

  • @linetwasonga6612
    @linetwasonga6612 7 месяцев назад

    Everyone listening to this song be blessed. May God's shine His face upon you.

  • @thestoryteller6398
    @thestoryteller6398 2 года назад +2

    the tone ...... simba

  • @merympamba3126
    @merympamba3126 3 года назад +1

    Ubalikiwe sana

  • @ChristopherDanieli-c1d
    @ChristopherDanieli-c1d 11 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri sana

  • @janethedwards3454
    @janethedwards3454 3 года назад +2

    Kazi nzuri sana MUNGU awafikishe mbali

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 7 месяцев назад

    Mimi bila WW Bwana Yesu siwezi kufarijiwa na ya Dunia........❤❤❤

  • @rickyjosephricky6026
    @rickyjosephricky6026 3 года назад +5

    Basi shetani anateseka uko alipo ni hatari be blessed majabari ya Mungu

    • @joessy
      @joessy 3 года назад

      Am so Blessed
      Kwa Ujumbe na Sauti Nzuriiii

  • @subrahegidsuh8968
    @subrahegidsuh8968 3 года назад +2

    💕Kupitia mm watapona wengine✍️

  • @naomiisack5873
    @naomiisack5873 3 года назад +3

    Nice. Nabarikiwa sana na nyimbo hii. Mungu akutumie Godfrey steve

  • @magunilakasubi4534
    @magunilakasubi4534 3 года назад +2

    Wimbo mzuri nimebarikiwa

  • @JoyceHaule-v7t
    @JoyceHaule-v7t 9 месяцев назад +2

    Nice song,so powerful be blessed man of God

  • @kelvinkimaro5372
    @kelvinkimaro5372 3 года назад +2

    A nice song with a Fabolous message but Dunia haiwezi kukusubiri😊

  • @angelkimario5862
    @angelkimario5862 3 года назад +2

    Kaka ubarikiwe Sana uimbaji wako unanifarj sanaaa

  • @bernadetabenedicto
    @bernadetabenedicto 7 месяцев назад

    Haya majamaa ya Mungu yako vizuri sauti zinafanana

  • @evilahmponzi2768
    @evilahmponzi2768 2 года назад

    Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali I believe it

  • @freddylionel4621
    @freddylionel4621 3 года назад +3

    Good job ndugu zangu mfike mbali aseeeh

  • @mrkibali6075
    @mrkibali6075 3 года назад +2

    Hiii track nilisikia kwa sim ya my wife nilivyo sikiliza nikatamani nirudie mala mbili hakika hii nyimbo iko na ujumbe mzito amka .
    Blessed sana wakuuu Mungu awatunze👏...*mr kibaLi*

  • @floridamgina7131
    @floridamgina7131 3 года назад +1

    Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali ase MUNGU awabariki

  • @tonnyclavery3821
    @tonnyclavery3821 3 года назад +1

    Hongera kaka

  • @rehemajohnson8240
    @rehemajohnson8240 3 года назад +1

    Kazi nzuri brother nimebarikiwa na nyimbo hii

  • @NelsonJulius-g7v
    @NelsonJulius-g7v Месяц назад

    Daaah nimeielewa kinouma San🙏

  • @AlineSophia-r6y
    @AlineSophia-r6y 24 дня назад

    Nice ❤❤❤I like this video wow you know two single guys this video is good 👍 ❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊amka

  • @fazomagia5527
    @fazomagia5527 3 года назад +3

    Hii kitalam inaitwa perfect combination

  • @stellahsanga9769
    @stellahsanga9769 3 года назад +2

    Mungu wetu hajalal anaona Ni kungoja kwa Imani na tumaini 🌻 ... Ya dunia yaache yapite tu maan yanaumiza ....tuutazamie ule mji udumuo usiojengwa na mikono ya wanadamu .... 🙏 Amen Godblees you brothers song ...#.(Ligendarii ) 💞

  • @HollaMandy
    @HollaMandy 2 года назад +3

    It hits different “Mafanikio yamefichwa kwenye maumivu makali”😊

  • @gracekamendu6515
    @gracekamendu6515 3 года назад

    Jmn nawapenda Sanaa Yan Mungu asiwaache jmn msiiiache njia yake kbsa azidi kuwatumia