Lakini unaogopesha bwana Uko katikati ya.maji. panatisha kwangu Kidogo ni kama Saa Nane Island Mwanza.. Loooo...unapenda maki kaka Yangu. Hongera sana.
Ni powa kabisa. Lakini ingekuwa powa sana kama ingejengwa kibanda cha mapumziko hapo. Mimi pia ni mkongo kutoka kwa kabila ya Bashi. Kwenye ziwa Kivu pia kuna milima midogo mbali na Idjwi hata hivyo nazo ni pori. Congo tunalo tatizo la kutega uchumi.
Nisawa kwakua unatapa kwe lkn hakuna hajabu yoyote hapo ukifika ziwa Victoria kumbe utastajabu maana kule visitation kama hivyo uwezi kuviesambu nivingi mno 🤣
Nimefurahi kuona mlimabulumba kwaukaribu lakini siwezikuusogelea kwaukaribu naogopa Sana kutokana nahistoriayake watu walikua wanapotezwa kwawiki kadha wakiwa chiniyamaji baadae wanarudiswa wakiwahai wengine walikuwa wanakwenda mazima marakuku weupe Mara shuka cilikuwa vikionekana hapo story yaapo inatosha ukipata wazee wahadithie utashangaa.
Nime furahiya sana Kazi yenu. Mume fanya vizuri sana kutukumbusha. Ila Nime kwazika na ombi lako laku leta wazungu waje kutalihi hapo. Hizo ni sehemu za siri za inchi yetu ya Ubembe. Tafazali sio kila sehemu ndo tuna hitajika kuleta wazungu. Tutoke kwenye minyororo ya utumwa wa fikra. Hendeleheni na Kazi hiyo. Ila juweni kama sio kila sehemu yaku leta wageni. Ni Sawa na mu amerika aku hambiye eti njoo ku Area 51. Hakuna siku wata kuhita sehemu mtaha 51 USA. #Sauti Yangu “Ukombozi wa Fikra na Uchumi”
milo iyi yote ni richesse ya congo wewe ume iona kama kawaida ujuwe kwa leo kama siyo kawaida sud kivu pourquoi ni place touristique nyinyi kila kitu muna zarau
Fresh sana wahanshi wetu kwa kazi hiyo
Namuona dereva Asani🔥
Kusorozaaa 😀😀😀💃💃💃umutekeee wahaaa wenzanguuu mupoooo💃❤️❤️❤️😂😂😂😂😂kigomaaa weyeeee
Wamanyema tupooooooo.tuasoroza ndenga nagiza kibirizi oyeeeeeeee
Unabonga Sana jombi.sioishu utaaribu acha tujionee kipindi chako nikizuri ila unapiga Sana makelel mzee baba
Ila sasa mbona hamjakinginga life jacket jmn lolote laweza tokea japo hatuombi hvyo
Mmtu nachake mbona ww unaleta majungu na ww kaonshe wakwenu tuone sisi tuna jivunia na chakwetu 🙏🙏🙏
Lakini unaogopesha bwana
Uko katikati ya.maji. panatisha kwangu
Kidogo ni kama Saa
Nane Island Mwanza..
Loooo...unapenda maki kaka
Yangu. Hongera sana.
Ooh safi sana lakin hao wavuvi uwashauri wawe na maboya endapo ajari ikitokea watanusurika
Kusoroza !!!, aisee umenikumbusha kwetu Kigoma.🤣🤣 big up AC Tv🙏🏻🙏🏻
Hongera sana....mali
Asili safi.
Asante kutuonyesha Mlima Bulumba ulioko katika Lake Tanganyika natamani kuona live thanks
Asante kuifuatilia Ac company tv endelea kuifuatilia kila siku kwa mengi zaidi support shukrani
kipidikizuri cyamazigira 🙏
I stay in america
Mbona unachezea nyeti zako broo umejisahau
Ilove that place God bless bomba Sana congo congolese people love our owner county in alex from congo moba in america thank you .
@alex kabazo Thank you so much endelea kuifuatilia Ac company tv kila siku support
Hapo ndiyo nyumbani.
Only the best place,my village city mboko
Bomba safi.
Safi sana kabisa AC Company LTD Fizi Uvira. Kazi nzuri
Petit Kamu, nyumbani hapo. Mungu umeibariki DR Congo kwa kila kitu, tunaomba AMANI yako sasa mu nchi yetu ili twende kufaidi baraka toka kwako.
Mtangazaji anajitahd sana kujichangamsha na Kiswahili chake kibovu bovu kabisa
Rdc eloko ya makasi
Mi sifiki apo wajua viumbe gan wanaishi apo weeeeeeee sifiki mm
Ac Compagnie Tv lobaka pe na Lingala ou bien na Français, Rdc iko Munene
❤❤❤❤
Yoooooh longtime nimekumbuka mbali sana
👍🏾🎩
Beautiful
Kazi nzuri ya exploit
Ni powa kabisa. Lakini ingekuwa powa sana kama ingejengwa kibanda cha mapumziko hapo. Mimi pia ni mkongo kutoka kwa kabila ya Bashi. Kwenye ziwa Kivu pia kuna milima midogo mbali na Idjwi hata hivyo nazo ni pori. Congo tunalo tatizo la kutega uchumi.
Mwakole wabula AC Company TV ú mmolwa wasúhakéca úbanda na 'yétú Ésé.
Akuna viboko na mamba kweli?
Nafurahi sana njomara ya kwanza kuuona nausikiyaka tu
@@kahindodjotas8926 Asante endelea kuifuatilia Ac company tv kila siku support
Tumuacha Allah ayitwe Allah 😳😳😳
Mbona hujashuka kuingia mlimani au kuna wanyama wakali ungepanda kabisa mlimani hapo umeenda kuzunguka mlima
Mbona mingi tuu ipo upande wa Tz hiyo milima ya katikati yaziwa
Huo unatembeyaga na unaonekana kwa nyakati tofauti tofauti nasehemu tofauti tofauti useme huyo mtangazaji nikiazi ajui kujieleza nakueleza
Nimefurahi kuuona mlima bulumba ila mtangazaji umesahau kutueleza kuhusu Wanyama wakali ambao wanaweza kumla mtu kama mamba kiboko nyoka kali
Sasa mbona hamtoki ndani ya boti jamani
Fasi nzuri .aksanti wandugu.
Je!..watu hupanda mlima?au ni kuzunguka tu.
wonderful !! lakini mtangazaji una uzoefu odd, huo mkono wako wa left wakuponza!!
Asante kuifuatilia ac company tv pia Asante kwa maoni yako yatafanyiwa kazi shukrani zidi kuifuatilia Ac company tv siku zote kwa mengi zaidi
🤣🤣🤣🤣
Kwel Kbs
Una nikubusha sana dungu na mimi nilisha pafika apo BULUMBA nikakaa kwenye jiwe
Pamoja and everyday fuatilia Ac company kwa Mambo mazuri na habari za uhakika @malekanimalekesa
Nisawa kwakua unatapa kwe lkn hakuna hajabu yoyote hapo ukifika ziwa Victoria kumbe utastajabu maana kule visitation kama hivyo uwezi kuviesambu nivingi mno 🤣
Nikweli ,nakumbuka mengi kuona mlima uho.
Nyumbani ni nyumbani.
Nimefurahi kuona mlimabulumba kwaukaribu lakini siwezikuusogelea kwaukaribu naogopa Sana kutokana nahistoriayake watu walikua wanapotezwa kwawiki kadha wakiwa chiniyamaji baadae wanarudiswa wakiwahai wengine walikuwa wanakwenda mazima marakuku weupe Mara shuka cilikuwa vikionekana hapo story yaapo inatosha ukipata wazee wahadithie utashangaa.
Naelewa Sana Kaka unacho sema Yani kunMazingira ukiangalia unakumbuka mbali dah
Asante kwakuifuatilia Ac company tv tuwe pamoja siku zoote
Mi sijuw ni nn sipend kuona maji live km vile Bahr ama ziwa Usiku silali nimehaharib ticket Mara Tatu ya kwend Zanzibar
Ni nzuri ila mnge shuka kwanza mka kaa hata kwenye jiwe
Bichingini n'Simba.
Nyoka naye atakuacha salama kweli?hayo ndiyo maskani yake
Mtu na kwao kama kwenu akuna msituletee abari za eti seemu zigine eti upo uo ni wivu tu
Hiyo ndio kazi
ya uumbaji kila mahali pana mambo yake hayafanani
Nenda mkowa wa Rukwa ipo utaikuta sio mpaka uende Congo labda kama ulikua na safari yako tuu
huyo ni mkongo cyo mtanzania ndo maana japo anaongea kiswahili
Kiswahili fasaha
Merçi bcp
Asanteee pamoja
Huyu ni MTanzania au Mcongo?
@@josephmbedegalo8719 Congolese
@@josephmbedegalo8719 mkongo
Nime furahiya sana Kazi yenu. Mume fanya vizuri sana kutukumbusha. Ila Nime kwazika na ombi lako laku leta wazungu waje kutalihi hapo. Hizo ni sehemu za siri za inchi yetu ya Ubembe. Tafazali sio kila sehemu ndo tuna hitajika kuleta wazungu.
Tutoke kwenye minyororo ya utumwa wa fikra.
Hendeleheni na Kazi hiyo. Ila juweni kama sio kila sehemu yaku leta wageni. Ni Sawa na mu amerika aku hambiye eti njoo ku Area 51. Hakuna siku wata kuhita sehemu mtaha 51 USA.
#Sauti Yangu
“Ukombozi wa Fikra na Uchumi”
@sautiyangu tv Asante kuifuatilia ac company tv shukrani saaana na maoni yako mazuri pia
Asante kwako
Mimi sioni maajabu hapo ni kawaida tu hivyo ni visiwa vidogo katika bahari yoyote na huku pwani mbona vipo vingi mno. Kweli tembea ujionee
milo iyi yote ni richesse ya congo wewe ume iona kama kawaida ujuwe kwa leo kama siyo kawaida sud kivu pourquoi ni place touristique nyinyi kila kitu muna zarau
Mtangazaji anajitahd sana kujichangamsha na Kiswahili chake kibovu bovu kabisa
aaaah dugu sio matusi hata wewe pia unakosea wakati unaongea swahili