Binafsi kwa mtazamo wangu serikali mpo vizuri sana.endeleeni kudumisha umoja,kama jamii tunafarijika kuona maendeleo.nahuyu adui mkubwa (umasikini) tunamshinda kwa ushilikiano.mhe.mama Samia nina kupongeza sana mama Mungu azidi kukurinda rais wetu.amina
Mama Samia akipigwa vita ili wengine wachukue nafasi yake, tuelewe wazi kua hao Madeni atakayowaacha hayatolipwa kama ipasavyo. Tunamuombe Mungu amzidishie Moyo wwa Ujasiri. Ampe Umri Mrefu na Kumuongezea Afya Njema. Badala ya kulipa Madeni ambayo yameiwezesha nchi kufikia hapo ilipofikia. Sasa hivi Tanzania watu wote Wanasema kua Tanzania sasa hivi hiwezi kuamini kua uko Tanzania kutokana na maendeleo. yaliyofanyika ❤❤❤❤❤❤
MAMA SAMIA MIMI NI MWANAO WA UBANI AS FAR AS GLOBAL EDUCATION IS CONCERND SHOULD YOU SHOUL EITHER ASK MYSELF OR MR. BARAK OBAMA, MICHELLE & ANGALAU MACLE (German 'X' Chancellor) THEY ARE THE ONLY PEOPLE WHOM YOU CAN RELLY either uniulize mimi mwenyewe au hao niliowataja hapo juu. Tuombeane kheri na salama na tubakie kila siku kusameheyana.
Binafsi kwa mtazamo wangu serikali mpo vizuri sana.endeleeni kudumisha umoja,kama jamii tunafarijika kuona maendeleo.nahuyu adui mkubwa (umasikini) tunamshinda kwa ushilikiano.mhe.mama Samia nina kupongeza sana mama Mungu azidi kukurinda rais wetu.amina
Kazi iendelee
Mama Samia akipigwa vita ili wengine wachukue nafasi yake, tuelewe wazi kua hao Madeni atakayowaacha hayatolipwa kama ipasavyo.
Tunamuombe Mungu amzidishie Moyo wwa Ujasiri. Ampe Umri Mrefu na Kumuongezea Afya Njema.
Badala ya kulipa Madeni ambayo yameiwezesha nchi kufikia hapo ilipofikia. Sasa hivi Tanzania watu wote Wanasema kua Tanzania sasa hivi hiwezi kuamini kua uko Tanzania kutokana na maendeleo. yaliyofanyika
❤❤❤❤❤❤
MASHAALLAH HASBIYA'ALLAH , MITANO TENA KWA MAMA SAMIA
MAMA SAMIA MIMI NI MWANAO WA UBANI
AS FAR AS GLOBAL EDUCATION IS CONCERND SHOULD YOU SHOUL EITHER ASK MYSELF OR MR. BARAK OBAMA, MICHELLE & ANGALAU MACLE (German 'X' Chancellor) THEY ARE THE ONLY PEOPLE WHOM YOU CAN RELLY either uniulize mimi mwenyewe au hao niliowataja hapo juu.
Tuombeane kheri na salama na tubakie kila siku kusameheyana.